Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu story ya Willy Gamba ambayo plot ilikuwa Nairobi wahusika kuna Dr Njoroge kama sikosei..Lulu sijui...nk. ..kitabu hicho kinaitwaje?wapi naweza pata?nakumbuka kusoma hii kitu nikiwa enzi hizo darasa la tatu...
Ile kitu nayo nzuri...mambo ya Umbopa na Kibibi Gagula...pia kuna bwana Henry kule...long time sana nilisoma hii kitu...nakumbuka nilikuwa O level Moshi Technical enzi hizo....
Kinaitwa 'Mashimo ya mfalme suleiman ' mhusika Maarufu Ni Alan-Quataman
Ndio maana ya hadithi mkuu. Hiyo ndio njia ya kuvutia wasomaji. Bila fiction hamna mvutoTatizo Shigongo story zake anaweka miujiza miingi. Vitu ambavyo ni vigumu Kwa kawaida kutokea
Kinapatikana TPH! Barabara ya SamoraNatafuta sana hio
Kinapatikana TPH! Barabara ya Samora
Nakubaliana na wewe ingekua poa sana. Lakini nadhani wanogopa kukosa mapato maana kwa mtandani ni rahisi kushare kwa watu wangi kwa wakati mmojaKwa nini Msiwashauri wauze vitabu kwa njia ya Mtandao??
Kama ni Mwingi wa Imani,tuma pesa then nitakusafirishia kwa njia utakayoona ni rahisiNiko Mwanza Mkuu
Jason anatetea sana watoto wa kike bila malipoHahaha yupo wakili msomi jasson atakutetea
Kama ni Mwingi wa Imani,tuma pesa then nitakusafirishia kwa njia utakayoona ni rahisi
Bei ya Kitabu ni Tsh.10,000/= nitahakiki vizuri nikifika homeKiasi gan Mkuu
Bei ya Kitabu ni Tsh.10,000/= nitahakiki vizuri nikifika home
Kinaitwa 'Mashimo ya mfalme suleiman ' mhusika Maarufu Ni Alan-Quataman
Kwisha kaziDuh ! Mkuu LEGE Umelegea Kabisa ?
Mkuu LEGE tuna arosto
mkuu huwezi pata vitabu vya willy gamba .vitabu vyake ni kama LUPIA na imani zake ukiwa nacho yakupasa ukihifadhi haswaa. ukiazimisha tuu hakirudi. story za willy gamba nyingi zipo soft copyMkuu story ya Willy Gamba ambayo plot ilikuwa Nairobi wahusika kuna Dr Njoroge kama sikosei..Lulu sijui...nk. ..kitabu hicho kinaitwaje?wapi naweza pata?nakumbuka kusoma hii kitu nikiwa enzi hizo darasa la tatu...
Ni mchecheto wa ndani. ....!!Kaka kwani week ishapita?
mkuu huwezi pata vitabu vya willy gamba .vitabu vyake ni kama LUPIA na imani zake ukiwa nacho yakupasa ukihifadhi haswaa. ukiazimisha tuu hakirudi. story za willy gamba nyingi zipo soft copy