Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.Huu sasa uswahili.mjomba lege
Wiki ya tatu au NNE hii dah
Sawa LEGE, twakuaminisio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.
ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.
Huu sasa uswahili.mjomba lege
Wiki ya tatu au NNE hii dah
Bora ata angesema jeshi la polisi nahisi wao walikuwepo toka enzi za ukoloniUnajua Mobile phones ziliingia sokoni miaka gani? Na hiyo laki mbili ya kumpa mtoto kwa miaka hiyo ya 1940 unaona ipo sawa? Na hiyo form four? Maana Back then kulikua na middle schools tu,. Vipi kuhusu huyo askari wa JWTZ kwa miaka hiyo, maana haikuwepo na badala yake tulikua na King African Riffle (KAR).
Inawezekana unayejaribu kunijibisha na kunibishia hapa ni kitukuu wangu.
[emoji28][emoji28]Mkuu mimi nikajua ni episod Lege katupia kumbe umeandika malalamiko kwa lege nilikuwa nisha jiweka vzr nianze kusoma
Sawa bosi na ile soft copy ya Hofu umefikia wapsio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.
ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.
Uswahili una maana tatuHivi Uswahili !!
Maana yake nn Haswaaa
Maana huwa natatizika na Matumizi Yake
[emoji23]utafikiri kalipia? wakati hiyo story ipo kuleee kwenye group yake ya watsapp so mvivu wa kwenda kuitafuta mwepesi wa kulala mika
Uswahili una maana tatu
01.Ni mtu wa pwani(anaeishi pwani)
02.Ni mtu anaependa kukaa vibarazani na kupiga soga
03.Ni mtu anaeongea kiswahili
[emoji125] nadhani nimekujibu [emoji125]
Uswahili una maana tatu
01.Ni mtu wa pwani(anaeishi pwani)
02.Ni mtu anaependa kukaa vibarazani na kupiga soga
03.Ni mtu anaeongea kiswahili
[emoji125] nadhani nimekujibu [emoji125]
Mmmh peny atapigwa na mathew wwmwisho wa siku Peny atarudi kwa Elibariki
kuna kila dalili hili kutokea.