Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Shigongo story zake anaweka miujiza miingi. Vitu ambavyo ni vigumu Kwa kawaida kutokeaMkuu kitafute ukisome hutojuta. Shigongo nakumbuka alitoa vitatu 3 ambavyo awali alianza kuchapisha kwenye magazeti. Vyote ni vizuri sana isee. Sijui kwa nini siku hizi hajatoa vitabu vingine.
Vitafute maana baadhi viko humu kama NJAMA,UCHU,HOFU na vingineA
Ahsante sana Ndungu, ngoja nivitafute sikuwahi visoma, ila huyu jamaa niliona tu watu wanamsifia ila sikufatilia, hizo nondo zitakua za hatari sana
Hana ridhaa ya mtunzi ..Why inakua ngumu kuweka mkimbizi na mdunguaji lege?
Mkuu vitabu hivi havipatikani ktk bookshops labda nakala kwa baadhi ya watu walio navyo na wanaojisema kama Mkuu Lege & Ilu vinginevyo hii ni bidhaa adimu sana sokoni ingawa ni vya snalog.Naomba location mkuu, wapi saivi naweza pata nakala zake?
Mm nacho ata sikumbuki nilikiweka wapi nikikipata ntakuazimaWatu na riwaya zao nasikia kitabu cha Rais anampenda mke wangu mtunzi erick shigongo ni kizur sana mwenye nacho tafadhar
Nimeona UCHU ya msiba vipi wadau ni kali ili nikakomae nayo au?
mkuu siunajua hizi ni kazi za watu na wana hati miliki nazo na nikosa kuiweka hapa bila idhini yao.hussen tuwa yupo hai na sasa wana umoja wao unao itwa UWARIDI kitu moja wapo wanachokisimamia ni hiki cha kusambaza kazi zao bila idhini yao kama unataka hizo story kama mdunguaji na mkimbizi vitabu vipo na vinatumika mpaka vyuoni so nunua tu vitabu mkuu wangu. tena kama cha mdunguaji vipo vingi sanWhy inakua ngumu kuweka mkimbizi na mdunguaji lege?
mkuu siunajua hizi ni kazi za watu na wana hati miliki nazo na nikosa kuiweka hapa bila idhini yao.hussen tuwa yupo hai na sasa wana umoja wao unao itwa UWARIDI kitu moja wapo wanachokisimamia ni hiki cha kusambaza kazi zao bila idhini yao kama unataka hizo story kama mdunguaji na mkimbizi vitabu vipo na vinatumika mpaka vyuoni so nunua tu vitabu mkuu wangu. tena kama cha mdunguaji vipo vingi san
Ahsante sana mkuuVitafute maana baadhi viko humu kama NJAMA,UCHU,HOFU na vingine
Ahsante, ngoja nivitafuteMkuu vitabu hivi havipatikani ktk bookshops labda nakala kwa baadhi ya watu walio navyo na wanaojisema kama Mkuu Lege & Ilu vinginevyo hii ni bidhaa adimu sana sokoni ingawa ni vya snalog.
Mtandaoni vipo, nimeona mpaka Amazon vinauzwa.Kwa nini Msiwashauri wauze vitabu kwa njia ya Mtandao??
Uchu ni nzuri, nimeanza kuisoma jana.Vitafute maana baadhi viko humu kama NJAMA,UCHU,HOFU na vingine
Mkuu hyo uchu inapatikanaje?Uchu ni nzuri, nimeanza kuisoma jana.
Mkuu, hiyo hapo ila walioweka hawakupangilia vizuri hasa font.Mkuu hyo uchu inapatikanaje?
Maana m baada ya kusitishwa kwa peniel nimekuwa disapointed balaa, najizuia nisisome nyingine nikaishia kati,
Huwa akili inastack kabisa
Kitafte aisee ukikipata ntakupa tamtamMm nacho ata sikumbuki nilikiweka wapi nikikipata ntakuazima
Hahaha yupo wakili msomi jasson atakuteteangoja nitaangalia tatizo mkuu naweza nikachezea jera
Tamtam ganKitafte aisee ukikipata ntakupa tamtam