Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

uyu peniela sijui anampa nini Dr Joshua si kwa kumchanganya uko LEGE shukrani sana
 
SEHEM YA 8

“ Ingawa hakutaka kuonyesha wazi wazi lakini Dr
Kigomba amestushwa sana na maamuzi yangu ya kusitish
a ile
biashara yetu ya kirusi.Sitaki kabisa kushirikiana
chochote na
Yule msaliti.Nina hakika yeye na Jacob kuna njama w
alikuwa
wanaipanga dhidi yangu.Hata yeye Kigomba naamini si
ku
zake zinahesabika kwani nafahamu namna alivyo na ki
u ya
pesa atatafuta kila namna ili aweze kupata pesa nyi
ngi
kupitia kirusi kile.Nilifanya kosa kubwa kumshiriki
sha katika
mpango ule .” Simu ya mezani iliyoita ikamtoa Dr Jo
shua
katika mawazo akaipokea
“ Mheshimiwa rais kuna mtu anahitaji kuzungumza
nawe katika laini ya simu namba moja” akaambiwa Dr
Joshua
na bila kupoteza muda akabonyeza laini namba moja
“ Hallow !! akaita
“ Hallow Dr Joshua.It’s me Rosemary Mkozumi.Vipi
maendeleo yako? Nimekuwa nakutafuta niongee nawe
jambo la muhimu lakini sikupata nafasi hii hadi sasa
nilipoomba sana wasaidizi wako wanisaidie niongee n
awe.”
Dr Joshua akavuta pumzi ndefu na kuuliza
“ What do you want Rose?
“ Dr Joshua I need your help.Something happened
yesterday here at my place”
“ Kitu gani kilitokea?
“Unakumbuka kuna Yule msichana niliyekuambia
kuwa anashirikiana na Mathew na Peniela ambaye nili
kuwa
namtegemea sana atueleze mahala alipo Mathew?
“ Ndiyo nakumbuka ulinieleza kitu kama hicho.”
“ Basi Yule msichana ametoroka na sijui
nitampataje.Ninaomba msada wako ili aweze kupatikan
a
kwani anahatarisha usalama wetu.Mipango yetu yote
haitaweza kufanikiwa endapo huyu msichana
hatapatikana.She knows too much” akasema Rosemary.D
r
Joshua akapatwa na kigugumizi akashindwa aseme nini
“ Dr Joshua are you there? Akauliza Rose baada ya
kuona kumekuwa kimya
“ Uhhmm Rose are you sure about that?
“ About what?
“ About that woman.Is she real?
“ Dr Joshua how come you ask me such a silly
question.You don’t trust me now? You think I’m lyin
g?
akauliza Rosemary mkozumi kwa ukali
“ Sikiliza Rose,kwa sasa nina mambo mengi ya
kushughulikia.Tafadhali naomba mambo yako yashughul
ikie
mwenyewe.If that woman real do exist find her by y
ourself”
akasema Dr Joshua.
“ Dr Joshua ni wewe kweli unayethubutu kuniambia
maneno hayo leo? Akaulizia Rose kwa ukali.Dr Joshua
hakutaka kuendelea na maongezi akakata simu
“ Huyu naye ni miongoni mwa watu waliomo katika
orodha ya watu wanaotakiwa kuondolewa.Yeye na mume
we
Deus ni vizingiti vikubwa katika kufanikisha mipang
o
yangu.Katika mpango wa kumuua Deus Mkozumi huyu nay
e
lazima awepo” akawaza Dr Joshua na kutabasamu
“ Ngoja nijiandae nikaonane na
Hussein,nimfahamishe kwa kina ugumu uliopo kwa sasa
katika kuufanikisha mpango wetu na kama ikiwezekana
basi
anisubiri na kama hataki kusubiri basi nimrudishie
pesa zake
zote alizotoa.Sintaathirika na chochote kwani tayar
i serikali
ya Marekani imeleta mpango utakaoniingizia fedha ny
ingi
mno kwa hiyo sibabishwi na pesa zake”s akawaza Dr J
oshua.
***************
“ Dr Joshua ni shetani.Najuta kushirikiana na mtu
kama Yule. Nina hakika kabisa anataka kunizunguka n
a
kuchukua pesa zote mwenyewe.No! I wont let him do
that
.Nitapambana naye!! Akawaza Dr Kigomba akiwa garini
kuelekea nyumbani kwa Dr Joshua kufanya kazi aliyot
umwa.
“ Tayari nina mipango mingi mikubwa ya kufanya
baada ya kuzipata zile fedha na kwa hiyo nisipozipa
ta
mipango yangu yote itakuwa imeyeyuka.Hapana siwezi
kukubali hilo.Nimefanya kazi kubwa kuhakikisha jamb
o hili
linafanikiwa lakini leo baada ya pesa kuwasili Dr J
oshua
ananiondoa kimya kimya katika mpango kwa sababu am
bazo
hazina kichwa wala miguu.Anadai eti kuna tishio la
usalama
na eti jaji Elibariki na Rosemary Mkozumi tayari wa
nafahamu
kuhusu mpango huu na kwamba eti wana njama za
kumzunguka na kuuchukua ule mzigo,that’s a big lie
.Najua
lazima kuna kitu kinachoendelea kati yake na jaji E
libariki
.Nitautafuta ukweli” akawaza Dr Kigomba na mara
akakumbuka kitu.
“ Peniela !!..oh my God..Dr Joshua na Penila kumbe
ni wapenzi.Kwa nini hakunieleza kuhusu jambo hili w
akati
ananituma nikamchunguze? Inawezekana kweli Peniela
na
Elibariki wakawa wanafahamiana kwa sababu mambo
ambayo Elibariki alimueleza Dr Joshua ni ya kweli k
abisa.Ni
kweli nilitembea na Peniela na akanipa zawadi ya sa
a ya
mkononi.Lakini je ni kweli saa ile aliyonipa Peniel
a ilikuwa ni
mtego? Ni kweli yeye na wenzake anaowasema Dr Josh
ua
walikuwa wakifuatilia maongezi yangu ya simu?.Dr Jo
shua
amesema pia eti Peniela na Amos walikuwa wanafaham
iana
na kwamba eti walikuwa wanashirikana sijui na kikun
di gani
nimekisahau jina lake.Haya yote ni ya kweli? Akaend
elea
kujiuliza Dr Kigomba.
“ Mmmhhh ! naanza kupata mashaka kidogo kuhusu
huyu Peniela.Lazima kuna kitu kinachoendelea kati
yake na
Elibariki.Nani mkweli k ati yao? Nadhani natakiwa k
uonana
na Elibariki .Anaweza akanipa ukweli .Kabla ya kwen
da
kuonana naye natakiwa kwanza kutafuta mahala Dr Jos
hua
alikompeleka Hussein.Natakiwa kuongea naye kufahamu
kinachoendela kati yake na Dr Joshua na kama
ameshakabidhiwa mzigo wake ama bado.Najua hawezi
kunificha chochote kwani anafahamu mimi na Dr Joshu
a ni
washirika na mimi n diye niliyefanya naye mchakato
mzima
hadi hapa tulipofika.Nitamuonyesha Dr Joshua kuwa
mimi
nina akili zaidi yake.” Akawaza Dr Kigomba
****************
Kareem alirejea toka alikotumwa na Peniela apeleke
mzigo.Akagonga mlango wa chumba cha Peniela
,ukafunguliwa akakaribishwa ndani
“ Kazi yako nimeifanya ,nimeufikisha mzigo salama
na nimepewa mzigo huu nikuletee” akasema Kareem
akamkabidhi Peniela bahasha nzito akaifungua na kuk
uta
simu.
“ Mathew anasema umpigie” akasema Kareem
“ Ahsante sana Kareem,nashukuru k wa msaada
wako” akasema Peniela
“ Vipi kuhusu malipo yangu? Akauliza Kareem,Peniel
a
akamtazama na kusema
“ Do you want it now?
“ Yes now” akajibu Kareem
“ Ouh Kareem huwezi k usubiri baadae?
“ Hapana Peniela,hakuna muda wa kusubiri
zaidi.Nahitaji sasa hivi.Si unajua mimi huwa ni mt
u wa
shughuli nyingi” Akasema Kareem .Peniela hakuweza k
ukataa
kwani yalikuwa ni makubaliano yao kwamba Kareem ape
like
mzigo u le kwa Mathew na atakaporudi atapewa penzi.
Tayari
mwili wa Kareem ulikuwa unamsisimka,Peniela akavua
nguo
wakapanda kitandani na Kareem akapewa alichokihitaj
i
*****************
Dr Kigomba aliwasili katika nyumba ya Dr Joshua
akiwa na wahudumu toka katika hoteli moja kubwa jij
ini Dar
aliowakodisha kwa ajili ya kufanya maandalizi kama
alivyoelekezwa na Dr Joshua.Alifunguliwa geti na as
kari
wawili wenye silaha waliokuwa wakilinda nyumba ile
akashuka garini na kuelekea moja kwa moja katima ml
ango
wakungilia sebuleni akakinyonga kitasa mlango u
kafunguka,sebuleni hakukuwa na mtu
“ Peniela !! akaita Dr Kigomba lakini
hakujibiwa.Akawaelekeza wale wahudumu wamsubiri pal
e
sebuleni akaelekea katika upande wa vyumba vya kul
ala na
mara akasikia sauti kama za miguno ya kimahaba,akas
imama
na kusikiliza kwa makini akidhani labda kuna mtu n
dani ya
nyumba ile alikuwa anatazama filamu ya ngono lakini
kwa
namna alivyosikia haikuwa ni sauti za kutoka katika
filamu.Akaanza kufuatilia sauti zile zilitoka katik
a chumba
gani akakipata chumba ambacho sauti zile zilitoka.T
aratibu
Dr Kigomba akakinyonga kitasa cha mlango wa kile ch
umba
ambao haukuwa umefungwa akaufungua na kukutana na k
itu
kilichomstua sana.Kareem alikuwa juu ya kifua cha P
eniela
wakiwa watupu wakifanya mapenzi.Kwa sekude kadhaa
alikosa cha kufanya akabaki amesimama akiwatazama.
Peniela alikuwa wa kwanza kugundua kwamba kuna
mtu amesimama anawatazama akamsukuma Kareem na
kuinuka
“ Kigomba? Akauliza Peniela kwa mshangao
“ What are you doing here? Akauliza Peniela
Dr Kigomba hakujibu itu akawatazama kwa macho
makali yaliyochanganyika na tamaa kwa kumuona Penie
la
akiwa mtupu.Kareem mwili ulimtetemeka,haraka haraka
akavaa nguo zake
“ What is the meaning of this Peniela?? Akauliza D
r
Kigomba
“Dr Kigomba please let us talk about this” akasema
Kareem aliyekuwa anatetemeka kwa woga akamvuta Dr
Kigomba nje ili waongee.
“ Dr Kigomba let me exlain......”
“ No Kareem you have nothing o
explain.Nimeshuhudia kila kitu kwa macho yangu mawi
li.Kwa
nini umefanya hivi Kareem wakati rais anakuamini ki
asi hiki?
Unadhani rais akifahamu hiki unachokianya atakuchu
kulia
hatua gani?Akauliza Dr Kigomba kwa ukali
“ Dr Kigomba naomba unisikilize mzee wangu.Najua
uko karibu sana na rais naomba tafadhali usimueleze
chochote kuhusu suala hili.Nakuomba mzee wangu nisa
idie
kwa hilo” akaomba Kareem.Dr Kigomba akamtazama na
kusema
“ Dr Joshua anampenda mno Peniela na endapo
atafahamu mchezo mnaoufanya atakufinyanga ndani y
a
chungu.Kwa kuwa umeomba sana sintomwambia chochote
ila kuna kitu nataka unifanyie”
“ Sema chochote Kigomba nitakufanyia” akasema
Kareem
“ Leo Dr Joshua atakwenda katika hoteli Fulani
kuonana na mtu Fulani.Hii ni safari binafsi na hai
ku katika
ratiba ya sughuli za leo za rais.Nataka utafute ni
hoteli gani
anakwenda na anakwenda kuonana na nani yuko chumba
namba ngapi.Nataka taarifa hii kabla ya saa saba le
o
mchana.Tumeelewana?
“ Ndiyo mzee nitakufanyia hiyo kazi.Ila tafadhali
naomba usikiuke makubaliano yetu mzee”
“ Usiogope Kareem,fanya nilivyokuagiza ,now go !!!
akasema Dr Kigomba na kuingia tena chumbani akamkut
a
Peniela akiwa bado amejilaza kitandani akiwa na ngu
o za
ndani pekee.Mwili ukamsisimka kama umepitiwa na cha
ji za
umeme
“ Hallow Kigomba.I’m glad to see you ila umekuja
wakati mbaya.Next time usiingie ndani ya chumba cha
mtu
bila kubisha hodi” akasema Peniela huku
akitabasamu.hakuwa na hata chembe ya wasi wasi
“ Peniela why are you doing this? Akaulza Kigomba
“ Doing what?
“ kwa nini hukunieleza mapema kama wewe na Dr
Joshua mna mahusiano?
“ Kigomba hayo ni mambo yasiyokuhusu.Nilikupa
penzi ukaridhisha nafsi yako kwa hiyo mambo mengin
e
yaache kama yalivyo usiyaingilie” akasema Peniela k
wa ukali
“ Nini umefuata hapa Kigomba? Sema shida yako
haraka undoke!! Peniela akaendelea kufoka
“ Dr Joshua atakutana na wageni wake hapa usiku wa
leo hivyo nimekuja kufanya maandalizi”
“ Wageni gani?
“ Ni wageni wake binafsi
“ sawa.nenda kaendelee na maandalizi.Nahitaji
kupumzika”
“ Peniela I need to talk to you” akasema Kigomba
 
SEHEM YA 9

Jacob.Tena nimekumbuka kitu Dr Kigomba yuko hapa
ngoja nimuulize kama anamfahamu Abel Mkokasule”
“ Kigomba yuko hapo”
“ Ndiyo yupo hapa.Ametumwa na Dr Joshua kuja
kufanya maandalizi jioni ya leo atakuwa na wageni
wake hapa”
“ Ni wageni gani hao?
“ Bado siwafahamu ni akina nani”
“ Ok find out who are they.Halafu jambo lingine ni
kuhusiana na namna ya kuonana na Deus Mkozumi.Ulise
ma
kwamba wewe ndiye utakayekwenda kuonana naye,kwa
kuwa Dr Joshua amekuzuia usitoke humo ndani tutafan
ya
nini?? Tutaonana vipi na Deus?
“ Hilo si tatizo Mathew.Bado tunayo nafasi ya
kwenda kuonana naye.Dr Joshua atakuja hapa jioni kw
a hiyo
mchana huu ninayo nafasi ya kuweza kutoka.Mathew
tusipoteze muda ngoja nimfuate Kigomba nimuulize ka
ma
anamfahamu Abel Mkokasule” akasema Peniela na kukat
a
simu akavaa suruali na fulana nyepesi akatoka akamf
uata
Kigomba aliyekuwa amesimama na wahudumu wale wa
hoteli wakijadiliana mambo,akamuita na bila kupotez
a muda
Kgomba akamfuata
“ Kigomba samahani kwa maneno nilyokutamkia
muda mfupi ulopita”
“ Sema unachokitaka Peniela” akasema Dr Kigomba
ambaye alionekana kutohitaji maongezi marefu na Pen
iela.
“ Dr Kigomba najua huhitaji maongezi na mimi lakin
i
kuna jambo moja la maana sana nililokuitia
hapa.Unamfahamu mtu anayeitwa Abel Mkokasule?
Dr Kigomba akastuka
“ Abel Mkokasule? Umemfahamuje?
“ Niambie unamfahamu?
“ Ndiyo .Kwa nini unataka kumfahamu?
“ Una mahusiano yoyote na huyo Abel?
“ Hapana sina mahusiano naye.Kwani vipi Peniela?
“ Anafanya kazi gani Abel? Ana mahusiano yoyote na
Dr Joshua?
“ Abel anafanya kazi katika idara ya usalama wa
taifa,ni mtu anayeripoti kwa rais,kwani vipi? Kafan
ya nini
Abel?
“ sasa nisiklize Kigomba,nahitaji kukusaidia.Kwan
za
nataka n iweke wazi jambo moja,ni kweli mimi na Dr
Joshua
tuna mahusinao ya muda mrefu lakini kama unavyonio
a
mimi ni msichana na ninahitaji kijana mwenye nguvu
za
kuniridhisha kuliko Yule mzee ambaye hanifikishi ko
kote.Hii
ni sababu iliyonifanya nikakukubali wewe na hata
Kareem.Tuachane na hayo,jana usiku nilikuwa na Dr J
oshua
hapa ndani,wakati amelala simu yake ikaita nikataza
ma
mpigaji alikuwa ni Abel Mkokasule nikamuamsha Dr Jo
shua
akaipokea.Nilikuwa karibu naye hivyo nikayasikia
mazungumzo yao ya mwanzo,Abel alimwambia Dr Joshua
kwamba amempigia simu usiku ule ili kumfahamisha
kuhusu
wewe na Jacob Kateka.Dr Joshua hakutaka nisikilize
maongezi yao akaenda kujifungia chooni Kwa hiyo Dr
Kigomba nahitaji kufahamu huyu Abel Mkokasule ni na
ni kwa
Dr Joshua? Ana mipango gani na Dr Joshua dhidi yenu
? Huu
Jacob Kateka pia ni nani?
Dr Kigomba alibaki ameduwaa kama mtu
anayetazama filamu ya kutisha,alikosa neno la kusem
a
“ Dr Kigomba!! Peniela akaita
“ niambie huyu Abel Mkokasule ni nani hasa?
“ Anaongoza idara ya siriya usalama wa ndani wa
taifa ambayo iko chini ya rais.”akasema Kigomba
“ Jacob kateka na ye ni nani? Akauliza Peniela
“ Jacob Kateka ni mkuu wa idara ya usalama wa
taifa.Oh my God he was following us..Amemtumia Abel
kutufuatilia.He killed Jacob!!!........He killied h
im
!!.......akasema Dr.kigomba na kuketi kitandani.
“ Jacob is dead ?akauliza peniela.Dr kigomba
akamtazama na kusema
“ jana usiku nilikuwa na Jacob katika klabu moja n
a
baadae tukaachana....” Dr Kigomba akashindwa kuendele
a
akavuta pumzi ndefu
“ Take a deep breath Kigomba!! Peniela akamwambia
Kigomba
“ Ikawaje baada ya kuachana na Jacob?
“ Nimepigiwa simu saa kumi za alfajiri kwamba Jac
ob
amepata ajali mbaya sana na hali yake ni mbaya,nika
enda
haraka hspitali lakini tayari alikwisha kufa” Kigo
mba akasema
kwa uchungu huku macho yake yakionyesha kulengwa na
machozi
“ He was following you ! Abel alitumwa na D Joshua
kuwafuatilia wewe na Jacob.Ninavyofahamu mimi wewe
na
Dr Joshua ni watu wa karibu sana what rea happened?
Kwa
nini akufuatilie? Akauliza Peniela.Dr Kigomba hakuj
ibu kitu
akainama akatafakari halafu akainuka na kutoka mle
chumbani bila kuongea chochote.Alipofika sebuleni
akakutana na Kareem
“ Dr Kigomba tayari nimepata ulichokuwa
unakihitaji.Hivi sasa Dr Joshua amekwenda Samawati
beach
hotel.Amekwenda kuonana na mtu aitwaye Hussein Abdu
llah
Al Nassor ambaye chumba chake ni presidential suit
Namba
6”
“ Una hakika na taarifa hizi? Akaulizia Dr Kigomba
“ Ndiyo Kigomba.Taarifa hizi ni kutoka kwa mtu
ambaye yuko na rais hivi sasa huko hotelini”
“ Ok thanks.!!akajibu Kigomba na kutoka kwa kasi.
Baada ya kigomba kutoka Peniela akachukua simu na
kumpigia Mathew
“ Mathew Abel Mkokasule anafanya kazi kitengo cha
siri cha usalama wa ndani wa taifa kilicho ndaniya
idara ya
usalama wa taifa.kwa mujibu wa Kigomba Jacob ni mku
u wa
idara ya usalama wa taifa na usiku wa jana alikuwa n
aye
katika klabu moja ya usiku na leo asubuhi Jacob is
announced
dead.Alipata ajali mbaya ya gari iliyoua wote walio
kuwamo
humo garini” akasema Peniela
“ Kwa taarifa hiyo ninapata picha kwamba Dr Joshua
is spying on Kigomba and Jacob,but why ?? Kwa jinsi
ninavyofahamu Kigomba na Dr Joshua ni washirika wak
ubwa
na hainiingii akilini kwa nini Dr Joshua amtumie Ab
el
kumfuatilia Kigomba? Hapa lazima kuna kitu kinaende
lea
.Kitu kingine ni wazi Jacob ameuawa kwa amri ya Dr
Joshua
lakini kuna kitu gani kilichopelekea auawe? Tunatak
iwa
tufahamu sababu na vile vile tunatakiwa kumfahamu h
uyo
Abel Mkokasule.Tutapata mengi kupitia kwake.Kwa sas
a
tutafute namna ya kuonana na Deus Mkozumi”
“ Sawa Mathew,ngoja nimtumie Kareem kuzipata
namba za simu za Deus Mkozumi niwasiliane
naye.Nitakujulisha hivi punde kama nitafanikiwa ili
kama
nikizikosa basi tutafute namna nyingine ya kufanya”
akasema
Paniela na kukata simu akamfuata Kareem
“ Whats wrong with Kigomba? Akauliza Kareem
“ Achana na huyo mzee mjinga.Kareem kuna kitu
nataka unisaidie ambacho kiko ndani ya uwezo wako”
“ Unataka nikusaidie nini Peniela?
“Nataka unisaidie nipate namba za simu za Deus
Mkozumi”
“ Deus Mkozumi? Akauliza Kareem kwa mshangao
“ Unafahamiana naye?
“ Ni rafiki yangu sana,nitafutie namba zake tafadh
ali”
“ sawa nitautafutia but in exchange for what?
“ Oh ! Kareem usijali utakipata unachokitaka”
akasema Peniela
“ Sawa peniela safari hii lazima tuwe makini sana
tusijekutwa na Yule mwanga.Nipe dakika tatu nikule
tee hiyo
namba” akasema Kareem na kutoka nje.
Baada ya dakika tano akarejea na kumpatia Peniela
namba za simu za Deus Mkozumi
“ You are so fast Kareem”
“ Mimi ni mlinzi wa rais ninafahamiana na watu
wengi kwa hiyo ni rahisi kwangu kupata taarifa yoyo
te
niitakayo” akasema Kareem
“ Ahsante Kareem” akasema Peniela na kumfanyia
Kareem ishara atoke nje halafu akaziandika namba za
simu za
Deus katika simu yake na kumpigia
“ Hallow” ikaita sauti ya upande wa pili ambayo
Peniela aliitambua ilikuwa ya Deus Mkozumi
“ Hallow Deus” akasema Peniela
“ Ninaonge ana nani tafadhali?
“ C’mon Deus ,you are getting old these
days.Umeshindwa kuitambua sauti hii?
“ Nikumbushe tafadhali”
“ Unaongea na Peniela”
“ Ouh Peniela..How are you pretty angel “
“ I’m ok Deus.Vipi wewe unaendeleaje?
“ Hata mimi naendelea vizuri sana.Mbona umekuwa
kimya hivyo?
“ Nimetingwa na mambo mengi sana Deus na ndiyo
maana umeona nimekuwa kimya sana”
“ Nimefurahi kuisikia tena sauti yako Peniela”
“ Me too Deus” akajibu Peniela
“ So Peniela whats the reason for calling? Najua
huwezi kunipigia simu hivi hivi lazima una tatizo”
Peniela akacheka kidogop na kusema
“ Ni kweli Deus nina shida ndogo”
“ Shida gani Peniela? Sema haraka nikutatulie”
“ Nahitaji kuonana nae”
“ Lini? Akaulizia Deus
“ leo hii”
“ Kwa leo haitawezekana Peniela.Hivi ninavyongea
nawe niko katika maandalizi ya kumpokea mwanangu
anayekuja leo kutokea afrika ya kusini kwa hiyo sin
takuwa na
nafasi labda tupange siku nyingine.” Akasema Deus M
kozumi
“ Deus nina jambo la muhimu mno la kuzungumza
nawe ambalo haliwezi kusubiri hadi siku nyingine.”
“ Haitawezekana Peniela.Nitakufahamisha
nitakapokuwa na nafasi lakini leo kama nilivyokuele
za nina
mapokezi ya mwanangu kwa hiyo sintakuwa na nafasi
kabisa
“ akasema Deus na kukata simu
“ Deus Mkozumi ni mtu muhimu mno katika mipango
yetu lakini tatizo ni kwamba hatutaweza kupata kati
ka muda
tunaoutaka sisi.Ni yeye pekee anayeweza kutupa mael
ekezo
ya kukifikia kirusi Aby...Ngoja nimtaarifu Mathew,we
must
find a way...” akawaza Peniela na kumpigia simu Mathe
w.
“ Peniela umefanikiwa? Akauliza Mathew baada ya
kupokea simu
“ Nimefanikiwa kupata namba za simu za Deus
,nimempigia nikamfahamisha kwamba nataka kuonana na
ye
leo hii lakini akadai hana nafasi kwani yuko katika
maandalizi
ya kumpokea mwanae anayewasili leo.Nimeshindwa kabi
sa
kumshawishi akubali kuonana nami.What are we going
to
do? akasema Peniela
“ Ok tumpe nafasi.Nina hakika kabisa endapo atapat
a
nafasi nzuri lazima atakujulisha tu.Kwa sasa endele
a kubaki
humo ndani ila uwe katika tahadhari kubwa.Endelea k
ufanya
uchunguzi Dr Joshua anautana na akina nani.Nina hak
ika
watu anaokutana nao kuna jambo la siri wanaongea na
ndiyo
maana amechagua akutane nao hapo katika nyumba
yake.Sisi tunamsubiri Anna alinitaarifu kwamba atak
uja muda
si mrefu ili tuone naye kwa upande wake amegundua
nini.Muda wowote ukipatwa na tatizo lolote nitaarif
u haraka
bila kuchelewa”
“ Usihofu kuhusu mimi Mathew I’m fine here.Dr
Joshua tayari yuko katika kiganja cha mkono wangu n
a
hanisumbui hata kidogo.Kitu kingine naomba msisaha
u
kulifungua hilo kasha na kutazama kilichomo ndani”
“ Sawa Peniela tutafanya hivyo.Tutakutaarifu kila
hatua tunayochukua” akasema Mathew na kukata simu
akatazamana na Anitha
“ Nini hatua inayofuata? Akauliza Anitha
“ Ngoja tumsubiri Anna tujue kama alifanikisha lil
e
zoezi tulilompa .Tunatakiwa kutafuta namna ya kumfa
ya Dr
Joshua ashidwe kufanya majukumu yake kwa wakati
tunaosubiri Peniela aweze kuonana na Deus Mkozumi.”
Akasema Mathew
“ Mathew una hakika Deus Mkozumi atakuwa tayari
kumueleza Peniela namna ya kukipata kirusi ? akauli
za Anitha
“ Wakati wa uongozi wake Deus Mkozumi alikilinda
kirusi Aby kama mboni ya jicho lake na amekuwa mpin
zani
mkubwa wa Dr Joshua baada ya kupata tetesi kuwa ana
taka
 
SEHEM YA 10

kunificha chochote.Nilimuuliza kwa nini alifikia ma
amuzi ya
kuwasaliti wenzake na kwenda kutoa siri zote Kwa Dr
Joshua
na hivyo kuvuruga kila mlichokuwa mmekipanga,akanij
ibu
kwamba alifanya vile baada ya kutafakari kwa kina j
uu ya
mustakabali mzima wa maisha yake na njia pekee aliy
oona
inafaa ni kwa kurejea kwa Dr Joshua na kumuomba msa
maha
na ili baba aweze kumsamehe alilazimika kumueleza u
kweli
wa kila jambo.Nilimuuliza tena baada ya kumueleza D
r
Joshua siri zote amekipata alichokuwa anakitaka? Ak
anijibu
ndiyo amekipata na hata zaidi ya alivyotegemea kwan
i Dr
Joshua amemuahidi kwamba atampigania ili awe rais w
a
Tanzania baada ya yeye kumaliza muda wake”
“ What ? !!..This is insane” akasema Anitha na wot
e
wakacheka
“ Msicheke .This is a serious issue.Dr Joshua
amefurahi sana kwa Elibariki kumfumbua macho kuhusu
kilichokuwa kinaendelea nyuma ya pazia ambacho haku
wa
anakifahamu na ndiyo maana amemuona Elibariki ni mt
u
anayefaa kushika nafasi ya urais.Baba anamaliza mud
a wake
wa uongozi kwa hiyo anatafuta mtu ambaye atamuachia
madaraka ambaye atakuwa mtiifu kwake na ambaye
ataendelea kumficha madhambi aliyoyafanya wakati w
a
uongozi wake” akasema Anna.Mathew akatafakari kido
go na
kusema
“ Siamini kama Elibariki amefikia hatua hii.Usalit
i
alioufanya ni mkubwa sana na siku moja
ataulipia.Nawahakikishieni Anna na Anitha kwamba hi
cho
anachokitaka Elibariki katu hakiwezi kufanyika.Dr J
oshua
anamfahamu Elibariki ni msaliti kwa hiyo hawezi ku
mpa
nafasi hiyo kubwa.Elibariki amefanya kosa kubwa mn
o katika
maisha yake na ninawahakikishieni kwamba siku moja
litamgharimu” akasema Mathew na wote wakawa kimya
“ Ok tuachane na hayo ya Elibariki.Ulifanikisha ul
e
mpango wetu? Mathew akamuuliza Anna
“ Hapana nilishindwa kuufanikisha ule mpango wetu
kwani baba hakurejea nyumbani jana na leo asubuhi
nilipoonana naye hatukuweza kuelewana.Nawaahidi
nitafanya kila linalowezekana hadi nifanikishe jamb
o hili.Vipi
ninyi kwa upande wenu mlifanikiwa kuonana na Yule m
tu
ambaye anaweza kuwaelekeza mahala kilipo kirusi Aby
?
“ Hapana bado hatujafanikiwa.Mtu tuliyetegemea
kuonana naye ili atupe maelekezo mahala kilipo kiru
si Aby
amepata udhuru na hatutaweza kuonana naye kwa siku
ya
leo hadi kesho kwa hiyo bado iko nafasi ya kuutekel
eza ule
mpango wetu.Dr Joshua anatakiwa kuwa kitandani kwa
siku
kama mbili ili mpango wetu u fanikiwe na njia pekee
ya
kulifanikisha hilo ni kwa kumuwekea ile dawa
niliyokuelekeza.Atasumbulwa na tumbo la kuhara hali
itakayomlazimu alale kitandani na hatajishughulisha
na
jambo lolote na hivyo kutupa sisi nafasi ya kukichu
kua kirusi
Aby.” Akasema Mathew
“ Nitajitahidi kufanya kila linalowezekana hadi
nifanikiwe.Mathew huwezi kujua kiu yangu ya kutaka
kuona
namna baba na mtandao wake watakavyokutana na rungu
la
sheria.Baba yangu ana roho mbaya ya kishetani.Amechu
kua
kila kitu kizuri kwangu kiasi kwama najiona ni mtu
nisiye na
thamani yoyote katika dunia hii” akasema Anna
“ Usiseme hivyo Anna.Wewe bado ni mtu mwenye
thamani kubwa.Mambo aliyoyafanya baba yako yasikufan
ye
ujione huna thamani.Nakuahidi nitafanya kila linalo
wezekana
na Dr Joshua pamoja na mtandao wake wote lazima
wakutane na rungu la sheria.Nakuahidi siku si nyin
gi toka
sasa kila aliyetenda uovu lazima atalipa.Kitu kikub
wa cha
msingi ni kufuata maelekezo nitakayokupa.lakini kam
a
nilivyokufahamisha awali kuwa suala hili ni la hata
ri kubwa
na hata wewe waweza kujikuta katika hatari kubwa.I
cant
forgive myself if anything bad happens to you Anna”
akasema Mathew na kumfanya Anna atabasamu
“ Usihofu Mathew I’ll be fine. Mathew kilichonilet
a ni
kukupa hizo taarifa sasa naomba niondoke.After wha
t
you’ve been through ,you two need to spend some ti
me
with each other” akasema Anna na kwa mara ya kwanza
akamuona Mathew akitabasamu
“ Nani kakwambia sisi ni wapenzi?
“ Kareem alinieleza hivyo”
“ Alikudanganya ,sisi si wapenzi ni marafiki wa
kawaida tu” akasema Anitha
“ Ok guys I’ll be going now.Tutawasiliana baadae”
akasema Anna huku akitabasamu .Mathew akamsindikiza
hadi katika gari akamfungulia mlango akaingia na ku
ondoka
“ Mhh !! kwa mara ya kwanza ukikutaa na Anna picha
unayoipata ni msichana mwenye kiburi,dharau na hasi
ra
lakini ukikaa naye kwa muda mfupi mkazoeana utagun
dua ni
msichana wa tofauti kabisa.Amebarikiwa uzuri wa kip
ekee na
hata anapotabasamu dah ! mwili lazima ukusisimke.Ki
kubwa
zaidi kinachonivutia kwa huyu binti ni ujasiri alio
nao.Sijawahi
kukutana na mtu ambaye yuko tayari kumtia hatiani b
aba
yake mzazi.Kwa hili anastahili kulindwa.Kama nilivy
oahidi
kumlinda Peniela huyu naye nitafanya kila niwezalo
kumlinda
kwani kitu anachokifanya ni cha hatari kubwa” akawa
za
Mathew wakati akirejea ndani
***************
“ Alichonieleza Peniela ni kitu cha kweli.Ni wazi
Dr
Joshua ndiye aliyetoa maelekezo ya kumuua Jacob
Kateka.Namini kabisa Dr Joshua ananifuatilia na ana
mtumia
Abel kunichunguza.Sasa nimemini Dr Joshua ni kweli
ana
ajenda ya siri na nia yake kubwa ni kuniondoa kati
ka ule
mpango wa kukiuza kirusi na azimiliki pesa zote pek
e
yake.Sintokubali kitu kama hicho kitokee.Tumeshirik
iana toka
mwanzo na mimi ndiye niliyesimamia mchakato mzima h
adi
fedha ikapatikana na siwezi kukubali kuenguliwa kat
ika hatua
za mwisho.Hapa ni aidha tugawane au tukose wote.I s
wear
I’ll fight for my right..Kumuua Jacob hakuwezi niog
opesha
hata kidogo wala kunirudisha nyuma.Nitapambana na D
r
Joshua hadi mwisho..Kwa sasa ngoja niende kwa jaji
Elibariki
ili nijue kuna ajenda gani kati yake na Dr Joshua n
a vile vile
nataka kumfahamu vizuri Peniela.Jaji Elibariki anao
nekana
kumfahamu Peniela vizuri.Ninahisi yule mwanamke ana
ajenda yake ya siri na lengo lake kubwa lazima lita
kuwa ni
kukipata kirusi.Kama lengo lake ni hilo basi itakuw
a rahisi
kwangu kukipata kwa kumtumia yeye.” Akaendelea kuwa
za
Dr Kigomba akielekea nyumbani kwa jaji Elibariki
Macho ya jaji Elibariki yalikuwa mekundu na
haikuhitaji taaluma kubwa kugundua kuwa alikuwa
ametumia kilevi kikali.Toka aliporudi nyumban baada
ya
kumalizika kwa shughuli za msiba alikuwa akitumia p
ombe
kali kuondoa mawazo aliyokuwa nayo.Ndugu jamaa na
marafiki walikuja kumjulia hali na kumpa pole.Baada
ya
kuwasindikikza rafikize wawili waliofika kumpa pole
alireje
asebuleni akajilaza sofani.Kichwa chake kilijaa maw
azo
mengi.Alitafakari kuhusu maisha yake na namna
atakavyoyaanza maisha mapya.Akiwa bado katika
tafakari,mlango ukagongwa akainuka na kwenda kuufun
gua
,alikuwa ni mlinzi wake ambaye alimtaarifu kuwa ku
na
mgeni yuko getini anaitwa Dr Kigomba
“ Kigomba??.. jaji Elibariki akamuuliza askari Yul
e
“ Ndiyo,amejitambulisha hivyo”
Jaji Eliariki akatafakari kidogo halafu akamwambia
mlinzi amruhusu aingie
“ Kigomba amekuja kutafuta nini? Mimi na yeye
hatuna mahusiano yoyote ,anatafuta nini hapa? Amet
umwa
na Dr Joshua? Akawaza jaji Elibariki
Gari la kigomba likaingia ndani akashuka na kumkut
a
jaji Elibariki anamsubiri
“ Mheshimiwa jaji!! Akasema Dr Kigomba huku
akimpa mkono jaji Elibariki ,wakasalimiana na kuin
gia
sebuleni.Elibariki akammiminia Dr Kigomba mvinyo ka
tika
glasi
“ Karibu sana Dr Kigomba.Sikutegemea kabisa kama
ungeweza kunitembelea”
“ Usemayo ni ya kweli Mr jaji.Mimi na wewe hatuna
mazoea ya karibu sana lakini yawezekana kuanzia leo
tukawa
ni watu wa karibu”
“ Usijali Dr Kigomba ,karibu sana” akasema jaji
Elibariki halafu ukimya wa sekunde kadhaa ukatanda
.Dr
Kigomba akagugumia mvinyo wote uliokuwamo katika gl
asi
na kusema
“ jaji Elibariki nimekuja kwako kuna mambo mawili
au matatu ya msingi yaliyonileta hapa” akanyamaza k
idopgo
halafu akaendelea
“ Jambo la kwanza lililonileta hapa ni kukupa pole
kwa msiba mzito uliokupata .Sote tumeguswa na msiba
huu.Flaviana alikuwa ni kama mwanangu.Tunakuombea
uweze kupata nguvu za kuhimili kipindi hiki kigumu”
akasema
Dr Kigomba
“ Shetani mkubwa huyu,anajifanya kunipa pole
wakati ni yeye ndiye aliyeandaa shambulio lililosab
abisha
mke wangu akapigwa risasi.Natamani nimpasue na h ii
chupa
lakini ngoja niwe mvumilivu nimsikie kilichomleta h
uku.”
Akawaza jaji Elibariki huku akimtazama Dr Kigomba k
wa
hasira
“ Jambo la pili” Dr Kigomba akaendelea
“ Dr Joshua amenieleza kwa kirefu kuhusu wewe na
kila kilichotokea.Natumai una fahamu kila kinachoen
delea
kati yangu na Dr Joshua.Sisi ni washirika wakubwa n
a kila
anachokifanya yeye basi hunishirikisha na mimi
pia.Ninakupongeza sana kwa uamuzi wako wa kijasiri
wa
kuamua kurejea kwa Dr Joshua na kumueleza ukweli wa
mipango yote inayopangwa dhidi yake au dhidi yetu k
wa
sababu sisi hufanya kazi pamoja.You are now one of
us kwa
hiyo karibu sana” akasema Dr Kigomba akanyamaza ki
dogo
akamimina mvinyo katika glasi na kuendelea
“ pamoja na kukupongeza kwa ulichokifanya lakini
nataka vile vile nikuweke wazi kwamba baada ya Dr
Joshua
kufahamu kilichokuwa kinafanyika nyuma ya pazia ame
jenga
ukuta mkubwa kati yake na mimi na ghafla sana yale
mahusiano yetu mazuri yamekatika.Mimi na yeye tuli
anza
mipango hii pamoja na mimi ndiye niliyekuwa nashug
hulikia
kila kitu .Hatimaye mnunuzi alikamilisha malipo na
anachokisubiri hivi sasa ni kupewamzigo wake na tay
ari yuko
hapa nchini kukichukua kirusi hicho lakini mara tu
ulipomueleza Dr Joshua yale mambo ,amebadilika na
amenieleza kwamba anasitisha mipango yetu yote hadi
hapo
baadae eti kwa kitisho cha usalama.Hakukuwa na sab
abau
yoyote ya kuahirisha mpango wetu kwani kilichokuwa
kinasubiriwa ni kumkabidhi Hussein mzigo wake lakin
i
kilichotokea Dr Joshua akamuhamisha Hussein toka ho
teli
aliyofikia ambayo nilimtafutia mimi lengo likiwa ni
kuniengua
katika mpango na nisifahamu chochote
kinachoendelea.Kama vile haitoshi fedha tayari tuli
kuwa
tumelipwa na zikaingizwa katika akaunti yake ya sir
i iliyoko
nje ya nchi,zilihamishwa zote haraka sana katika ak
aunti
nyingine bila ya mimi kufahamu.Kwa ufupi ni kwamba
Dr
Joshua amenigeuka katika hatua hizi za mwishoni na
lengo
lake ni ili azimiliki pesa zote peke yake.jambo hi
li
limenisikitisha sana” akanyamaza kidogo halafu akae
ndelea
“ jaji Elibariki nimekuja kukuomba kitu kimoja.Nat
aka
mimi na wewe tuwe washirika,tuunganishe nguvu ,tuwe
kitu
kimoja ili tukipate kirusi kile ambacho tutakiuza
kwa
mabilioni ya fedha.Tunatakiw a kukipata kabla Dr Jo
shua
hajamkabidhi Hussein.Tukifanikiwa kukipata kirusi h
icho ni
utajiri mkubwa mno kuliko hata kuwa na mgozi wa
madini.Nakuhak......”
“ Stop that Kigomba ..!!!” Jaji Elibariki akamkati
sha Dr
Kigomba
****************
Ndani ya hoteli kubwa ya nyota tano ya Samawati
beach hotel,Dr Joshua alikuwa na maongezi ya faragh
a na
mgeni wake Hussein Abdullah Al Nassor.Maongezi yali
kuwa
mazito kiasi kwamba Dr Joshua alijikuta akifuta jas
ho mara
kwa mara.Kuna nyakati Fulani walionekana kushindwa
kuelewana na Hussein akainuka kwa hasira lakini Dr
Joshua
akamtuliza na maongezi yakaendelea
Wakati maongezi yakiendelea simu ya Dr Joshua
ikaita,alikuwa ni Abel Mkokasule.Akasogea pembeni k
idogo
ili aweze kuipokea
“ Hallow Abel” akasema Dr Joshua
“ Mzee,kuna taarifa nimeipata sasa hivi toka kwa
vijana wangu niliowaweka kumfuatilia Dr Kigomba”
“ Ndiyo Abel,kuna taarifa gani? Akauliza Dr Joshua
“ Dr Kigomba ameonekana akiingia nyumbani kwa jaji
Elibariki”
“ What ??..Amekwenda kwa Elibariki? Akauliza Dr
Joshua kwa mshangao
“ Ndiyo mzee”
“ Oh my God !! Huyu jamaa hakati tamaa
kabisa.Nilimuondoa Jacob ili kumzuia asiendelee na
mipango
yake ya chini chini dhidi yangu lakini anaonekana b
ado ana
kiu na ile fedha .Sasa wakati wake umefika ,kuendel
ea
kumuacha hai huyu jamaa ni kujitafutia hatari.Hili
ni jipu na
tayari limeiva kwa hiyo lazima litumbuliwe haraka.I
have to
take him down immediately.Hii ni nafasi pia ya kumu
ondoa
jaji Elibariki kwani sina kazi naye tena.Ni kijana
shenzi mno...”
akawaza Dr Joshua
“ Hallow Abel naomba unisikilize vizuri” akasema D
r
Joshua
“ Nakusikiliza mzee.”
“ Huyu Kigomba amekuwa akipanga njama za chini
chini dhidi yangu.Kuna mipango mibaya sana anaisuka
kwa
siri akiwatumia watu wangu wa karibu.Alianza na Jac
ob na
sasa amefika kwa Elibariki.Nataka ufanye kitu kimoj
a haraka
sana,Kill them all,umenielewa Abel?
“ Nimekuelewa mzee”
 
SEHEM YA 11

“ Peniela na Dr Joshua wana mahusiano ya kimapenzi

“ Ninalifahamu hilo lakini tayari mapenzi yao
yamekufa tayari.Dr Joshua baada ya kumfahamu vizuri
Peniela hataki tena kumuona katika maisha yake na h
ivi
tunavyoongea anamtafuta sana yeye na wenzake akina
Mathew.”
“ You are wrong Elibariki.Peniela na Dr Joshua wak
o
pamoja na tayari Peniela amekwisha mlisham maneno
mabaya Dr Joshua juu yako na kumfanya Dr Joshua
akuchukie ghafla “
“ Peniela ?? Amemwambia nini Dr Joshua?
“ Amemwambia kwamba yale yote uliyomueleza
kuhusu yeye ni ya uongo na kwamba wewe unamtaka
kimapenzi na alipokukatalia ukambaka na ukamtishia
kumuua endapo atamueleza Dr Joshua.Akaenda mbali za
idi
akasema kwamba wewe na Rosemary Mkozumi mna
mipangoya siri ya kumzunguka Dr Joshua ili kukipata
kirusi
anachotaka kukiuza.Maneno haya yameibadili kabisa t
aswira
yako kwa Dr Joshua na anakuchukia kupita maelezo.”
“ Oh my God..!! That woman is a liar..ow could she
do that?? Jaji Elibariki akahamaki
“ Unafahamu aliko Peniela? Akauliza Elibariki
“ Ndiyo ninafahamu aliko” akajibu Dr Kigomba
“ Twende unipeleke haraka sana ..Nataka
nikamuonyeshe adabu.Nataka nimepeleke kwa Dr Joshu
a na
akakiri uongo wake...Haweze kuniharibia namna hii..Ha
lafu
Dr Joshua kwa nini amemuamini? Twende haraka Kigomb
a
unipeleke aliko Peniela” akasema Elibariki kw aukal
i
“ Elibariki relax...nitakupeleka huko kwa Peniela la
kini
kabla hatujaenda huko naomba kwanza tuongee kuhusu
ule
mpango ulionileta hapa kwako” akasema KIgomba
“ Kigomba tafadhali inuka twende unipeleke kwa
Peniela sitaki kuongea jambo lolote na wewe..Inuka
haraka
twende.” Akasema Elibariki na kumshika mkono Kigomb
a
akamvuta kumtoa nje.
“ Leo atanitambua mimi ni nani..” akasema Elibarik
i
akiendelea kumvuta KIgomba kuelekea katika gari la
Kigomba.Ghafla kukatokea jambo ambalo hakuna aliyek
uwa
amelitegemea.Kijana mmoja aliyekuwa amefunika uso w
ake
aliyekuwa amejificha pembeni ya kontena lililokuwa
karibu
na ukuta akajitokeza akiwa na bastora mbili zilizof
ungwa
viwambo vya kuzuia sauti na kuanza kumvurumishia ri
sasi jaji
Elibarki ambaye alitoa ukulele mkubwa.Dr Kigomba
alaichanganyikiw ana kuanza kukimbia kurudi ndani l
akini
akapigwa risasi ya mkono akaanguka chini.Jaji Eliba
rki
akaanguka chini na Yule jamaa akamfuata pale chini
na
kummiminia tena risasi kisha akanza kupiga hatua
kumuendea Dr KIgomba aliyepigwa risasi ya mkono.Uke
lele
ule aliopiga Jaji Elibariki uliwastua askari waliok
uwa getini
ambao waliigia ndani haraka sana kuangalia kuna nin
i.Yule
kijana aliyekuwa akimuendea Kigomba akastuka alipow
aona
askari wametokea ghafla na kabla hajakimbia akachia
risasi
ambayo ililipungua sikio la KIgomba kisha akakimbia
na mara
juu ya ukuta akaitokeza kijana mwingine ambaye naye
alikuwa ameufunika uso wake akiwa na bunduki aina y
a SMG
akaanza kuwavurumishia risasi wale askari ili kumpa
nafasi
mwenzake ya kuweza kutoka mle ndani. Haraka harak
Yule
mwezake akapanda juu ya kontena akakamata ukuta na
kuruka nje wakapanda piki piki yao na kutoweka.Baad
a ya
watu wale kutoweka askari wakamba msaada wa gari to
ka
katika kituo ch apolisi cha jirani ambalo lilifika
likiwa na askari
zaidi ya kumi .Haraka haraka jaji Elibariki na Dr K
Igomba
wakapakiwa katika gari na kukimbizwa hospitali.
******************
“ Nyakati kama hizi ndipo mtu humkiri Mungu
kwamba ndiye bwana na muumba wa vitu vyote na kwamb
a
ndiye atupaye uhai.Zawadi hii ya uhai aliyotupa an
aweza
akaichukua dakika yoyote aitakayo yeye.Nimenusurika
kifo
kwa namna ya ajabu kabisa.” Akawaza Dr Kigomba akiw
a
amepumzishwa hospitali alikokimbizwa baada ya kujer
uhiwa
kwa risasi na watu wenye silaha nyumbani kwa jaji
Elibariki.
“ huu ni muujiza kwa mimi kubaki hai.Yule jamaa
alidhamiria kabisa kunitoa uhai.Risasi aliyopiga al
idhamiria
kunifumua kichwa lakini ikapita pembeni na kunipuny
ua
sikio.Naamini ni malaika wa Mungu aliyekipindisha
kichwa
changu ili risasi ile isinipate.Mungu ana makusudi
yake kwa
kuniacha hai.Nadhani ni wakati sasa wa kumrudia na
kuachana na maovu yote ninayoyatenda.” Akawaza Dr
Kigomba huku mwili ukimtetemeka alipokumbuka namna
alivyokoswa kufa kwa risasi
“ Naamini kabisa tukio lile ni mojawapo ya njama z
a
Dr Joshua kutakan kuniondoa duniani.Amekwisha dhami
ria
hilo na kilichopo hapa kwa sasa ni vita kati yangu
naye.Atafanya kila aliwezalo hadi ahakikishe
nimekufa.Ameweka watu wa kunifuatilia kila niendako
,anataka kujua ninafanya nini ninakutana na akina
nani.Ananiogopa kwani anajua ninao uwezo wa kusitis
ha
mipango yake yote na ndiyo maana anafanya kila juh
udi za
kunizima.Kwa kuwa amenikosa leo hatanipata tena” Dr
Kigomba akastuliwa mawazoni na mlango uliofunguliwa
wakaingia madaktari watatu wakiwa na wauguzi wawili
pamoja na askari wawili.Madaktari wakampima ili kuj
ua
maendeleo yake
“ Maendeleo yako mazuri Dr Kigomba,jeraha lako si
kubwa lakini tunandelea kukuweka katika uangalizi n
a
baadae tukiridhika kwamba hali yako haina tatizo l
olote
tutakuruhusu urejee nyumbani” akasema mmoja wa wale
madaktari ambaye kitambulisho chake kilionyesha ana
itwa
Dr Stanslaus Wembeli.
“ Dr Samahani naomba kujua hali ya mwenzangu jaji
Elibariki,anaendeleaje? Akauliza Dr Kigomba.Wale ma
daktari
wakatazamana halafu Dr Stanslaus akasema
“ Dr Kigomba,nasikitika kukupa taarifa hizi ambazo
si
nzuri .Jaji Elibariki tayari alikuwa amefariki duni
a kabla hata
ya kufikishwa hapa hospitali.Alipigwa risasi nyingi
kifuani”
Taarifa ile iligonga katika kichwa cha Dr Joshua k
ama
nyundo.Kwa sekunde kadhaa akabaki ameduwaa akiwaza
halafu akasema
“ Samahani daktari naweza kuongea nawe peke
yako? Akaomba Dr Kigomba.Dr Stanslaus akawataka wen
gine
wote mle chumani watoke nje li aweze k uzungumza na
Dr
Kigomba
“ Unasemaje Dr Kigomba? Akauliza Dr Stanslaus
Dr Kigomba akatoa pochi toka mfuko wa nyuma wa
suruali na kutoa noti tano za dola mia mia za kimar
ekani
akampatia Dr Stanslaus ambaye alibaki anashangaa
“ Za nini hizi? Akauliza
“ Za kwako Dokta nahitaji msaada wako”
“ Msaada upi unahiji Dr Kigomba? Akasema Dr
Stanslaus huku akizipokea fedha zile harakaharaka n
a
kuziweka mfukoni
“ Take me out of here immediately.I’m in great
danger.What happened is not a robbery it’s a politi
cs.Wale
wavamizi wakijua nimenusurika watanifuata hadi huku
na
kuniua.Tafadhali naomba unisaidie daktari.Maisha ya
ngu
yako hatarini”
Dr Stanslaus akamtazama kwa wasi wasi
“ Please doctor help me.Take me out of here now “
akaendelea kuomba Dr Kigomba
“ Sawa nitakusaidia ila naamini hunidanganyi kwani
nikibainika kwamba nimekutorosha nitakuwa katika ma
tatizo
makubwa” akasema Dr Stanslaus huku akimsaidia Dr
Kigomba kuvaa shati lake na koti kuficha jeraha kat
ika
mkono wake halafu wakatoka wakiwa wameongozana had
i
nje ya hospitali wakaelekea katika maegesho ya
magari.Hakuna aliyeweza kutilia shaka yoyote kuwa D
r
Kigomba alikuwa anatoroshwa.
“ Hapo nje ya hospitali kuna taksi nyngi huwa
zinaegeshwa ,utachukua moja na kuondoka mahala hapa

akasema Dr Stanslaus
“ Ahsante sana dokta kwa kuniokoa” akasema Dr
Kigomba huku akitembea haraka haraka akatoka nje ya
uzio
wa hospitali akapiga hatua ndefu hadi katika mojawa
po ya
taksi zilizokuwa zimeegeshwa pale akaingia na kumuo
mba
dereva aondoe gari haraka sana.Dr kigomba akavuta p
umzi
ndefu baada ya kuondoka maeneo yale ya hospitali
“ Ahsante Mungu nimefanikiwa kuondoka salama
eneo hili” akawaza huku akigeuka mara kwa mara kuan
galia
kama kuna gari linawafuata.
“ Najua taarifa zitamfikia Dr Joshua kwamba bado
nipo hai na ataamuru nisakwe kila kona.Lengo lake n
i
kuhakikisha nimepotea kabisa katika uso wa dunia.Na
takiwa
kutafuta sehemu salama ya kujificha ambako si rahisi
kujulikana.Nitajificha wapi? Akajiuliza Dr Kigomba
na mara
akapata jibu
“ Nimepata jibu,.Kuna mtu mmoja tu ambaye
anaweza kunisaidia kwa sasa.Peniela.That woman she’
s
going to hide me.Najua ana lengo la kukipata kirusi
na
nitamsaidia kukipata” akawaza Dr Kigomba na kumuele
keza
dereva kuelekea katika nyumba ya Dr Joshua aliko Pe
niela
**************
Wahudumu wa hoteli waliochukuliwa na Dr Kigomba
kufanya maandalizi ya chakula cha usiku kwa ajili y
a Dr
Joshua na wageni wake,tayari walikwisha maliza kupa
mba
nyumba na waliyekuwa wakimsubiri ni Dr Kgomba areje
e
kwani aliondoka bila kuwaaga
Ghafla mlango wa sebuleni ukafunguliwa akaingia Dr
Kigomba kwa kasi.Hakutaka maongezi na mtu yeyote
akapitiliza moja kwa moja hadi katika chumba cha Pe
niela na
kuufungua bila hata kubisha hodi.Peniela ambaye ali
kuwa
ametoka kuoga na alikuwa mtupu akastuka sana akajif
unga
taulo haraka haraka.Hali aliyoingia nayo Kigomba
ilimuongopesha sana
“ Kigomba ???!! kwa nini unaingia chumbani kwangu
bila adabu ??? akasema Peniela kwa ukali.Dr Kigomba
alikuwa anahema na jasho likimchuruzika usoni
“ Peniela listen to me..!! akasema
“ Kigomba una nini? akauliza Peniela kwa mshangao
“ Peniela listen to me !!..you have to help me !!
“ Help you? How? What happened? Mbona
unaonekana una damu? Akauliza Peniela
“ Nipeleke mafichoni mahala ulikomficha jaji
Elibariki.Kuna watu wametumwa waniue na hivi tuonge
avyo
wananisaka waniue.Dr Joshua sent them”
“ Dr Kigomba hebu nieleze taratibu nikuelewe.Nani
hao wanaotaka kukuua?
“ Peniela please sina muda wa kupoteza hapa,any
time they can be here .Please take me to hiding”
“ Kigomba nashindwa kabisa kukuelewa na sijui
nitakuisaidiaje”
Dr Kigomba akavua koti na kumuonyesha Peniela
jeraha la risasi mkononi
“ Niliptoka hapa nilikwenda kwa jaji Elibariki.Nik
iwa
kule tulivamiwa na watu wasiojulikana waliotushambu
lia kwa
risasi.jaji Elibariki ameuawa na mimi nimeponea tu
ndu la
sindano.Risasi imepita hapa pembeni ya sikio
langu.Nakuomba Peniela niokoe ,nipeleke mafichoni”
Peniela akamtazama kwa sekudne kadha na kusema
“ I cant believe you.Wewe na Dr Joshua ni kitu
kimoja.Amekutuma uje unipeleleze.Go away Kigomba si
na
sehemu y a kukuficha!!
“ Peniela naomba uniamini
nikwambiacho.Nitakusaidia katika mipango yako yote.N
ajua
una mipango ya kukipata kirusi nitakusaidia kukipat
a.Kama
kweli lengo lako ni hilo this is your only chance.I
know how
you can get the virusi and the time is now..” akas
ema Dr
Kigomba na mara simu ya Peniela ikaita,alikuwa ni M
athew
“ Halow “ akasema Peniela
“ Peniela are you safe there? Akauliza Mathew
“ I’m ok ,why? You sound so worried”
“ Kuna taarifa inasambaa hivi sasa katika mitandao
kwamba Jaji Elibariki ameuawa muda mfupi uliopita
na watu
wasiojulikana waliovamia nyumbani kwake na
kumvurumishia risasi.Taarifa hizi zimenistua sana n
ikapatwa
 
SEHEM YA 12

mimi sintofaya kosa kama yeye.Kwanza nitahakikisha
mipango yake haifanikiwi na pili ninafahamu siri za
ke nyingi
kwa hiyo nitazitumia kumbomoa.I must take him down.
Yeye
alitaka kuniua kwa risasi mimi sintatumia risasi la
kini
nitahakikisha ninamporomosha kabisa.Hatanisahau kat
ika
maisha yake yote yaliyobaki.We were once close frie
nds but
now we’re great enemies.Atajuta kunifahamu” akawaza
Dr
Kigomba akiwa na hasira kali
“ Dr Kigomba ni mshirika mkubwa wa Dr Joshua na
ndiye aliyekuwa akiratibu mipango yote miovu na ka
ma
imefikia hatua Dr Joshua anataka kumuua mshirika wa
ke wa
karibu lazima kuna sababu kubwa.Dr Kigomba is gopin
g to be
our great asset.Atatuongoza katika kufanikisha mipa
ngo yetu
yote kwani anafahamu kila kitu kuhusiana na kirusi
Aby”
akawaza Peniela
*************
Taarifa za kifo cha jaji Elibarii zilisambaa kwa k
asi
kubwa karibu kila kona ya nchi na kuzua maswali men
gi kwa
jamii wakihoji kuhusu nini kinachoendelea nchini kw
ani
vimetokea mfululizo vifo vinavyowahusisha watu wa k
aribu
na rais.Wakati jamii ikipokea kwa mtazamo tofauti k
ifo cha
jaji Elibariki ,taarifa hii ilikuwa nzuri kwa Dr Jo
shua lakini
baada ya muda taarifa ile iligeuka mwiba baada ya k
upokea
taarifa nyingine kwamba katika shambulio lililofany
wa na
vijana waliotumwa na Abel Mkokasule ,Dr Kigomba
alinusurika .Hizi zilikuwa ni taarifa mbaya kwani t
ayari
alikwisha anza kusherehekea kwa kunywa mvinyo mkali
akiamini tayari amefanikiwa kuviondoa vizingizi vyo
te
njiani.Haraka haraka akachukua simu na kumpigia Abe
l
Mkokasule
“ Hallow mzee” akasema Abel mkokasule
“ Abel huu si ufanyaji wa kazi ninaoutaka.Siku zo
te
hujawahi kuniangusha katika kila kazi niliyowahi ku
kupa but
for the first time you’ve failed me.Why you didn’t
kill
Kigomba? Mlengwa mkubwa wa shambulio lile alikuwa n
i Dr
Kigomba .Nimepokea sasa hivi taarifa zinanizeleza k
wamba
Dr Kigomba bado mzima na alijeruhiwa kidogo tu.Kwa
nini
ilishindikana kuimaliza kazi kabisa? Akauliza Dr Jo
shua kwa
ukali
“ Mzee kilichotokea ni kwamba pale kuna ulinzi wa
askari wenye silaha kwa hiyo vijana waliingia ndani
kwa
kupanda ukuta na wakati wakijiandaa kuingia sebulen
i ,Dr
Kigomba na Elibariki walitoka wakielekea katika gar
i na ndipo
kijana aliyekuwa ndani akaitumia nafasi hiyo kuwas
hambulia
kwa risasi toka katika bastora yeye kiwambo cha sau
ti lakini
kwa bahati mbaya jaji Elibariki akapiga ukelele mku
bwa
uliowastua askari wakatokea haraka na kuanza kurush
iana
risasi na vijana wangu ambao walifanikiwa kutoroka
na
kukimbia.Samahani sana mzee kwa mambo kutokwenda
kama ulivyoelekeza.” Akasema Abel Mkokasule
“ Abel vijana uliowatumia safari hii hawakuwa makin
i
kabisa.Ni bora kama angebaki jaji Elibariki kuliko
Kigomba.He’s my great enemy now !! Akasema Dr Joshu
a
halafu ukapita ukimya wa sekunde kadhaa
“ Abel !! akaita Dr Joshua
“ Nakusikiliza mzee”
“Find Kigomba.Do what you have to do and make
sure before sunset he’s finished.You messed this yo
urself so
you have to fix it..!!
“ Nitafanya hivyo mzee “ akajibu Abel na Dr Joshua
akakata simu kwa hasira
“ I’ll find you Kigomba.I must find you!! You have
more lives than a cat but you cant escape from me..
I’m going
to finish you in a blink fo an eye!! Akawaza Dr Jos
hua huku
akiuma meno kwa hasira
“ Kigomba hapaswi kabisa kuachwa hai.Anayafahamu
mambo yangu mengi kwa hiyo anaweza kuitumia nafasi
hiyo
kupambana nami .Kwa gharama zozote lazima nihakikish
e
anapatikana na anauawa” akaendelea kuwaza
***************
Kwa takribani dakika tano sasa Mathew amelishika
kasha ambalo john Mwaulaya alimpa Peniela.Lilikuwa
ni
kasha zuri lenye nakshi za dhahabu
“ Arent you going to open it? Tayari Peniela ameku
pa
ruhusa ya kulifungua kwa hiyo usisite” akasema Anit
ha
“ Ni kweli amenipa ruhusa ya kulifungua lakini
ingekuwa vyema kama Peniela mwenyewe ndiye ambaye
angelifungua .John Mwaulaya alilitunza kasha hili k
ama
mboni ya jicho lake kwa hiyo naamini kuna mambo mak
ubwa
na mazito ambayo yanamuhusu Peniela pekee.Let’s wai
t for
her.She’s on the way coming.Taarifa ya kifo cha jaj
i Elibariki
imemstua sana na ameona ni bora kwanza akaja huku”
akasema Mathew
“ Hata mimi nimestuka sana .Elibariki alitufanyia
ukatili wa kiwango cha juu sana alivuruga mipango y
etu yote
.Nusura ningepoteza maisha na yote hii imetokea kwa
sababu yake.I hate that man so much na siku zote ni
litamani
kumuona siku moja akiadhibiwa lakini sikutegemea ka
ma
mwisho wake ungekuwa namna hii.Mungu amsamehe
makosa yake na hata mimi pia nimemsamehe yale yote
aliyotukosea” akasema Anitha
“ Nilitabiri kitu kibaya kitakwenda kumtokea Eliba
riki
na ndivyo ilivyokuwa.Ninawafahamu hawa watu wakubwa
namna wanavyofanya kazi zao.Yote haya yamemkuta kwa
sababu ya ujinga wake na mimi si kama wewe Anitha,I
’m
never going to forgive him.Jambo alilolifanya ni la
hatari
kubwa kwetu.Ameturudisha nyuma hatua nyingi.Kwa sab
abu
yake nyumba yangu imechomwa moto na kupoteza vitu v
ingi
vya muhimu .Nilitamani siku moja nimpate na ningemk
ata
kiungo kimoja kimoja ili nimuonyeshe athari za jamb
o
alilolifanya.Hata hi....” Mathew hakumalizia sentensi
yake
baada ya kengele ya getini kulia,akaenda kuchunguli
a katika
luninga kujua ni nani aliyeko getini
“ Peniela “ akasema Anitha na kisha wote wakatoka
kwenda kumpokea Peniela.Haraka haraka Mathew
akafungua geti ,Peniela akaingiza gari ndani,akafun
gua
mango akashuka.Peniela hakuwa mwenyewe,toka ndani y
a
gari akashuka Dr Kigomba.Mathew na Anitha wakatazam
ana
kwa mshangao.Peniela akawaona namna walivyostuka
akasema
“ Mathew ,Anitha I’m sorry for this..I can explain

akasema Peniela
“ Explain right now what the meaning of this or I
’m
going to kill this bastard right now!!!! Akasema Ma
thew kwa
ukali huku akipiga hatua kumuendea Kigomba akiwa na
bastora mkononi.Peniela akamzuia
“ Mathew naomba tukaongelee ndani tafadhali”
akasema Peniela na wote wakaelekea sebuleni.
“ Sema unachotaka kukisema Peniela ama sivyo huyu
mtu hatoki salama humu ndani” akasema Mathew kwa uk
ali
“ Nina hakika nyote mmestuka sana kwa kumuona
hapa Dr Kigomba.Haikuwa rahisi hata kwangu pia kuam
ua
kumleta hapa “ akasema Peniela
“ NImemleta Dr Kigomba hapa kwa ajili ya kujificha

akasema Peniela
“ Kujificha? Mathew na Anitha wote wakashangaa
“ Naombeni mnisikilize ndugu zangu.” Akasema Dr
Kigomba na kuvuta pumzi ndefu akawatazama kwa zamu
watu waliokuwemo mle sebuleni halafu akasema
“ Nina imani nyote mlioko hapa mnanifahamu vyema
kwa hiyo sina haja ya kujitambulisha” akanyamaza ki
dogo
akawatazama akina Mathew halafu akaendelea
“ Kwa ufupi tu ili kuwajengea picha kamili ya kwa
nini
niko hapa ni kwamba mimi ni katibu wa rais na ni mt
u wake
wa karibu mno.Ukiacha kazi za kawaida za kiofisi mi
mi na Dr
Joshua tumekuwa na shughuli zetu nyingine binafsi z
a
kujipatia fedha na mimi ndiye nimekuwa mfanikishaji
mkuu
wa mambo yote” akanyamaza tena kidogo na kabla
hajaendelea Mathew akamuamuru asimame akamkagua
endapo kama ana kifaa chochote amekivaa kwa ajili y
a
kurekodi maongezi yale,akamkuta na simu pekee.Akaik
agua
simu ile ambayo ilikuwa imezimwa na kumruhusu Kigom
ba
aendelee.
“ Miezi michache iliyopita ,mimi na Dr Joshua
tulianza mchakato wa kukiuza kirusi Fulani kiitwach
o Aby kwa
mtu mmoja tajiri anaitwa Hussein.Mimi ndiye niliyeo
ngoza
mchakato mzima hadi pale Hussein alipolipa pesa
tuliyokubaliana.Baada ya kulipa Hussein alitakiwa k
uja
Tanzania ili akabidhiwe mzigo wake wa kirusi lakin
i wakati
amekuja ghafla ukatokea msiba wa Flaviana ikatulazi
mu
kuahirisha kila kitu ili tushughulikie kwanza masua
la a
msiba.Tukiwa bado katika msiba mara akaibuka jaji E
libariki
ambaye alifanya maongezi ya siri na rais bila ya mi
mi
kuhusishwa .Alimueleza rais kila kitu kuhusu wapi
alikokuwa,mipango yote iliyopangwa dhidi yake.Baada
ya
kupata taarifa hizo Dr Joshua akanieleza kwamba ame
amua
kusitisha mipango yote hadi hapo hali ya usalama
itakapokuwa nzuri.Mwanzoni nilikubaliana naye lakin
i
baadae nikagundua kwamba alikuwa ananidanganya kwan
i
alihamisha kimya kimya fedha zote toka katika akaun
ti
zilimowekwa fedha za mauzo ya kirusi Aby.Ni fedha
nyingi.Billions of money .Nilikatishwa tamaa sana k
wa
kitendo alichokifanya Dr Joshua kwani tayari niliku
wa na
mipango mingi ya jinsi ya kuzitumia pesa ambazo nin
gepata
na hali hiyo ikanilazimu kutafuta namna ya kufanya
ili niweze
kukipata kirusi hicho kabla Dr Joshua hajakikabidhi
kwa
Hussein.Nilimfuata Jacob Kateka aliyekuwa mkuu wa i
dara ya
usalama wa taifa nikaongea naye na kwa pamoja tuka
amua
kufanya mpango wa kukipata kirusi hicho .Kitu ambac
ho
sikuwa nimekigundua ni kwamba Dr Joshua aliweka wat
u wa
kunifuatilia nyendo zangu.Usiku wa jana nilikuwa na
Jacob
sehemu Fulani tukiendelea na mipango yetu na tulipo
achana
alipata ajali mbaya akafariki dunia.Hii haikuwa aja
li ya
kawaida baIi ni mipango ya Dr Joshua .Baada ya Jaco
b
kufariki sikukata tamaa nikaenda kwa jaji Elibariki
.Kuna
mambo kadhaa ambayo nilitaka anieleze na tukiwa pal
e
tulivamiwa na watu wenye silaha wakatushambulia na
jaji
Elibariki akapoteza maisha .Mimi nilijeruhiwa kwa r
isasi
mkononi .Pamoja na kujeruhiwa lakini nimeponea tund
u la
sindano.Risasi imepita hapa katika sikio langu.Naam
ini yule
jamaa alikuwa na lengo la kukifumua kichwa kwa risa
si.Mimi
na Dr Joshua tayari tumeingia katika vita kubwa .An
aniogopa
kwa kuwa anafahamu ninazijua siri zake nyingi kwa h
iyo
ninaweza kuzituia kumbomoa na ndiyo maana anaitafut
a
roho yangu kwa garama zozote zile “ akanyamaza akam
eza
mate na kuendelea
“ Baada ya kunusurika kifo ,nilihitaji sehemu ya
kujificha kwani Dr Joshua atanisaka kila kona ya nc
hi hadi
ahakikishe nimekufa.Sikuwa na sehemu nzuri ya kujif
icha na
ndiyo maana nikamuomba Peniela anisaidie kupata
hifadhi.Guys I know down deep in your hearts I’m y
our
enemy but I want you to see me now as a friend,as a
n asset
to you.Im going to help you get what you’ve been st
ruggling
to get for a long time.The virus.All I need is only
hiding.I want
to fight back Dr Joshua na sintaweza kupambana naye
endapo sintakuwa katika maficho salama .You guys ar
e going
to hide and protect me and together we’ll defeat Dr
Joshua.Njia pekee ya kummaliza nguvu Dr Joshua ni k
wa
kukichukua kirusi Aby.So guys the choice is yours.T
o hide me
and get what you want or to throw me out to die and
you
loose everything” akasem Dr Kigomba.Sebuleni kukawa
kimya.Mathew akawatazama Peniela na Anitha kwa zamu
halafu akasema
“ Peniela do you trust him?
“ yes I do !! akajibu Peniela
“ Good.Kama wewe umemuamini basi hata sisi
tunamuamini.Anitha una duku duku lolote? Akauliza M
athew
“ Hapana Mathew sina duku duku lolote.We do trust
Peniela.” Akajibu Anitha Mathew akamgeukia Dr Kigom
ba
akamtazama kwa muda kidogo kisha akasema
“ Tutakupa hifadhi na tutakulinda lakini kuna mamb
o
nataka kuyafahamu.Nataka kujua umefahamuje kama
Peniela anaweza akakusaida sehemu ya kujificha? How
deep
do you know her? How deep do you know us? Akauliza
Mathew.Dr Kigomba akasema
“ Kwa mara ya kwanza kukutana na peniela ni wakati
taarifa zilipomfikia Dr Joshua kwamba jaji Elibarik
i amejificha
nyumbani kwa Peniela.Kufuatia taarifa zile Dr Joshu
a
akanituma kwenda kufanya uchunguzi kama taarifa hiz
o ni za
kweli .Amos ambaye alikuwa daktari wa rais ndiye
aliyenikutanisha na Peniela nikajenga mazoea naye n
a ya
haraka and..uhhmm..” Kigomba akasita
“ And what? Akauliza Mathew
“ We had sex” akasema Kigomba
“ Go on “ akasema Mathew
“ Peniela alinipatia saa nzuri ya dhahabu na sikuw
a
nikifahamu chochote kwamba Peniela na Dr Joshua wan
a
mahusiano ya kimapenzi hadi hii leo aliponiita na k
unieleza
kila kitu kuhusu yeye na peniela.Alinieleza kila ki
tu
alichoambiwa na jaji Elibariki kuhusu Peniela na mi
pango
yote ambayo mmekuwa mkiiandaa.Baadae akanieleza ukw
eli
kwamba mambo yote aliyoelezwa na jaji Elibariki ni
ya uongo
na kwamba jaji Elibariki anashirikiana na Rosemary
Mkozumi
kupanga njama za kumuhujumu.Aliniambia kwamba njama
za jaji Elibariki na Rosemary Mkozumi aliambiwa na
Peniela.Baada ya kutafakari kwa kina taarifa zote z
ote mbili
ile ya Elibariki na ile ya Peniela nikagundua kwamb
a Elibariki
alikuwa sahihi na kwamba kuna kitu Peniela anakitaf
uta kwa
Dr Joshua.Niliamini Peniela anaweza kunisaidia kuni
ficha
kwani alimficha hata jaji Elibariki.Kuhusu ninyi si
kuwa
nikiwafahamu kabisa nimewasikia kwa mara ya kwanza
kwa
Dr Joshua akisema Peniela anashirikiana sijui na ti
mu gani ....”
“ Team SC41” akasema Peniela
“ Exactly.Team SC41” akajibu Kigomba
“ Kwa hiyo ndugu zangu hivyo ndiyo
ninavyowafahamu na ndivyo ninavyomfahamu Peniela”
Mathew akatafakari kwa muda kidogo halafu
akasema
 
SEHEM YA 13

“ Hapana bado hatujalifungua.Peniela we cant open
it.Unatakiwa wewe mwenyewe uingize funguo na
kulifungua.This box is yours.Kilichomo humu kinakuh
usu
wewe” akasema Mathew.Peniela akatabasamu kidogo na
kusema
“ Mathew usiogope .Kilichomo ndani ya kasha hili
kinatuhusu sote.Just open it.I trust you” akasema
Peniela.Mathew na Anitha wakatabasamu
“ Sawa Peniela,tutalifungua ila ingependeza kama
ungelifungua wewe mwenyewe.”
“ Usijali Mathew,just open it.Mimi ninawahi kule k
wa
Dr Joshua.Sitaki afahamu kama nimetoka” akasema Pen
iela
na kundoka.Baada ya Peniela kuondoka Mathew na Anit
ha
wakarejea ofisini.
“ Mathew Mungu yuko upande wetu kwani
sikutegemea kabisa kama mambo yangekwenda hivyo
yanavyokwenda.Elibariki alivuruga mipango yetu
akaturudisha nyuma kabisa lakini kwa sasa tunaeleke
a
kunako ushindi” akasema Anitha
“ Ni kweli hayo unayoyasema lakini haitakuwa rahis
i
kama tunavyodhani.Tujiandae kukumbana na mambo
magumu sana.Chochote kinaweza kutokea katika hatua
hii ya
mwisho lakini vyovyote itakavyokuwa lazima tukipate
kirusi
Aby.Sitaki kukuogopesha Anitha lakini hiyo ndiyo ha
li
tutakayokumbana nayo.Anyway tuachane na hayo
tutajadiliana kwa kina baadae tukishafanya mahojian
o na Dr
Kigomba,kwa sasa tulifungue kasha la Peniela” akase
ma
Mathew na kulishika kasha lile mkononi akalitazama
kwa
makini na kuyakumbuka maneno ya John Mwaulaya
aliyomwambia siku alipomuita hospitali
“ kwa jasho na damu hakikisha unamlinda
Peniela.Hakikisha hadhuriki.Licha ya uzuri wa lakin
i ni mtu
wa pekee kabisa na thamani yake ni kubwa sana.Usiac
he
hatari yoyote imkaribie.Ikifika hatua ambayo utalaz
imika
kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya kulinda Peniela usis
ite
kufanya hivyo tafadhali kwani Peniela is so special
,is
unique.I know I’m going to die very soon kwa hiyo n
ikifa
hakikisha unamfikisha Peniela mahala nilipokueleza
na
huko ataanza safari yake ya kuelekea katika maisha
mapya.Kasha nililompa alihifadhi ni la muhimu mno n
a
hakikisha amelifungua mbele yako.Anatakiwa ajifaham
u
yeye ni nani.Unatakiwa umfahamu yeye ni nani na uf
anye
yale yote niliyokuelekeza uyafanye”
“ Mathew unawaza nini? Anitha akamstua Mathew
toka mawazoni
“ Ninawaza umuhimu wa hili kasha kwa
Peniela.Alitakiwa awepo hapa wakati tunalifungua”
“ usiogope kulifungua Mathew.Pamoja na umuhimu
wake lakini ametupa ruhusa ya kulifungua” akasema
Anitha.Mathew akauchukua ufunguo waliopewa na askof
u
Edmund Dawson akauchomeka katika lile boksi lakini
akasita
kufungua
****************
Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Deus Mkozumi alishindwa kuizuia furaha yake baada y
a
kumuona mwanae Lucia Mkozumi aliyewasili na ndege
maalum akitokewa nchini Afrika ya kusini
“ Welcome home my princess” akasema Deus kwa
furaha na kumkumbatia mwanae
“ Hello my president,you are so amazing.We’re
getting old but you are getting young” akatania Luc
ia na wote
wakacheka.Walinzi wawili wa Deus Mkozumi wakabeba
mabegi ya Lucia na kuyapakia garini safari ya kuele
kea
nyumbani kwa Deus Mkozumi ikaanza
“ Nimefurahi sana nimekuona tena Lucia.Karibu sana
nyumbani” akasema Dr Joshua wakiwa garini kueleka
nyumbani.Mida hiyo ilipata saa tisa za alasiri
“ Hata mimi nimefurahi sana nimekuona tena baba”
akasema Lucia
“ Mbona umekuja peke yako? Mkwe wangu na
wajukuu wako wapi? Akauliza Deus
“ Ningependa sana kuongozana nao lakini hii safari
imekuja kwa dharura,sikuwa nimetegemea kama ningefi
ka
hadi nyumbani.Tutapanga safari nyingine nitakuja na
familia
yangu yote utawaona.” Akasema Lucia na safari ikaen
delea
hadi walipofika katika makazi ya Deus .Tayari chaku
la
kilikwisha andaliwa Deus akajumuika na Lucia mezani
wakapata chakula na baada ya chakula wakaenda kuket
i
katika bwawa la kuogelea kwa ajili ya maongezi
“ Lucia umenistua kidogo kwa ujio wako wa
ghafla,kuna dharura gani? Akauliza Deus
“ Ni kweli baba hii imekuwa ni safari ya dharura k
ama
nilivyokufahamisha .Kuna suala Fulani limenileta”
“ jambo gani hilo? Kuna tatizo lolote? Akauliza De
us
“ hakuna tatizo baba,suala lililonileta nyumbani k
wa
dharura ni suala jema na hata utakapolisikia naamin
i
utafurahi”
“ Ni jamo gani hilo? Nina hamu ya kulifahamu”
“ Utalifahamu tu baba usiwe na hofu.Naomba nipe
muda kidogo niweke sawa baadhi ya mambo halafu
nitakufahamisha..Kama si usiku wa leo basi kesho asu
buhi.By
the way how’s mom?
“ I don’t know.I think she’s fine” akajibu Deus
“ You think? That means you guys still don’t talk
to
each other? Akauliza Lucia
“ We don’t talk” akajibu Deus
“ Nilipata taarifa ya tukio lililompata mama.Nani
alimfanyia jambo lile? Waliofanya vile wamekamatwa
?
“ swali lako ni gumu kwangu kulijibu kwa sababu
hata mimi nimeipata taarifa hiyo katika vyombo vya
habari
na hakuwahi hata kunipigia simu kunieleza chochote
kwa
hiyo sifahamu kwa undani nini kilitokea ila ninach
ofahamu
mimi yawezekana wakawa ni washindani wake wa kisias
a na
hasa baada ya kuibuka kwa tetesi kuwa ana mpango wa
kuwania urais.Hizo ndizo athari za kuingia katika s
iasa kichwa
kichwa .Angekuwa na busara angenifuata na kuniomba
ushauri ningemuelekeza nini cha kufanya na hata seh
emu za
kupita lakini hakufanya hivyo.To her I don’t exist
“ akasema
Deus
“ Dady kuna jambo nimekuwa nalifikiria kwa muda
mrefu lakini leo nataka nikuulize” akasema Lucia
“ Uliza Lucia ni jambo gani hilo?
“ Ninyi kama wazazi wetu mmetulea k wa upendo
mkubwa hadi tumekuwa watu wazima .From the bottom
of
my heart I’m proud of you guys.Hata siku moja hatuk
uwahi
kuona au kusikia kwamba kuna mtafaruku kati yenu ha
di pale
tuliposikia kwamba mmetengana.What exactly happened
to
make you guys hate each other like this? Akauliza L
ucia
Dr Joshua akatabasamu na kusema
“ Ulichokiona kati yangu na mama yako ni mfano wa
namna wazazi wanatakiwa waonekane mbele ya watoto w
ao
.Hata kama ndani ya ndoa kuna mifarakano mikubwa
hampaswi kuionyesha kwa watoto.Pamoja na hayo lakin
i
ukweli ni kwamba we were just pretending.We were ne
ver
happy.Mama yako ndiye aliyesabisha hali hii ikatoke
a.She
was not trustfull.She cheated on me “
“ She cheated?? Lucia akauliza kwa mshangao
“ Ndiyo.Mama yako alikuwa mahusiano na wanaume
wengine”
“ Wanaume? Una maana zaidi ya mwanaume
mmoja?
“ Ndiyo.Ni zaidi ya mwanaume mmoja kwa wale
ninaowafahamu”
“ Oh my God.How come you didn’t tell us?
“ I didn’t want you to hate your mother that’s why
I
didn’t tell you anything”
“ Dah ! sikutegemea kabisa kusikia jambo
ulilonieleza.Nimestuka sana.Sikuwahi kuhisi kama ma
ma
anaweza akafanya jambo baya kama hilo.Anyway dady
tutaongea zaidi baadae,right now I need to go meet
someone.Can I use your car? Akauliza Lucia
“ Hapa ni nyumbani kwako my princess,kila kilichom
o
humu ni cha kwako kwa hiyo chagua gari
unalolipenda.Utahitaji dereva?
“ Ahsante baba nitaendesha mwenyewe.” Akasema
Lucia na kuagana na baba yake akaingia chumbani kuj
iandaa
na baada ya nusu saa akaingia katika mojawapo ya ma
gari ya
baba yake akaondoka
“Nimeongea na baba huku mwili
unanitetemeka.Nimetia saini ya kifo chake.He’s goin
g to
die.Inaniuma sana lakini sina namna nyingine ya kuf
anya.I’ve
turn myself into a devil so I need to have a heart
of steel.Kwa
hatua niliyofikia sasa hakuna kurudi nyuma tena hat
a kama
nitakumbana na masahibu ya kutisha na kukatisha
tamaa.Nitaumia kwa muda mfupi lakini matunda yake n
i
makubwa .I want to be the first female president of
the
united republic of Tanzania.Urais hauwezi kuja hivi
hivi
lazima kuna gharama zake “ akawaza Lucia
****************
Kwa sekunde kadhaa bado Mathew aliendelea
kulishikilia lile kasha akisita kulifungua
“ Openi it Mathew.Kama unaogopa nipe mimi
nilifungue” akasema Anitha.Mathew akamtazama na hal
afu
akauzungusha ufunguo kasha likafunguka.Akaitoa baha
sha ya
kwanza ya khaki akaifungua na kukuta kuna pasi mpy
a ya
kusafiria yenye jila na Peniela Mwaulaya.Mathew aka
ipitia
pasi ile halafu akampa Anitha naye aipitie halafu a
kachukua
bahasha ya pili.Ndani ya bahasha ya pili kulikuwa n
a hati ya
umiliki wa eneo la ekari mia mbili pamoja na nyumba
vyote
vikiwa na jina la Peniela Mwaulaya.Ndani ya bahasha
hiyo pia
kulikuwa na picha kadhaa za nyumba ya ghorofa
tano.Lilikuwa ni jumba kubwa la kifahari.Mathew
akatabasamu na kumpatia Anitha naye avipitie vitu v
ile
,akachukua bahasha ya tatu akaifungua.Ndani ya hii
bahasha
kulikuwa na nyaraka kadhaa za akaunti ya benki iliy
okuwa na
jina la Peniela Mwaulaya .Nyaraka zile zilionyesha
kwamba
kiasi cha pesa kilichomo katika akaunti ile ni shil
ingi bilioni
mbili na themanini na nane.Kulikuwa pia na nyaraka
nyingine
zilizoonyesha umiliki mkubwa wa hisa katika makampu
ni
makubwa na nyaraka zote hizo zilikuwa katika jina l
a Peniela
Mwaulaya.
“ Wow ! What a great fortune” akasema Mathew
huku akitabasamu na kumpatia Anitha nyaraka zile na
ye
azipitie.Mathew akachukua bahasha ya nne akaifungua
.Ndani yake kulikuwa na picha zipatazo saba za mwan
amke
mrembo na nyingine mbili za mwanaume aliyeonekana
kujiweza sana kifedha akiwa amesimama nje ya gari l
a
kifahari.Nyuma ya bahasha ile kuliandikwa wazazi wa
Peniela.Mathew akaitazama moja ya picha zile za mwa
namke
akitabasamu
“ She looks poor but very pretty.Peniela amechukua
uzuri wa mama yake” akasema Mathew na kumpatia Anit
ha
zile picha.Akafungua bahasha ya mwisho ya tano amb
ayo
ndani yake kulikuwa na msalaba wa dhahabu.Akautazam
a
msalaba ule wa thamani kubwa kwa makini
“ Sitaki kuamini eti John Mwaulaya alikuwa mcha
Mungu kiasi cha kumrithisha Peniela msalaba huu.Laz
ima
msalaba huu un...” akawaza Mathew na kutabasamukidogo
baada ya kugundua kitu fulani.Upande wa chini wa ul
e
msalaba kulikuwa na mstari mdogo ,akavuta sehemu ya
chini
ikachomoka katika msalaba kikatoka kifaa cha kuhifa
dhia
kumbu kumbu
“ Flash disk!! Akasema Mathew huku akitabasamu
“ John Mwaulaya alikuwa na maana gani kumuachia
Peniela flash disc ? akauliza Anitha.Lazima kuna ja
mbo kubwa
ndani yake ,ngoja tuangalie tujue kuna nini ndani y
ake”
akasema Mathew na kuichomeka Flash disc ile katika
kompyuta na baada ya sekunde kadhaa ikatokea video
na
mtu aliyeonekana katika video ile alikuwa ni John M
waulaya.
“ Hallo Peniela “
ndivyo alivyoanza John Mwaulaya
katika video ile
“ Natumai wakati unaitazama video hii sina hakika
kama utakuwa katika majonzi au furaha kwani tayari
nitakuwa nimefariki dunia”
akanyamaza kidogo halafu
akaelekea
“ Peniela nina mengi sana ya kukueleza lakini
kutokana na hali yangu kudhofika sana nitakueleza m
ambo
machache tu ya msingi sana”
akanyamaza tena kidogo
halafu akaendelea.
“ Nitaanza mbali kidogo kuhusu historia ya maisha
yako.Umekulia katika kituo cha kulelea watoto yatim
a.Ni
kweli wewe ni yatima kwani huna wazazi lakini hiyo
haikuwa sababu ya kukufanya uishi maisha ya
shida.Nilikuwa nawe muda wote nilichukua nafasi ya
wazazi wako na kuhakikisha unapata kila kitu ambach
o
mtoto anakihitaji toka kwa mzazi wake isipokuwa
hakuwahi kuniona.Sikuwahi kuwa na mtoto katika mais
ha
yangu kwa hiyo wewe ndiye uliyekuwa kama mwanangu
wa pekee”
akanyamaza akavuta pumzi ndefu na kuendelea
 
SEHEM YA 14

.Utakapoamua kuja kutembea Tanzania utaishi katika
nyumba hiyo.”
John Mwaulaya akanyamaza na kufumba
macho alionekana kuwa katika maumivu .Baada ya muda
akafumbua macho na kuendelea
“ Baada ya mambo hayo ya utangulizi sasa nataka
nikueleze mambo mawili makubwa.Jambo la kwanza ili
azma yangu ya kutaka kuyabadili maisha yako itimie
lazima
utoke Team SC41.Unapoingia Team SC41 ni sawa na mtu
aliyefunga pingu za maisha kwani unakula kiapo cha
utii
wa maisha kwa hiyo si rahisi kutoka.Bila kutoka Te
am SC41
you’ll never live a normal life and you’ll never be
happy.Kwa
mantiki hiyo basi kuna jambo moja tu ambalo unapasw
a
kulifanya”
John akasita kidogo kisha akasema
“ You have to take down team SC41.You have to
make it disappear.Hii si kazi nyepesi lakini kuna m
tu
ambaye nitakuelekeza yeye atakusaidia.I’ve been wit
h
team SC41 my whole life and I’ve achieved nothing r
ather
than killing innocent people for the benefit of uni
ted states
of America.I don’t have a family and I’m dying alon
e.Ni
wewe pekee ambaye nakuheshimu kama familia yangu kw
a
hiyo nakuomba ufuate maelekezo yangu na uhakikishe
team SC41 inafutika kabisa katika uso wa dunia”
akanyamaza tena na baada ya muda akaendelea
“ jambo la pili ni kuhusu operesheni inayoendelea
ndani ya Team SC41 ya kuipata package toka kwa rais
Dr
Joshua.Sina hakika kama unafahamu kilichomo ndani y
a
package hiyo ni kitu gani na hakuna ndani ya Team S
C41
anayefahamu zaidi yangu mimi na viongozi wa juu .Kw
a
ufupi tu ni kwamba kilichomo ndani ya hiyo package
ni
kirusi hatari sana cha maangamizi kuwahi kutegenezw
a na
mwanadamu.Kirusi hiki kilichopewa jina la Aby
kilitengenezwa na mwanasayansi mmoja anaitwa Chang
ling na lengo lake lilikuwa ni kuwauzia serikali ya
Korea
kaskazini ili wakitumie katika kuishambulia Marekan
i.Kwa
bahati nzuri mimi ndiye niliyetumwa na aliyekuwa ki
ongozi
wa Team SC41 wakati huo kuhakikisha kirusi hicho ha
kitui
katika mikono ya serikali ya Korea kaskazini.Nilifa
nikisha
kazi hiyo nikakipata kirusi Aby pamoja na Chang lin
g na
kuja naye Tanzania.Katika operesheni ya kukichukua
kirusi
hicho toka kwa Chang Ling ilinilazimu kufanya jambo
kubwa nalo ni kuipoteza ndege aliyopanda Chang pam
oja
na abiria wake wote.Namna gani ndege hiyo ilipotea
na
kwa nini hadi leo hii hakuna hata bati lake liilowa
hi
kuonekaa hiyo ni siri yangu and I’ll go with it to
my grave ila
ninachotaka kukuhakikishia ni kwamba Chang Ling
mtengenezaji wa kirusi Aby alikuwa hai na alikuwa a
naishi
hapa Tanzania na sehemu aliyokuwa anaishi ni watu w
awili
tu ambao tulikuwa tunaifahamu mimi na huyo mshirika
wangu nitakayekuelekeza kwake.Tulimficha Chang kwan
i
tayari alikuwa ni mtu hatari kwa dunia na endapo
angeendelea kuwa huru angeweza kutengeneza kirusi
kingine hatari.Kwa bahati mbaya mwaka jana Chang
alifariki dunia,kifo cha mwanasayansi huyu ni ahuen
i kwa
dunia kwani hakuna tena tishio la kutokea kwa maang
amizi
yanayotokana na virusi vinavyotengenezwa na
binadamu.Pamoja na kifo ha Chang lakini bado kuna h
atari
kubwa inayoikabili dunia nayo ni kirusi Aby.Kirusi
hiki bado
kinaweza kuleta maangamizi makubwa sana endapo
kitaachwa kisambae .Aby ni kirusi kinachosambaa kwa
njia
ya hewa na kinathiri mfumo wa upumuaji na ndani ya
muda mfupi idadi kubwa ya watu wanaweza kupata
maambukizi yanayosababishwa na kirusi hiki na kupot
eza
maisha ndani ya kipindi kifupi.Inakadiriwa toka mtu
apate
kirusi Aby huchukua dakika kumi na tano tu kuanza
kuumwa na kama hatapatiwa matibabu basi ndani ya
dakika thelathini mgonjwa hupoteza maisha.Nadhani
unaweza pata picha maangamizi makubwa yanayoweza
kutokea endapo kirusi hiki kitaachwa kisambae”
John
akanyamaza akavuta pumzi ndefu na kusema
“ Taarifa za kuwepo kwa kirusi hiki ziliifikia
mitandao ya kigaidi pamoja na makampuni makubwa ya
kutengeneza dawa za binadamu ambao wamekuwa
wanakitafuta kirusi hiki kwa gharama kubwa ili waki
tumia
kwa namna wanayotaka wao.Mitandao ya Kigaidi
wanataka kukitumia kwa kuleta maangamizi makubwa
kwa nchi mahasimu wao hususan Marekani na washirika
wake wakati makampuni makubwa ya kutengeneza dawa
wanakihitaji ili watengeneze dawa ya ugonjwa
unaosababishwa na kirusi hicho na baada ya hapo
watakiachia kisambae na kisha watauza dawa hiyo kwa
fedha nyingi sana.Rais wa sasa Dr Joshua ameingiwa
na
tamaa ya fedha na anataka kukiuza kirusi Aby kwa ta
jiri
moja wa Saudi Arabia.Wakati huo huo Team SC41 nao
wamepewa maelekezo na wakuu wao kuhakikisha
wanakipata kirusi hicho kwa namna yoyote wawezayo.S
iri
iliyopo nyuma ya Team SC41 kukitaka kirusi hicho ni
kwamba kuna viongozi wawili tu wa juu wa Team SC41
ambao wanafahamu kilichomo ndani ya hilo sanduku
mnalolitafuta ambalo limepewa jina la package.Viong
ozi
hawa wana hisa katika kampuni moja kubwa
inayojishughulisha na utafutaji wa mafuta na gesi k
atika
kina kirefu cha bahari hapa Tanzania .Katika utafit
i wao
waligundua uwepo wa madini adimu sana chini ya baha
ri
ambayo hayapatikani sehemu nyingine duniani hivyo b
asi
lengo lao ni kukiachia kirusi Aby hapa Tanzania na
wakati
serikali na raia watakapoelekeza macho na nguvu zot
e
katika kupambana na kirusi hiki hatari wao watakuwa
na
kazi moja tu kuchukua madini na kuyatorosha nchini
kwao.Mpaka pale watanzania watakapokuja kustuka
tayari kiasi kikubwa cha madini kitakuwa
kimechukuliwa.Nakuhakikishia Peniela endapo Team Sc
41
waatakipata kirusi Aby na kukiachia nchini Tanzania
kila
nyumba itakuwa na msiba.Kirusi hiki kitasambaa pia
katika
nchi za jirani baadae afrika nzima na mwishowe
duniani.Tanzania and the whole world will never be
the
same again.Kwa hiyo Peniela wewe ambaye uko katika
mstari wa mbele kukitafuta kirusi hii fahamu una ka
zi
kubwa ya kufanya kuhakikisha kwamba kirusi Aby haki
toki
nje ya mipaka ya Tanzania na wala kutua mikononi mw
a
Team SC41.Kwa kuwa Dr Joshua ameonyesha ni mtu
mwenye tamaa ya fedha na hajali chochote kuhusu ath
ari
zinazoweza kutokea nakuomba hakikisha kirusi Aby
kinaondoka ikulu kabla hajafanikiwa kukiuza na kihi
fadhwe
sehemu salama ambako mikono miovu haiwezi
kukifikia.Save Tanzania and save the world”
akasema John
akafumba macho kwa sekunde kadhaa halafu akasema
“ Alipokitengeneza kirusi hiki,Chang Ling
alitengeneza pia na kinga yake kwani alifahamu madh
ara
yanayoweza kusababishwa na kirusi hicho.Nilipokichu
kua
kirusi hicho toka kwake niliichukua pia kinga aliyo
kuwa
ameitengeneza kwa ajili yake.Baada ya kuipata kinga
hiyo
niliiingiza yote mwilini mwako.Kwa hiyo Peniela we
we ni
binadamu pekee ambaye una kinga dhidi ya kirusi Aby
.Hata
kama itatokea dunia nzima ikaangamizwa na kirusi
Aby,you’ll be the only one left .Nadhani mpaka hapa
tayari
umefahamu umuhimu na thamani yako.Kwa sasa wewe ni
binadamu mwenye thamani kubwa.Damu yako ambayo
tayari ina kinga inaweza kuokoa mamilioni ya
watu.Mamilioni ya dawa zinaweza kutengenezwa
kutokana na kinga iliyopandikizwa mwilini mwako na
katika hili utatengeneza matrilioni na matrilioni y
a
fedha.Utakubaliana nami kuwa damu yako ina thami
kubwa kuliko binadamu yeyote anayeishi katika ulimw
engu
huu wa sasa.Thamani yako ni zaidi ya kisima cha maf
uta na
ndiyo maana nimechukua kila hatua ya kuhakikisha
kwamba unakuwa salama na maisha yako yanabadilika.”
Akanyamaza kidogo halafu akasema
“ Baada ya maelezo hayo marefu nataka nirudie
tena kukukumbusha kuimaliza team SC41.Kama
nilivyokueleza awali kuwa kuiangusha Team SC41 si k
azi
nyepesi lakini kuna mtu mmoja ambaye anaweza
akakusadia kuimaliza .Baada ya video hii kumalizika
chukua
simu na upige namba hizi 005460018.Baada ya kupiga
namba hiyo utaombwa utaje namba ya utambulisho na
namba utakayotumia kama utambulishoi wako ni
501.Utakapotaja namba yako ya utambulisho utawasili
ana
moja kwa moja na mtu huyo.Utakapoonana naye mtajie
namba hiyo na atakuelekeza kitu cha kufanya.Fuata
maelekezo yake na utafanikiwa”
akanyamaza kidogo na
kuendelea.
“ Peniela nakupenda sana.Katika maisha yangu
yote wewe ndiye ndugu yangu pekee ninayekutambua n
a
ndiyo maana nimejitahidi kufanya kila linalowezeka
na
kuhakikisha maisha yako yanabadilika baada ya mimi
kuondoka.Natumai nimejitahidi kufanya haya yote
niliyokueleza kwa ajli yako na nina hakika hata kam
a nikifa
leo nitakuwa nimekuacha mahala pazuri.Zingatia hayo
yote
niliyokuelekeza na maisha yako yatakuwa na furaha .
Either
I’m going to hell or else,wherever I’ll be I’ll be
happy for
you.Now pick up the damn phone and dial the number.
I love
you”
Video ile ikafika mwisho
“ I need water !!!!.. akasema Mathew akainuka na
kuelekea jikoni huku jasho likimtiririka usoni.Akaf
ungua friji
akachukua chupa ya maji na kunywa yote
“ Dah ! Haya mambo ni mazito mno .Kweli John
Mwaulaya alimpenda mno Peniela na ndiyo maana
amemfanyia mambo haya makubwa.Hii ndiyo sababu
aliniambia kwamba nimlinde Peniela kama mboni ya ji
cho
langu kumbe aliifahamu thamani yake.” Akawaza Mathe
w
“ Mathew mwili wote unanisisimka kwa mambo haya
niliyoyasikia kuhusu Peniela” akasema Anitha
“ Ni kweli Anitha,ni mambo mazito,John Mwaulaya
ameitimiza ndoto yake ya kuyabadili maisha ya Penie
la na
sasa Peniela ni mtu mwenye thamani kubwa.Tuna jukum
u la
kuhakikisha anakuwa salama kama alivyosema John
Mwaulaya wa jasho na damu nihakikishe Peniela anaku
wa
salama na ndivyo tutakavyofanya.” Akasema Mathew
“ Kwa hiyo nini kinafuata baada ya kuyafahamu
mambo haya makubwa? Tunamtoa Peniela kule kwa Dr
Joshua? Baada ya kufahamu umuhimu wake binafsi sion
i haja
ya kuendelea kuhatarisha usalama wake kwa kumuacha
aendelee kukaa ndani ya jumba la Dr Joshua.Hatujui
Dr
Joshua anapanga kitu gani kwake.” Akasema Anitha
“ Unayoyasema Anitha ni ya kweli kabisa na
yanawezekana lakini hatuwezi kumuondoa Peniela nda
ni ya
jumba lile kwa sasa.Ukumbuke Dr Joshua usiku wa leo
anakwenda kuonana na wageni wake wa muhimu na ninah
isi
lazima kuna jambo la siri wanataka kulizungumza na
ndiyo
maana amechagua wakutane pale.Peniela anatakiwa awe
po
mle ndani usiku wa leo ili aweze kuchunguza na kufa
hamu
watu hao ni akina nani na wanazungumza nini.Baada y
a hapo
tutajua nini cha kufanya .Anitha ,nafsi yangu inani
pa uhakika
mkubwa kwamba mkutano huo wa leo usiku kati ya Dr
Joshua na hao wageni wake una jambo kubwa ambalo
tunatakiwa tulifahamu”
“ Sawa Mathew lakini unasemaje kuhusiana na hiki
kilichomo ndani ya hili kasha?Kuna haja ya kumjulis
ha
Peniela kwa sasa kile kilichomo humu?
“ Nadhani hakuna haja ya kumjulisha kwa
haraka.Tutamjulisha kila kitu baada ya kuhakikisha
kirusi Aby
kipo mikononi mwetu” akasema Mathew
“ Kwa hiyo nini kinafuata?
“ Chukua simu ,tumpigia huyu mtu ambaye John
amemuelekeza Peniela.Utajifanya wewe ndiye Peniela.

akasema Mathew .Anitha akaziandika namba zile za si
mu na
kupiga.Simu ikaita mara nne halafu ikasikika sauti
“Karibu katika simu ya Deusdedith Mkozumi.Ili
kuongea na mhusika moja kwa moja bonyeza moja kisha
ingiza namba moja halafu ingiza namba yako ya
utambulisho...”
“ Deus Mkozumi?? Akauliza Mathew kwa mshangao
mkubwa
“ Kata hiyo simu Anitha.” Akasema Mathew .Walibaki
wanatazamana wote walikuwa katika mshangao
“ Inashangaza sana..John Mwaulaya na Deus
Mkozumi walikuwa washirika? Akauliza Anitha
“ Kwa upande wangu siwezi kushangaa kwani John
Mwaulaya alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa
kushawishi.Alifanikiwa kujenga ushirika na watu wen
gi
akiwemo Deus Mkozumi!! Akasema Mathew
“ kwa hiyo tunafanya nini? akauliza Anitha
“ Kwa kuwa tumefahamu mtu aliyemsema John
kuwa ni Deus Mkozumi basi lazima tumsubiri Peniela
kwani
tayari tulikuwa na mipango ya kuonana naye bila kuju
a kuwa
kumbe ni mtu sahihi kwetu.Nina hakika siku ya kesh
o lazima
Peniela atafanikiwa kuonana na Deus na mipango yetu
yote
lazima itakwenda vizuri.Tunachotakiwa kukifanya sas
a ni
baadae kufanya mahojiano na Kigomba ili atueleze n
i kwa
namna gani tunaweza kukipata kirusi Aby...
********************
Tayari jua limeanza kupoteza nuru ishara kwamba si
muda mrefu sana kiza kitachukua nafasi .Katika nyum
ba
wanayoishi akina Mathew hali ilikuwa ni ya ukimya
mkubwa.Ni Mathew pekee aliyekuwa akizunguka zunguka
kuhakiki usalama wa hapo nyumbani kwani hakumuamini
moja kwa moja Dr Kigomba.Baada ya kuhakiki usalama
,akarejea ndani na kwenda kugonga katika chumba cha
Anitha
“ Anitha nadhani ni wakati sasa wa kumuhoji
Kigomba,amekwisha pumzika vya kutosha.” Akasema
Mathew wakaongozana wote hadi katika chumba alimo D
r
Kigomba wakamgongea mlango akafungua .Alikuwa kifua
wazi akitiririkwa na jasho.Mathew akamsogelea akali
tazama
jeraha
“ Unajisikiaje sasa? Akauliza
“ kwa sasa najisikia vizuri ila kila ninapokumbuka
tukio lile nahisi kama mapigo yangu ya moyo yanabad
ilika na
kuanza kwenda mbio ndiyo maana jasho jingi
 
SEHEM YA 15

zetu.Watu ambao mnataka kuwauzia kirusi hicho hatun
a
uhakika wa lengo lao lakini ninahisi wanataka kukit
umia kwa
nia mbaya.Nakuhakikishia Kigomba endapo kirusi hiki
kitaachwa hewani hapa Tanzania au nchi nyingine yey
ote it’ll
be the end of us all.Do you understand me?? Akauliz
a
Mathew kwa ukali
“ Yes I do!! Akasema kigomba.Mathew akamtazama
tena kwa makini halafu akasema
“ kwa hiyo Kigomba sisi utuonao hapa hatuna tamaa
ya fedha bali lengo letu ni kutaka kukipata kirusi
hicho ili
tuokoe maisha ya ndugu zetu kwa kuhakikisha kirusi
hicho
kinahifadhiwa sehemu
salama.Kigomba bado hatujachelewa,tunao muda wa kuo
koa
maisha ya ndugu zetu ,tafadhali tueleze kila unacho
kifahamu
kuhusiana na kirusi hiki ,kuanzia mahala kilipo na
kwa namna
gani tunaweza kukipata” akasema Mathew.Kigomba
akainama chini kwa takribani dakika mbili halafu ak
ainua
kichwa na kusema
“ Mathew nimekusikia na kukuelewa vizuri.Ahsante
kwa darasa zuri.Maneno yako haya machache yamenifan
ya
nijione ni namna gani nilivyo mjinga kwa kuweka zai
di pesa
mbele kuliko uhai wa mwanadamu” Akanyamaza kidogo
halafu akaendelea
“ kama nilivyowaeleza awali kwamba Dr Joshua
alinikabidhi mimi kazi hiyo ya kushughulikia mchaka
to wa
kukiuza kirusi Aby kwa mtu anaitwa Hussein.Niliende
sha
mchakato huo hadi hatua ya ulipwaji wa fedha ambazo
ziliwekwa katika akaunti ya siri ya Dr Joshua.Hatua
iliyokuwa
inafuata baada ya kulipwa fedha ni makabidhano ya k
irusi
hicho ambayo yalitakiwa yafanyike hapa Dar es salaa
m lakini
mipango yote ikasimama baada ya kutokea kwa kifo ch
a
Flaviana.Wakati tukisubiri masuala ya msiba yamaliz
ike
ghafla akajitokeza Elibariki na akamueleza Dr Joshu
a mambo
yote kuhusiana na Peniela na mipango yenu yote
mnayoipanga ya kukipata kirusi Aby na hapo ndipo ki
la kitu
kikavurugika.Dr Joshua akanitoa katika mchakato na
akaanza
kumtumia mtu mmoja anaitwa Abel Mkokasule.Huyu ni
mkuu wa idara ya siri ya usalama wa ndani wa taifa
ambayo
iko chini ya idara ya usalama wa taifa lakini kiten
go hiki
kilianzishwa maalum kwa kufanya kazi za siri wanazo
amriwa
na mkuu wa nchi.Dr Joshua alimuhamisha Hussein kwa
siri
toka katika hoteli aliyokuwa amefikia bila ya kunit
aarifu,pili
akahamisha fedha zote za malipo ya kirusi pia bila
kunitaarifu.Alifanya hivyo ili kuhakikisha kuwa seh
emu
iliyobaki ya mchakato anaimaliza mwenyewe bila
kunishirikisha na hivyo kubaki na fedha zote
mwenyewe.Baada ya kulitambua hilo nilianza mchakato
wa
chini chini wa kupambana naye na kuhakikisha ninak
ipata
kirusi hicho .Nilionana na marehemu Jacob Kateka al
iyekuwa
mkuu wa idara ya usalama wa taifa na kwa pamoja
tukakubaliana kushirikiana ili kuhakikisha kwamba t
unakipata
kirusi hicho.Sikujua kumbe Dr Joshua kwa kumtumia A
bel
Mkokasule alikuwa ananifuatilia nyendo zangu na aka
hisi
lazima mimi na Jacob tuna mpango mchafu dhidi yake.
Jacob
alipata ajali mbaya ya gari akafariki .Peniela ndiy
e
aliyenifumbua macho kwamba alimsikia Dr Joshua
akizungumza na Abel simuni kuhusu mimi na Jacob.Kif
o cha
Jacob hakikunikatisha tamaa nikalazimika kutafuta n
amna
nyngine ya kuendeleza mkakati wangu wa kukipata kir
usi
hivyo nikamfuata jaji Elibariki,nikaongea naye na
nikamueleza ukweli kua Dr Joshua hataweza kumfaniki
shia
yale ambayo alimuahidi kwani tayari amekwisha lishw
a
maneno na Peniela .Jaji Elibariki akaghafirika na k
unitaka
nimpeleke mahala aliko Peniela ili akamfundishe ada
bu kwa
kumtungia uongo ule mkubwa.Mara tu tulipotoka nje
wakatokea watu wenye silaha na kuanza kutushambulia
.Jaji
Elibariki ambaye alikuwa ametangulia mbele alipigwa
risasi
nyingi na alifariki kabla hajafikishwa hospitali.”
Kigomba
akatulia akawatazama akina Mathew halafu akaendelea
“ Kwa tukio la leo ni wazi Dr Joshua alikuwa
amedhamiria kutuua sote mimi na jaji Elibariki kwan
i
anafahamu kabisa mimi ni mtu hatari kwake kwa sabab
u
ninayafahamu mambo yake mengi hivyo ili aweze kuwa
na
amani ni lazima aniondoe duniani.Asubuhi ya leo ame
kwenda
kuonana na Hussein ambaye ndiye mnunuzi wa kirusi A
by na
sifahamu waliongea kitu gani lakini naamini kikubwa
kilichompeleka Dr Joshua kwa Hussein ni kuhusiana n
a kirusi
Aby.” Akasema Dr Kigomba
“ Huhisi labda Dr Joshua alikwenda kumkabidhi
Hussein kirusi Aby? Akauliza Mathew
“ Sina hakika sana katika hilo lakini
inawezekana.Kuna ulazima wa kufanya uchunguzi wa ha
raka
ili kubaini kama ni kweli alikwenda kumpa Hussein k
irusi ama
vipi.Lakini kuna kitu kingine ambacho kinanipa mash
aka
kidogo.Jana wakati shughuli za mazishi ya Flaviana
zikiendelea ,nilimpokea mgeni mmoja anaitwa Donald
anatokea Marekani.Huyu mgeni alikuwa anahitaji kuon
ana
na Dr Joshua na kwa kuwa asigeweza kuonana naye kwa
wakati ule Dr Joshua akaelekeza kwamba wakutane kat
ika
nyumba yake ya kule ufukweni.Hii ilinishangaza kido
go kwani
si kawaida yake kukutana na wageni kwa siri namna
ile.Nilifaya maandalizi kama alivyonielekeza na usi
ku wa jana
walionana.Dr Joshua hakutaka kabisa niwepo wakati
anafanya maongezi na Donald akanitaka niende nyumb
ani
kupumzika.Leo nilipokutana naye asubuhi kuna jambo
alilizungumza na sikulitilia maanani sana ila sasa
ninaanza
kuona umuhimu wake.Aliniambia kwamba anataka kusiti
sha
ile biashara yetu na Hussein na kwamba nisijali kwa
ni kuna
mpango mwingine atanishirikisha na tutatengeneza pe
sa
nyingi sana kuliko hata zile tulizolipwa na Hussein
.Alinitaka
vile vile nifanye maandalizi nyumbani kwake kwani u
siku wa
leo tena atakutana na wageni wengine.Alinielekeza n
ifanye
maandalizi ya chakula cha usiku cha watu wanne hii
ina
maana kuna watu watatu atakutana nao usiku wa leo.N
ahisi
kuna jambo linaendelea kati yake na huyo Donald.Nin
ahisi
yawezekana labda anataka kusitisha biashara na Huss
ein ili
akiuze kirusi kwa wamarekani kwa pesa nyingi zaidi
ya zile za
Hussein.Sina uhakika sana na hilo ila kuna ulazima
wa
kufanya uchunguzi wa haraka kubaini kinachoendelea
kati ya
Dr Joshua na huyo Donald.Lazima kuna jambo kubwa
linaendelea kati yao” akasisitiza Kigomba
“ Ahsante sana kwa taarifa hiyo KigombaTayari
tumekwisha anza kulifanyia kazi suala hilo na baada
e leo
tutafahamu kila kitu watakachokiongea.Kitu pekee am
bacho
nahitaji kujua toka kwako ni wapi ndani ya ikulu ki
mefichwa
kirusi Aby?Tunawezaje kukipata toka mahala kilipofi
chwa?
Akauliza Mathew.Uso wa Kigomba ukaonekana kuloa jas
ho.
****************
Tayari kiza kimeanza lakini bado rais wa jamhuri y
a
muungano wa Tanzania Dr Joshua alikuwa ofisini kwak
e
.Alitamani sana kuinuka na kutoka mle ofisini lakin
i kila
alipotaka kufanya hvyo alihisi miguu inakuwa mizito
sana.Haikuhitaji nguvu kubwa kutambua kuwa Dr Joshu
a
alikuwa anasumbuliwa na jambo zito.Muda mwingi alik
uwa
amekiinamisha kichwa chake na kuzama katika mawazo
mengi
“Maneno aliyoyatamka Hussein leo ni mazito
,yameniogopesha na yamenifanya nishindwe kusitisha
mpango wa kumuuzia kirusi.” akawaza Dr Joshua na ku
anza
kuyakumbuka maongezi kati yake na Hussein alipokwen
da
kumtembelea hotelini asubuhi.
“ Dr Joshua kwanza nataka kukupa pole sana kwa
msiba mzito wa binti yako .Mungu ampumzishe pema.”
Ndivyo alivyoanza Hussein baada ya Dr Joshua kumuel
eza
kuhusiana na mpango wa kusitisha makabidhano ya kir
usi
Aby hadi hapo baadae.
“ Pili nakushukuru sana kwa kuacha shughuli zako
nyingi za muhimu na kuja kuonana nami.Nimekusikiliz
a
kwa makini mambo yote uliyonieleza lakini na mimi
naomba niseme maneno machache sana kujibu yale
maelezo mengi uliyoyatoa.Naomba niwe wazi kwako
mheshimiwa rais kwamba sikubaliani hata kidogo na h
oja
uliyoileta ya kutaka kusitisha biashara yetu.Hoja y
a
kwamba unasitisha eti kwa kuwa usalama ni mdogo ni
hoja
dhifu sana na hainiingii akilini hata kidogo na wal
a maneno
hayo si ya kutamkwa na mtu mkubwa kama wewe.Wewe
ndiye mkuu wa nchi,una nguvu kuliko raia yeyote wa
nchi
hii,tumia nguvu yako kama rais na umalize mambo yet
u ili
tuendelee na masuala mengine.Dr Joshua suala hili s
i dogo
kama unavyotaka kulifanya na wala si suala la kufan
yia
mzaha.Hili ni suala zito na huwezi kulimaliza kwa m
aneno
ya kipuuzi uliyoyatamka.Sitaki kuongea mambo mengi
ila
ninachohitaji mimi kesho kabla ya saa nne asubuhi n
iwe
nimeupata mzigo wangu.Itakapofika saa nne sijaupata
mzigo wangu nitakuongezea tena muda hadi saa saba z
a
mchana na kama sintakuwa nimeupokea mzigo wangu had
i
muda huo basi hesabu kwamba hiyo ndiyo itakuwa sik
u
yako ya mwisho kukalia kiti cha urais.Sikutishi na
wala si
lengo langu kukutisha ila ukitaka kuamini maneno ya
ngu
naomba ifike kesho saa saba za mchana bila kuupata
mzigo
wangu utaona kitakachotokea!!
Akasema Hussein kwa ukali
“ Tafadhali naomba usinitishe Hussein.Mimi ni rais
wa nchi hii na nina uwezo wa kufanya jambo lolote h
ata
dakika hii nikitaka kukuzima pumzi ninaweza kufanya
hivyo.Wewe ni mtu mdogo sana kunipa vitisho.Tafadha
i
naomba iwe ni mwanzo na mw.....”
Kabla Dr Joshua
hajamaliza Hussein akaangua kicheko cha dharau
“ Dr Joshua nadhani bado hujanifahamu vyema na
sihitaji unifahamu zaidi ya unavyonifahamu.Labda kw
a
ufupi tu ni kwamba nimekutana na marais na viongozi
wengi wakubwa wa dunia hii na wengi ninafanya nao
mambo mbali mbali makubwa lakini katika hao wote
sijawahi kukutana na rais dhaifu kama wewe.Sitaki n
iongee
sana Dr Joshua na wala sitaki mimi na wewe tufungue
ukurasa mpya wa uadui kwani si ukurasa
mzuri.Ninachokihitaji mimi kesho saa nne asubuhi ni
we
nimeupata mzigo wangu kama tulivyokubaliana.Hunidai
chochote hadi sasa kwani fedha yako yote tayari ime
lipwa
kwa hiyo hakuna tena kitu chochote kinachoweza
kukwamisha nisipewe mzigo wangu.Kumbuka kesho saa
nne asubuhi mzigo uwe umefikahapa.Nisipoupata
nitakusubiri hadi saa saba za mchana na Itakapofika
saa
saba na dakika moja bila kuupata mzigo tayari utaku
wa
umekiuka makubaliano yetu na Tanzania itaingia kati
ka
historia.Sitaki kukwambia ni historia gani ila kila
kitu
kitajuliana muda huo utakapofika.Labda kwa kukudoke
za
tu ni kwamba kama hutanipatia mzigo wangu hadi muda
huo nilioutoa basi saa saba na dakika mbili kesho
hautakuwa tena rais wa Tanzania bali jina lako lita
badilika
na kuwa aliyekuwa rais wa Tanzania..Dr Joshua mimi
na
wewe ni marafiki wakubwa naomba tafadhali tusifike
huko
unakotaka tufike.Naomba unipatie mzigo wangu ili
mahusiano yetu yaendelee kudumu”
akasema Hussein
wakaangaliana huku uso wa Dr Joshua ukiwa umejikunj
a kwa
hasira
“ Dr Joshua nadhani tumemaliza maongezi yetu na
hakuna tena cha ziada tunachoweza kuongea.Ninachosu
biri
ni mzigo wangu hiyo kesho kabla ya saa nne asubuhi.
Labda
kwa kuweka msisitiozo tu ni kwamba si wewe pekee
utakayeathirika bali Tanzani nchi inayoelea katika
bahari
ya amani ,utulivu na salama ,itaelea katika bahari
ya
damu.Mamia kwa mamia ya raia wa Tanzania watapotez
a
maisha kila uchao.Kwa heri mhesimiwa rais.Tutaonana
hiyo
kesho” akasema Hussein na kuinuka akaelekea katika
chumba cha kulala akafunga mlango
Kumbu kumbu ile ikamuumiza mno Dr Joshua
.Akaegemea kiti na kuzama katika mawazo mengi.
“ Toka nimekalia kiti cha urais kwa akribani miaka
kumi sasa sijawahi kukutana na mtu ambaye amenitole
a
vitisho kama Hussein.Anajiamini nini hadi akaongea
maneno
kama yale? Kwa kuwa ameonyesha kiburi na dharau bas
i
nitamuonyesha kwamba nina nguvu zaidi yake.Hatapata
mzigo wake na hawezi kunifanya lolote!!! Akawaza ak
iwa na
hasira halafu akastuka kama mtu aliyekumbuka jambo
Fulani
la muhimu
“ Mhh !! lakini jambo hili halitaki hasira.Linahit
aji
busara kubwa.Huyu Hussein si mtu wa kufanyia mchezo
hata
kidogo.Nilipomfanyia uchunguzi kabla hata sijaanza
mchakato wa kumuuzia kile kirusi niligundua kwamba
ana
mahusiano na mitandao ya kigaidi.Sikulitlia maanani
sana
 
SEHEM YA 16

“ Hii si fedha my princess but It’s something very
valuable .Vipi maendeleo yako? Akasema Dr Joshua
“ Najitahidi baba kukabiliana na hali lakini napat
a
wakati mgumu sana”
“ Nalifahamu hilo Anna.Naomba ujitahidi kuvumilia
katika hii miezi michache iliyobaki nimalize kipind
i changu..”
akasema Dr Joshua na kuonekana kusita kidogo
“ Anna kuna jambo nataka tuongee lakini ngoja
kwanza nikahifadhi mizigo yangu akasema Dr Joshua
na
kuelekea chumbani kwake akaliweka sanduku lile leny
e kirusi
katika kabati la kuhifadhia vitabu na kutoka akarej
ea
sebuleni.Akajimiminia pombekatika glasi akaketi sof
ani na
kusema
“ Anna nadhani tayari umekwisha pata taarifa za
tukio lililotokea leo la kuuawa kwa shemeji yako ja
ji Elibariki”
akasema Dr Joshua
“ Ndiyo baba,nilizipata taarifa hizo nikastuka
sana.Kutwa nzima ya leo nimekuwa najiuliza maswali
mengi
kuhusiana na kinachoendelea katika familia yetu.Ni
nani
hawa wanaotuandama kiasi hiki? Tumewakosea nini? Ni
nani
atakayefuata baada ya Elibariki? Akauliza Anna
“ Anna unayoyasema ni ya kweli .Kumekuwa na
matukio mfululizo yanayoiandama familia yetu lakini
nakuhakikishia watu hao hawana nafasi tena ya kutuc
hezea
kwani tayari vyombo vya usalama viko katika hatua n
zuri ya
kuwabaini waliofanya mauaji hayo.Nakuhakikishia kw
amba
wote waliohusika katika kusabaisha kifo cha Flavian
a na hiki
cha mumewe Elibariki watasakwa katika kila kona ya
nchi na
watapatikana ndani ya siku chache.Kuna watu wanaita
futa
familia yetu lakini nakuhakikishia hawatafanikiwa”
akanyamaza na kunywa funda la pombe akasema
“ Kesho tutakweda katika msiba wa Elibariki kutoa
pole kwa ndugu zake lakini tayari nimekwisha tuna w
atu
kwenda kushughulikia masuala yote ya msiba na kesho
kutakuwa na kikao cha ndugu ambacho na mimi nitahud
huria
ili tupange siku ya mazishi” akanyamaza kidogo akam
tazama
Anna
“ lakini mbona sikuoni kama vile umeguswa na msiba
huu wa shemeji yako? Unaonekana uko kawaida sana”
akauliza Dr Joshua
“ Ulitaka nifanye nini baba ili kuonyesha nimegus
wa?
Akauliza Anna
“ Yule ni shemeji yako ,mume wa dada
yako,nilitegemea kukuona ukiwa katika majonzi makub
wa
lakini macho yako yanaonekana makavu kabisa kama vi
le
hakuna kilichotokea”
“ Tayari nimelia vya kutosha baba ,sitaki kulia
tena.Nimemwaga machozi mengi kuwalilia mama na dada
yagu.I don’t want to cry anymore na ndiyo maana ki
la msiba
unaotokea sasa nauona ni wa kawaida tu” akajibu Ann
a
“ Basi usijali Anna,mambo haya yote yatakwisha na
utayasahau.Vuta subira kidogo nimalize kipindi cha
ngu cha
uongozi .Nitakapokabidhi tu ofisi ,mimi na wewe tut
aondoka
hapa nchini na kwenda kuishi mbali .Tutazunguka dun
ia
nzima tukifurahia uumbaji wa Mungu na haya yote
yaliyotokea naamini utayasahau” akasema Dr Joshua n
a
kumfanya Anna atabasamu
“ Mtazame anavyoongea utadhani ni mtu mwema
sana kumbe ana roho ya kikatili kama shetani.Hizo f
edha
anazoongelea za kuizunguka dunia ni mauzo ya kirusi
kinachokwenda kusababisha maangamizi makubwa.Naapa
kwa jina la mama yangu hatatumia hata senti moja ya
hizo
fedha zake haramu..Halafu..” Anna akatolewa mawazon
i
baada ya simu ya Dr Joshua kuita
“ Halow Abel” akasema Dr Joshua
Kwa takribani dakika mbili Dr Joshua alikuwa
anamsikiliza mtu aliyekuwa anaongea naye simuni hal
afu
akasema
“ Sawa Abel,uzembe ulifanyika ila msiache kuendele
a
kumtafuta ..”.akasema Dr Joshua na kuendelea kumsik
iliza
aliyekuwa anaongea naye simuni.Baada ya muda akasem
a
“ Nimekuelewa Abel hakuna tatizo ila kuna kazi
nataka unisaidie kuifanya kesho.Kuna mzigo nataka u
upeleke
sehemu Fulani na hakuna mwingine ninayemuamini zaid
i
yako.Kesho saa tatu kamili juu ya alama naomba uje
hapa
nyumbani nitakupa maelekezo wapi pa kupeleka mzigo
huo”
akasema Dr Joshua kisha akaagana na Abel simuni
akamgeukia Anna
“ Anna ninatoka kidogo kuna mtu ninakwenda
kuonana naye usiku wa leo.Sintakawia sana.Naomba
ukumbuke kesho tunakwenda wote katika msiba wa
Elibariki” akasema Dr Joshua na kumtaarifu mlinzi w
ake kuwa
uko tayari kuodoka na bila kupoteza muda wakaondoka
“ Najua amekwenda katika mambo yake ya haramu”
akawaza Anna
“ Ninaongea naye lakini hajui kilichomo moyoni
mwangu.Laiti angefahamu ninachokiwaza juu yake nin
a
hakika lazima angeitoa uhai wangu.Kwa namna yoyote
ile
lazima nihakikishe analipa uovu wote alioutenda.kwa
nza kwa
kifo cha Edson pili kwa vifo vya mama na Flaviana.N
inahisi
hata kifo cha Elibariki atakuwa anahusika pia .Siwe
zi kabisa
kusikitika kwa kifo cha Elibariki kwa sabau alifany
a ujinga
mkubwa mno wa kuwasaliti wenzake .Kilichomtokea ni
malipo ya usaliti wake.Kama angeendelea kuungana na
wenzake yasingemkuta haya yaliyomkuta.Apumzike kwa
amani mjinga Yule.Hastahili hata chozi langu” akaw
aza Anna
**************
Swali aliloulizwa Dr Kigomba lilionekana kuwa gumu
kidogo kulijibu.Sekunde zilizidi kuyoyoma akiwa ame
inamisha
kichwa.
“ Dr Kigomba !!! akaita Mathew na Dr kigomba
akainua kichwa.
“ Natumai umelielewa swali nililokuuliza.Kirusi Ab
y
kimefichwa wapi ndani ya ikulu? Njia pekee iliyobak
i kwa
sasa ni kukichukua kirusi hicho moja kwa moja toka
ikulu.Tutafanikiwa hilo kwa maelekezo yako” akasema
Mathew
“ Mathew nimeshindwa kulijibu swali lako haraka
nilikuwa najaribu kutafakari namna tunavyoweza kuli
fanya
hilo ulilolisema yaani kukichukua kirusi Aby toka
ikulu.Naomba nisiwe muongo Mathew suala la kukichuk
ua
kirusi hicho ikulu ni gumu kutokana na mahala kirusi
hicho
kilipofichwa”
“ Unafahamu kilipo? akauliza Mathew
“ Ndiyo nafahamu mahala kilipo“ akajibu Kigomba
“ Ok tueleze”
Dr Kigomba akainamisha kichwa kwa muda na
kusema
“ Ndani ya ofisi ya rais kuna chumba cha siri amba
cho
ili uingie lazima upite katika mlango ambao unafung
uliwa
kwa namba za siri ambazo ni rais peke yake
anazifahamu.Licha ya namba hizo za siri kuna mtambo
pia
unaoyatambua pia macho ya rais.Ukifanikiwa kuingia
ndani
ya chumba hicho kuna chumba kingine unatakiwa kuing
ia.
Ukifanikiwa kuingia ndani ya chumba hicho kuna maka
bati
matatu ambayo yote hufunguliwa kwa namba maalum.Kat
ika
mojawapo ya makabati hayo kuna hifadhiwa kadi Fulan
i ya
kufungulia mlango.Ndani ya chumba hicho kuna mlango
ambao hufunguliwa kwa namba .Ukishaufungua mlango h
uo
unaingia katika chumba kingine chenye milango mitat
u .kwa
kutumia ile kadi unafungua mojawapo ya mlango na un
aingia
katika chumba kingine kidogo.Humo ndimo kilimo kiru
si
Aby.katika vyumba hivi vyote nilivyokuelezeni,hakun
a mtu
mwingine anayeweza kuingia zaidi ya rais pekee.Ni v
yumba
vilivyowekewa mfumo mkubwa wa ulinzi ambao
unamtambua rais pekee .Mtu mwingine ambaye si rais
hawezi kuingia ndani na hata akiingia kingora cha h
atari
kitalia na kuwafahamisha walinzi wa rais kuwa kuna
hatari.Kwa hiyo ndugu zangu nadhani mmeweza kuuona
ugumu uliopo wa kuingia mahala kilipohifadhiwa kiru
si Aby”
akasema Dr Kigomba .Mathew na Anitha wakatazamana n
a
Mathew akakuna kichwa .Siku zote Mathew akikuna kic
hwa
basi huwa jambo analolishughulikia limefikia hatua
ngumu
ambayo hajui afanye nini.Akainama akafikiri kwa mud
a na
kumgeukia Dr Kigomba
“ Nini ulikuwa mpango wako ? akauliza
“ Mimi?? Akauliza Dr Kigomba
“ Ndiyo.Ulisema kwamba ulikuwa na mipango ya
kukipata kirusi Aby.Ungefanyaje kukipata?
“ Mpango wangu ulikuwa hivi,kwa kuwa mimi ndiye
niliyekuwa natakiwa kumkabidhi Hussein kirusi hicho
basi
lazima Dr Joshua atafute mtu mwingine wa kufanya h
ivyo na
mtu pekee ambaye ninaamini atafanya kazi hiyo ni Ab
el
Mkokasule ambaye ndiye anayefanya kazi za siri za
rais kwa
sasa.Mpango wangu ulikuwa ni kupata mtu ambaye
angeweza kumfuatilia Abel na kukipata kirusi hicho.
Kama
ikishindikana kukipata kwa Abel basi tukipate toka
kwa
Hussein.Baada ya kukabidhiwa avamiwe na kunyang’any
wa
kirusi hicho.Hiyo ndiyo ilikuwa mipango yangu.” Aka
sema
Kigomba.Mathew akafikiri kidogo na kusema
“ Very weak plans.Ni vipi iwapo Dr Joshua atamtuia
mtu mwingine au hata yeye mwenyewe akafanya kazi hi
yo?
Halafu kitu kingine ,tayari Dr Joshua anafahamu kit
u kile ni
hatari na kwamba kuna watu wengi ambao wanakitafuta
kirusi kile lazima atakuwa makini sana na kulifanya
jambo hili
kwa usiri mkubwa.Njia pekee yenye uhakika ni kuing
ia ikulu
na kukichukua kirusi mahala kilipofichwa .Kigomba y
ou are
going to find us a way to president’s office .We’re
going in
there to get the virus.Unavyotuona mimi na Anitha t
ayari
tumeyatoa maisha yetu sadaka kwa ajili ya kuepusha
watanzania dhidi ya maangamizi yanayoweza kutokea
endapo kirusi Aby kitasambaa hewani.Kwa hiyo hatuog
opi
kitakachotokea,tunakwenda kukichukua kirusi Aby iku
lu na
wewe ndiye utakayetusaidia sisi kuingia katika ofis
i ya rais”
Jasho jingi likaonekana katika uso wa Dr Kigomba.Ak
ainama
akafikiri na kusema
“ Mathew nina wazo moja.Hussein ni mtu ambaye
nimekuwa nawasiliana naye kwa kipindi kirefu na nin
a hakika
bado hafahamu kama mimi na Dr Joshua tuko katika
mgogoro mzito.Ninafahamu hoteli aliko na hadi chumb
a
anachokaa.Ninaweza kuongea naye na kupata uhakika
endapo tayari amekwisha pewa mzigo wake au bado.Baa
da
ya hapo tutafanya maamuzi nini cha kufanya” akashau
ri
Kigomba.
“ Mathew nadhani anachokisema Dr Kigomba kina
mantiki Endapo akiwasiliana na Hussein tunaweza kup
ata
uhakika kama kirusi kimekabidhiwa kwake au bado.Kam
a
bado basi tutaendelea na makakati wetu wa kwenda
kukichukua ikulu” akasema Anitha.Mathew akafikiri k
idogo
na kusema
“ Ok Anitha zitafute namba za simu za hoteli hiyo
katika mtandao na Kigomba awasiliane na Hussein”
Dr Kigomba akamtajia Anitha jina la hoteli na
haikuchukua muda Anitha akazipata namba za simu za
hoteli
hiyo akapiga na kumpatia simu Dr Kigomba
“ Hallow ,Karibu Samawati beach hotel.Nikusaidie
nini tafadhali” ikauliza sauti tamu ya mwanadada al
iyepokea
simu ile
“ Naitwa Dr Kigomba ni katibu wa rais.Kuna mgeni
wa rais yuko hapa anaitwa Hussein Abdullah Al nasso
r yuko
presidential suit no 6.Ninahitaji kuzungumza naye”
“ Sawa Dr Kigomba naomba usubiri kwa muda mfupi
nikuunganishe naye” akasema yule mwanadada.Baada ya
sekunde kadhaa Dr Kigomba akaunganishwa na chumba c
ha
Hussein
“ Dr Kigomba sasa unaweza kuzungumza na Hussein”
akasema Yule mwanadada
“ Ahsante “ akajibu Kigomba
“ Hallow” ikasema sauti nzito ya kiume ambayo
Kigomba aliitambua ni ya Hussein
“ halow Hussein habari yako? Dr Kigomba hapa
ninaongea”
“ Kigomba..habari zinaweza kusema si nzuri sana
kutokana na uhuni mnaonifanyia”
“ Uhuni gani Hussein? Akauliza Dr Kigomba
“ Mimi na ninyi tumeanza vizuri sana na sikutegeme
a
kama tungemaliza namna hii”
“ Kwani kitu gani kimetokea Hussein? Umeonana na
Dr Joshua? Mimi sikuwepo nilikuwa nimetumwa kazi Fu
lani
na rais na nimerejea jioni hii nikaona ni vizuri en
dapo
 
Jamani hamu yangu ilikuwa Peniela awe na Mathew halafu Anitha na Jason khaaaaaa
Wanamegana tu hawa jamaa, Mathew anaenda kummega Anitha, halafu atakuja kummega Peniela, halafu atammega tena Anna. Series of migegedo!
 
SEHEM YA 17


akauliza Mathew kwa ukali.Dr Kigomba hakujibu kitu
.Mathew akamtaka Anitha watoke na wamuache Kigomba
peke yake
“ Mathew are you sure of this?
“ Yes I’m sure.Hakuna namna nyingine ya kufanya
kukipata kirusi Aby zaidi ya kwenda moja kwa moja i
kulu
kukichukua kirusi mahala kilipohifadhiwa.Tukichelew
a leo
hatutakipata tena so tonight is our night.We must g
et that
virus.Tukiingia katika ofisi ya rais utakwenda kuha
ribu
mifumo yote ya ulinzi na ninaamini kazi hiyo
unaiweza.Niambie haraka ni vitu gani utavihitaji il
i
nimwambe Edmund atusaidie kuvipata kwa haraka? Waka
ti
ukiendelea kutafakari namna ya kufanya mimi ngoja
niwasiliane na Anna nimfahamishe kuhusu suala hili.
Anaweza
pia akatafuta namna ya kutusaidia endapo ule mjinga
hatakuwa na plani yoyote” akasema Mathew
“ Mathew naomba nikuweke wazi kuwa moyo wangu
unasita sana kuhusiana na mpango huo .I’ve never be
en so
scared like this before.Mimi nadhani tuusikilize us
hauri wa
Kigomba kwamba njia pekee ya kukipata kirusi Aby n
i kwa
kusubiri Hussein atakapokabidhiwa halafu sisi tukic
hukue
toka kwake kabla hajaondoka nchini.Ikulu si mahala
pa
kufanyia mchezo.Pale anaishi mkuu wa nchi na hata s
iri zote
za nchi ziko pale kwa hiyo si sehemu ambayo mtu una
naweza
kuingia kirahisi na ndiyo maana kirusi kikahifadhiw
a pale”
akasema Anitha
“ Anitha nimekuelewa lakini hatuwezi kusubiri hadi
Hussein akabidhiwe kirusi halafu tumvamie na
kukichukua.Hiyo si njia nzuri.Njia pekee na ambayo
tutaitumia tunakwenda kuingia ikulu mahala kilipohi
fadhiwa
kirusi Aby na tunakichukua.Believe me Anitha we ar
e going
to do it na wala hupaswi kuwa na hofu.Ndiyo ni maha
la
penye ulinzi wa hali ya juu lakini nakuhakikishia
tutaingia.Kama hukuwahi kuniamini hapo kabla nakuom
ba
uniamini katika hili.Tunakwenda kuingia ikulu na ku
chukua
kirusi Aby.Anitha I promise to take you back alive.
Leo
utashuhudia uwezo wangu ambao hujawahi kuuona”
akasema Mathew na Anitha akabaki amemkodoloea macho
“ Anitha please I need you in this !! akasema
Mathew akiwa amemshika bega Anitha
“ Arlight Mathew I’m in.We can do it.Ninakuamini
sana na nina imani nitarejea salama.”
“ nafurahi kusikia hivyo Anitha.Anza kuorodhesha
vitu ambavyo utavihitaji,mimi ngoja nizungumze na A
nna”
akasema Mathew na kwenda sebuleni akampigia simu An
na
“ Hallow Mathew”
“ Hallow Anna unaendeleaje?
“ naendelea vizuri ,sijui wewe na Anitha”
“ Hata sisi tunaendelea vizuri .Vipi umeshalala?
“ Hapana sijalala bado.Sina usingizi na sitaki hat
a
kufumba macho kwani naogopa kuota mambo ya ajabu
ajabu ya kutisha.Isitoshe kichwa changu bado kina m
awazo
mengi sana.Suala la kifo cha Elibariki nalo linanic
hanganya
mno kichwa chang,najua ni baba ndiye aliye nyuma y
a
mauaji hayo.Nikiyafikiria haya yote nakosa kabisa u
singizi”
“Pole sana Anna.Nafahamu namna ulivyo na wakati
mgumu .Pole vile vile kwa kifo cha shemeji yako jaj
i Elibariki
.Kifo chake amekitafuta yeye mwenyewe kwa hiyo hak
una
haja ya kusikitika sana.Kitu cha muhimu kwa sasa ni
kuelekeza nguvu katika mpango wetu” akasema Mathew
“ Ni kweli Mathew hilo ndilo jambo kubwa kwa
sasa.Ili tuendelee kuwa na amani lazima mtandao wot
e wa
baba ukomeshwe.Mmefikia wapi kuhusu kuonana na Yule
mtu ambaye atatupa maelekezo ya mahala kirusi kili
po?
“ Bado hatujafanikiwa kuonana naye hadi kesho
lakini kuna mambo kadhaa tumeyapata.Kwanza kabisa
naomba usistuke wala kushangaa kwa hili nitakalokwa
mbia”
“ Niamabie Mathew .Ni jambo gani hilo?
“ Dr Kigomba tuko naye hapa nyumbani”
“ Kigomba? Yule ni mshirika mkubwa wa
baba,anatafuta nini hapo?
“ Wakati jaji Elibariki anapigwa risasi Dr Kigomba
alikuwa pamoja naye.Lengo la wauaji lilikuwa ni kuw
aua
wote wawili lakini Kigomba kaponea tundu la sindano
ila
amejeruhiwa kidogo na risasi katika mkono .Baada ya
kunusurika kuuawa hakuwa na sehemu nyingine ya kuj
ificha
bali alimuomba Peniela amsaidie kupata mahala pa ku
jificha
kwa makubaliano kwamba atamsaidia kukipata kirusi.K
wa
mujibu wa maelezo yake ni kwamba Dr Joshua anataka
kuchukua pesa zote peke yake za mauzo ya kirusi hic
ho na
ndiyo maana anafanya jitihada za kumuua Kigomba”
Anna akasikika akivuta pumzi ndefu
“ Mathew nakosa neno la kusema kwa namna
mambo haya yanavyochukua sura mpya kila uchao.”
“ Usiogope Anna,tunaelekea mwishoni mwa hili
suala.Muda mfupi uliopita Kigomba amezungumza na
mnunuzi wa kirusi hicho na amemuhakikishia kwamba
bado
hajakabidhiwa kirusi hicho ila anategemea hadi kesh
o saa
nne asubuhi atakuwa amepewa.Kwa hiyo....”
“ Hebu subiri kwanza Mathew...” Anna akamkatisha
Mathew
“ Umesema kwamba mnunuzi huyo anategemea
kukabidhiwa kirusi hicho kesho kabla ya saa nne as
ubuhi?
“ Ndiyo Anna.Hivyo ndivyo alivyomwambia Dr
Kigomba” Akasema Mathew.Anna akakaa kimya kwa Muda
“ Anna are you there? Akauliza Mathew
“ Mathew I think we’ve got the virus!!
“ Kweli Anna tunao muda mfupi sana hadi kesho
asubuhi lazima tuwe tumekipata kirusi”
“ Mathew listen to me!! Akasema Anna huku
akihema haraka haraka
“ Usiku huu baba amerudi akiwa na kisanduku Fulani
kidogo nikamtania kama katika sanduku hilo lilikuwa
na
fedha akaniambia hakukuwa na fedha ila kulikuwa na
kitu
cha thamani kubwa.Muda mfupi baadae tukiwa tumekaa
sebuleni alipigiwa simu na mtu ambaye nilimsikia aki
mtaja
kwa jina moja tu la Abel ,wakaongea halafu mwisho
akamwambia kwamba kesho kuna kazi atampa
aifanye.Alimwambia kwamba kuna mzigo anataka aupele
ke
sehemu Fulani kabla ya saa nne asubuhi.Kwa maneno h
ayo
uliyonieleza ninahisi inawezekana kisanduku kile ki
kawa
ndicho Kirusi ”
“ Oh my God!!! Wher is he now? Akauliza Mathew
huku akihisi mwili unamsisimka
“ My father? Akauliza Anna
“ yes.”
“ hayupo,ameondoka amesema kuna mtu
anakwenda kuonana naye usiku huu”
“ unaweza kufahamu mahala alikoliweka hilo
sanduku?
“ Ameliweka chumbani kwake”
“Unaweza kuingia chumbani kwake? Akauliza
Mathew
“ Ndiyo ninaweza kwani baba hana kawaida ya
kufunga chumba chake kwa funguo kwa hiyo muda wowot
e
ninaweza kuingia japokuwa kuna walinzi ambao hukili
nda
chumba hicho ila hawawezi kunizuia kuingia.”
“ Anitha tafadhali fanya kila uwezalo nenda sasa h
ivi
chumbani kwa baba yako na ukalitafute hilo sanduku.
Nina
uhakika mkubwa sana lazima kitakuwa ni kirusi
tunachokitafuta” akasema Mathew
“ sawa Mathew ngoja niende sasa hivi” akasema
Anna na kukata simu.Mathew akatoka mbio hadi chumba
ni
kwa Anitha akamkuta amekaa kitandani akitafakari
“ Anitha !!! We’ve got the virus ..!!! akasema
Mathew na kumstua Anitha.Mathew akatoka mbio akalek
ea
katika chumba alimokuwamo Dr Kigomba
“ Kigomba wake up !! we’ve got the virus !!!
“ What ??akasema Kigomba akainuka na kumfuata
Mathew wakaelekea katika ofisi yao
“ Mathew nini kimetokea ? Mbona umetustua
namna hii? Akauliza Kigomba
“ Sikilizeni,nimetoka kuongea na Anna sasa hivi “
“ Anna yupi? akauliza Kigomba kwa mshangao
kidogo
“Mtoto wa Dr Joshua”
“ Mna mawasiliano na Anna!! Kigomba akashangaa
“ Kigomba huu si muda wa maswali.Nimeongea na
Anna na akanieleza kwamba usiku Dr Joshua amekwenda
nyumbani akiwa na sanduku dogo na akamwambia Anna
kuwa sanduku lile lina kitu cha thamani kubwa.Baada
e
akaongea na Abel simuni akamwambia kwamba kuna mzig
o
ambao anahitaji kesho aupeleke sehemu Fulani kabla
ya saa
nne asubuhi.Kwa mujibu wa maelezo ya Hussein ni kwa
mba
amekubaliana na Dr Joshua kuwa kesho kabla ya saa n
ne
ataupata mzigo wake,hii inanifanya niamini kuwa k
isanduku
hilo lazima ndicho kirusi ambacho Dr Joshua anataka
kukikabidhi ka Hussein kwa kumtumia Abel Mkokasule.

akasema Mathew .Uso wa Kigomba ukapambwa na
tabasamu pana
“ I was right then.Dr Joshua lazima atamtumia Abel
Mkokasule kupeleka kirusi kwa Hussein.kwa hiyo tuna
fanya
nini Mathew? Akaulzia Dr Kigomba
“ Kwa sasa Dr Joshua amekwenda kukutana na
wageni wake katika ile nyumba yake kule ufukweni na
muda
wowote toka sasa Anna ataingia katika chumba cha ra
is na
atalichukua sanduku hilo.Tumuombe Mungu amsaidie aw
eze
kuingia na kutoka salama ndani ya chumba hicho cha
rais na
kulipata sanduku hilo.Tutapata jibu ndani ya muda
mfupi
ujao kama amefanikiwa ” akasema Mathew
“ Mathew you are wonderfull ,nimekosa nen......”
kabla Kigomba hajamaliza alichotaka kusema simu ya
Mathew ikaita
“It’s Anna...” akasema Mathew na kubonyesha kitufe
cha kupokelea
“ Hallow Anna” akasema Mathew
“ Mathew ,tayari niko katika chumba cha baba
nimeliona lile sanduku lakini nimeshindwa kulifungu
a
limefungwa kwa namba maalum”
“ Good job Anna.sasa fanya hivi,tafuta namna
unavyoweza kufanya uweze kuondoka na hilo sanduku
.Ukifanikiwa kutoka nitakupa maelekezo.Can you do t
hat?
Please Anna ..”
“Yes I can..Kuna vitu vya mama ambavyo natakiwa
kuvichukua humu ndani kwa hiyo usijali ninatoka na
hili
sanduku sasa hivi na nitakutaarifu nitakapotoka hum
u “
“ Sawa Anna.Kuwa makini ” akasema Mathew na
kukata simu
“ Tuombe Mungu amsaidie Anna atoke salama ndani
ya chumba hicho” akasema Mathew
“ Nina hakika lazima kutakuwa na kirusi ndani ya h
ilo
sanduku” akasema Dr Kigomba na wote wakabaki kimya
wakisubiri simu ya Anna.Baada ya kupita dakika kumi
Anna
akapiga simu haraka haraka Mathew akabonyeza kitufe
cha
kupokelea
“ hallow Anna” akasema Mathew
“ Mathew tayari ninalo sanduku lile hapa chumbani
kwangu.Naomba maelekezo nifanye nini?
“ Good.Nataka utoke nalo hilo sanduku utanikuta
nakusubiri pale Club Chicago.Can you do that?
“Yes I can “ akajibu Mathew
“ Thank you “ akasema Mathew na kusita kidogo
kisha akasema
“ Anna,there is one more thing I want to tell you.

“ What is that Mathew?
“ Once you step out of that place,you are not goin
g
back again.Kwa hiyo naomba uchukue baadhi ya vitu v
yako
unavyodhani ni vya muhimu” akasema Mathew na Anna
akawa kimya
“ Anna!! Akaita Mathew kwa sauti ndogo
“ Nimekuelewa Mathew.Tukutane hapo Chicago
club” akajibu Anna na kukata simu.Mathew akawatazam
a
Kigomba na Anitha kwa zamu
“ Ninakwenda kumchukua Anna,ninyi mtabaki
hapa.Sintachukua muda mrefu”
“ I’m going with you “ akasema Anitha
“ No ! You stay here.I’m gong there alone.Dont wor
ry
I’ll be fine” akasema Mathew akatoka na kuelekea ch
umbani
kwake kujiandaa ,akachukua baadhi ya vifaa ambavyo
angevihitaji kisha akatoka
 
SEHEM YA 18


“ yes I did .Aliniudhi sana Yule mshenzi kwa jambo
alilokufanyia.Sikuwa na adhabu nyingine ya kumpa za
idi ya
hiyo aliyoipata.Naomba nikuweke wazi peniea kwamba
wewe unaishi ndani ya moyo wangu.Wewe ni sehemu
yangu.Nakupenda kuliko kitu chochote hapa duniani k
wa
hiyo yeyote atakayethubutu kukuumiza wewe atakuwa
ameniumiza na mimi pia.Siko tayari kukuona ukiumizw
a na
mtu yeyote Yule kwa hiyo alichokipata Elibariki ni
halali yake”
akasema Dr JOshua na kabla Peniela hajasema chochot
e
mlango ukagongwa,Peniela akaenda kuufungua na kukut
ana
na Kareem ambaye alikuja kumtaarifu Dr Joshua kuwa
wageni wake tayari wamewasili
“ Peniela nahitaji kwenda kuwapokea wageni
wangu.Nina mazungumzo nao ya muhimu sana na baada y
a
kumaliza mazungumzo yetu nitakuja kukesha nawe hadi
asubuhi.Tafadhali naomba usitoke humu chumbani ,sit
aki
wageni wangu wapate picha tofauti .Umenielewa Penie
la?
“ Nimekuelewa mfalme wangu.Neno lako ni amri
kwangu kwa hiyo ukimaliza maongezi yako naomba tafa
dhali
uje haraka sana ninakusubiri kwa hamu” akasema Peni
ela na
kumbusu Dr Joshua halafu akamrekebisha tai yake
“ Now you look perfect,you can go “ akasema Peniel
a
na Dr Joshua akatoka kwenda kukutana na wageni wake
“ Hallow Donald,karibuni sana “akasema Dr Joshua
na kuwakaribisha wageni wake
“ Ahsante sana mheshmiwa rais” akajibu Donald
“ Mheshimiwa rais ,kutana na Lucia mkozumi rais
mtarajiwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.” Dona
ld
akaanza kufanya utambulisho .Dr Lucia akasimama na
kwenda kumpa mkono Dr Joshua kwa mara nyingine
“ Nafurahi sana kukutana nawe mheshimiwa rais”
akasema Dr Joshua kwa utani na wote wakaangua kiche
ko
“ Mheshimiwa rais naomba pia ukutane na Habib
Omar” akasema Donald.Habib akainuka na kwenda kumpa
mkono Dr Joshua.Kisha tambuana Dr Joshua akawaongoz
a
wageni wake katika chakula
***************
Club Chicago,mojaya kumbi kubwa ya burudani
ilifurika watu kila uchao kutokana na mchanganyiko
wa
burudani lukuki zinazopatikana ndani yake.Mathew al
iwasili
hapo klabuni na kuegesha gari akaenda katika sehemu
ya
kuuzia vinywaji akanunua chupa ya maji ya kunywa ki
sha
akatoka na kwendea kukaa nje sehemu ambayo aliweza
kuyaona magari yote yaliyoingia na kutoka pale klab
uni
“ Naomba Mungu atusaidie ili ndani ya hilo sanduku
kuwe na kirusi Aby.Vinginevyo tutakuwa tumemuingiz
a Anna
katika matatizo makubwa na baba yake” akawaza Math
ew
huku akiendelea kunywa maji akimsubiri Anna awasili
.Dakika
ishirini baadae toka Mathew alipofika pale klabuni,
Anna
akampigia simu
“ Hallow Anna” akasema Mathew
“ Mathew mimi nimefika hapa katika geti la kuingi
lia
klabu Chicago wewe uko wapi?
“ Mimi tayari nimefika hapa kitambo
ninakusubiri.Tayari nimeliona gari lako nenda moja
kwa moja
katika maegesho na usitoke ndani ya gari hadi nihak
ikishe
kuna usalama wa kutosha na kwamba hakuna mtu
anayekufuatilia.” Akasema Mathew Anna akafuata mael
ekeo
ya Mathew na alipohakikisha kuwa hakukuwa na hatari
yoyote wala mtu aliyekuwa anamfuatilia Anna Mathew
akamfuata na kugonga kioo cha dirisha,Anna akafungu
a
mlango na kushuka .
“ Thank you Mathew.I was so scared” akasema Anna.
“ Usiogope Anna you are in safe hands.Hakuna mtu
yeyote aliyekutilia shaka?
“ Sina hakika kama kuna mtu alikuwa na mashaka
nami kwani karibu walinzi wote wa ikulu wananifaham
u na
hata waliponiuliza nilikokuwa naelekea usiku huu
nikawaambia kuwa ninaelekea kwenye msiba wa shemeji
yangu Elibariki ninakwenda kulala huko.” akasema An
na
“ Good.Sanduku liko wapi? Akauliza Mathew .Anna
akafungua mlango wa nyuma wa gari na kulitoa sanduk
u
dogo akampatia Mathew akalitazama na kuhisi mwili w
ote
unamsisimka.Anna akashusha pia sanduku lake lingine
lililokuwa na nguo na baadhi ya vitu vyake vingine
vya
muhimu kama alivyokuwa ameelekezwa na Mathew
“ Kitu cha mwisho unachotajika kukifanya Anna ni
kuzima simu yako halafu toa kabisa laini na simu i
ache ndani
ya gari.Ni rahisi sana kukupata kama wakiifuatilia
simu yako”
akasema Mathew .Bila kupoteza muda Anna akaizima sm
u
yake ,akatoa laini na kuitupia simu katika gari aka
funga
mlango.Mathew akamtazama na kusema
“ Anna this is it.Tayari umeingia katika ulimwengu
mpya.Let us go” akasema Mathew na kulibeba begi la
Anna
lenye nguo na vitu vingine hadi katika gari lake ak
amfungulia
Anna mlango wakaondoka
“ Anna sijui nikwambiaje ila naomba ufahamu kuwa
wewe ni shujaa na siku moja historia itakukumbuka.W
hat
you’ve done today will save millions of people” aka
sema
Mathew
“ Mathew hiki kitu nilichokifanya si kitu rahisi l
akini
nimelazimika kufanya kutokana na hasira nilizonazo
kwa
baba yangu kwa mambo anayoyafanya.Kitendo cha kumuu
a
mama yangu mzazi pamoja na kusababisha kifo cha Fla
viana
vimenifanya nimchukie mno kuliko hata shetani.Baba
hana
roho ya ubinadamu hata kidogo.Tayari ushetani ume
kwisha
muingia na hana huruma na binadamu yeyote Yule.Lazi
ma
alipe uovu wake.Lazima akutane na mkono wa sheria .
Lakini
Mathew nina swali nataka kuuliza”
“ Uliza Anna usiogope” akasema Mathew
“ Ni vipi kama kilichomo ndani ya hili sanduku si
kirusi tunachokitafuta?
“Kama hakitakuwa chenyewe tutatafuta namna
nyingine ya kufanya lakini kutokana na mazingira ya
livyo nina
imani kubwa ndani ya sanduku hili kuna kirusi
tunachokitafuta.” Akasema Mathew
“ Mathew unanifurahisa sana kwa namna usivyokata
tamaa.You are always positive” akasema Anna huku
akitabasamu halafu tabasamu likapotea ghafla akasem
a
“ Mathew nataka kufahamu kuhusu Kigomba.Huyu ni
mshirika mkubwa wa baba na katika mambo yote maovu
anayoyafanya baba ,Kigomba naye ameshiriki,what are
you
going to do with him? When this is over are you goi
ng to let
him go?
“ Usiogope Anna,siwezi katu kumuacha Kigomba
aende hivi hivi.Mikono yake yote imejaa damu na kwa
sasa
baada ya mipango yao dhalimu kushindwa kufanikiwa
anatafuta sehemu ya kujiosha uovu wake.Nimemuhifadh
i
kwa muda tu ili atusaidie kukipata kirusi na baada
ya hapo
yeye ataungana na wenzake kujibu mashtaka dhihi
yao.Nakuhakikishia Anna,yeyote aliye na ushiriki wa
namna
yoyote ile katika mtandao wa Dr Joshua na wenzake
hatasalimika .I swear hakuna atakayebaki salama.Hat
a kama
na wewe unashirikiana naye lazima utakutana na mkon
o wa
sheria” akasema Mathew na kuingiza utani kidogo
uliomfanya Anna aangue kicheko
***************
Dr Joshua na wageni wake walimaliza kupata chakula
cha usiku ,wahudumu wakaruhusiwa kuingia ndani kuon
doa
vyombo kisha wakaondoka zao kwani hawakuwa wakihita
jika
tena.Baada ya wote wasiotakiwa mle ndani kutoka
wakiwamo walinzi wa rais Dr Joshua akaamuru asiruh
usiwe
mtu yeyote kuingia mle ndani hadi atakapomaliza ma
ongezi
na wageni wake
“ Sasa tunaweza kuanza maongezi yetu” akasema Dr
Joshua.Donald na Lucia wakatazama Donald akakohoa k
idogo
na kusema
“ Mheshimiwa rais nakushukuru kwa kutafuta tena
nafasi ya kuja kuonana nasi siku ya leo”
Wakati kikao kati ya Dr Joshua na wageni wake
kikiendelea tayari Peniela alikwisha toka chumbani
kwake na
alikuwa amejificha katika nguzo iliyokuwa na ua kub
wa
karibu kabisa na sebule na toka hapo aliweza kusiki
a kila
kilichoongelewa pale sebuleni.
“ Mheshimiwa rais ,tukirejea mazungumzo yetu ya
jana,nimewaleta kwako wahusika wakuu wawili wa ile
mipango tuliyoongea jana.Mimi sintakuwa msemaji san
a kwa
siku ya leo ili nikuachie nafasi ya kutosha kuweza
kuzungumza na mheshimiwa rais mtarajiwa pamoja na H
abib
mfanikishaji mkubwa wa mpango mzima” akasema Donald
.Dr Joshua akarekebisha koo na kusema
“ Nimefurahi kukutana nawe ana kwa ana
Lucia.Naamini Tanzania itakuwa na bahati sana kukup
ata rais
kama wewe” akanyamza kidogo kisha akaendelea
“ Jana nimeongea kwa kirefu sana na Donald kuhusu
mpango wote nikamuelewa na nikaukubali lakini nilit
aka pia
nikuone na nisikie kutoka kwako pia kuhusu mambo ka
dhaa
“akanyamaza tena kidogo halafu akaendelea.
“ Katika makubaliano uliyoyafanya na serikali ya
Marekani mmekubaliana kwamba baba yako Deus Mkozumi
auawe kwa kuwa aana mahusiano na Andrew Rodney
anayetafutwa sana na Marekani,unakubaliana na jambo
hilo
kwa moyo mmoja?
“ Dr Joshua najua utakuwa umestuka kidogo kwa
jambo hilo na hata mimi nilipoelezwa kwa mara ya kw
anza
niliomba nipewe muda wa kulitafakari na baada ya ta
fakari
ya kina na kupima faida na hasara zitakazopatikana
kutokana
na jambo hilo nikaona faida ni nyingi kuliko hasara
hivyo
nikaridhia hilo lifanyike.Kuna sababu kadhaa kubwa
zilizonifanya nikakubali kuhusu jambo hilo lakini k
ubwa ni
kudumisha mahusiano mazuri na Marekani.Tanzania ita
pata
faida nyingi sana iwapo nitafanikiwa kuwa rais kwan
i kama
alivyokueleza Donald jana Serikali ya Marekani imea
hidi
kuibadili Tanzania na kuwa moja kati ya taifa kubwa
linaloongoza kiuchumi na hata kijeshi barani Afrika
.Hii ni
neema ambayo watanzania hawapaswi kuikosa kwa hiyo
niko
tayari kwa masharti yote ambayo serikali ya Marekan
i
imeyatoa iIi inchi yetu iweze kupiga hatua kubwa
kimaendeleo.Dr Joshua nakuhakikishia kwamba nafasi
hii ya
urais ninaiweza na nitaifanya kwa nguvu zangu zote
na nchi
hii itapiga hatua kubwa ndani ya kipindi kifupi” ak
asema Dr
Lucia
“ I can see a devil in her eyes.She’s one of us,a
monster” akawaza Dr Joshua huku akimtazama Lucia kw
a
makini halafu akasema
“ Nashawishika kukubaliana nawe kuwa unaweza
kuongoza nchi kwani kiti cha urais kinahitaji mtu j
asiri
asiyesita wala kuogopa kufanya maamuzi magumu na we
we
Lucia umedhihirisha kuwa unao uwezo wa kufanya maam
uzi
magumu kwa mahufaa ya nchi.Sina wasi wasi kabisa n
awe
katika hilo” akasema Dr Joshua na kumgeukia Habib O
mar
“ Habib Omar” akaita Dr Joshua
“ Naam meshimiwa rais” akaitika Habib
“ Ni mara yangu ya kwanza kuonana nawe na Donald
aliponieleza kuhusu mashirikiano ya serikali ya Mar
ekani na
ninyi Alqaeda nilistuka sana.Hebu nieleze namna
mlivyopanga kuutekeleza mpango wenu hapa nchini?
“ Mheshimiwa rais aliyokueleza Donald ni ya kweli
.Serikali ya Marekani imeingia makubaliano na sisi
ya kufanya
kazi pamoja.Hii si mara ya kwanza kwa Alqaeda kufan
ya kazi
na Marekani japokuwa katika jicho la kawaida sisi n
i maadui
wakubwa.Tayari tumekwisha shirikiana katika matukio
kadhaa makubwa ambayo sitaki kuyataja hapa.Kwa hiyo
si
kitu cha kushangaa kabisa” akasema Habib.
“ Tukirejea katika makubaliano yetu ni kwamba
serikali ya Marekani wanataka kumuua Andrew Rodney
ambaye amekuwa akitoa siri za serikali ya Marekani
kwa
mataifa mahasimu zake na kwa kuwa wanataka kumuua b
ila
kujulikana kuwa ni wao walio nyuma ya mauaji hayo
wanataka kututumia sisi kuutekeleza mpango huo na
kumuua Andrew.Ili tuutekeleze mpango wao na sisi ku
na
mambo tunayahitaji pia na kama alivyokueleza Donald
ni
kwamba tunaye kiongozi wetu wa ngazi za juu anashil
iwa na
 
SEHEM YA 19

Sura ya Lucia ikabadilika ghafla .Ni wazi alistush
wa
mno na kile alichokisema Dr Joshua.Kwa kama dakika
mbili
wote walibaki kimya kila mmoja akiwaza lake.
“ Kwa hiyo unahitaji nini mheshimiwa rais kuhusian
a
na huyo Rosemary? Akauliza Donald
“ Ninahitaji Rosemary naye awepo litakapofanyika
shambulio pale Dar city shopping mall na auawe pia.

“ Hapana Dr Joshua siwezi kufanya hivyo.Tayari
nimekwisha weka sahihi ya kumwaga damu ya baba yang
u
mzazi siwezi tena kumwaga na damu ya mama.” Akasema
Lucia kwa ukali
“ Lucia ili haya yote tuliyoongea yawezekane lazim
a
hilo lifanyike.Kama hautaliwezesha jambo hilo lifan
ikiwe
sahau kabisa kuwa rais wa Tanzania kwani mama yako
naye
ana ndoto za kuwa rais na tayari mimi na yeye tuna
makubaliano kuwa nimsaidie ili awe rais “ akasema D
r Joshua
kwa ukali.Kulitokea mabishano makali mle ndani kati
ya Dr
Joshua na Lucia hali iliyomlazimu Donald kuingilia
kati na
kuwatuliza.Ukaibuka tena mjadala mkali kuhusu suala
lile
aliloiibua Dr Joshua.Baada ya majadiliano ya kina L
ucia
akakubali kufanya kama alivyotaka Dr Joshua
“ Hapo sasa tunakwenda sawa.Ninachotaka
kufahamu ni lini mambo haya yatafanyika? Akauliza D
r
Joshua
“ Kesho jioni”
“ Kesho jioni? Mbona mapema sana? Akashangaa Dr
Joshua
“ Mimi nilidhani labda haya ni mambo ya wiki au
miezi kadhaa ijayo”
“ Mheshmiw arias hivi tunavyoongea Andrew Rodney
yuko Dubai na kesho ataanza safari ya kuja Tanzania
.Ndege
atakayopanda itandoka Dubai saa tano asubuhi na kuf
ika Dar
es salaam saa kumi na moja kasoro joni.Binti mfalme
Salhat
yeye yuko Afrika ya kusini na tayari Lucia amekwish
a
wasiliana naye kesho saa nane za mchana atawasili .
Baada ya
mapumziko mafupi Lucia akiwa ameambatana na wazazi
wake watampeleka Salhat Dar city shopping mall amba
ko
litafanyika shambulio na kila kitu kitaanzia hapo.K
wa hiyo
mheshimiwa rais mipango yote tayari imepangwa kufan
ikisha
suala hili na kilichobaki ni utekelezaji tu” Akasem
a Donald.Dr
Joshua akainama akafikiri kwa muda kidogo na
kuwahakikshia akina Donald kwamba mambo yote
yatakwenda vizuri kama walivyokubaliana.
Baada ya majadiliano mengine ya kama nusu saa hivi
kikao kikafikia tamati.Wakainuka na kupeana mikono
wakipongezana kwa hatua ile kubwa waliyoifikia na
kutakiana kila la heri kwa siku ngumu ya kesho yake
.Dr
Joshua akawasindikiza wageni wake wakaondoka.
Peniela aliyekuwa amejificha katika ua kubwa nyuma
ya nguzo akainuka taratibu baada ya Dr Joshuana wag
eni
wake kutoka akanyata akaelekea chumbani kwake.Nguo
nyepesi alizokuwa amevaa zilikuwa zimeloa jasho mit
hili ya
mtu aliyenyeshewa na manyunyu ya mvua.Alipoingia
chumbani haraka haraka akavua nguo zile zilizoloa
akaingia
bafuni kujimwagia maji
“ Kitu nilichokisikia pale sebuleni ni cha kweli a
ma
niko ndotoni? Akajiuliza Peniela wakati akijimwagia
maji.
“ Hapana ile si ndoto .Akili yanmgu haijawahi
kunidanganya hata mara moja.Nilichokikia ni kitu ch
a kweli
kabisa .Haya ni mambo makuwa ambayo Dr Joshua na
wenzake wanapanga kuyafanya.Nafahamu Dr Joshau ni m
tu
katili ila sikutegemea kabisa kama anaweza akafikia
ukatili wa
kiwango hiki yaani anaongelea kuutoa uhai wa binada
mu
wenzake bila hata ya kupepesa macho.Sikuwahi kudhan
i mtu
kama rais wa nchi ambaye aliapa kuwalinda raia wa n
chi yake
anaweza akaruhusu shambulio la kigaidi lifanyike nd
ani ya
nchi yake na kumwaga damu ya watu wasio na hatia.Th
ey
want to assassinate Deus Mozumi halafu kibaya zaidi
mtoto
wa Deus mwenyewe ndiye kinara wa kupanga mipango ya
kumuua baba yake kwa ajili ya tamaa ya urais.Lazima
nimfahamishe Mathew haraka sana kuhusu jambo hili.L
azima
tufanye kila tuwezalo kuuvuruga mpango huu.” Akawaz
a
Peniela akatoka bafuni na mara mlango ukafunguliwa
akaingia Dr Joshua ambaye alisisimkwa mwili kumkut
a
Peniela akiwa mtupu ametoka kuoga
“ Oh my Darling ! “ akasema Peniela na kumkumbatia
Dr Joshu akampiga mabusu mfululizo
“ Nisamehe malaika wangu nimekuacha peke yako
kwa muda mrefu.Kikao kimekuwa kirefu tofauti na
nilivyotegemea.”
“ Usijali mfalme wangu.Ni mambo ya kazi.Wewe ni
rais wa nchi nafahamu majukumu mazito
uliyonayo.Tuachane na hayo Dr Joshua naomba unipe
ninachohitaji,nimekusubiri kwa muda mrefu” akasema
Peniela
“ Peniela I’m sorry my queen kwa leo haitawezekana
tena,kuna masuala ya muhimu sana ambayo natakiwa
kuyashughulikia” akasema Dr Joshua
“ Dr Joshua nafahamu majukumu uliyonayo lakini na
mimi pia ninayo nafasi yangu kwako.Naomba japo kwa
dakika kumi tu” akasema Peniela na kumsukumia Dr Jo
shua
kitandani akaanza kumtoa nguo moja moja na baada ya
dakika chache wakaingia mchezoni
*****************
Anitha hakuthubutu hata kufumba ukope wa
jicho.Alikuwa amekaa sebuleni akiwa na bastora
mkononi.Aliogopa yasije yakamtokea kama yaliyomtoke
a
usiku alipobaki peke yake na jaji Elibariki.Kengele
ya getini
ikalia na kwa haraka akaenda kuangalia katika lunin
ga ni nani
aliyeko getini akamuona Mathew.Haraka haraka akatok
ana
kwenda kufungua geti.Baada ya kuingiza gari ndani M
athew
akafungua mlango akashuka halafu akazunguka katika
mlango wa pili akaufungua akashuka Anna.Anitha na A
nna
wakasalimiana halafu wakaelekea ndani
“ Kigomba yuko wapi? Akauliza Mathew
“ Toka ulipoondoka hajatoka chumbani kwake”
akasema Anitha.Mathew akaenda katika mlango wa chum
ba
cha Dr Kigomba akagonga mlango Kigomba akaufungua
“ Mathewe you are back ! akasema Kigomba
“ yes I’m back “akajibu Mathew na kumtaka Kigomba
amfuate ofisini .Dr Kigomba na Anna wakasalimiana.
“ Jamani nimewaiteni hapa tupeane taarifa za
maendeleo ya mipango yetu.Kwa ufupi tu ni kwamba An
na
amefanikiwa kulipata sanduku ambalo ninaamini ndani
yake
kunaweza kuwa na kirusi Aby” akasema Mathew na
kulichukua sanduku lile akampatia Anitha akalishika
akatabasamu akampatia Kigomba naye alishike
“ Damn you Dr Joshua !! You are finished !! akasem
a
Dr Kigomba kwa sauti ndogo na kulirejesha sanduku l
ike kwa
Mathew
“ Kinachofuata sasa ni kulifungua ili tuone kuna n
ini
ndani.Kama kweli kilichomo humu ndani kitakuwa ni k
irusi
Aby basi sehemu moja ya operesheni yetu itakuwa ime
timia
na halafu tutaingia katika sehemu ya pili” akasema
Mathew
na kumtaka Anitha aende chumbani kwake akalete kisa
nduku
kidogo chenye vifaa vidogo vidogo kwa ajili ya kufu
ngulia
sanduku lile lenye kirusi.Anitha akaenda haraka na
kurejea na
kisanduku alichoagizwa
“ Mathew let me do it.Let me open it” akasema
Anitha .Mathew akamtazama kwa sekunde kadhaa na
kumpa lile sanduku
“ Thank you” akasema Anitha na kuliweka
mezani,Mathew akawataka Kigomba na Anna kutoka pale
sebuleni kwa ajili ya usalama wao,akampeleka Anna k
atika
chumba alichoandaliwa na Kigomba akaeleka chumbani
kwake.Ilimchukua Anitha zaidi ya saa moja kulifungu
a
sanduku lile kwani llihitajika kufunguliwa kwa unag
alifu
mkubwa sana .Mara tu alipofanikiwa kulifungua akamr
ukia
Mathew wakakumbatiana kwa nguvu.
“Anitha youa are a devil !! Hakuna kitu
kinachokushinda hapa duniani” Mathew akasema kwa fu
aha
akimpongeza Anitha kwa namna alivyofanikiwa kulifun
gua
sanduku lile lililokuwa limefungwa kwa namba za sir
i.Baada
ya kupongezana Mathew akalisogelea lile sanduku na
kulifungua ,ndani yake kulikuwa na kitu mfano wa ch
upa
ndogo ya kioo ambayo ndani yake kulionekana kuwa na
kitu
chenye kimiminika chenye rangi ya kijani.Nje ya chu
pa ile
kulikuwa na maandishi makubwa yaliyosomeka Aby.
“ Anitha this is what we’ve been looking for.This
is
the Virus.Nina hakika kabisa kwamba hiki ndicho kir
usi
chenyewe” akasema Mathew halafu wakakumbatiana tena
kwa furaha
“ We’ve saved the world “ akasema Anitha .Mathew
akamtuma akawaite Anna na Kigomba
“ Anna unapaswa kushukuriwa sana na dunia nzima
kwa jambo ulilolifanya” akasema Mathew baada ya Ann
a
kutokea.Uso wa Anna ukapambwa na tabasamu zito
“ Tumefanikiwa kulifungua sanduku na hiki ndicho
tulichokikuta” akasema Mathew na kulifungua lile sa
nduku
“ This is the virus..” akasema Mathew na
kumuonyesha Ana kirusi kile ndani ya sanduku.Kwa fu
raha
aliyoipata Anna akamkumbatia Mathew kwa nguvu
Baada ya watu wote kushuhudia kilichokuwamo
ndani ya lile sanduku Mathew akalichukua na kwenda
kuliweka chumbani kwake halafu akarejea ofisini
“ Kabla ya kuendelea naomba tutume dakika mbili
kila mmoja kimya kimya amshukuru Mungu wetu kwa
kutuwezesha kukipata kirusi hiki .Binafsi sikutegem
ea kama
tungeweza kukipta kirusi hiki kwa njia hi.Tayari mi
mi na
Anitha tulikwisha kata shauri la kuingia ikulu usik
u wa leo
kwenda kukichukua kirusi hiki na katika operesheni
hiyo
chochote kingeweza kutokea lakini tulikuwa tayari k
wa
lolote.Katika maombi yetu haya pia tuwakumbuke pia
wenzetu waliopoteza maisha yao kwa namna moja ama
nyingine kwa sababu ya kirusi hiki.Yupo Dr Flora
,Flaviana,Noah ambaye aliyemuokoa jaji Elibariki k
atika
shambulio lililolenga kumuua na vile vile tusisaha
u
kumuombea pia hata jaji Elbariki.” Akasema Mathew n
a wote
wakafumba macho kwa dakika mbili kila mmoja akiomba
“ Amen” akasema Mathew na watu wote
wakafumbua macho yao
“ Dah ! Mathew yaani bado siamini macho yangu
kama kweli tumefanikiwa kukipata kirusi Aby.Sipati
picha nini
kitatokea pindi Dr Joshua atakaporejea na kugundua
kirusi
hakipo.Naamini atatamani apae apotee kabisa katika
hii
dunia.hahahahaaa” Dr Kigomba akaangua kicheko kikub
wa.
“ Nahisi anaweza akaanguka na kufariki hapo hapo
atakapogundua kirusi hakipo..hahahaa” Dr Kigomba a
kazidi
kucheka
“ Msinione nacheka ndugu zangu ni kutokana na
picha ninayoipata baada ya Dr Joshua kukuta kirusi
hakipo.Sifahamu nini ataamua kufanya atakapogundua
ni
Anna ndiye aliyekichukua kirusi hich😵k tuachane n
a hayo
,Mathew tueleze nini kinafuata baada ya kukipata ki
rusi Aby?
Akauliza Dr Kigomba.Mathew akamkazia macho kwa seku
nde
kadhaa na kusema
“ Kuna mambo mawili makubwa ambayo nataka
niyaweke wazi kwenu.Kwanza ni kuhusu Anna.Huyu ndiy
e
shujaa wetu .Amehataraisha maisha yake na kukichuku
a
kirusi Aby.Kwa hili alilolifanya la kuingia ndani y
a chumba cha
baba yake na kuiba sanduku lenye kirusi Aby ni kite
ndo cha
hatari kubwa sana.Ameingia katika mgogoro mkubwa sa
na
na baba yake na kama nyote mavyomfahamu Dr Joshua n
i
mtu mwenye roho ya kikatili sana kwa hiyo tunapaswa
kumlinda sana Anna kwa nguvu zetu zote “ akasema Ma
thew
na kumgeukia Anna
“ Anna binafsi pamoja na wenzangu ninakuhakikishia
kwamba tutakulinda na utakuwa salama.Huna haja ya k
uhofu
chochote”
“ nashukuru sana Mathew kwa maneno hayo ya
faraja.Ahsanteni sana kwa kujitolea kunilinda.Nawaa
hidi
nitashirikiana nanyi katika kila jambo hadi tuhakik
ishe suala
hili tunalifikisha mwisho.Endapo mtahitaji msaada w
angu
wakati wowote mimi niko tayari kusaidia hata kama n
i suala
la hatari kiasi gani” akasema Anna
“ Ahsante Anna.Jambo la pili ni kwamba
tumehitimisha awamu ya kwanza ya operesheni yetu am
bayo
 
SEHEM YA 20

“ Mathew please ,don’t let him go.Usifanye
makubaliano yoyote na Yule shetani.Amehusika katika
kuwaua mama yangu na dada yangu,he must pay for wha
t he
did.Can you promise me that Mathew? Akauliza Anna h
uku
akilengwa na machozi
“ Dr Kigomba anaonekana kweli anaweza akawa na
msaada mkuwa katika kuufahamu vyema mtandao wote wa
Dr Joshua pamoja na mambo yote wanayoyafanya.Kuna
mambo ambayo natakiwa kuyafahamu yanayomuhusu Dr
Joshua na mtandao wake lakini Kigomba hawezi kuniel
eza
kama sintamtimizia kile anachokitaka yaani kumsaidi
a yeye
na familia yake kutoroka nje ya nchi.Kwa upande wa
pili Dr
Kigomba amehusika katka matukio ya vifo vya Dr Flor
a na
Flaviana na endapo nitamsaidia kutoroka nitamuumiza
sana
Anna ambaye amefanya jambo kubwa sana akiwa na
mategemeo kwamba wale wote waliohsika katika kusaai
sha
vifo vya wapndwa wake wanafikishwa mbele ya
sheria.Hapana siwezi kumuachia Kigomba lazima alipe
uovu
wake” akawaza Mathew huku akiendelea umtazama Anna
na
kusema
“ I promise”
“ Thank you Mathew.That means a lot to me”
akasema Anna
“ Ok ladies,nadhani sasa ni muda wa kwenda
kupumzika.Imekuwa ni siku ndefu lakini iliyomalizik
a kwa
mafanikio makubwa.Anna narudia tena kukuhakikishia
kwamba usiwe na wasi wasi wowote hapa uko katika mi
kono
salama.I will protect you” akasema Mathew
“ Kutakapopambazuka tutaingia katika ukurasa mpya
kwani hatujui nini kitafuata baada ya Dr Joshua kug
undua
kuwa kirusi kimeibwa,ila nawaomba msiwe na wasi was
i,you
are all well protected.” Akasema Mathew na kumsindi
kiza
Anna hadi chumbani kwake wakaagana .Mathew akaeleke
a
chumbani kwake na kwa mara nyingine tena akalifungu
a lile
sanduku lenye kirusi Aby
“ Ni kwa maongozi ya Mungu tumefanikiwa kukipata
kirusi hiki.Sikutegemea kabisa kama tungeweza kukip
ata
kirahisi namna hii bila ya kutumia nguvu kubwa.Mung
u bado
ana makusudi yake kwetu na ametuwezesha kukipata k
itu
hiki hatari.Mahala nitakapokiweka kirusi hiki itaba
ki siri
yangu.Nchi itakuwa salama na dunia itabaki salama”
akawaza
Mathew na kulifunga lile sanduku akalihifadh tena k
atika
kasiki
“ Kinachofuata sasa ni kuhakikisha naufagia mtanda
o
wote wa Dr Joshua.Dr Kigomba angeweza kuwa na msaad
a
mkubwa endapo ningekubali ombi lake la kumsaidia ye
ye na
familia yake kutoroka lakini tayari nimekwisha mua
hidi Anna
kwamba sintamuachia Kigomba.I’ll have to find a way
to
make Kigomba talk.Ana mambo mengi ambayo nataka
kuyafahamu” akawaza Mathew na kumkumbuka Peniela
“ usiku wa leo ni wa mwisho kwa Peniela kuonana na
Dr Joshua kwani tulichokuwa tunakitafuta tayari tum
ekipata
kwa hiyo hakuna haja tena ya kuendelea kuyaweka mai
sha
yake hatarini kwa kuwa karibu na Dr Joshua” akawaza
****************
Mlio uliotoka katika saa ya mkononi aliyokuwa
ameivaa Dr Joshua ulimstua toka usingizini.Tayari i
likwisha
timu saa kumi na moja za alfajiri na huo ndio muda
ambao
huamka na kufanya mazoezi mepesi ya viungo
“ Oh my gosh !! Kumbe tayari alfajiri.Sikutegemea
kama ningefika mpaka mida hii.Huyu mwanamke sijui a
na
uchawi gani anaoutumia kunichanganya akili yagu” ak
awaza
Dr Joshua na kumuamsha Peniela aliyekuwa katika usi
ngizi
mzito
“ Peniela ni alfajiri sasa ,natakiwa kuondoka.Siku
wa
nimepanga kukaa hapa hadi mida hii”akasema Dr Joshu
a.
“Dr Joshua bado usiku,stay with me a
little
longer”akasema Peniela.
“Hapana Peniela,kuna mambo ya muhimu
sana
ambayo natakiwa kuyashughulikia” akasema Dr Joshua
huku
akivaa nguo zake haraka haraka halafu akambusu Peni
ela
“ Ubaki salama malaika wangu,kama nikipata nafasi
nitaonana nawe tena jioni ya leo japokuwa sina haki
ka kama
nitakuwa na nafasi ila nitajitahidi” akasema Dr Jos
hua na
kuondoka.
Peniela alihakikisha Dr Joshua ameondoka kabisa
akaiwasha simu aliyokuwa ameificha ili Dr Josha asi
ione
akampigia Mathew
“ hallow Peniela” akasema Mathew
“ Goodmorning Mathew”
“ Good morning Peniela.How’re you doing? Is
everything ok there? Akauliza Mathew kwa wasi wasi.
“ Usihofu Mathew niko salama.Vipi huko wote mko
salama?
“ Tuko salama Peniela”
“ Good.Mathew nimekupigia simu kukutaarifu kuwa
ninajiandaa kuondoka hapa kwa hiyo kabla ya jua kuc
homoza
nitakuwa nimefika hapo”
“ sawa Peniela,naweza kukufuata ili kuhakiisha
unakuwa salama?
“ No need.I’ll be safe” akasema Peniela
“ Ok Peniela.Tunakusubiri hapa” akasema Mathew
na kukata simu
Peniela akavaa haraka haraka na kumuaga Kareem
akaingia garini na kuondoka
“ Macho ya dunia leo yataelekezwa Tanzania
kutokana na matukio makubwa yaliyopangwa kufanyika
siku
ya leo.Lazima kwa namna yoyote ile tutafute namna y
a
kuweza kuzuia mipango yote iliyopangwa na Dr Joshua
na
wenzakle.Damu nyingi inakwenda kumwagika leo endapo
tutashindwa kuizuia mipango hiyo.Ee Mungu tusaidiae
tuwze
kuiepusha nchi na janga kubwa linalokwenda kutokea
kwa
sababu ya watu wachache wenye tamaa ya mali na
madaraka” akawaza Peniela akiwa njiani kuelekea kat
ika
makazi yao ya muda.
**************
Kitu ha kwanza alichokifanya Dr Joshua baada ya
kuwasili katika makazi yake ikulu ni kumpigia simu
Abel
Mkokasule na kumtaka afike haraka sana asubuhi ile
pale
ikulu.Kisha ongea na Abel akaingia bafuni akaoga ha
raka
haraka na kujiandaa kwa ajili ya kuianza siku
“ It’s going to be a very long day” akawaza wakati
akiendelea kujiandaa
“ Kuna wakati mwili unanisisimka nikifikiria
kinachokwena kutokea leo lakini nikifikiria manufaa
nitakayoyapata mimi binafsi na nchi kwa ujumla nap
ata
faraja kidogo.Acha tu mambo yote tuliyokubaliana ya
tokee
leo naamini nchi Itarejea katika hali yake ya kawai
da baada
ya muda mfupi.Kulitokea shambulio la kigaidi katika
nchi ya
Kenya lakini mambo yametulia na maisha yanaendelea
kama
kawaida.Nina hakika kabisa utafika wakati ambao wat
anzania
pia watasahau kilichotokea na maisha yatarejea kati
ka hali ya
kawaida.” Akawaza Dr Joshua na kwenda kukaa kitand
ani
“ Endapo mambo yote yakienda kama
tulivyokubaliana naamini nitakuwa mmoja wa mabilion
ea
wakubwa duniani.Ni kwa bahati mbaya sana ninapata u
tajiri
mkubwa katika umri huu lakini hakuna ubaya kwani uz
ee
wangu utakuwa mzuri sana.Nikijumlisha zile fedha za
mauzo
ya kirusi na hizi watakazonipa wamarekani nitakuwa
na
utajiri mkubwa mno” akaendelea kuwaza Dr Joshua hal
afu
ghafla akakumbuka kitu.
“ Kuna huyu mtu ambaye bado ananiumiza kichwa
changu sana ambaye ni Dr Kigomba.Huyu anafahamu
mambo yangu mengi ya siri na mengi nimeshirikiana n
aye
kwa hiyo ni mtu hatari sana kwangu kwa sasa .Kwa hi
yo
lazima apatikane kwa gharama zozote zile. Ninaamini
Abel na
vijana wake wanafanya kazi kubwa ya kumtafuta na si
na
shaka watampata tu ndani ya muda mfupi .Lazima yuko
ndani ya jiji hili la Dar amejificha sehemu Fulani,
lazima
apatikane mahali aliko .Naamini huko aliko hivi sas
a atakuwa
anajipanga kupambana na mimi lakini hawezi kunizuia
chochote.Asubuhi ya leo Hussein atakabidhiwa mzigo w
ake
na ataondoka zake kwa hiyo Kigomba na wengine wote
ambao walikuwa na mipango ya kukipata kirusi wataan
gukia
pua” akawaza Dr Joshua huku akitabasamu kwa mbali.
Na
kutoa kicheko cha chini chini.
Akiwa bado katika mawazo mlango ukagongwa
akaufungua na kukutana na mlinzi wake ambaye
alifahamisha kwamba Abel Mkokasule tayari amekwisha
wasili
“ Huyu kijana anastahili kupewa cheo kikubwa
.Anajituma sana na kila kazi ninayompa anaifanya kw
a
umahiri.Hata dakika arobaini hazijapita toka nilipo
muita
,tayari amewasili.NItamuwezesha sana huyu kijana .L
azima
naye aingie katika orodha ya mabilionea ikiwezekana
hata
kazi hii aachane nayo na afaidi matunda ya utiifu w
ake”
akawaza Dr Joshua na kutoka akaelekea sebuleni alik
o Abel
mkokasule wakasalimiana na bila kupoteza muda Dr Jo
shua
akasema
“ Abel nimekuita asubuhi namna hii kutokana na kaz
i
ambazo nataka uzifanye kwa siku ya leo.Naomba usich
oke
kijana wangu kwani muda si mrefu sana utayaona matu
nda
ya kazi hizi unazozifanya” akasema Dr Joshua
“ kazi ya kwanza kuna mzigo nataka uupeleke
sehemu Fulani nitakapokuelekeza na umpatie Yule mtu
ambaye nitakuelekeza.Mzigo huo usimpe mtu mwingine
yeyote aushike zaidi yako wewe mwenyewe na huyo
ambaye nitakuelekeza umpatie.Mzigo huo ni wa thaman
i
kubwa mno and above all its’ vey very dangerous ndi
yo
maana unaniona nakuwekea msisitizo mkubwa .Tafadhal
i
kuwa makini mno.
“ Usihofu mzee nitakuwa makini sana na kila kitu
kitakwenda kama ulivyoelekeza” akasema Abel
“ Good.By the way mmefikia wapi katika kumtafuta
Kigomba?
“ Mpaka sasa bado hatujafanikiwa kujua mahala alik
o
ila nakuhakikishia kuwa mpaka jioni ya leo tutakuwa
tumefahamu mahali aliko”
“ Nafurahi kusikia hivyo.Nakuamini sana
Abel,hujawahi kuniangusha.Tafadhali fanya kila lili
lo ndani ya
uwezo wako kuhakikisha Kigomba anapatikana.Endapo
utahitaji kitu cochote usisite kunieleza .Halafu na
taka ukipata
nafasi fungua akaunti ya siri ya benki nje ya
nchi,nitakuelekeza namna ya kufanya hivyo na utaing
iziwa
pesa.Ninapozungumzia fedha simaanishi hivi vijisent
i senti
unavyolipwa mshahara bali hela ambayo haitakulazimu
wewe kuendelea kuifanya kazi hii tena.Nadhani
umenielewa.Kwa hiyo jitahidi kufanya kazi kadiri
ninavyokuelekeza na matunda yake utayaona”
“Ahsante sana mzee.Nakuahidi sintakuangusha
mheshimiwa rais” akasema Abel
“ Good.sasa naomba unisubiri hapa ili nikuletee
mzigo uupeleke nitakapokuelekeza” akasema Dr Joshua
na
kuelekea chumbani kwake akafungua kabati alimoweka
sanduku lililokuwa na kirusi Aby na kupatwa na mstu
ko
mkubwa kwani sanduku lile halikuwemo.Akafungua upan
de
wa pili wa kabati lakini namo halikuwemo.Akahisi ki
jasho
kinaanza kumtoka.Akaenda katika kabati lingine akal
ifungua
haraka haraka lakini namo halikuwemo.Akasimama na
kujishika kiuno.Tayari shati lake lilianza kuloa ja
sho.
“ Hata siku moja akili yangu haijawahi kunidangany
a
.Nakumbuka kabisa mahala nilikoliweka lile sanduku”
akawa
na kwenda tena katika lile kabati alimoweka sanduku
lile
lenye kirusi akaanza kupangua kila kitu na kutupa
chini
,kabati likabaki tupi lakini hakukuwa na sanduku le
nye
kirusi.Dr Joshua akahisi kuchanganyikiwa.Akavua kot
i na
kulitupa.Shati la bluu alilokuwa amelivaa lililoa j
asho kama
vile mtu aliyemwagiwa ndoo ya maji.
“ Where is the virus? Akajiuliza akiwa amesima
amejishika kiuno.
“ Jana usiku nililiacha sanduku lenye kirusi humu
ndani ,limekwenda wapi? Au nimesahau sikuliweka hum
u?
Akajiulzia
“ Hapana niliweka humu.The virus was here.Some
one must took it “ akawaza
“ oh Nooo!! No !! No!! ...Noooo !! akapiga ukelele
mkubwa na kwa hasira akaibinua meza akamwaga kila
kilichokuwa juu yake hali iliyowastua walinzi wake
wakaingia
kwa haraka mle chumbani.Hali aliyoikuta mle chumban
i na
 
Back
Top Bottom