Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Wimbo Wa Gaidi ukitoka tu niambie maana kule fb ulikatishwa
ushatoka mkuu kitabu kipo hewani kaa mkao wa kula kikikufikia ni zaidi ya hii story ya peniela.
 
sio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.

ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.
Sawa LEGE, twakuamini
 
Habari njema hii ,maana nawaza km na hii weekend ikikosekana harafu hamna hata game za ulaya naona km weekend itakuwa boared sana ....LEGE tunakuami ....macho yetu kondooo kwako tu
 
Unajua Mobile phones ziliingia sokoni miaka gani? Na hiyo laki mbili ya kumpa mtoto kwa miaka hiyo ya 1940 unaona ipo sawa? Na hiyo form four? Maana Back then kulikua na middle schools tu,. Vipi kuhusu huyo askari wa JWTZ kwa miaka hiyo, maana haikuwepo na badala yake tulikua na King African Riffle (KAR).
Inawezekana unayejaribu kunijibisha na kunibishia hapa ni kitukuu wangu.
Bora ata angesema jeshi la polisi nahisi wao walikuwepo toka enzi za ukoloni
 
sio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.

ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.
Sawa bosi na ile soft copy ya Hofu umefikia wap
 
Hivi Uswahili !!
Maana yake nn Haswaaa
Maana huwa natatizika na Matumizi Yake
Uswahili una maana tatu
01.Ni mtu wa pwani(anaeishi pwani)
02.Ni mtu anaependa kukaa vibarazani na kupiga soga
03.Ni mtu anaeongea kiswahili

[emoji125] nadhani nimekujibu [emoji125]
 
Wadau, Leo napita tu nawapa hi. Ikiwa tayari naomba mnitonye.
 
Uswahili una maana tatu
01.Ni mtu wa pwani(anaeishi pwani)
02.Ni mtu anaependa kukaa vibarazani na kupiga soga
03.Ni mtu anaeongea kiswahili

[emoji125] nadhani nimekujibu [emoji125]

Pia Ni mtu asietekeleza Ahadi zake na anakua na Visingizio vingi Vya kubuni .
 
Legeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom