Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Subira nyingi Hua na kheri lkn hii ya kwangu kwa Lege inaniletea MATESO!
 
kulikuwa kuna page ya kusoma lkn naona washa isitisha na hata hivyo kule online walikuwa hawajaiweka yote kama ilivyokamilika kwenye kitabu hivyo fanya mpango upate tuu kitabu mkuu
Mkimbizi niliishia pale yule bint kapelekwa kupumzika Madagascar sijui halafu akiwa hotelini akaingia yule afande aliyekua ananyoa timberland, wakaanza mahusiano. Hivi iliishia pale au iliendelea?
 
Mwenye soft copy za hivi vitabu vya kijasusi, pleas do something in my inbox.
 
LEGE season ikianza nitag mkuu now naenda kuzurura MMU, Au kama story nyingine kali ya kijasusi ipo huku nitonye.
 
Lege wewe ungetuma hiyo hiyo ambayo haijarekebishwa bhana. Maana sasa wiki mbili parefu tutaumwa kama waumwavyo wanaosubiria selection za vyuo vikuu.
 
mkimbizi na mdunguaji itakuwa ngumu sana mkuu .hiyo kwa kukusaidia nikununua kitabu tu kama upo dar ni rahisi kama upo nje ya dar unatumiwa pia mkuu
Kitabu n bei gani
 
kulikuwa kuna page ya kusoma lkn naona washa isitisha na hata hivyo kule online walikuwa hawajaiweka yote kama ilivyokamilika kwenye kitabu hivyo fanya mpango upate tuu kitabu mkuu
Mkuu nimekutumie email ili unitumie iyo soft copy ya Hofu fanya ivyo mkuu tafadhar
 
Back
Top Bottom