Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Kipindi John Mwaulsya anawaua wazazi Wa Peniela inaonyesha ilikua in miaka ya 80 mwishoni, mtunzi anatuonyesha mahala kuwa John na baba take Peniela waliwasiliana kwa simu ya mkononi (?), how possible?
Pili kipindi John Mwaulaya akiwa Mdogo (ikumbukwe kuwa hivi sasa in Mzee) aliwahi pewa laku mbili na mwanajeshi kwa kumtafutia mbwa wake aliyekuwa amepotea. Laki mbili miaka ya 1940 au 30? How possible?
Haya ni maeneo nionayo kuwa yanahitaji uboreshwaji katika Hadithi hii.
Otherwise, hii ni bonge la hadithi.
Mkuu hadithi ni masilimulizi, au tuchukulie mfano mdogo wa muziki, kile wanachoimba sio kwamba wako hivyo. Mtu anaimba hajala siku 3, lakini hapo anasema kwa jinsi nilivyoshiba hata kucheza siwezi. Kwa wale waelewa wa hadithi, hii ni aina ya hadithi ambazo husoma huku nikitengeneza movie kichwani kwangu.
 
Mmh! We mambo naona hii storry imekukolea sana...
Maana siyo kwa uchizi huu?
Naona mahaba yako kwa hii storry yako nje nje..

Embu endelea kumuita LEGE maana anakusikia ww tu
Ninapenda sana movie zakijasusi na kiterrorist mkuu kwahiyo hapo amenifikisha kwenyewe. LEGE you need to come back.
 
Mkuu hii ndio inaitwa shetani akizeeka anakuwa malaika. Kama kweli maombi yanasaidia basi John Mwaulaya kapenya kiulaini
Hapo ndio pa kumshangaa Mungu fainali yakondio itaamua unaenda wapi.Unaweza ukajifanya mchungaji kumbe hakuna kitu na
 
Hapo ndio pa kumshangaa Mungu fainali yakondio itaamua unaenda wapi.Unaweza ukajifanya mchungaji kumbe hakuna kitu na
Hata katika maisha yetu ya kila siku. Angalia hawa wazee wanao jidai wanatoa ushauri mzuri kwa vijana kwamba waepuke kutenda dhambi. Ulizia historia zao ndio utajua kweli shetani akizeeka anakuwa malaika
 
Yeye alikuwa anatekeleza maagizo tu. Leo nina msiba mkubwa sana WA kuondokewa na John. Bora angekufa Jason lakini sio John. Huyu bwana mdogo mnoko mnoko
Jason wivu wa mapenz unamsumbua wakati hapendwi nahis atawasaliti wenzake maana ushirikiano wake siuoni
 
Jason wivu wa mapenz unamsumbua wakati hapendwi nahis atawasaliti wenzake maana ushirikiano wake siuoni
Mkuu kumbe na ww umemshtukia. Mbaya zaidi kapigwa chini live ingawa jamaa ana mke lakini Penny akajichagulia jamaa mwenye msimamo. Hata hivyo yule bwana mdogo Jason lazima angesababisha misala kwa ajili ya wivu WA kifala
 
Mkuu kumbe na ww umemshtukia. Mbaya zaidi kapigwa chini live ingawa jamaa ana mke lakini Penny akajichagulia jamaa mwenye msimamo. Hata hivyo yule bwana mdogo Jason lazima angesababisha misala kwa ajili ya wivu WA kifala
Mjinga sana yule dogo hajakomaa kiakil haoni mwenzake Jaj ametulia Japo anajua penuel anagongwa na raisi Dr.kigomba lakn amekaisha tu angekuwa Jasoni angeenda kutoa taarifa police kwamba raisi anakuja demu wangu
 
Back
Top Bottom