SEHEM YA 21
maelekezo ya kutomzuia kuingia chumbani kwako kama
kuna
kitu anakitafuta sasa tungewezaje kumzuia ? Alisema
kuna
vitu vya mama yake anakwenda kuvichukua hivyo
tukamruhusu kuingia akachukua alichokitaka.”
“ Oh my God !! alipotoka humu ndani alikuwa
amebeba vitu gani?
“ Alikuwa na masanduku mawili moja kubwa
alilokuwa analikokota na lingine dogo la rangi ya
kama ya
fedha”
Dr Joshua akatoka mbio akawataka walinzi wake nao
wamfuate.Huku akihema kwa nguvu alifika katika mlan
go wa
chubba cha Anna akakinyonga kitasa lakini mlango ul
ikuwa
umefungwa na hakukuwa na dalili zozote za kuwepo kw
a
mtu mle ndani.
“ Vunja mango!! Akaamuru na mmoja wa walinzi
akaurukia teke mlango ukafunguka wakaingia
ndani.Chumba kilikuwa kitupu Anna hakuwemo.Dr Joshu
a
akaanza kupekua kwa fujo kila sahemu na kutupa tupa
vitu
hovyo lakini hakuliona sanduku lenye kirusi.
“ Ametoweka !!! akasema kwa hasira Dr Joshua
akiwa amesimama amejishika kiuno .
“ Siamini eti Anna anaweza akakiiba
kirusi.Yawezekana labda alidhani ni mojawapo ya vit
u vya
mama yake na ndiyo maana akalichkua? Lazima apatika
e
haraka sana.Nahisi atakuwa amekwenda katika nyumba
niliyomjengea kule minazi saba.Ngoja nimfuate huko
huko.Leo nitamsaka kila kona ya jiji mpaka apatikan
e.”
Akawaza Dr Joshua na kuwaamuru walinzi wake waondok
e
waelekee katika nyumba ya Anna eneo la minazi
saba.Alimtaka pia Abel aongozane naye .
Msafara wa rais ulikwenda kwa kasi kubwa na ndani
ya dakika thalathini waliwasili katika nyumba ya An
na
ambayo alijengewa na baba yake.Ilikuwa ni nyumba ku
bwa
ya ghorofa mbili.Geti lilikuwa limefungwa kwa nje n
a
makufuli manne makubwa hali iliyoashiria kwamba
hakukuwa na mtu ndani ya ile nyumba.Dr Joshua akaam
uru
mmoja wa walinzi apande ukuta na aingie ndani akaha
kikishe
kama kweli Anna hayupo.Haraka haraka walinzi watatu
wakapanda ukuta na kuingia ndani na baada ya muda
wakarejea na jibu ambalo liliidi kumchanganya Dr
Joshua,hakukuwa na mtu yeyote ndani ya ile
nyumba.Akajipapasa mfukioni kutafuta simu yake laki
ni
hakuwa nayo akachukua simu ya mmoja wa walinzi wake
akapiga namba za Anna lakini simu ya Anna haikuwa
ikipatikana.Akaamuru warejee ikulu
“ Ni mambo gani haya yananitokea? Nashindwa
kuelewa kwa nini Anna aamue kuchukua lile sanduku ?
Au
yawezekana alihisi kuna fedha ndani yake? Lakini ha
pana
Anna hana tabia hiyo . Kwa nini basi kama alikuwa a
nashida
na fedha asiniambie kuliko kuchukua kitu
asichokifahamu?halafu sanduku lile linafunguliwa kw
a namba
na kwa kuwa hazifahamu namba hizo nina hakika atala
zimika
kulivunja ili kujua kilichomo ndani akifanya hivyo
nina hakika
ataipasua chupa ile yenye kirusi .Nimempoteza mke w
angu
,mtoto na marafiki sasa mwanangu wa pekee aliyebaki
naye
yuko katika hatari ya kuwa mtu wa kwanza kuangamiz
wa na
kirusi Aby.Nitakuwa na furaha gani katika maisha bi
la ya watu
ninaowapenda? Utajiri nilioupata nitautumia na nani
? Juhudi
zote za kupigania utajiri zimekuwa kazi bure,hakuna
tena
furaha bali majonzi tu.Kila kukicha roho za watu zi
napotea
kwa sababu ya kirusi hiki.Nilitegemea leo hii niufu
nge
ukurasa wa kuhusiana nacho lakini badala yake nimeu
fungua
ukurasa mpya.Anna lazima apatikane haraka sana” aka
waza
Dr Joshua huku akitiririkwa na jasho jingi hali ili
yowapa wasi
wasi walinzi wake.
“ Oh Anna !! Anna !! how could she do this to me?
Akajiuliza Dr Joshua
Walirejea ikulu na kwa haraka Dr Joshua akamuita
Abel Mkokasule katika chumba cha maongezi ya faragh
a
“ Abel “ akasema Dr Joshua na kushindwa kuendelea
akainama chini
“ Mzee kuna tatizo gani? Akauliza Abel
‘ Abel..nashindwa hata nianzie wapi”
“ Niambe mzee kuna tatizo gani? Nini kimetokea?
Nimeona mabadiliko ya ghafla.Niambie mzee kuna tati
zo
gani?
“ Abel kuna jambo zito mno limetokea na sijui
nianzaje kukwambia lakini ni wewe pekee kwa sasa am
baye
naamini unaweza kulitatua suala hilokwa haraka”
“ Niambie mzee ni jambo gani hilo? Nakuahidi
kulishughulikia kwa haraka sana”
“ Dr Joshua akainama akafikiri na kusema
“ Mzigo niliotaka kukutuma uupeleke sehemu Fulani
umetoweka katika mazingira tatanishi sana.Jana usik
u
nilikuwa na kikao na wageni katika nyumba yangu kul
e
ufukweni,Anna mtoto wangu akaingia chumbani kwangu
na
kuchukua mzigo huo ambao ni sanduku dogo na ametowe
ka
nalo na sijui mahala aliko.Abel ninakwambia wewe tu
katika
sanduku hilo alilochukua Anna kuna kitu cha hatari
mno
ndani yake,hatari kwake,hatari kwa nchi pia.Yawezek
ana
katika akili yake alidhani labda ndani ya sanduku h
ilo kuna
fedha na atataka kujaribu kulifungua kwa namna anav
yojua
yeye na ikitokea kwa bahati mbaya akaharibu kilicho
mo
ndani we’re all finished.Kwa hiyo Abel nataka kabla
ya saa
nne asubuhi ya leo Anna awe amepatikana na sanduku
hilo
liwe tayari limepatikana .Ninakukabidhi jukumu hili
wewe
kwa kuwa sitaki jambo hili lifahamike kwa watu
wengine.Ninakukabidhi kazi hii nikifahamu kabisa un
ao
uwezo wa kufanya kwa haraka na ufanisi mkubwa.Achan
a
kwanza na mambo mengine yote na uelekeze nguvu kubw
a
kwa sasa katika kumtafuta Anna ambaye ni hatari kus
hinda
hata Kigomba.Chochote unachokihitaji niambie na
nitakupatia” akasema Dr Joshua.
Abel Mkokasule hakutaka maelezo zaidi kwani tayari
alikwisha elewa ni kazi gani anatakwa kuifanya.Alic
hokifanya
ni kuulizwa maswali machache ambayo yangeweza kumpa
mwanga ni wapi anaweza kuanza kumtafutia
Anna.Aliwasiliana na vijana wake wanne anaowaamini
sana
na kuwataka wafike pale ikulu haraka sana.Sehemu ya
kwanza aliyoanzia uchunguzi wake ni katika chumba c
ha
Anna ambako aliamini angeweza kupata kitu chochote
kitakachomuelekeza mahala aliko Anna.Dr Joshua akaa
giza
daktari afike haraka ili apimwe kutokana na mstuko
mkubwa
alioupata
“ Sitaki kabisa kuamini eti Anna anafahamu kilicho
mo
ndani ya lile sanduku na ndiyo maana
akalichukua.Ninachoamini mimi Anna alidhani ndani y
a
sanduku lile kuna fedha nyingi au kitu ha thamani k
ubwa
ambacho anaweza kuuza na kupata fedha nyingi .Kama
alihitaji fedha kwa nini asingenieleza na ningempa
pesa
yoyote anayoihitaji? Utajiri huu wote nilionao ni w
a kwake
,shetani gani kamuingia na kumshawishi afanye hivi
alivyofanya? “ akawaza Dr Joshua huku jasho jingi l
ikiendelea
kumtiririka na alihisi kuishiwa nguvu.
*****************
Kwa takribani dakika kumi Mathew alikuwa amekaa
kitandani akitafakari.Hii ni baada ya kumaliza kuon
gea na
Peniela simuni
“ Lazima nitafute namna ya kufanya ili Dr Kigomba
aweze kunieleza mambo yatakayonisaidia niweze kuufy
eka
kabisa mtandao wote wa Dr Joshua.Nimekwisha
muhakikishia Anna kwamba sintakubaliana na sharti l
a
Kigomba la kumtorosha yeye na familia yake.Kwa kuwa
Dr
Kigomba ana taarifa za muhimu sana ambazo ninazihit
aji
lazima nitafute namna ya kufanya kuzipata taarifa h
izo bila ya
kukubaliana na sharti lake.Hapa lazima nitmie nguvu
”
Akaendelea kuwaza Mathew
“ Nadhani njia pekee ya kuweza kumfanya Kigomba
akanieleza mambo yote kuhusiana na mtandano wao ni
kwa
kutishia kuiangamiza familia yake.Siku zote linapok
uja suala
la kuangamizwa kwa familia mtu yeyote huwa tayari k
ufanya
jambo lolote kwa ajili ya kuiokoa familia yake.Naam
ini hata
Kigomba hatakuwa tayari familia yake iangamizwe na
atanieleza kila kitu” akawaza Mathew na kuinuka kit
andani
akatoka na kuchukua kisanduku cha huduma ya kwanza
na
moja kwa moja akaelekea katika chumba alimo Dr
Kigomba.Akaufungua mlango na kuingia.Tayari Dr Kigo
mba
alikwisha amka
“ Mathew karibu sana.” Akasema Dr Kigomba huku
sura yake ikionyesha kutokuwa na wasi wasi
wowote.Mathew akaliweka mezani sanduku la huduma ya
kwanza akamtazama Kigomba
“ Unaendeleaje? Akauliza huku akilikagua jeraha la
Kigomba.
“ Naendelea vizuri Mathew.Mungu ananisaidia “
akajibu Kigomba.Mathew akalifungua jeraha lile na
kulisafisha
“ Kigomba mke wako anaitwa nani?
“ Theresa.Anaitwa Theresa”
“ Do you love her?
“ Yes I do” akajibu Kigomba
“ Familia yako wanafahamu kilichokupata?
Uliwataarifu?
“ Hapana sikupata nafasi ya kuwatarifu
kilichonitokea”
“ Good.Ulifanya vizuri .Nina hakika lazima Dr Josh
ua
atakutafuta kwa kutumia familia yako kwani anajua l
azima
familia huwa ya kwanza kuitaarifu pale yanapotokea
masahibu.”
“ Uko sahihi Mathew lazima familia yangu
itaandamwa sana kwa kudhani labda wanafahamu mahala
nilipo”
Mathew akafikiri kidogo na kusema
“ Kigomba your family is in great danger and I’m t
he
only one who can save them right now”
“ Ni kweli Mathew.Niambie nifanye nini ili uiokoe
familia yangu? Akasema Dr Kigomba .Mathew akamalizi
a
kulifunga jeraha halafu akasema
“ Nielekeze walipo nikawatoe na kuwaleta hapa
ambapo ni sehemu salama kwao kwa sasa na halafu
tutaongea zaidi”
Dr Kigomba akamulekeza Mathew nyumbani kwake.
“ Ok Kigomba ninakwenda sasa hivi kuwachukua na
kuwaleta hapa.Dont worry the’ll be safe” akasema Ma
thew
.Dr Kigomba akamuangalia Mathew na kuuliza
“ Mathew why are you doing this?
“ Because you are important to me” akajibu Mathew
na kupiga hatua mbili halafu akageuka
“ One more thing Kigomba.I’m going to help you and
your family escape.Kwa hiyo nitakaporejea nataka uj
iandae
kunieleza kila kitu kuhusiana na mtandao wa Dr Josh
ua
.Endapo nitaridhika na utakayonieleza I swear I’ll
take you
and your family out of the country.” Akasema Mathew
“ Ahsante sana Mathew kwa kulikubali ombi
langu.Nakuahidi kukueleza kila kitu na utapata usha
hidi wa
kutosha wa kumtia hatiani Dr Joshua na wenzake”akas
ema
Dr Kigomba.Mathew akafunga mlango na kutoka.Akatemb
ea
hatua mbili na mara kengele ya getini ikalia
“ Huyu lazima atakuwa ni Peniela kwani ndiye
ninayemtegemea asubuhi hii” akawaza Mathew na kwend
a
kuchungulia katika luninga iliyounganishwa na kamer
a za
ulinzi .Ni kweli aliyekuwa getini alikuwa ni Peniel
a.Mathew
akaenda kufungua geti,Peniela akaingiza gari ndani
na
kushuka
“ Mathew” akasema Peniela baadaya kushuka garini
akamkumbatia Mathew
“ Nimefurahi sana kukuona tena “ akasema
“ hata mimi nimefurahi sana kukuona tena
Peniela.Karibu tena nyumbani” akasema Mathew
,wakaelekea sebuleni
“ Mambo yanakwendaje hapa? Akauliza Peniela
“ Mambo yanakwenda vizuri .Vipi huko ulikotoka
mambo yanakwendaje?
“ Ndiyo maana nimekuja asubuhi asubuhi namna
hii.Mathew kuna mambo mazito mno ambayo unatakiwa
kuyafahamu” akasema Peniela
“ Kabla hujanieleza hayo ya huko naomba kwanza
nikueleze mambo ya hapa” akasema Mathew
“ Ok Mathew tell me the good news” Mathew
akatabasamu na kusema
“ Kubwa la kwanza ni kwamba our mission is
over.Tayari tunacho kirusi Aby”
“ What ??Mathew this is not time for jokes” akasem
a
Peniela
“ It’s not a joke Peniela,its true we already have
the
virus” akasema Mathew
“ Oh My God Mathew..naomba usinidanganye.How
did you get it?
“ Sikudanganyi Peniela.Ni kweli tayari tunacho kir
usi
aby” akasema Mathew na Peniala akamrukia akamkumbat
ia
kwa nguvu
“ Where is it? Can I see it? Akasema Peniela.Mathe
w
akampeleka chumbani kwake akalichukua sanduku lenye
kirusi Aby akalifungua.Peniela akaruka ruka kwa fur
aha na
kutaka kukishika lakni Mathew akamzuia na kulifunga
lile
sanduku.
“ Mathew is this real the Virus?? Akauliza Peniela
kwa mshangao mkubwa
“ Yes it’s the Virus”
“ How did you get it?
“ Ni hadithi ndefu kidogo tutaongea baadae lakini
kwa sasa bado tuna kazi tunatakiwa kuifanya.Awamu y
a
kwanza ya operesheni yetu imemalizika na sasa tunain
gia
katika awamu ya pili ambayo ni kuufyeka mtandao wot
e wa
Dr Joshua na kuwapandisha wahusika wote mbele ya
sheria.Dr Kigomba ni mshirika mkubwa wa Dr Joshua n
a
anaufahamu vyema mtandao wote.Yuko tayari kutoa
ushirikiano wa kutuwezesha kufahamu wahusika wa