Ekyoma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,177
- 2,804
Utajua siku iyoTamtam gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua siku iyoTamtam gan
Ntakipataje mkuuSimu ya kifo nnacho mkuu
Mtani vipi? Me ndio nimeishtukia wiki hii. Hata kule jukwaa letu pendwa sipiti nipo hapa na hii hadithi. Ndio kwanza nipo page ya 10 Na thread ina page zaidi ya 100. Mdogomdogo nitamaliza.!Swadakta najua ukija basi mzigo unashuka wa nguvu big up kwako
Kwema khabari za siku tele? Duh muda wote huo hukuwa umeistukia? Lakini kama unaenda nayo uzuri poa imekaa vizuri.Mtani vipi? Me ndio nimeishtukia wiki hii. Hata kule jukwaa letu pendwa sipiti nipo hapa na hii hadithi. Ndio kwanza nipo page ya 10 Na thread ina page zaidi ya 100. Mdogomdogo nitamaliza.!
Ndio Jana mambo yameenda vizuri kotekoteKwema khabari za siku tele? Duh muda wote huo hukuwa umeistukia? Lakini kama unaenda nayo uzuri poa imekaa vizuri.
Nb :jana naona kote umefanya vizuri ni kicheko babu yenu kawafurahisha jana.
Jana mimi England kulikuwa kuzuri nasubiri jangwani leo.Ndio Jana mambo yameenda vizuri kotekote
Ile kitu nayo nzuri...mambo ya Umbopa na Kibibi Gagula...pia kuna bwana Henry kule...long time sana nilisoma hii kitu...nakumbuka nilikuwa O level Moshi Technical enzi hizo....Allan kwataman na mzee Makumazan ni sheeda. Mzee ye hatumii manati ya kizungu Bali anatumia shoka tuu. Anakimbia sambamba na farasi. Ile story ni balaa.
Vya Musiba nimesoma Hofu,Njama,Kikosi cha kisasi,Hujuma na kuna kimoja ila sikikumbuki ni muda mrefu. Sijaona mwandishi wa riwaya za kipelelezi kwa kiswahili anaemfikia Musiba. Ben Mtobwa alijitahidi na Joram kiango lakini Willy Gamba ni kiboko
Mkuu story ya Willy Gamba ambayo plot ilikuwa Nairobi wahusika kuna Dr Njoroge kama sikosei..Lulu sijui...nk. ..kitabu hicho kinaitwaje?wapi naweza pata?nakumbuka kusoma hii kitu nikiwa enzi hizo darasa la tatu...mkuu siunajua hizi ni kazi za watu na wana hati miliki nazo na nikosa kuiweka hapa bila idhini yao.hussen tuwa yupo hai na sasa wana umoja wao unao itwa UWARIDI kitu moja wapo wanachokisimamia ni hiki cha kusambaza kazi zao bila idhini yao kama unataka hizo story kama mdunguaji na mkimbizi vitabu vipo na vinatumika mpaka vyuoni so nunua tu vitabu mkuu wangu. tena kama cha mdunguaji vipo vingi san
Kufa na kuponaMkuu story ya Willy Gamba ambayo plot ilikuwa Nairobi wahusika kuna Dr Njoroge kama sikosei..Lulu sijui...nk. ..kitabu hicho kinaitwaje?wapi naweza pata?nakumbuka kusoma hii kitu nikiwa enzi hizo darasa la tatu...
Inaitwa Usiku wa balaa.Ile kitu nayo nzuri...mambo ya Umbopa na Kibibi Gagula...pia kuna bwana Henry kule...long time sana nilisoma hii kitu...nakumbuka nilikuwa O level Moshi Technical enzi hizo....