Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lege ana maana yake sema anashindwa, mgeni siku mbili ya mpe jembe akahemee shambaKakiharibu kabisa.
Sijaliona hilo tangazo. Kumbe kuna nyngne inakuja? Ije tuu ola nilisomaga kuwa Jak bawa hatakuwepo sijui itakuwa kweli.Kweli we ni mpenzi wa 24. Ila mi nilioiangalia iliishia Jack akiwa katekwa na warusi,lakini kwenye matangazo inainesha kuwa Tony Almeda akitoka gerezani na kupewa kazi maalumu. We umekiona hicho kipengele?
Shunie njoo inboxMmh LEGE mbona unatutisha tena jamaan daah na hao watu waliifika uko mbona hawana shukrani
Inaonesha inaendelea. Asipokuwepo Jack haitanoga. Jack na Cloe ndio wanainogeshaSijaliona hilo tangazo. Kumbe kuna nyngne inakuja? Ije tuu ola nilisomaga kuwa Jak bawa hatakuwepo sijui itakuwa kweli.
Sterling ni Mathew.....Peniella kwa vitendo vyake anavyofanya tangu mwanzo hana heshima hiyo.Bull shit nimemchukia mnoooAlafu mwandishi naona hajamtendea haki peniella yeye si ndio stelling kwanini kampa uhusika wa usaliti kama huu always stelling anaact positive bana..