Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Haa wewe mchoyo nakumbuka nilikuomba hicho kitabu.kila nikienda kuuliza block 41 naambiwa bado.uniazime ila sipo tena dar
mkuu hicho kitabu kinatumika vyuoni so kimekuwa LULU sana aisee. sasa nikikuazima huwezi rudisha
 
Nadhani mkuu Lege alisema story ina seasons 5 na kila season itakuwa na episodes 36, season ya 4 naona imekuwa fupi
 
Baada ya kutafakari kwa makin nimegundua lege ameanza kulinga kama bongo movie sasa nimeamua kutunga na mm story ya kijasusi inayoenda kwa jina la SHUNIE hii ni zaidi ya story ntaanza kuiweka kesho mtasahau hii na mm kila siku ntakua nashusha mzingo wa kutosha
 
Duh waliosema "misfortune never come single "walimaanisha umejitahidi kuorodhesha dhahma zote zilizo mtokea jaji ili wadau humu ambao 99%wanamlaumu jaji nao wajaribu kuvaa viatu vyake kama vitawatosha.
Sisi binadamu tuna uwezo tofauti wa kukabiliana na mambo kama methew ingawa wengi tungependa kuwa hivyo.
Hata Mathew ilimchukua muda kukubaliana na hali ya marafik zake kuchomwa moto na familia yake pia....
 
VYA MSIBA KUVIPATA NI SHIDA SANA MKUU lakini vya joram kiango like tutarudi na roho zetu,ni zamu yako kufa,roho ya paka,mtambo wa mauti,mikataba ya kishetani ,dar es salaam usiku n.k vinapatikana hapa dar sehem nyingi hata mwenge pale kwenye stend ya mwenge ukiwa unatokea tegeta hapo efata kuna muuza magazeti anavyo au kinondoni DUKA LA RIWAYA unavipata mkuu muuzaji 0655428085 anaitwa zamira au mwanae wa mtobwa yupo humu humu anaitwa nameless girl kama sijakosea id yake
Dar es salaam Usiku kinapatikana?

Na vipi kuhisi Simu ya Kifo?
 
VYA MSIBA KUVIPATA NI SHIDA SANA MKUU lakini vya joram kiango like tutarudi na roho zetu,ni zamu yako kufa,roho ya paka,mtambo wa mauti,mikataba ya kishetani ,dar es salaam usiku n.k vinapatikana hapa dar sehem nyingi hata mwenge pale kwenye stend ya mwenge ukiwa unatokea tegeta hapo efata kuna muuza magazeti anavyo au kinondoni DUKA LA RIWAYA unavipata mkuu muuzaji 0655428085 anaitwa zamira au mwanae wa mtobwa yupo humu humu anaitwa nameless girl kama sijakosea id yake
Asante sana Mkuu, nasikia vitabu vya Musiba vya enzi hizo vilipigwa biti na serikali sijui kweli!? Kama ndivyo basi hata utunzi wa riwaya aina ya Peniela unaweza kupigwa ban pia.
 
Rubawa kiu yangu kuu ni hivyo vya Musiba nakumbuka vilikuwa 4 sikumbuki majina kwani nilivisoma nikiwa mdogo ila navitamani kuvirudia sasa...Kikomo, Kisasi, ........
Hivyo vitabu dhima yake hasa ni nini mkuu? Au ndo Peniela type?
 
Baada ya kutafakari kwa makin nimegundua lege ameanza kulinga kama bongo movie sasa nimeamua kutunga na mm story ya kijasusi inayoenda kwa jina la SHUNIE hii ni zaidi ya story ntaanza kuiweka kesho mtasahau hii na mm kila siku ntakua nashusha mzingo wa kutosha
Haha haha mkuu nawewe unataka uwe talk of the town kama LEGE haya bwana shusha vitu.Mimi binafsi napenda story za kimafia.kiterrorist na kijasusi hivyo nitakuwa mpole hapa.Hiyo nyingine aliyoanzisha sio zangu.Mkuu LEGE akishusha mizigo kama Day of The Jackal au The God father .....Au Air force one mimi hapo ndio kwangu vitu kama34hrs
 
Haha haha mkuu nawewe unataka uwe talk of the town kama LEGE haya bwana shusha vitu.Mimi binafsi napenda story za kimafia.kiterrorist na kijasusi hivyo nitakuwa mpole hapa.Hiyo nyingine aliyoanzisha sio zangu.Mkuu LEGE akishusha mizigo kama Day of The Jackal au The God father .....Au Air force one mimi hapo ndio kwangu vitu kama34hrs
Wewe kumbe tunaweza kuzungumza lugha moja.
Kilichopo ni kusisitiza zipatikane kwa kila namna.
 
Back
Top Bottom