Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Maneno ya Mathew wakati anamuanga anitha yana choma sana aise but why peniela uwe na tamaa hiviiiiii
 
Kweli we ni mpenzi wa 24. Ila mi nilioiangalia iliishia Jack akiwa katekwa na warusi,lakini kwenye matangazo inainesha kuwa Tony Almeda akitoka gerezani na kupewa kazi maalumu. We umekiona hicho kipengele?
Sijaliona hilo tangazo. Kumbe kuna nyngne inakuja? Ije tuu ola nilisomaga kuwa Jak bawa hatakuwepo sijui itakuwa kweli.
 
LEGE mfikishie taarifa mtunzi kuwa hii ndio hadithi yake ya kwanza mimi kuisoma ila atambue hatakuja kunikamata tena katika utunzi wake wowote kwangu mimi mtunzi kafika katika kilele chake cha utunzi nimejaribu kuwaza labda akitunguka hivi au vile nimekosa jibu. Kuhusu usaliti imebaki mtu kusalitiwa na kivuli chake tu ila kwa binadamu tumeshuhudia kila rangi ya usaliti najaribu kucheka pale waliokuwa wanaonekana malaika wamegeuka kuwa mashetani na wengine wametangulia mbele ya haki bila kutubu pumzika kwa amani anitha.
 
Peniela wewe mbona hivyo .....LEGE najua utaweka tena kesho nakusubri kwa hamu !!! Je kirusi kitatua mikononi mwa Mathew?? Hili ni swali ambalo linasumbua kichwa changu ila LEGE atanipa majibu
 
Ni saa sab na nusu sasa wacha nikakumbatie wife. Najua atakuwa kanunaaaaa. Lakini nimefaudu utamu mchungu wa Mathew na Anitha
 
Sijaliona hilo tangazo. Kumbe kuna nyngne inakuja? Ije tuu ola nilisomaga kuwa Jak bawa hatakuwepo sijui itakuwa kweli.
Inaonesha inaendelea. Asipokuwepo Jack haitanoga. Jack na Cloe ndio wanainogesha
 
Alafu mwandishi naona hajamtendea haki peniella yeye si ndio stelling kwanini kampa uhusika wa usaliti kama huu always stelling anaact positive bana..
 
Very sad Peniela anatembea na damu ya Anitha.damu itamlilia daima.Dah hiii inatufundisha jinsi binadamu tulivyo wasaliti.Mtu anakutendea wema na kukuokoa lakini mwisho unamgeuka kwa ajili ya tamaaa.haya mambo yapo sana katikamaisha ya kila siku.Am very sad .RIP Anitha....you will remain hero.LEGE mwaga vitu vya leo sasa mkuu
 
Alafu mwandishi naona hajamtendea haki peniella yeye si ndio stelling kwanini kampa uhusika wa usaliti kama huu always stelling anaact positive bana..
Sterling ni Mathew.....Peniella kwa vitendo vyake anavyofanya tangu mwanzo hana heshima hiyo.Bull shit nimemchukia mnooo
 
Back
Top Bottom