Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

SEHEM YA 22

“ Peniela is here already”
“ Ouh tayari amekwisha fika? Amekuja na taarifa
gani? Kuna chochote amekipata huko kwa dr Joshua?
“ Ndiyo anasema kuna mambo mazito ameyapata
huko kwa hiyo nitakaporejea atatueleza kwa sasa
nimeamuacha apitie vilivyomo katika lile kasha lake
.”
“ Umemueleza kuhusiana na kupatikana kwa kirusi?
“ Tayari nimemueleza ila sijamfahamisha
kimepatikanaje.Nitakaporejea nitamjulisha kila kitu
.Kwa sasa
tumpe nafasi aweze kupitia kwa makini kila kilichom
o ndani
ya kasha lile.Keep an eye on Kigomba” akasema Mathe
w na
kuingia chumbani kwake akachukua silaha na kuondoka
Peniela alilifungua kasha lile na kuanza kupitia
bahasha moja baada ya nyingine.Alipoifikia bahasha
yeye
picha za wazazi wake aliikumbatia picha ya mama yak
e na
kumwaga machozi mengi
“ Dunia hii imejaa watu makatili sana.kwa nini bab
a
bila ya huruma akaamuru mama auawe? Look at her,she
’s so
pretty.” Akawaza huku akifuta machozi na kuitazama
picha
nyingine ya baba yake akaichana chana kwa hasira
“ Una bahati John aliwahi kukuua shetani wewe
kwani endapo asingefanya hivyo ningekuua mimi kwa m
kono
wangu.Natumai huko uliko unaungua katika shimo la m
oto
shetani wewe” akasema Peniela kwa sauti ndogo huku
uso
wake umejikunja kwa hasira.Akaziweka pembeni picha
zile na
vitu vingine alivyovikuta ndani ya lile kasha halaf
u akachukua
flash disk akaichomeka katika kompyuta na kuanza
kuitazama video aliyojirekodi John Mwaulaya
Hadi video ile inamalika mwili wote wa Peniela
ulikuwa umeloa jasho.Akavuta pumzi ndefu na kulazim
ika
kuwasha feni ili kuipooza hali ya hewa kwani alihis
i joto kali
ghafla.Akairudia tena kuitazma video ile kwa mara y
a pili na
ya tatu .Akaegemea kiti
“ Nahisi ni kama vile niko usingizini ninaota ndot
o hii
ya kusisimua lakini haiko hivyo.Siko usingizini na
wala sioti
ndoto.” Akawaza huku jasho likiendelea kumtoka
“ Sasa nimeamni ni kweli John Mwaulaya alikuwa
ananipenda kwa dhati kama mwanae.Ni yeye ndiye
aliyenikoa toka mdomoni mwa kifo.Alitumwa kuniua mi
mi na
mama yangu lakini akaamua kuniacha hai .Toka nikiwa
mdogo nimeishi maisha mazuri mno na hata siku moja
sikuwahi kupungukiwa kitu chochote na sikuliona pen
go la
kuwakosa wazazi wangu.Haya yote aliyafanya John
Mwaulaya.Pamoja na hayo yote ni kweli aliziharibu n
doto
zangu kubwa za maisha nilizokuwa nazo kwa kuniingiz
a
katika Team SC41 lakini alilitambua kosa lake na ka
tika
nyakati za mwisho za uhai wake amekuwa akitafuta ku
fanya
kila awezalo kuyarekebisha maisha yangu ili niishi
maisha
mapya.Mambo aliyonifanyia ni makubwa na sikuyategem
ea
kabisa.Amenifanya nimekuwa binadamu mwenye thamani
kubwa kuliko wote duniani.Sikutegemea kabisa kama J
ohn
angeweza kunifanyia jambo kubwa kama hili.Angeweza
kujichoma yeye kinga yote lakini kwa kuwa ananipend
a
hakufanya hivyo badala yake akaniwekea mimi kinga
hiyo.Vitu vyote alivyoniachia si kitu bali utajiri
mkubwa
ambao ameniachia ni hii kinga aliyoiweka mwilini mw
angu
dhidi ya kirusi Aby.Huu ni utajiri mkubwa mno kulik
o hata
mapesa aliyoniacia.This is what I’ve been wanted.Th
is is what
I’ve been dreaming for so long.The whole world will
kneel
down on me.Every human on earth will speak my
name.Nitaingia katika vitabu vya historia na jina l
angu
litatamkwa kwa vizazi hata vizazi.Damu yangu itakuw
a na
thamani ya matrilioni na matrilioni ya pesa.Nitakuw
a tajiri
mkubwa sana duniani.Naweza kusema kwamba hii imekuw
a
ni bahato sana kwani nimegundua thamani yangu na wa
kati
huo huo kirusi kimetua mikononi mwetu.So I have ve
everything now.Nina kinga na kirusi pia.Ouh John th
ank you
so much for this” akawaza Peniela na kusimama huku
akitabsamu
“ Huu ni mwanzo wa kitabu changu kipya cha maisha
yangu.Kutoka Peniela niliyekuwa kama chombo cha sta
rehe
hadi binadamu ghali kuliko wote lakini ili ndoto ya
ngu iweze
kutimia lazima nihakikishe ninakimiliki kirusi Aby
mwenyewe.Mipango ya Mathew baada ya kukipata kirusi
Aby ni kukihifadhi katika sehemu salama ili kisitum
ike katika
kusababisha maangamizi makubwa.Endapo akifanya hivy
o
basi kinga yangu haitakuwa na maana yoyote.Ndoto ya
ngu
haitaweza kutimia.I have to take the virus before M
athew
comes back.” Akawaza Peniela na mwili wote ukamsisi
mka.
“ Mawazo gani haya yananijia? Nikifanya hivi
nitakuwa nimewasaliti wenzangu waliopambana mno had
i
wakafanikiwa kukipata hicho kirusi.Sintakuwa na tof
auti
yoyite na jaji Elibariki.What am I going to do?? Ak
ajiuliza na
kuinamisha kichwa kwa sekunde kadhaa.Alisikia kitu
kama
sauti ikimwambia
“ Take the virus now !!
Picha za haraka haraka za namna atakavyoishimaisha
yakitajiri zikamjia
“ Sauti hii ninayoisikia ndani mwangu iko sahihi
kabisa .Kama ninataka kuitimiza ndoto yangu basi wa
kati ni
sasa .Nikishindwa kukichukua kirusi sasa sintaweza
tena
kukichukua baadae Mathew akirejea.Lazima nikichukue
halafu nifanye mpango wa kukihakiki kama kweli ni
chenyewe na baada ya hapo nikiachie kisambae hewani
na
hapo ndipo historia ya dunia itakapobadilika.Mtu pe
kee
ambaye anaweza kunihakikishia kama kirusi hiki ni h
alisi ni
Deus Mkozui .Huyu amekuwa rais kwa miaka kumi na
anakifahamu vizuri kirusi hiki.Nitamtafuta ili nipa
te uhakika
kuwa kirusi hicho ni chenyewe.Kama ni hivyo I have
to save
Deus kwani bado namuhitaji sana” akawaza halafu
akakumbuka kitu
“ Kuna mtu mmoja ambaye anaweza akawa na
msaada mkubwa kwangu.Dr Kigomba.Huyu ana tamaa ya
fedha na kwa vile sasa hivi hana mbele wa nyuma ata
fanya
kila nitakachomuelekeza akifanye”
Peniela akajishika kiuna na kuinamisha kichwa
“ Kwa hili ninalotaka kulifanya niko sahihi? Nimet
oka
mbali na akina Mathew tumehangaika katika kuhakikis
ha
tunakipata kirusi Aby.Tumepitia mambo mengi ya hata
ri na
Mathew ameniokoa ,zaidi ya yote tayari Mathew amekw
isha
anza kuniingia moyoni.Nimatokea kumpenda .Endapo
through it.We’re going to be very very rich and I’m
going to
help you get out of the country”
“ Ouh Peniela ar.....” Kigomba akataka kusema kitu
lakini Peniela akamzuia
“ Don’t say anything yet.Hatuna muda mrefu
Mathew atarejea hapa muda wowote.Nataka nikuweke w
azi
kwamba Mathew hana mpango wowote wa kukutorosha
kwenda nje ya nchi bali anataka kuitumia familia ya
ko
kukushinikiza ili uweze kumpa siri za mtandao
wenu.Amepanga kuitesa familia yako mbele yako ili u
sikie
uchungu na useme siri zenu.Kwa hiyo mimi kwa sasa n
diyo
msaada wako mkubwa.Ninakwenda kuchukua kirusi ili
tuondoke kabla Mathew hajarejea” akasema Peniela
“ Sawa Peniela,Fanya haraka haraka tondoke.Be
careful,that man is very dangerous !!! akasema Dr
Kigmba.Penela akatoka na kuelekea moja kwa moja kat
ika
chumba cha Mathew akakinyonga kitasa cha mlango
ukafunguka kwani haukuwa umefungwa kwa funguo.Moja
kwa moja akaelekea katika kasiki ambalo Mathew alih
ifadhi
sanduku lenye kirusi Aby,akafumba macho na kuzikumb
uka
namba alizotumia Mathew kufungulia kasiki lile akaz
ibonyeza
na kasiki likafunguka.Akalitoa sanduku lile lenye k
irusi
akalifungua akatazama ndani ili kuhakiki kama kirus
i
kilikuwamo ndani akatabasamu
Akiwa chumbani kwake Anitha alisikia mlango wa
chumba cha Mathew ukifunguliwa akadhani Mathew ame
rdi
“ Mbona Mathew amerejea mapema namna hii?
Halafu iweje arejee bila ya kupita hapa chumbani kw
angu na
kunijulisha kuwa amerudi? Hii si kawaida yake” akaj
iuliza
Anitha na kuufungua mlango wa chumba chake akaeleke
a
katika chumba cha Mathew.Mlango wa chumba cha Mathe
w
haukuwa umefungwa
“ Mathew ! akaita Anitha bila kujibiwa
“ Mathew !! akaita tena lakini hakujibiwa .
Sauti ya Anitha akimuita Mathew ikamstua Peniela
aliyekuwa ndani ya chumba cha Mathew.Juu ya meza ka
ribu
na kitanda kulikuwa na kisanduku kidogo chenye silah
a
walizopewa na Edmund Dawson kwa kasi ya aina yake
akakifungua na kutoa kisu kikali taratibu mlango
ukafunguliwa na Anitha akaingia ndani.Akastuka san
a
“ Penie.......!!! Akasema Anitha lakini kabla
hajamaliza kutamka kwa kasi ya umeme na nguvu Penie
la
akarusha kisu kile kikubwa kikatua katika kifua cha
Anitha
ambaye akaanguka chini huku akitoa ukelele mkubwa.K
wa
haraka Peniela akamfuata pale chini alipoanguka
akakichomoa kile kisu na kukichoma kwa nguvu kifuan
i
sehemu ulipo moyo na kama hautoshi akakikanyaga na
mguu
kikazama chote
“ I’m so sorry Anitha”akasema kisha akalinyakua li
le
sanduku lenye kirusi akatoka mbio hadi chumbani kwa
Kigomba akamuacha Anitha anatapa tapa pale chini
“ Let’s go !! akasema na kisha akaelekea katika
chumba cha ofisi akalichukua lile kasha alilopewa
na John
Mwaulaya wakaingia garini na kuondoka kwa kasi.
Ukelele aliopiga Anitha pamoja na sauti za milang
o
ya gari kufungwa kwa nguvu na kisha gari kuondoka k
wa kasi
 
SEHEM YA 23

Peniela ambaye hakumjali akaendelea kuendesha halaf
u
baada ya sekunde kadhaa akasema
“ I killed her !
“ Nani ? akauliza Dr Kigomba kwa mshangao
“ That woman Anitha ! akajibu Peniela .Dr Kigomba
akavuta pumzi ndefu na kusema
“ Roho yake ipumzike kwa amani .Alikuwa binti
mwenye roho nzuri tofauti na Mathew,zaidi ya yote a
likuwa
ana akili nyingi” akasema Dr Kigomba
“ I don’t know why I did it ...It happened so quickl
y...”
akasema Peniela
“ She has become a monster .She’s now one of
us,monsters” akawaza Kigomba na kwa sauti ndogo aka
sema
“ Welcome to the world of monsters Peniela .World
of no trust ,full of betrayals, and above all killi
ngs”
“ Shut up Kigomba !! akasema Peniela
***************
Dr Vincent Dumba kutoka hospitali kuu ya jeshi
alifika haraka ikulu na bila kuchelewa akaanza kum
pima Dr
Joshua.Wakati akiendelea na jitihada za kujaribu ku
shusha
mapigo ya moyo ya Dr Joshua yaliyokuwa juu kupita
kawaida,simu ya Dr Joshua ikaita.Akamtazama Dr Vin
cent na
kumwambia
“ Naomba utazame nani anayepiga?
“ Mheshimiwa rais ,mapigo ya moyo wako yako juu
sana siwezi kukuruhusu kuongea na mtu yeyote katik
a simu
kwa muda huu.Unatakiwa upumzike.Unaweza ukapewa
taarifa ambazo si nzuri na kuifanya hali yako kuwa
mbaya
zaidi.Nakushauri ukae mbali kabisa na simu” akasema
Dr
Vincent
“ Vincent nimekuelewa vizuri lakini mimi ni rais w
a
nchi na nina mambo mengi ninayotakiwa
kuyashughulikia.Lolote litakalotokea let it happen.
Please give
me that phone!! Akasema Dr Joshua kwa sauti ya juu
.
“ Mheshimiwa rais haya ninayokwambia ni kwa ajili
ya afya yako.tafadh...”
“ Vincent give me that phone !! akasema kwa ukali
Dr
Joshua na kwa shingo upande Dr Vincent akampa
simu.Mpigaji alikuwa Abel Mkokasule.Haraka haraka D
r
Joshua akamtaka Dr Vincent atoke mle chumbani ili a
weze
kuongea na simu
“ Hallow Abel ,niambie umefikia wapi? Umempata
Anna?
“ Mzee tumeifuatilia simu ya Anna na inaonyesha
kwamba usiku wa jana simu yake ilitumika karibu na
duka la
kuuza vyakula vya wanyama .Tumefuatilia kwa makini
na
tumefika hadi hapa Cub Chicago ambayo haiko mbali n
a duka
hio na tumelikuta gari lake”
“ Anna mmemkua? Akauliza Dr Joshua
“ Hapana mzee hatujamkuta ila tumelikuta gari lake
hapa club Chcago.Funguo ya gari aliiacha humu ndan
i ya gari
na tumelipekua gari lote tumeikuta simu yake lakini
laini
ametoa”
“ Oh my God !!! akasema Dr Joshua huku macho
yakiwa yamemtoka kama vile anatazamana na kitu ha
kutisha.
“ Abel listen to me carefully !! akasema Dr Jshua
“ Please do whatever you can to find her.Make sure
you get her today before sunset.Kitu alicho nacho n
i hatari
sana sana.Umenielewa Abel?
“ Nimekuelewa mzee” akajibu Abel
“ Ok good” akajibu Dr Joshua na kukata simu
“ Oh Anna where are you? Why are you doing this to
me? Akajiuliza Dr Joshua
“ Sikutegemea kabisa kama siku moja Anna
angeweza kunifanyia hivi.Ninampenda mno Anna na hak
una
alichowahi kuomba kwangu akakosa,iweje basi l eo k
uingia
chumbani kwangu na kuchukua kitu cha hatari namna i
le ?
Oh Anna ! akawaza Dr Joshua na kukunja sura kwa has
ira
“ Nina hakika kabisa Anna hafahamu kitu gani
kilichomo ndani ya sanduku lile .Kama angejua kilic
homo mle
ni hatari asingethubutu hata kuligusa.Najilaumu san
a kwa
kulipeleka sanduku lle nyumbani.Endapo ningeliacha
sehemu
lilikohifadhiwa haya yote yasingetokea.” Akawaza dr
Joshua
huku sura yake ikizidi kuonyesha wasi wasi mkubwa.
“ Kinachoniogopesha zaidi ni endapo atafanikiwa
kulifungua sanduku lile kwa njia yoyote atakayoitum
ia na
kwa bahati mbaya akakuta kilichomo mle ndani yake si
fedha
anaweza akaamua kikutupa kirusi kile kwa hasira na
kwa
kuwa kipo katika chupa ya kioo kinaweza kuvunjika n
a hapo
ndio utakuwa mwisho wake.” Akafumba tena macho
Akiwa bado katika tafakari mara akakumbuka kitu na
jasho likazidi kumtiririka
“ Hussein !!..nitamueleza nini endapo sintafanikiw
a
kukipata kirusi katika muda alioutoa? Maneno ya vit
isho
aliyoyatoa yananiogopesha sana .Kwa vyovyote vile
itakavyokuwa I must find Anna kwa ni bila kufanya h
ivyo
nitakuwa nimejiweka katika matatizo makubwa sana”
**************
Barabara nyingi zilijaa magari asubuhi hii kwa hi
yo
Mathew hakuwa na njia ya haraka kumrudisha nyumbani
hivyo akalazimika kuegesha gari Pamaya supermarket
akakodisha piki piki na kumtaka dereva amuachie aen
deshe
“ Nini kimetokea nyumbani? Aliyoyasema Anna eti
Anitha amekufa ni ya kweli? Akajiuliza Mathew
“ No ! No ! that’s not true” akaendelea kuwaza
Mathew huku piki piki ikiwa katika mwendo mkali san
a
“ lakini Anna hawezi kunidanganya au kunitania kwa
jambo kubwa kama hili.Kama ni kweli hiki alichokise
ma Anna
basi utakuwa ni uzembe wangu mimi mwenyewe.Jukumu
langu lilikuwa ni kumlinda.Ee Mungu msaidie Anitha
.Endapo
kuna chochote kibaya kilichomtokea please lord don’
t take
her right now.I still need her so badly” Mathew aka
omba
kimya kimya huku akiongeza mwendo wa piki piki
“ Nilipoondoka asubuhi niliacha watu wanne pale
ndani,Anitha ,Peniela na dr Kigomba lakini Anna an
adai
hakuna mtu yeyote nyumbani Peniela na Kigomba wako
wapi? Naomba jambo hili lisiwe kweli kwani sijui ni
tafanya
nini iwapo hiki alichoniambia Anna ni kitu cha kwe
li”
akaendelea kuwaza.
Kwa mwendo mkali waliokwenda nao kwa kupita njia
fupi ilimchukua Mathew dakika 27 kuwasili katika mt
aa ilipo
nyumba wanapoishi .Barabara ilikuwa na mchanga mwin
gi
Mathew akasimamisha piki piki akashuka na kumrushia
yule
jamaa noti mbili za elfu kumi kumi akatoka mbio
Alifika katika geti la nyumba yao ambalo
halikufungwa.Akaingia kwa haraka na kulifunga akato
a
bastora akatembea kwa kunyata kuelekea ndani
“ Anna !!.Anna..!! akaita lakini hakuna mtu yeyote
aliyeitika akazidi kuloa jasho.Bastora mkononi akat
embea
kwa tahadhari hadi katika chumba Anitha hakukuwa n
a mtu
akaufungua mlango wa chumba alimomfungia Dr Kigomb
a
lakini Kigomba hakuwemo.Akazidi kuingiwa na hofu ak
atoka
katika kile chumba na kuingia katika chumba alichol
ala
Anna.Taratatibu akaufungua mlango ule akaingia ndan
i
“ Anna !! akaita
Baada ya sekunde kumi akasikia sauti kama ya mtu
analia ,akatembea kwa kunyata kwa tahadhari kubwa h
adi
nyuma ya kabati akamkuta Anna akiwa amejikunyata
analia.Mwili wote unamtetemeka.
“ Anna !! akasema Mathew akamshika Anna mkono
akamuinua.Miguu yake haikuwa na nguvu hata za kutem
bea
Mathew akamketisha kitandani.Alikuwa ametapakaa dam
u
“ Anna nini kimetokea ? Wako wapi wengine?
Akauliza Mathew
“ Mathew..Please hold me tight” akasema Anna
“ Niambie nini kimetokea.Are you ok?
“ Sifahamu nini kilichotokea lakini Anitha..!!
akashindwa kuendelea
“ Anitha kafanya nini?
“ Aitha ..is dead !!
“ Peniea ,Dr Kigomba wako wapi? Are they ok?
“ I dont know Mathew.Mimi nilisikia mtu anapiga
ukele na baadae nikasikia milango ya gari ikibamizw
a kwa
nguvu,geti likafunguliwa na gari kuondoka kwa
kasi.Nilipoamka hakukuwa na mtu yeyote mlango wa
chumbani kwako ulikuwa wazi nikachungulia na kumkut
a
Anitha amelala sakafuni damu nyingi inamtaka alikuw
a
amechomwa kisu kifuani.Nilijaribu kumuita hakufum
bua
hata jicho ,she’s dea.....!! Anna akaangua kilio .Mat
hew
akatoka mbio hadi chumbani kwake.Kitu alichokikuta
mle
chumbani alitamani igeuke kuwa ni ndoto na si kitu
cha
kweli.Anitha alikuwa amelalia dimbwi la damu ,kifua
ni kwake
kulikuwa na kisu kikubwa kilichozama chote na kuach
a mpini
ukielea.Anitha hakuwa na uhai.Miguu ya Mathew haiku
wa na
nguvu tena akapiga magoti katika dimbwi la damu
akamuinamia
“ Anitha !! Anitha !! ..Anithaaaa..!!! akaita Math
ew
huku akimtingisha Anitha lakini hata ukope wa Anith
a
haukusogea.Hakuwa na uhai
“ Oh jamani Anitha !! who did this to you? Akasem
a
Mathew huku machozi yakimdondoka kwa uchungu.Alilia
machozi mengi akiwa amekilaza kichwa chake katika p
aji la
uso wa Anitha mara akashikwa bega
“ Mathew it’s enough ..Please wake up ! Akasema
Anna
“ Anna plase let me cry.I’m deeply hurt.let me cry

akasema Mathew kwa uchungu
“ I’m hurt too but crying wont help us.Tunachotaki
wa
kufanya kwa sasa ni kumtafuta nani aliyefanya hivi?
So please
stand up and gather strength.Usalama wetu sote
unakutegemea wewe.Please be strong Mathew for your
country and the world” akasema Anna.Maneno yale ya
Anna
yakamstua Mathew akainuka na moja kwa moja akaenda
katika kasiki alimohifadhi sanduku lenye kirusi Aby
akabonyeza namba haraka haraka na mlango wa kasiki
ukafunguka .Kwa sekunde kadhaa akahisi ni kama vile
macho
yake yamepoteza uwezo wake wa kuona ,akayafikicha k
idogo
na kutazama tena ndani ya kasiki hakukuwa na chocho
te
“ Oh my God !! Oh my God !! The virusi is gone !!!
akasema Mathew na kuhisi kuchanganyikiwa
“ Mathew unasemaje? Akauliza Anna ambaye naye
alipatwa na mstuko mkubwa kwa kile alichokitamka Ma
thew
“ The Virusi is gone ...!!! Akasema Mathew
“ No ! No ! tell me it’s not true Mathew .. akase
ma
Anna.
“ It’s true the virus is gone..!!
Anna akaweka mikono kichwani alikosa neno la
kuongea kwa sekunde kadhaa chumba kikatawaliwa na
ukimya mkubwa.
“ Whoever killed Anitha,must be the one who took
the virus....oh No !! I cant let them ..!! akasema M
athew na
kutoka mbio
“ Mathew unakwenda wapi? Please don’t leave me
here ! akasema Anna naye akatoka mle chumbani akamf
uata
Mathew ambaye aliingia katika chumba chenye luninga
iliyounganishwa na kamera za ulinzi zilizofungwa
kulizungunga jumba lile .Haraka haraka akaanza kupi
tia picha
zilizochukuliwa na kamera za ulinzi toka asubuhi al
ipoondoka.
kumbu kumbu ya kamera ilionyesha watu wawili wakito
ka
ndani huku wakikimbia akawatambua
“ Peniela ??!! akasema Mathew kwa mshangao
mkubwa baada ya kugundua kwa mwanamke Yule
aliyeonekana katika kamera akitoka ndani akakimbi
a
alikuwa Peniela.Mwili wote wa Mathew ukaloa
jasho.Akarudisha tena nyuma picha ili ahakikishe k
ama kile
alichokiona ni kitu cha kweli.Ni kweli mwanamke
aliyeonekana pichani alikuwa Peniela
“ This is unbelievable..Peniela ?? !!! Mathew akaz
idi
kushangaa
“ Peniela was here ?? akauliza Anna
“ Wakati naondoka nilimuaha hapa .Alikuja asubuhi.

Akasema Mathew na kwenda katika chumba cha ofisi li
le
kasha la Peniela alilopewa na John Mauwalaya
halikuwepo.Mathew akakaa chini kwani alihisi kutaka
kuanguka baada ya miguu yake kukosa nguvu
“ Are you ok Mathew? Akauliza Anna aliyekuwa
amemfuata Mathew mle ofisini
 
SEHEM YA 24

kisu hiki hiki” akasema Mathew na kugeuka akamtazam
a
Anitha
“ Sijawahi kuumia katika maisha yangu kama
nilivyoumia leo Laiti uhai ungenunuliwa kwa pesa ni
ngevunja
hata benki ili nipate pesa za kuununua uhai wako An
itha
lakini haiwezekani.Siwezi kuurejesha uhai wako.” Ak
asema
Mathew na kumuinamia tena Anitha ,akamuinua pale ch
ini
akamlaza kitandani na kumfuta damu zilizotapakaa mw
ili
mzima.Muda wote macho ya Mathew hayakukauka machozi
******************
Hakukuwa na maongezi yoyote ndani ya gari
walimokuwamo Peniela na Dr Kigomba.Peniela akapungu
za
mwendo wa gari na kuwasha indiketa ya kulia akaeges
ha gari
pembeni ya barabara,akalizima akaegemea kiti na kuv
uta
pumzi ndefu na kuupiga usukani kwa mikono yake kwa
hasira
“ Kuna tatizo peniela? Akauliza Dr Kigomba huku
akimtazama Peniela kwa wasi wasi.Peniela hakujibu k
itu
akainamia usukani
‘ Kuna tatizo gani Peniela? Mbona tumesimama?
Akauliza Dr Kigomba
“ We did a big mistake” akasema peniela
“ Mistake? Kigomba akashangaa
“ Tulisahau kuharibu kumbu kumbu zote za
kamera.Jumba lile lina kamera za ulinzi kila kona ,
nina hakika
kitu cha kwanza atakachokifanya Mathew atakaporudi
na
kukuta Anitha amefariki ni kuangalia katika kumbu k
umbu za
kamera nini kilitokea na kusababisha kifo cha Anith
a.Sikutaka
Mathew afahamu kama ni mimi ndiye niliyefanya kiten
do kile
cha kikatili na hilo litakuwa ni tangazo la vita ka
ti yetu”
akasema Peniela
“Usihofu Peniela ,we can take down Mathew .You
know him better than anyone.Figure out how we can t
ake
him down as quick as possible” akasema Dr Kigomba
“ You don’t know what you are talking Kigomba.You
don’t know anything about Mathew.It’s not that simp
le to kill
that man.He’s very dangerous than you think” akasem
a
Peniela
“ So what are we goping to do? Go back and destroy
everything? Akauliza Dr Kigomba
“ No we cant go back.!! Akasema Peniela na kuwasha
gari.
“ Tayari tumeingia vitani.hakuna kurudi nyuma”
akasema Peniela na kuingiza gari barabarani
“ Tunaelekea wapi Peniela? Akauliza Dr Kigomba
“ You don have to ask where we’re going .Just foll
ow
me !! akasema Peniela kwa ukali halafu akachukua si
mu na
kuandika namba Fulani akapiga
“ Hallow !!! ikasema sauti ya kiume upande wa pili
.
“ Hallow Jason.It’s me Peniela”
“ Peniela ??!!
“ Ndiyo Jason” akajibu Peniela
“ Uko wapi Peniela” akauliza Jason
“ Look Jason.We don’t have time to talk right
now.Nimekupigia kukuomba msaada.I’m in big trouble
and I
need your help”
“ peniela where are you? Akauliza Jason
“ Jason naomba uje haraka tukutane duka la Fresh
Sangara pale wanapouza samaki .Ninakaribia kufika h
apo”
“ Ok Peniela ,naomba unisubiri hapo.Ninakuja sasa
hivi” akasema Peniela na kukata simu akamrushia Kig
omba
“ Switch it off and remove the line” akasema penie
la
“ Sikutegemea kama ningeingia vitani na Mathew
mtu ambaye tayari alikwisha anza kuniingia moyoni..
Tayari
nilikwisha anza kumpenda lakini ili mipango yangu i
fanikiwe I
must take him down.Katika hili lazima nipate msaada
kwani
peke yangu Sina uwezo wa kupambana na Mathew,right
now
I have only one option.I have to get back to Team S
C41.Kule
ninaweza kupata msaada” akawaza peniela
*************
Askofu Edmund dawson alifika kwa haraka katika
makazi ya akina Mathew.Hali aliyoikuta baada ya kui
ngia mle
ndani ilimstua sana
“ Mathew nini kimetokea hapa? Akauliza
Edmund.Huku macho yakiwa yamejaa machozi Mathew
akamsimulia kila kitu kilichotokea
“Pole sana Mathew.Mambo kama haya ni kawaida
kutokea katika hizi kazi zetu.Inaumiza mno lakini w
ewe ni
mzoefu wa maisha ndani ya kazi hizi ,na unafahamu u
saliti ni
kitu cha kawaida kabisa.Umewahi kujiuliza nini kita
katokea
endapo siku moja Chinsun atagundua kwamba mimi nafa
nya
kazi na C.I.A na kwa muda huu wote nimekuwa
nikimchunguza? Usisikitike sana kwa hili
lililotokea.Tunachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kua
nza
kumtafuta Peniela na kukipata kirusi haraa iwezekan
avyo.”
akasema Edmund na kumgeukia Anna
“ Huyu naye ni nani?
“ Samahani nilisahau kukutambulisha .Huyu anaitwa
Anna ni mtoto wa rais na ndiye aliyefanikisha kukip
ata kirusi
Aby.” Akasema Mathew halafu akamgeukia Anna
“ Anna huyu ni askofu Edmund dawson ambaye
ndiye mfadhili wetu ambaye ametusaidia makazi haya
pamoja na kila kitu kinachotuwezesha kufanya kazi z
etu”
`
Anna na Edmund wakasalimiana
Uko wapi mwili wa Anitha? Akauliza Edmund
dawson ambaye hakuonyesha hata dalili za wasi
wasi.Mathew akamuongoza hadi chumbani uliko mwili w
a
Anitha.Edmund akamtazama Anitha kwa makini akamuwek
ea
mikono kichwani akafumba macho na kuomba kimya kimy
a
halafu akafumbua macho
“ Ukiacha kirusi Aby kuna kitu kingine Peniela
amekichukua? Akauliza Edmund
“ Ameondoka na kasha alilopewa na John Mwaulaya
ambalo lilikuwa na taarifa za muhimu sana kumuhusu
yeye”
akajibu Mathew
“ Sawa,chukueni kila kitu mnachokihitaji kisha
tuondokeni hapa.” Akasema Edmund na kutoka mle
chumbani huku akitafuta namba Fulani katika simu ya
ke na
kupiga
“ Tunakwenda wapi Mathew? Akauliza Anna
“ I don’t know but its somewhere safe.Mahala hapa
si salama tena kwetu” akajibu Mathew huku akipakia
baadhi
ya vifaa vyake vya kazi katika sanduku
“ Vipi kuhusu mwili wa anitha? Akauliza tena Anna
“ Edmund will take care of it “ akajibu Mathew na
Edmund akarejea mle chumbani
“ Mko tayari?
“ Ndiyo tuko tayari.Hatuna vitu vingi vya kuchukua

akajibu Mathew
“ Sawa tuondokeni .Tayari nimetoa maelekezo kwa
vijana wangu watafika hapa muda wowote toka sasa na
kuuchukua mwili wa Anitha na kwenda kuuhifadhi.Tuna
yo
hospitali kubwa na mwili huu utahifadhiwa hapo hadi
mikiki
mikiki hii itakapomalizika ndipo utazikwa.” Akasema
dmund
“ Kabla hatujaondoka,naombeni dakika mbili
nimuage Anitha” akasema Mathew.Edmund na Anna
wakatoka na kumuacha peke yake mle
chumbani.Akausogelea mwili wa Anitha kitandani na
kumbusu
“ Kwa heri Anitha malaika wangu .Sikutegemea
kabisa kama maisha yako siku moja yangekatishwa kik
atili
namna hii.Ulikuwa ni sehemu muhimu sana ya maisha y
angu
na sikuwahi kujuta kukufahamu.Tumefanya kazi nyingi
pamoja na siku zote kazi zangu zimekuwa na mafaniki
o
makubwa kwa sababu yako.Wewe na mwenzako Noah
mmekuwa ni zaidi ya marafiki .Nitawakumbuka daima”
akasema Mathew na kufuta machozi
“ Nina mengi ya kukwambia Anitha lakini sina muda
kwa sasa ila kuna jambo moja nataka kukuahidi.Nitak
ipata
kirusi Aby na kukamilisha ile operesheni yetu na Dr
Joshua na
mtandao wake wataozea gerezani” akasema Mathew na
kumbusu Anitha akatoka huku akifuta machozi.Edmund
na
Anna walikuwa katika chumba cha mitambo ya kamera z
a
ulinzi,Mathew akawafuata.Alipoingia akamkuta Anna a
nalia
kwa kwikwi
“ Mathew kuna jambo ambalo nataka ulishuhudie
kabla hatujaondoka “ akasema Edmund
“ Kuna jambo ambalo sikuwa nimekueleza awali ni
kwamba katika kila chumba humu ndani kuna kamera ya
siri
imefungwa .Kamera iliyoko katika chumba ulichokuwa
unalala imeonyesha tukio zima namna lilivyotokea.”
Akasema
Edmund na kumuonyesha Mathew kumbu kumbu
ileiliyoonyesha namna tukio zima la kuuawa Anitha
lilivyotokea.Kamera ilimuonyesha Peniela tangu alip
oingia
chumbani hadi alivyomuua Anitha.Sehemu ambayo ilimt
oa
machozi Mathew ni pale ambapo Peniela alikichoma ki
su
kifuani kwa Anitha na kisha akakikanyaga kwa miguu
kikazama kifuani na kuacha mpini ukielea.
“ Imetosha ! akasema Mathew huku akigeuza
pembeni shingo yake hakutaka kuendelea kutazam
a.Edmund akachukua vifaa vyote vya kuhifadhia kumbu
kumbu za kamera na kuvipakia katika gari
wakaondoka.Wakiwa garini bado Mathewe aliendelea
kutokwa na machozi
“ Mathew tafadhali usiendelee kutoa
machozi.Wakati huu ni wakati wa kuwa na ujasiri mku
bwa
kuliko wakati wowote.” Akasema Edmund
“ Edmund yuko sahihi.Ninaonyesha udhaifu mkubwa
kuendelea kulia namna hii” akawaza Mathew na kufuta
machozi
“ Mathew Kuna jambo nimeligundua usiku wa leo”
akasema Edmund
“ Jambo gani Edmund?
“ Nimegundua mke wangu Chin sun na rais mstaafu
Deus Mkozumi wana mawasiliano”
“ Chin sun ana mawasiliano na Deus Mkozumi?
Akauliza Mathew kwa mshangao
“ Ndiyo Chin sun na Deus wana mawasiliano.Hata
mimi nilistushwa na suala hili.Chin alimempigia sim
u Deus
mkozumi alfajiri ya leo na waliongea kuhusiana na m
geni
wanayemtegemea.Deus alimtajia Chin sun muda ambao
ndege atakayokuja nayo mgeni wao huyo itawasili kat
ika
uwanja wa kimataifa wa mwalimu nyerere.”
“ Ni nani huyo mgeni wao? Akauliza Mathew
“ Hata mimi bado sijafahamu ni nani huyo mgeni
wanayemtegemea .Nataka kufanya uchunguzi wa kina
kuhusiana na mawasiliano yao na pengine ninaweza
kugundua chochote kuhusiana na mgeni huyo.Naamini
kabisa mtu huyo wanayemsubiri lazima atakuwa ni mtu
muhimu sana kwao” akasema Edmund lakini Mathew
hakujibu kitu akili yake yote ilikuwa kwa Peniela
****************
Zimekwisha pita dakika kadhaa sasa Lucia mkozuni
akiwa anaitazama picha aliyokuw aameishika
mkononi.Michirizi ya machozi ilionekana mashavuni p
ake.
“ He is the best dady in the whole world.I love hi
m so
much but today I’m going to sacrifice him.Ninamtoa
kafara
baba yangu kwa ajili ya urais..Dah !” akawaza Dr Lu
cia
,akafuta machozi
“ Hivi hakuna namna nyingine ninayowezza kufanya
ili kumuokoa baba? Akajiuliza na kutafakari kwa mud
a
“ Hakuna namna nyingine.Tayari nimekwisha
wekeana makubaliano na hawa watu kwa hiyo siwezi te
na
kugeuka.Lazima baba afe leo” Lucia akafuta
machozi.Akaichukua picha nyingine ambayo ilimuonyes
ha
akiwa katikati ya wazazi wake huku wote wakiwa na
nyuso
zenye tabasamu.Hii ilikuwa siku alipohitimu shahada
yake
yake ya kwanza ya uchumi na fedha
“ Hizi zilikuwa ni nyakati za furaha sana katika f
amilia
yetu.Tuliishi kwa upendo mkubwa” akawaza na kuichuk
ua
picha nyingine ya mama yake
“ Huyu ndiye alyeivuruga familia yetu kwa tamaa
zake.She’s my mother but I hate her so much.Ni mwan
amke
 
SEHEM YA 25

“ Omba chochote Lucia ,si unajua hujawahi omba
chochote kwangu ukakosa”
“ Ahsante mama.Nina rafiki yangu binti mfalme wa
Saudi Arabia anakuja leo nchini kwa mapuziko ya si
ku
kadhaa.Atawasuiliamchana wa leo.Anakuja na ndege ya
ke
binafsi”
“ Wow that’s good” akasema Rosemary Mkozumi
“ Mimi ndiye mwenyeji wake hapa Tanzania kwa hiyo
nawaomba wewe na baba muungane nami wakati wa
kumpokea ”
“ Mhhhh !! .. Rosemary Mkozumi akaguna
“ Mbona unaguna mama?
“ Utanisamehe kwa hilo Lucia ,siwezi kabisa kukaa
karibu na baba yako.Toka tulipotengana mimi na yeye
tumekuwa ni paka na panya” akasema Rosemary
“ Nalifahamu hilo mama lakini naomba japo kwa siku
moja tu wewe na baba msahau tofauti zenu na muungan
e
pamoja nami kumpokea mgeni wangu.Sitaki mgeni wangu
apate picha mbaya kuhusu familia yangu.Japokuwa naj
ua ni
vigumu kwenu kukutana pamoja lakini nawaomba fanyen
i
hivyo kwa ajili yangu.Just this once”
Sekunde kadhaa za ukimya zikapita Rosemary
Mkozumi akasikika akivuta pumzi ndefu halafu akasem
a
“ May be I can try but I’m doing this only for
you.Muda gani huyo rafiki yako atawasili?
“ Saa nane za mchana atawasili na atapumzika
kidogo halafu tutakwenda Dar city shoping mall kun
unua
baadhi ya bidhaa za utamaduni na zawadi kwa ajili y
a
kutembelea kituo cha watoto”
“ Sawa nitajitahidi,nifike hapo uwanjani”
“ Ahsante mama ila tutakupitia hapo hapo nyumbani
.” akasema Lucia na kuagana na mama yake
“ Laiti ungejua kinachokwenda kutokea leo
usingediriki kukubali kuongozana nami.Nimeazimia ku
upata
urais kwa hiyo hakuna kurudi nyuma” akaendelea kuwa
za na
mara mlango ukagongwa akaufungua akakutana na baba
yake
“ Baba nimeongoea na mama muda si mrefu
nimemuomba aongozane nasi tunapokwenda kumpokea
Salhat”.akasema Peniela .Deus akamtazama na kusema
“ Kwa nini hukuniuliza kwanza kabla ya kufanya
hivyo? Mimi na mama yako siku hizi maelewano yetu k
atu si
mazuri na ...”
“ I know that dady..” akasema Lucia
“ Nafahamu hivi sasa wewe na mama hamna
maelewano mazuri lakini hamuwezi walau kwa siku moj
a tu
mkaziweka pembeni tofauti zenu na tukaungana pamoja
kama familia? Najua kwenu ni vigumu lakini nawaomba
sana
wazazi wangu unganeni kwa leo ,sahauni tofauti zenu
kwa
ajili yangu.Can you do that for me dady?
Deus Mkozumi akafikiri kidogo na kusema
“ Amesemaje mama yako ulipoongea naye?
“ Amekubali”
“ Ok we’re going to do it but only this once and
we’e
doing this for you.Mambo aliyonifanyia mama yako
yamenifanya nimchukie kuliko hata shetani lakini kw
a kuwa
umeomba nitafanya unavyotaka” akasema Deus na sura
ya
Lucy ikajenga tabasamu
“ Thank you dady” akasema kwa furaha
“ Atawasili saa ngapi mgeni?
“ Atawasili saa nane mchana”
“ Sawa.Nitakuwa nimerudi muda huo kwani kuna
sehemu ninakwenda sasa hivi kuna mtu ninataka kuona
na
naye mara moja “
“ Sawa baba” akajibu Dr Lucia na Deus Mozumi
akaondoka
“ Mpaka hapa kila kitu kinakwenda vizuri.Nina
uhakika mambo yote yatakwenda vizuri kama tulivyopa
nga.”
Akawaza Lucia na kwenda kuchukua tena picha ya baba
yake
akaitazama akahisi uchungu mwingi.
“ I’m so sorry dady.Sina namna nyingine ya
kukuepusha na tukio la la leo.You must die” akasema
kwa
suti ndogo na kufuta machozi.Akachukua simu akawasi
liana
na Donald akamtaarifu kuwa mipango yote inakwenda v
izuri
kama walivyopanga.
**************
Jason alifika kwa haraka mahala alikoelekezwa na
Peniela wakutane.Alijaribu kupiga namba ile ya simu
aliyoitumia Peniela kumpigia lakini haikuwa
ikipatikana.Akashuka garini na kuanza kuangaza anga
za
akimtafuta Peniela.Wakiwa ndani ya gari,Peniela ali
muona
Jason akiwa nje ya gari akamuamuru Kigomba washuke
haraka wakaenda katika gari la Jason
“ Peniela !! akasema Jason kwa mshangao kidogo
uliochanganyika na furaha ya kumuona mwanamke Yule
anayempenda kuliko wote.
“ Jason! Akasema Peniela kisha wakakumbatiana
“ Good to see you Peniela.How’ve you been?
Akauliza Jason
“ I’m ok Jason.Please get in the car and take us o
ut of
here” akasema Peniela akaufungua mlango wa gari na
kuingia huku sanduku lenye kirusi akiwa amelishika
kwa
makini .Jason akawasha gari wakaondoka
“ What happened Peniela? Mathew yuko wapi?
Akauliza Jason.Peniela hakujibu kitu.
“ Unataka nikupeleke wapi Peniela? Akauliza tena
Jason
“ I have no where to go.Take us to your place.Is t
hat
ok with you? Akauliza Peniela na kumfanya Jason ata
basamu
na kusema
“ Peniela siku zote nimekuwa nakuambia kwamba my
house is your house.365 days of the year the door o
f my
house is open for you” akasema Jason na kwa mbali u
so wa
Peniela ukaweka tabasamu
“ Thank you” akasema
“ Peniela uliniambia una tatizo,nini kimetokea ?
Where’s Mathew” akauliza Jason
“ Jason tutaongea tukifika nyumbani” akajibu Penie
la
.Walifika nyumbani kwa Jason,akawakaribisha ndani
“ Jason sikuwa nimekutambulisha awali huyu anaitwa
Dr Kigomba ni katibu wa rais,ouh sorry alikuwa kari
bu wa rais
.”
“ I think I know him” akasema Jason
“ Good “ akasema Peniela
“ Hivi sasa Dr Kigomba anatafutwa
auawe,nimefanikiwa kumuokoa toka kwa watu waliotaka
kumuua.Mimi na yeye we’re in great danger and right
now
we have no where to go na ndiyo maana nimeamua kuja
kwako kuomba msaada.Jason please forget what happen
ed
and help me.Nahitaji sana msaada wako kuliko siku z
ote”
“ Peniela hakuna chochote kibaya kilichotokea kati
yetu kinachoweza kunifanya nishindwe kukusaidia .Si
taki
kujua nini kilichokutokea ila ninachotaka kujua una
hitaji
nikusadie nini?
“ Ahsante sana Jason.Nahitaji kuishi hapa kwako kw
a
siku kadhaa kwani kwa sasa sina makazi.Kitu kingine
nitafutie
simu mpya pamoja na gari ninaloweza kulitumia kwa s
afari za
hapa na pale”
“Ni hi vyo tu? Hakuna vingine? Akauliza Jason
“ Kwa sasa ni hayo tu Jason.Kama kuna kingine
nitahitaji nitakufahamisha. “ akasema Peniela .Jaso
n
akamuomba amfuate hadi chumbani kwake
“ Peniela kama unavyojua nyumba yangu haina
vyumba vingi vya kulala kwa hiyo wewe utalala humu
chumbani kwangu ,Yule mzee atalala katika chumba ch
a
wageni.Jambo ingine nataka nifahamu japo kidogo nin
i
kimetokea? Unaonekana una damu zimekurukia nini
kimetokea?Mathew yuko wapi?
“ Jason nitakueleza kila kitu baadae lakini kwasa
kuna
kitu nahitaji .Nataka usafiri kuna sehemu nataka kw
enda”
Jason akamtazama kwa sekunde kadhaa na kusema
“ Unaweza kutumia gari langu lolote.Hapa nina
magari matatu.Wasi wasi wangu ni huko unakoenda are
you
sure you are going to be safe?
“ Don’t worry I’ll be safe” akasema Peniela
“ Peniela najua hutaki nifahamu kilichokutokea lak
ini
kwa kuwa sasa hivi uko katika mikono yangu nahitaji
kufahamu unakotaka kwenda ili hata kama ikitokea ta
tizo
nijue nitakupata wapi”
Peniela akafikiri kidogo na kusema
“ NInakwenda kuonana na Josh”
“ Team SC41? Akauliza Jason
“ Ndiyo .Kuna mambo nataka kuzungumza naye”
“ Ok good.Nitakupa moja ya simu zangu na endapo
kutatokea tatizo lolote nitaarifu mara moja tafadha
li.”
Akasema Jason
******************
Askofu Edmund Dawson aliwapeleka akina Mathew
katika nyumba yake ndogo ambayo huitumia kama ofisi
yake
ya siri.Sebuleni kijana mmoja alikuw ameketi sofani
ameiinamia kompyuta mpakato.Akasimama kwa adabu
Edmund na akina Mathdew walipoingia pale sebuleni.
“ Mathew na Anna huyu anaitwa mchungaji Patrick
Johnson anafanya kazi ya kichungaji katika kanisa l
etu na
nimemuita hapa kwa sababu yeye ni mmoja wa majasusi
wa
C.I.A ambaye ananisaidia katika shughuli zangu .Kwa
mambo
yaliyotokea nadhani tunahitaji kuongeza nguvu “ aka
sema
Edmund na kumgeukia Patrick.
“ Patrick hawa nio rafiki zangu ambao nao wako
katika operesheni kama yetu na kwa sasa wanahitaji
sana
msaada wetu.Kutana na Mathew na Anna ambaye ni mtot
o
wa rais wa Tanzania.Kuanzia sasa wote tuko kitu kim
oja na
tutashirikiana katika kukabiliana na mambo yaliyoko
mbele
yetu” akasema Edmund.Patrick akawasalimu akina
Mathew.Edmund akawaacha akina Mathew sebuleni
akaenda chumbani na baada ya muda akarejea akiwa
amebadili muonekano.Hakuwa na ule muonekano wake wa
kiaskofu.Alionekana kama kijana fulani wa kisasa ku
tokana na
mavazi aliyovaa.Wote pale sebuleni wakamshangaa
“ Msinishangane.Hivi ndiyo huwa ninaonekana
ninapouvua uaskofu na kuyavaa maisha yangu halisi”
akasema Edmund na kuwataka akina Mathew
wamfuate.Wakaingia katika chumba cha ukubwa wa wast
ani
kilichokuwa na kompyuta nane na mitambo mbali mbali
ya
mawasiliano
“ Karibuni hii ndiyo ofisi yangu ya siri ambayo
huitumia kwa kazi zangu zote za C.I.A.Ofisi ina ki
la kitu
tunachokihitaji ili kufanikisha peresheni zetu.Kupi
tia ofisi hii
ninaweza hata kuongea na watu walioko anga za juu
“akasema Edmund huku akicheka kidogo halafu akaende
lea.
“ Ndgu zangu tuna mambo mawili makubwa
yanayotukabili na ambayo tunatakiwa kuyapatia ufumb
uzi
kabla ya jua kuchwea jioni ya leo.Jambo la kwanza n
i
kumtafuta na kumpata Peniela pamoja na kirusi
alichoondoka nacho.Jambo la pili ni kumfahamu mgeni
ambaye mke wangu Chin sun na Deus MKozumi
wanamtegemea kuwasili leo.Tunatakiwa kujua anakuja
kufanya nini na kuna kitu gani kinachoendelea kati
yao”akasema dmund
“ Leo ni mara ya kwanza kunasa mawasiliano kati y
a
Deus na mke wangu Chin sun.Kitu cha kwanza ninachot
aka
kukifanya ni kuanza kufuatiilia kama wawili hawa wa
na
mawasiliano ya muda mrefu.Chinsun ni mjanja sana kw
ani
hatumii namba zake za kawaida za smu kufanya mawasi
liano
bali anazo namba za siri anazozitumia na mojawapo y
a
namba hizo ni hii anayoitumia kuwasiliana na Deus
Mkozumi.Wakati ninaendelea na zoezi hili nataka nin
yi
mkaoge kwani mmechafuka sana damu.Baada ya hapo
tutaanza kulisughulikia suala la Peniela” akasema E
dmund
.Patrick akawachukua akina Mathew na kuwapeleka lil
ipo
bafu.
“ Kwa kuwa bafu ni moja ,anza wewe kuoga”
Mathew akamwambia Anna
“ Mathew hakuna haja ya kuogopa twende tukaoge
pamoja tuokoe muda kuna mambo mengi yanayotakiwa
kufanywa leo.Peniela is at large with the virus so
we need to
find her very quick.Let use one bathroom to save ti
me”
akasema Anna.Mathew akaona msingi wa kile alichokis
ema
Anna akaingia bafuni
“ Nimesangaa sana Mathew sikutegemea kabisa
kama Yule askofu anaweza kufanya kazi ya ujasusi
.Nimezoea kuyaona mambo kama haya katika filamu tu
lakini
leo nimeshuhudua kwa macho yangu” akasema
Anna.Mathew aliyekuwa ametapakaa sabuni mwili mzima
akasafisha sabuni usoni na kufumbua macho na
kugonganisha macho na Anna ambaye aliinama kwa aibu
“ Welcome to this world Anna” akasema Mathew
kwa sauti ndogo.Mathew na Anna walimaliza kuoga
wakaingia katika chumba kimoja kati ya viwili vya k
ulala
vilivyomo katika nyumba ile wakabadili nuuo halafu
wakaenda kuungana tena na akina Edmund katika chumb
a
kile kilichofanana na chumba cha marubani kutokana
na
kuwa na mitambo mingi.
“ Karibuni tena Mathew na Anna.Kwa dakika hizi
chache nimejaribu kutafuta kama Chin sun na Deus Mk
ozumi
wamekuwa na mawasiliano lakini sijapata chochote .C
hin sun
ni mwanamke mjanja mno” akasema Edmund
“ Fanya hivi Edmund ukitaka kumfahamu mtu
ambaye Deus na Chin sun wanamtegemea yachunguze
mawasiliano ya Deus Mkozumi.Fuatilia simu zake aliz
opiga
nje ya nchi na unaweza kugundua amekuwa anaongea na
watu gani”
 
SEHEM YA 26

nitarejea salama kabisa na nikiwa na kirusi mkonon
i.Baki
hapa na Edmund .Huyu ni mtu mzuri na ninamuamini.”
Akasema Mathew
“ Mathew I’m so scared.Ingekuwa ni kwa amri yangu
nisingekubali uende huko lakini kwa umuhimu wa kuki
pata
kirusi hicho hauna budi uende.Promise me that you’l
l get
back safe” akasema Anna huku macho yake yakilengwa
na
machozi.
“ I’ll be back safe.I promise” akasema Mathew
wakakumbatiana
“ I have to go now” akasema Mathew na kujiondoa
mikononi mwa Anna ambaye tayari macho yake yalijaa
machozi.
“ Edmund naomba uniahidi kitu kimoja.Hata kama
kutatokea jambo lolote lile utahakkisha Anna anakuw
a
salama”
“ Usihofu Mathew,Anna atakuwa salama
.Tusiendelee kupoteza muda,mfuateni haraka Peniela
kabla
hajapotea kabisa na kirusi.Mimi naendelea kuwachung
uza
Deus na Chin sun na endapo kuna chochote nitakachok
ipata
nitawataarifu” akasema Edmund halafu akawapelekea
akina
Mathew katika nyumba ya gari akawatolea gari jipya
kabisa
aina ya BMW lenye kasi na ambalo halipenyi risasi.M
athew
na Patrick wakaondoka kuelekea nyumbani kwa Jason
*****************
Bado kichwa cha Dr Joshua kilitawaliwa na mawazo
mengi sana.Aliwaza mno juu ya kilichotokea lakini h
akupata
jibu namna atakavyoweza kumpata mwanae Anna na
sanduku la kirusi Aby aliloodoka nalo.Kingine kilic
homuumiza
kichwa chake ni nini atamueleza Hussein endapo
hatafanikiwa kukipata kirusi Aby katika muda aliou
toa
Hussein?.Akiwa bado katika dimbwi la mawazo ,simu y
ake
ikaita akaichukua haraka na kutazama mpigaji alikuw
a ni Abel
Mkokasule.Haraka haraka akabonyeza kitufe cha kupok
elea
“ Hallow Abel,nipe taarifa .Kuna chochote
mlichofanikiwa kukipata? Akauliza Dr Joshua
“ Mzee nimekupigia kukupa taarifa za maendeleo ya
uchunguzi wetu.Wakati tukiendelea kumtafuta Anna ,l
aini
yake ya simu ilionekana kutumika.Namba ya simu ili
yopigiwa
na Anna inaoyesha imesajiliwa kwa jina la Ismail
Hamidu.Tumefuatilia mahala ambako Anna alikuwepo wa
kati
akipiga simu tukaipata nyumba hiyo”
“ Good.Anna mmempata? Akauliza Dr Joshua
“ Mzee kwa bahati mbaya hatujafanikiwa kumpata
.Nyumba hii ni tupu na hakuna mtu yeyote ila inaone
kana
muda mchache uliopita kulikuwa na watu humu ndani”
“ Oh my God !! akasema Dr Joshua akionekana wazi
kuanza kukata tamaa
“ Mzee kuna ambo lingine tumeligundua humu ndani
ya hii nyumba” akasema Abel
“ Jambo gani hilo Abel?
“ Inaonekana kuna mauaji yalifanyika humu kwani
kuna chumba kimoja kimetapakaa damu “
“ Abel una hakika katika hiyo nyumba Anna
alikuwemo? Akauliza Dr Joshua ili kupata uhakika
“ Nina uhakika huo mzee.Laini ya Anna inaonyesha
kwamba ilitumika kutokea katika nyumba hii.Mzee nim
eanza
kuwa na wasi wasi inawezekana Anna akawa katika mat
atizo
au yawezekana pia kuna watu anashirikiana nao.Kama
kuna
watu anashirikiana nao basi watakuwa ni watu wenye
ujuzi
mkubwa na kitu wanachokifanya kwani walifahamu fika
kwamba lazima tutafika hapa na ndiyo maana wakatowe
ka
kabla ya sisi kufika.Mzee kwa namna ninavyoanza ku
liona
suala hili ni tofauti na vile tulivyofikiria mwanzo
.It looks
bigger than we thought.Kwa mtazamao wangu inaonekan
a
kabisa Anna alichukua kitu ambacho anakifahamu.Mzee
unaweza kunieleza kuna nini ndani ya hilo sanduku ?
Akauliza
Abel.Sekunde kadhaa za ukimya zikapita Dr Joshua ak
asikika
akihema kwa mfululizo
“ Abel come back here immediately” akasema Dr
Joshua na kukata simu
“ Whats going on here? Kitu gani anakifanya Anna?
Je ni kweli kama alivyosema Abel kwamba kuna watu
anashirikiana nao? Kama ni kweli ni akina nani na l
engo lao ni
nini? Dr Joshua akajikuta amezama katika mawazo men
gi
“Naanza na mimi kukubaliana na hisia za Abel kuwa
inawezekana kabisa Anna aliondoka na sanduku lile
akifahamu wazi kilicho ndani yake ni kitu gani.Kama
ni hivyo
basi hayuko peke yake kama alivyosema Abel.Kuna wat
u
anashirikiana nao.Ee Mungu naomba jambo hili lisiwe
kweli.My own daughter cant betray me !! akawaza Dr
Joshua
na kuhisi kama moyo wake unataka kupasuka kutokana
mapigo yake kwenda kwa kasi isiyo ya kawaida
“ Muda unazidi kuyoyoma na nina wasi wasi
sintakuwa nimekipata kirusi Aby katika muda ule ali
outoa
Hussein.What am I gong to do? Nitamueleza nini Hus
sein
anielewe? Kwa vitisho alivyovitoa nina uhakika mkub
wa
endapo hatakipata kirusi hicho ndani ya muda aliout
oa
something bad is going to happen to me.Alinitisha k
wamba
nisahau urais kama sintakuwa nimempatia mzigo wake
hadi
saa nne za asubuhi leo.Siwezi kumpuuza hata kidogo
hasa
kutokana na historia yake ya kujihusisha na mitanda
o ya
kigaidi.Inawezekana kabisa wakafanya shambulio kubw
a ili
kushinikiza kupatiwa mzigo wao.Lazima nitafute njia
mbadala
ya kufanya endapo sintafanikiwa kukipata kirusi kwa
wakati”
akawaza na kuinuka kitandani
“ Jambo pekee ninaloweza kulifanya endapo
nitakikosa kirusi ni moja tu.Kumuua Hussein.Lakini
nitamuua
vipi bila ya watu wake kuhisi kuwa ninahusika? Ngoj
a aje
Abel tujadiliane na kuona ni namna gani tutakavyowe
za
kuwaua Hussein na watu wake.dah ! hili suala linazi
di kuwa
gumu kila uchao.Sikutegemea kabisa kama lingefika h
apa
lilipofika kiasi cha kuanza kunipa hofu hata mimi m
wenyewe
wapi suala hili linatupeleka na nini mwisho wake.Kw
a mara
ya kwanza katika maisha yangu nakiri kwamba nililia
nzisha
suala ambalo sijui namna ya kulimaliza.Maisha ya wa
tu tayari
yamepotea kwa ajili ya jambo hili wakiwao mke wangu
na
mwanagu Flaviana.Jaji Elibarii ,Jacob na kwa sasa n
afikiria
tena kuwaondoa Hussein na watu wake.Sifahamu roho
za
watu wangapi zitaendelea kutolewa hadi suala hili
litakapofika mwisho wake.Najuta kwa nini nilifanya
maamuzi
ya kukiuza kirusi hiki kilichojaa laana” akaendelea
kuwaza Dr
Joshua
*****************
“ Dr Kigomba” akaita Peniela wakiwa ndani ya gari
baada ya kutoka nyumbani kwa Jason
“ Unasemaje Peniela?
“ Dr Kigomba nimekuondoa toka katika mikono ya
Mathew kwa dhumuni moja tu” akasema Peniela akiwa
makini katika usukani
“ Ni jambo gani hilo ?
“ Nataka utafute namna nitakayoweza kuonana kwa
haraka na Deus Mkozumi.Nafahamu wewe una fahamiana
na
viongozi wengi kwa hiyo tafuta namna yoyote unayowe
za
kufanya ukanikutanisha na Deus Mkozumi kwa haraka.
can
you do that?
Dr Kigomba akafikiri kidogo na kusema
“ Yes I can do that.Japokuwa sina mahusiano ya moj
a
kwa moja na Deus mkozumi lakini ninafahamu mtu amba
ye
anaweza kutukutanisha na Deus kwa haraka.Deus Mkozu
mi
ana mahusiano ya siri na mke wa waziri wa kilimo an
aitwa
Imelda na huwa wanakutana kwa siri sana katika klab
u moja
kubwa .Imelda na mke wangu ni marafiki na siri hii
niliambiwa na mke wangu”
“ Una hakika kwa kumtuia huyo Imelda tunaweza
kupata Deus kwa haraka?
“ Ndiyo nina uhakika mkubwa.Deus hana kauli kwa
huyo mama”
“ Good.Lakini kabla ya kumtafuta huyo Imelda kuna
sehemu nataka twende.I need to see someone” akasem
a
peniela ambaye alionekana kutokutaka tena maongezi
“ Peniela” akaita Kigomba.Baada ya sekunde kadhaa
Peniela akaitika
“ Unasemaje Kigomba?
“ What are you planning to do with the virus?
Ilimchukua dakika mbili Peniela kumjibu Kigomba
swali lake
“ Focus on what I asked you to do,forget about th
e
virus” akasema peniela
“ I must find a way to take away the virus.I’ve
sacrificed a lot for ths Virus na siwezi katu kumua
cha Peniela
afaidi kirusi hiki.Nikifanikiwa kukipata,vijana wa
mjini
wanasema nitakuwa nimepiga bao.Nitakiuza kwa mailio
ni ya
fedha na nitaondoka na familia yangu kwenda kuishi
nchi za
mbali.Hii ni fursa nyingine nimeipata na siwezi kuk
ubali
ikanipita.Nimenusurika kupoteza uhai wangu kwa saba
bu ya
kirusi hiki kwa hiyo nina kila sababu ya kuwa nacho
mimi.I
must do something ,hata kama ni kumuua Peniela I’m
ready
for that” akawaza Kigomba
“ Team SC41 wanakitafuta kirusi Aby wakitumie hapa
Tanzania kwa lengo la kuchukua kiasi kikubwa cha ma
dini
chini ya bahari.Nitafanya makubaliano nao kama wata
kitaka
kirusi Aby basi wanipatie robo ya madini
watakayoyachukua.Najua lazima watakubali.Nikipata r
obo ya
madini hayo ni utajiri mkubwa mno.Ni trilioni na tr
ilioni za
pesa.Ukiacha utajiri huo kwa hivi sasa mmi ndiye bi
nadamu
pekee mwenye kinga dhidi ya kirusi Aby .Huu ni utaj
iri
mwingine mkubwa mno” akawaza Peniela
“ Pesa aliyoniachia John Mwaulaya ni nyingi lakini
si
utajiri ninaoustahili kwa mambo yote niliyoyafanya
ya
hatari.Nimefanya mambo mengi ya hatari na huu ni mu
da
wangu wa kula matunda ya kile nilichokifanya kwa m
uda
mrefu.Nimeudhalilisha utu wangu kwa muda mrefu kwa
faida ya Team SC41 na Marekani now its my time to
rule the
world.Everybody in this world will speak my name Pe
niela.”
Akawaza huku akitabasamu kwa mbali
“ Nitakuwa tajiri mkubwa muda si mrefu toka sasa
.Nitaishi maisha ambayo nimekuwa nikiota kuyaishi k
wa
muda mrefu pamoja na hayo kuna watu ambao ningefur
ahi
sana kama wangekuwa nami ninapokwenda kuyaanza
maisha mapya ya ubilionea .Watu hao ni John Mwaulay
a na
Mathew.Inaniuma sana kwa kutokuwa na Mathew mtu
ambaye aliyatoa maisha yake kwa ajili yangu.Ndoto y
ake
kubwa siku zote ni kuniona nikiachana na Team SC41
na
kuyaanza maisha mapya.Ni mwanaume pekee ambaye
naweza sema kwamba ananithamini na toka moyoni mwak
e
anaumia kwa maisha yangu ya sasa ya kuutumia mwili
wangu
kama chambo cha kupata taarifa za kufanikisha mipan
go ya
Team SC41.Mathew is a man I dseserve to spend the r
est of
my life with.Tayari amekwisha niingia moyoni na nil
itegemea
baada ya mambo haya yote kumalizika pengine mimi na
yeye
tungeufungua ukurasa wetu mpya lakini hilo haliweze
kani
tena.I’ve messed up...” Peniela akaupiga usukani kwa
hasira
“ Inaniuma sana kumpoteza Mathew lakini sina
namna ya kufanya lazima nisonge mbele.Nitajitahidi
kuyafanya maisha yangu yawe na furaha bila ya
Mathew.Kinachonipa wasi wasi ni kwamba I’m in great
war
with him.We’re now great enemies” akawaza Peniela
Waliwasili katika jumba la John Mwaulaya ,Peniela
akashuka na kwenda kubonyeza kengele ya getini na z
ikapia
dakika tatu mlango wa geti ukafunguliwa akajitokeza
kijana
mmoja aliyevaa suti nyeusi
“ Hi “ akasema Peniela
“ Hi ” akajibu Yule kijana ambaye alistuka kidogo
baada ya kumuona Peniela
“ I’m Peniela” akasema Peniela
“ I know who you are madam.Karibu ndani” akasema
Yule kijana.
“ Josh yupo? Akauliza Peniela
“ Ndiyo yupo.Kuna kikao kidogo cha kujadili kuhusu
mazish ya John Mwaulaya”
“ Ok! Naomba uniitie Josh” akasema Josh na
haukupita muda mrefu Josh akaja akikimbia.Hakuamini
kama
kweli aliyekuwapo getini ni Peniela
“ Peniela !!!
“ Josh !!!akasema Peniela wakasalimiana .Josh
akafungua geti haraka haraka .Kulikuwa na watu zaid
i ya
thelathini wakiwa katika hema bustanini walionekana
kuwa
 
SEHEM YA 27

kinga .John akaichoma kinga hiyo yote mwilini mwa P
eniela
na hivyo kumfanya awe ni binadamu pekee mwenye kin
ga
hiyo.Tunatakiwa kufanya kila twezalo kuhakikisha tu
nampata
Peniela kutokana na umuhimu wake huo” akasema John
Patrick akainama akaoneka akiwa katika mawazo
mengi sana.Baada ya muda akainua kichwa na kuuliza
“ Mathew una familia? Una watoto?
Ilimchukua zaidi ya dakika tatu Mathew naye akauli
za
.
“ Vipi wewe una familia?
“ Ndiyo nina mke na mtoto na ninawapenda
sana,wao ni kila kitu kwangu.Endapo kirusi hicho
kilichotengenezwa kwa ajili ya kushambulia marekani
kitatumika kwa ajili ya lengo hilo ,mke wangu na mt
oto nao
pia wanaweza kuwa miongoni mwa watu wanaoweza
kupoteza maisha .Siwezi kukubali hilo litokee.Nitas
hirikiana
nawe tuhakikishe tunakipata hicho kirusi”
“ Ahsante Patrick lakini nataka nikutahadharishe
kuwa watu tunaokwenda kupambana nao ni watu wenye
ujuzi mkubwa wa mapambano kwa hiyo yakubidi uwe tay
ari
kwa lolote “
“ niko tayari Mathew kwa lolote.Nataka kuwalinda
familia na ndugu zangu” akasema Patrick.
**************
Abel Mkokasule aliwaacha vijana wake wakiendelea
na uchunguzi katika nyumba ambayo Edmund aliwapa ak
ina
mbaya bali alifahamu fika kilichokuwamo ndani yake
.Je ni
kit............” Abel akakatishwa na Dr Joshua
“ Stop ..!! Stop !!! akasema Dr Joshua na sura yake
ikabadilika.Alikuwa amekasirika mno.Akainama akafik
iri
halafu akainua kichwa na kumtazama Abel
“ Abel nakufahamu wewe ni mmoja wa watu watiifu
sana kwangu.”
“ Ndiyo mzee” akajibu Abel.
“ Kuna kazi ambayo nataka ifanyike kabla ya saa sa
ba
mchana wa leo.kazi hiyo nataka ifanywe na mtu ambay
e
ninamuamini kupita wote na mtu huyo ni wewe.Ni kazi
ya
hatari kidogo na inayohitaji usiri mkubwa”
“ Niko tayari mzee kwa kazi yoyote hata kama ni ya
hatari” akasema Abel
“ Unakumbuika nilikutuma ukaenda kumuhamisha
mgeni wangu Yule anaitwa Hussein na watu wake
ukawapeleka Samawati beach hotel?
“ Ndiyo mzee ninakumbuka”
“ Good.Hussein alikuja hapa nchini kwa dhumuni la
kuchukua mzigo ambao Anna ametoweka nao.Muda
tuliokubaliana awe ameupata mzigo wake unazidi kuka
ribia
na mzigo haupo.Hussein ni mtu hatari sana na ametoa
vitisho
vingi endapo hataupata mzigo wake kabla ya saa saba
mchana wa leo.Labda kwa kukupa picha ndogo tu ni kw
amba
Hussein ana mafungamano na mtandao wa kigaidi.Sikuw
a
nalifahamu hili hadi muda mfupi uliopita.” Akasema
Dr
Joshua na kunyamaza akamtazama Abel na kuendelea
“ Abel,nahitaji huyo mtu ,Hussein na watu wake wot
e
alioambatana nao wawe wamefariki kabla ya saa saba
za
mchana wa leo.For doing that you’ll be saving not
only me
but also our nation.Its a hard task I’ve ever given
you but I
know you can do it.Tell me everything that you need
and I’ll
give you.This is very very important to me” akasema
Dr
Joshua .Ukimya ukatawala mle chumbani.baada muda A
bel
akasema
“ Mheshimiwa rais,nimechukua muda kidogo
kukujibu nilikuwa najaribu kutafakari,namna ya kuif
anya kazi
hiyo kwa weledi na kwa haraka kama unavyotaka.Kwa m
uda
huu hadi kufika saa saba ni muda mfupi na yanahita
jika
maandalizi ya kutosha ya kuwavamia watu hao.Isitosh
e ile ni
hoteli kubwa na muda wote imejaa wageni na ina ulin
zi wa
kutosha ,kunaweza kuwa na ugumu katika kulitekeleza
hilo
kwa namna tunavyotaka na hasa ukizingatia ulivyosem
a
kwamba Hussein ana mafungamano na kikundi cha kigai
di
inawezekana kabisa hata hao watu alioambatana nao w
ana
mafunzo na ujuzi mkubwa wa kutumia silaha kwa hiyo
hili si
suala jepesi.” Akasema abel
“ kwa hiyo unanishauri nini Abel? Nini mawazo
yako? Unadhani tunawezaje kulifanikisha hilo? Kumbu
ka ni
muhimu sana sana”
“ Mzee kuna njia moja tu ya kufanya ili kulifanya
jambo hilo kwa haraka na kwa ufanisi.Sina hakika ka
ma u
takubaliana na njia hiyo lakini ndiyo peke niionyao
mimi
kwamba ni muafakla.”
“ Niambie Abel ni njia gani hiyo?
“ Ni kuilipua hoteli ile kwa bomu.”
Mstuko mkubwa ukaonekana katika sura ya Dr
Joshua.Hakuwa ametegemea kusikia kitu kama ile toka
kwa
Abel.Akafuta jasho ambalo bado liliendelea kumtirir
ika.
“ Abel nimestuka sikuwa nimelitegemea jambo kama
hilo. Lakini kama unaona ndiyo njia pekee ambayo ni
muafaka mimi sina kipingamizi lets us do it ila hof
u yangu ni
kwamba watakufa watu wengine ambao hawana hatia”
“ usihofu kuhusu hilo mheshimiwa rais.Hata kama
watapoteza maisha watu wengine wasio na hatia lakini
sisi
lenog letu likifanikiwa hakuna tatizo” akasema Abel
.
Dr Joshua akainama akafikiri kidogo na kusema
“ Tell me Abel how are we going to do it?
“ Kabla ya kufanya chochote unatakiwa kwanza
uzungumze na mmiliki wa hoteli ile ambaye naamini
mnafahamiana sana.Yeye atakuwa na na msaada mkubwa
kwetu kuitekeleza kazi yetu kwa wepesi bila vikwaz
o.Can you
do that Mr President?
Dr Joshua akainama tena akatafakari halafu akasema
“ Ok ngoja niongee naye nimuombe tukaonane
katika ile nyumba yangu kule ufukweni ili tuongee k
wani
maongezi kama hayo yanahitaji sehemu ya faragha”
akasema Dr Joshua na kuchukua simu yake akapekua se
hemu
anakohifadi namba za simu akaitafuta namba ya Moses
Singura mmiliki wa Samawati beach hotel akampigia.
*****************
Mathew na Patrick waliwasili nyumbani kwa Jason
ambaye alikuwa anajianda kuondoka kwani tayari geti
llikuwa
wazi.Mathew akawahi kulisimamisha gari getini na ku
mzuia
Jason asiweze kutoka. Jason aliogopa sana alipolion
a gari lile
asilolifahamu limesimama getini na kumzuia asitoke
,akadhani ni majambazi akaishika simu yake ili awez
e
kuomba msaada polisi lakini akaiweka chini baada ya
kumuoa
Mathew akishuka toka ndani ya lile gari lilisosimam
a
mlangoni naye akaufungua mlango akashuka “ “ Mathew
!!!
akaita Jason huku akitoa tabasamu
“ Dah ! Umeniogopesha sana kwa namna
ulivyoingia.karibu san....” Jason hakumaliza sentensi
yake
akamuona Mathew akiitoa bastora akamuelekezea.
“ Mathew what’s the meaning of this? Akauliza
Jason kwa wasi wasi.Mwili wote ulianza kumtetemeka
.Sura
ya Mathew ilionyesha wazi hakuwa anahitaji masihara
.Mara
toka ndani ya gari akashuka Patrick naye akiwa na
bastora.Jason woga ukamzidi
“ Mathew what’s go..go..” akababaika Jason
“ Fungua haraka mlango wa nyumba yako,let us in !!
akaamuru Mathew kwa sauti ya ukali iliyozidi kumuog
opesha
sana Jason.Akaenda katika mlango mkuu wa kuingilia
sebuleni akaufungua wakaingia ndani
“ Math..” akataka kusema kitu Jason lakini Mathew
akamzuia
“ Jason wewe ni rafiki yangu lakini hapa sijaja
kirafiki.Nimekuja kikazi.Nataka unieleze wapI alipo
Peniela?
“ Peniela ?? Jason akashangaa
“ Sijamuona Peniela toka siku ile uliponipigia sim
u
nikaja kuwachukueni usiku” akasema Jason
“ Jason narudia tena kwa mara ya mwisho,naomba
unieleze wapi alipo Peniela?
Akauliza Mathew
“ I’m telling you the truth Mathew,Peniela hajafik
a
hapa.”
Mathew akamtazama Jason kwa hasira halafu ghafla
bila ya kutegemea Jason akajikuta amerukiwa na Pat
rick
aliyekuwa nyuma yake na kumkaba shino ,Mathew akat
oa
kifaa Fulani kidogo toka mfukoni mithili ya mkasi m
gumu
“ Jason umenilazimisha nifanye kile ambacho sikuwa
nimepaga kukufanyia.Kwa kuwa umeamua kumficha Penie
la
nitakukata kidole kimoja kimoja hadi utakapoamua ku
nieleza
ukweli “ akasema Mathew
Huku akivuta pumzi kwa taabu kutokana na kukabwa
na Patrick Jason akasema
“ Mathew una....uta..utaniumiza bure.Sijaonana na
Penie..” Kabla hajamaliza kutamka Mathew kwa kutumi
a ule
mkasi mgumu akakikata kidole kidogo cha mwisho mko
no
wa kushoto.Jason akapiga ukulele mkubwa sana kwa
maumivu makali aliyoyasikia .Patrick akamuachia ak
aanguka
chini na kuanza kugala gala huku akilia kama mtoto
mdogo.Mathew akamuinamia na kusema
“ Where is Peniela??
“ Nitakueleza Mathew..please don’t hurt me again!!
!
Akasema Jason ambaye tayari alikuwa amaetapaka damu
“ Jason sina muda wa kupoteza .Niambie Peniela
yuko wapi? Au niendelee na zoezi langu?
“ No ! Mathew please don’t hurt me !! akasema
Jason na kuinuka akakaa.Mahali alipokatwa paliendel
a kuvuja
damu nyingi
“ Ni kweli Peniela alikuwa hapa muda mfupi
uliopita.Alinipigia simu na kuniambia ana matatizo
makubwa
na akaomba msaada wangu.Nili...nilie....” Jason akashin
dwa
kuongea kutokana na maumvu makali .Mathew akachukua
kitamaba na kulifunga jeraha halafu Jason akaendele
a
“ Nilienda kumchukua Peniela nikamleta hapa
alikuwa na mzee mmoja ,akaniomba aishi hapa kwangu
kwa
muda kwani hana makazi,nikamkubalia.Aliniambia kwam
ba
kuna sehemu anakwenda mara moja na atarejea baadae

“ Alisema anakwenda wapi? Akauliza Mathew
“ Alisema kwamba anakweda kuonana na Josh”
“ Josh ?? akauliza Mathw
“ Ndiyo”
Mathew akamgeukia Patrick
“ Twende tuondoke tumuwahi
Peniela.Ninapafahamu mahal alikoenda” akasema Mathe
w
na kumuinamia tena Jason
“ Nisikilze Jason.Peniela is a killer.She killed
Anitha.Hivi tunavyoongea ametoweka na kirusi Aby am
bacho
tayari tulikuwa tumekipata.She foolled us.She’s sti
ll with
team SC41” akasema Mathew na kutoka mle sebuleni
akimuacha Jason katika mshangao mkubwa
**************
 
SEHEM YA 28

kubwa wakiwaacha watu wote mle ndani wakjiuliza masw
ali
nini kimetokea
“ Peniela kuna nini? Mbona tumeondoka kwa fujo
namna hii? Is everything ok? Akauliza Dr Kigomba
“ He’s following us.mathew is comig after us”
akasema Peniela na sura ya Kigomba ikabadilika .Ali
ingiwa na
woga mwingi
“ I need to do something very quick to get the
virus.That man Mathew will never stop chasing us.”
Akawaza
Dr Kigomba
****************
Team SC41 waliokuwepo nyumbani kwa John
Mwaulaya wakijadiliana mambo kadhaa hawakuwa
wametarajia kama wangeweza kuvamiwa.Mathew na Patri
ck
wakiwa wamejiandaa vilivyo walivamia makazi ya John
mwaulaya wakimtafuta Penela lakini walikumbana na
uipinzani mkai kutoka kw teamSC41.Kuliibuka mpamban
o
mkali wa kurushiana risasi uliodumu kwa dakika thel
athini
lakini Mathew na Patrick waliokuwa wamejizatiti vye
ma
wakafanikiwa kuwadhibit team SC41 na watu saba
wakapoteza maisha na wengine wakafanikiwa kutoroka
na
kukimbia.Mathew na Patick wakiwa katika tahadhari k
ubwa
wakapekua kila mahali katika jumba la John Mwaulay
a lakini
hakukuwepo na dalili zozote za Peniela wala Kigomba
“ we lost her !!..akasema Mathew kwa hasira na
kumtaka Patrick waondoke haraka eneo lile.
“ Peniela yuko wapi? Ana dhumuni gani na kile
kirusi? Nitamsaka kila kona na nitahakikisha ninamp
ata.Jua
halitachwea siku ya leo kabla sijamtia Peniela mik
ononi
mwangu” akawaza Mathew
“ Mathew !! akaita Patrick ambaye mkono wake wa
kushoto ulikuwa unavuja damu kutokana na kujeruhiwa
kwa
risasi.
“ watu wale ni akina nani? Wanaonekana ni watu
wenye weledi mkubwa wa kupambana.Kama isingekuwa
kwamba sisi nasi ni wajuzi zaidi yao kwa kucheza na
silaha
basi ni wazi tusingetoka salama katika lile jumba”
akasema
Patrick
“ wale ni team SC41.Ni watu wanaopatiwa mafunzo
ya hali ya juu ya kiupelelezi na kazi yao kubwa ni
kulinda
maslahi ya Marekani hapa nchini.Ni kikundi kidogo l
akini
hatari sana.Peniela tunayemsaka ni mmoja wao” akase
ma
Mathew.
“ lakini mbona wanaonekana ni watanzania?
“ Ndiyo ni watanzania .Team SC41 wakianzisha tawi
lao sehemu fulani basi huchukua watu kutoka sehemu
hiyo
wakapa mafunzo na kuwaajiri wafanye kazi ila makao
makuu
yapo Marekani.
“ Mimi ni C.I.A na ninafahamu mambo mengi ya
serikali yetu ila sijawahi hata siku moja kusikia h
icho kikundi
kinachoitwa Team SC41” akasema Patrick
“ Hiki ni kikundi cha siri .Ni watu wachache
wanaofahamu uwepo wa kikundi hiki japokuwa..” Mathe
akanyamaza baada ya simu yake kuita.Akatazama mpiga
nji
alikuwa ni Edmund Dawson
“ hallow Edmund” akasema Mathew
“ Mathew mmefikia wapi? Kuna mafaniko yoyote?
“ Tulifanikiwa kufahamu mahala alikoelekea Peniela
,tukamfuata ,tumekumbana na upinzani mkali sana
nyumban kwa John Mwaulaya ,tumepambana vikali na Te
am
SC41 ,tumefanikiwa kuua baadhi na wengine wakakimbi
a ila
Peniela hatukumpata na hatujui yuko wapi”
“ Poleni sana..Nyote mko salama?
“ Sote tuko salama kabisa”
“ Tayari mmekwisha toka eneo la tukio?
“ Tumekwisha ondoka”
“ Vizuri.Kuna sehemu nyingine mnaelekea hivi sasa?
“ Sehemu pekee ambayo naamini peniela anaweza
kwedna kwa sasa ni kwa Deus Mkozumi.Ninafikiria kwe
nda
huko”
“ Sawa Mathew lakini naomba mrudi kwanza hapa
kuna mambo nmeyabaini kuhusu Deus Mkozumi na mgeni
wanayamtegemea leo” akasema Edmund na kukata simu
“ Huyu mtu hatari sana.Bila yeye ,sina hakika kama
leo hii ningetoka salama katika yale mapambano.Ana
kiwango cha juu sana katika kutumia silaha” akawaza
Patrick
akimtazama Mathew kwa jicho la wizi.
****************
Dr Joshua hakupoteza muda akawasili haraka katika
nyumba yake ya ufukweni kwa ajili ya kuonana na Mose
s
singura mmiliki wa Samawati beach hotel.Moses ni
mfanyabiashara mkubwa mwenye biashara nyingi kubwa
kubwa pia ni mmoja wa wafadhili wa siri wa chama
anachokiongoza Dr Joshua.
Kisha shuka garini ,Dr Joshua akiwa ameongozana na
Abel mkokasule wakaelekea moja kwa moja sebuleni
alikokuwa Moses
“ Moses “ akasema Dr Joshua huku akitabasamu
“ Dr Joshua” akasema Moses wakasalimiana.Dr
Joshua akamuomba Moses waelekee katika chumba kingi
ne
kwa ajili ya maongezi ya faragha
“ Nimeitika wito wako wa haraka mheshimiwa rais”
akasema Moses
“ Nashukuru sana Moses kwa kuacha shughuli zako
nyingi ukaitika wito wangu” akasema Dr Joshua na
kumueleza kwa kirefu Moses kile alichomuitia pale.
Alimfafanuilia kwa kina azma yake ya kutaka kuilipu
a hotei ile
ya samawati beach inayomilikiwa na Moses kwa leng
o la
kuwaua magaidi waliopanga pale
“ Kwa hiyo Moses nakuomba usijali kabisa kuhusu
kuruhusu kuharibiwa kwa hoteli yako.Nakuahidi utaje
ngewa
hoteli nyingine kubwa sana kuliko hii ya sasa ndani
ya kipindi
kifupi na utalipwa fidia kubwa mara mbili ya gharam
a
ulizotumia kujengea hoteli hiyo.Jambo hili ni kwa a
jili ya taifa
letu na kama tusipowawahi magaidi hao watatuwahi na
kufanya mashambulizi makubwa hapa nchini kwetu.Laz
ima
tuwaondoe haraka iwezekanavyo na njia pekee ya
kuwaondoa ni kwa kuilipua hoteli waliyomo.” Akaende
lea
kuweka msisitizo Dr Joshua
Kulifanyika mjadala mzito lakini mfupi na mwisho
wakafikia makubaliano.haikuwa rahisi kwa Moses Sing
ura
kukubali ombi la rais lakini baada ya kuahidiwa kia
si kile
kikubwa cha fedha alikubali.Baada ya maafikiano Abe
l
Mkokasule na Moses wakaondoka tayari kabisa kwenda
kuanza utekelezaji wa mpango ule.
“Ee Mungu naomba unisamehe sana kwa hiki
kinachokwedna kutokea .maisha ya watu waso na hatia
yanakwenda kupotea” akawaza Dr Joshua na kuinama
akaweka mikono kichwani
“ Nililianzisha suala hili lakini sifahamu ni wapi
linanipeleka kwani linaanza kunishinda kunidhibiti.
Leo hii
tena roho za watu wasio na hatia zinakwenda kuteket
ea.kwa
hatua hii niliyofikia lazima niwe makini sana kwani
mambo
yanaanza kuniendea mrama.Kila kitu kinaonekana kwen
da
ndivyo sivyo” Akawaza Dr Joshua na kuinuka baada y
a
kumkumbuka Peniela akatoka kwa haraka hadi katika
chumba cha Peniela akagonga mlango lakini hakujibiw
a.
“ my love!! Akaita Dr Joshua akakinyonga kitasa ch
a
mlango ukafunguka.Chumba kilikuwa kitupu Peniela
hakuwemo .Akamuita Kareem na kumuuliza aliko Peniel
a
“ Peniela aliniomba atoke kidogo aende saluni na
hatakawia kurudi” akasema Kareem.Dr Joshua akamtaza
ma
kwa ghadhabu.
“ How can you do that Kareem? Nilikuweka hapa kwa
kazi moja tu ya kumlinda Peniela na nikakupa sharti
kwamba
usiruhusu atoke nje ya nyumba hii.Kwa nini umepuuza
maagizo yangu na kumuacha Penila ametoka ?
“ Samahani mzee aliniambia kwamba hatakawia
kurudi na ndiyo maana nikamruhusu”
“ Nilikuambia Kareem kwamba chochote
anachokitaka apatiwe hapa hapa.Kulikuwa na ugumu ga
ni wa
kwenda kumchukua watu wa kuja kumremba hapa hapa
nyumbani wakati fedha nimekupatia? Akauliza Dr Josh
ua kwa
ukali, Kareem hakujibu kitu akabaki anamtazama Dr J
oshua
“ Kwa nini umedharau amri yangu Kareem?? Akauliza
Dr Joshua
“ I’m sorry Mr president.” Akasema Kareem .Dr
Joshua akamtazama kwa hasira
“ For the first time you’ve disappointed me Kareem

akasema Dr Joshua na kumtazama Kareem kwa hasira
“ Ninakupa dakika thelathini za kwenda kumtafuta
Peniela na kumleta hapa.Nitakapofika ikulu nataka P
eniela
awe tayari amerejea hapa ndani” akasema Dr Joshua k
wa
hasira na kutoka nje akaongozana na walinzi wake ka
tika gari
wakaondoka kurejea ikulu
****************
Mathew na Patrick walirejea katika nyumba ambayo
Edmund Dawson anaitumia kama ofisi yake ya siri
“ Ahsante Mungu mmerejea salama” akasema Anna
baada ya akina Mathew kurejea
“ Poleni sana” akasema Edmund huku akilichunghuza
jeraha la Patrick
“ Ahsante sana Edmund .Tumemkosa Peniela na
hatujui yuko wapi sasa hivi.Umegundua nini kuhusu De
us
Mkozumi? Akauliza Mathew
“ Nimefuatilia namba ya simu ya Deusi Mkozumi
ambayo Chin sun alimpigia asubuhi ,inaonyesha kwamb
a jana
usiku alipiga simu Dubai.Leo tena asubuhi amepiga
simu
katika namba ile ile aliyopiga jana usiku .Baada ya
kufuatilia
namba ambayo John amekuwa akiipiga Dubai jana na le
o
nimegundua kwamba John amekuwa akipiga simu katika
hoteli moja kubwa inaitwa Sahabin hotel na alikuwa
anaongea na chumba namna 304 ambacho mgeni wake
anaitwa Victor Pulkanov raia wa urusi.Sikuishia hap
o
nimewasiliana na hoteli hiyo wakanieleza kwamba Vic
tor
amekwisha rejesha chumba na alipelekwa uwanja wa nd
ege
kwa gari la hotelini hapo.Kuna watu wa C.I.A pale u
wanja wa
ndege wa Dubai ambao niliwasiliana nao wakafanya
uchunguzi wa haraka wakagundua kwamba amepanda ndeg
e
inayokuja Tanzania .Hii imenipa uhakika mkubwa kwam
ba
Victor Pulkanov ndiye mgeni ambaye Deus Mozumi na C
hin
sun wanamtarajia” akanyamaza kidogo baada ya simu y
ake
kuita.Akazungumza kwa dakika tatu na kukata smu
“ Nimepigiwa simu na moja wa vijana wangu ambaye
humlinda Chin sun amenitaarifu kwamba hivi tunavyoo
ngea
Deus mkozumi na Chin sun wamekutana Savana Vilage p
ark
kwa maongezi.”
“ Lazima kuna jambo kubwa linaendelea kati yao na
hasa ni kuhusu huyo mgeni wanayemtarajia” akasema
Mathew
“ Baada ya kugundua kuhusu Victor niliwasiliana na
ofisi yetu kuu ya C.I.A nikawaeleza lakini majibu w
aliyonipa
yamenichanganya kidogo.Victor Pulkanov si raia wa u
rusi na
wala hili si jina lake halisi.Jina lake halisi anai
twa Andrew
Rodney ambaye tumekuwa tukimsaka kwa muda mrefu kwa
kuvujisha siri za serikali.Kilichonishangaza zaidi
ni baada ya
kupewa angalizo kwamba niliache suala hilo kama lil
ivyo na
nisiendelee kulifuatilia kwani C.I.A tayari
wanalifahamu.Nimeshangazwa na angalizo hilo nililop
ewa na
ofisi kuu bila ya maelezo ya ziada.” Akasema Edmund
.Mathew akafikiri kidogo na kusema
“ Nahisi kuna jambo linaloendelea hapa si bure.C.I
.A
walipaswa kukutaarifu kuhusu mipango yao kwani
wanakutumia wewe kumchunguza Chin sun ambaye ana
mawasiliano na Andrew.Kuna jambo linafichwa hapa.Na
hisi
yawezekana labda kuna mpango wa siri wa kumuua Andr
ew
Rodney au kumkamata” akasema Mathew
“ Kwa hiyo unanishauri kitu gani Mathew? Akauliza
Edmund
“ Nashindwa nikushauri nini Edmund kwa sababu hilo
ni suala la C.I.A.Ukienda kinyume na maelekezo yao
basi
lazima utaingia matatizoni.Ushauri wangu fuata mael
ekezo
waliyokupa.Endapo kuna kitu kinaendelea watakufaham
isha
 
SEHEM YA 29

“ Josh kuna kitu kinaendelea .Kwa ufupi ni kwamba
tayari nina kirusi kile ambacho tumekuwa tunakitafu
ta kwa
muda mrefu”
“ The virus? Akauliza Josh kwa mshangao
“ Ndiyo”
“ Umekipata vipi?
“ Ni hadithi ndefu ila ninachotaka ufahamu ni
kwamba kuna vita kubwa kati yangu na Mathew na ndiy
o
maana nikakutaka tondoke kabla hajafika pale kwani
sifahamu nini kingetokea kama angetukuta pale.Kuanz
ia sasa
zima kabisa simu yako na usiwasiliane na mtu yeyot
e “
Haraka haraka Josh akaizima simu yake
“ Kwa hiyo nini kinafuata? What are we going to do
with that Virus? Akauliza Josh .Peniela hakujibu ki
tu
akaendeleaa kuinamisha kichwa akiwaza
“ Peniela Kijana hapa ameuliza swali zuri sana.Una
mpango gani na hicho kirusi? Please tell us” akauli
za Dr
KIgmba
“ Kabla ya kufikiria tufanye nini na hiki kirusi k
wanza
lazima tutafute sehemu ya kujificha.Sote hapa
tunatafutwa.KIgomba unatafutwa na rais,mimi nitafut
wa na
Mathew na ninaamini Josh wewe utaanza kutafutwa na
Team SC41 kwa hiyo tutakapokuwa tumepata sehemu nzu
ri
ya kujificha yenye usalama nitawaeleza kitakachofua
ta .Kuna
yeyote kati yenu anayeweza kupata sehemu nzuri ya
kujificha? akauliza Peniela.Josh na Dr Kigmba wakat
azamana
“ Inaonyesha hamna ,basi mimi ninayo” akasema
Peniela na kuwasha gari
“ Simuelewi Peniela ana mpango gani na hiki kirusi
.Huyu kijana naye ameongezeka na anazidi kuweka ugu
mu
kwa mimi kukichukua kirusi hiki.Hata hivyo kwa vyov
yte vile
itakavyokuwa lazima nikichukue kirusi.Nikipata nafa
si hata ya
dakika moja sifanyi kosa.Nitaitumia ipasavyo.Inaniu
ma sana
kumuona huyu mwanamke anamiliki kirusi ambacho
nimekihangaikia mno.Nusura nipoteze uhai wangu kwa
sababu ya kirusi hiki.Anatembea na mabilioni ya
fedha.Natamani hata sasa nimrukie nimkabe niondoke
na
kirusi lakini ngoja niwe na subira.” akawaza Kigom
ba .Ni wazi
hakuwa amefurahi kabisa uwepo wa Josh
Safari ilikuwa ya kimya kimya na mara wakawasiii
katika kanisa moja kubwa lililoandikwa Calvary Mini
stry
“ What are we doing here? Akajiuliza Dr
Kigomba.Peniela aliendesha gari hadi katika ofisi z
a kanisa
akalichukua sanduku lenye kirusi akashuka nalo akae
nda hadi
katika ofisi za kanisa akakaribishwa na wahudumu
wachangamfu.Akawasalimu na kuwaeleza shida yake ya
kutaka kuonana na Chin sun mke wa askofu.Alielezwa
kwamba kwa muda huo Chin sun hakuwepo alikuwa ameto
ka
.Walimtaka aeleze tatizo lake ili wamfikishie Chin
sun au
kama anashida ya kuombewa basi kuna wachungaii weng
ine
ambao wangeweza kumuombea lakini Penela alisisitiza
kutaka kuonana na Chin sun ana kwa ana.Kwa kuona
msisitizo ule wahudumu wale wakajadiliana na kuamua
kumsaidia Peniela kwa kumpigia simu Chin sun ili aw
eze
kuzungumza naye.
“ Mama Chin samahani sana kwa kukusumbua”
akasema mmoja wa wahudumu wa kanisa aliyempigia sim
u
Chin sun
“ Bila samahani” akasema Chinsun
“ Mama kuna mgeni wako amekuja hapa anakutafuta
na anaonekana ana sh...” Peniela aliyekuwa karibu na
Yule
muhudumua akadakia
“ Naomba unipe simu niongee naye mwenyewe”
Yule muhudumu akampatia simu Peniela
“ Mama Chin” akasema Peniela
“ Ninaonge ana nani? Akauliza Chin sun
“ Naitwa Peniela” akasema Peniela huku akitoka nj
e
ya ile ofisi
“ NIkusaidie nini?
“ Nina shida kubwa ya kuonana nawe.Nielekeze
mahala ulipo nikufuate sasa hivi”
“ Unashida gani?
“ Nina shida kubwa ambayo siwezi kuizungumza
simuni”
“ Nina kazi nyingi za kufanya kwa hiyo kama
hutanieleza shida yako ili nione uzito wake itaniwi
a ugumu
kutenga muda wa kuonana nawe.Nieleze tafadhali japo
kwa
muhtasari tatizo lako”
Peniela akawaza kidogo na kusema
“ Ni kuhusu Andrew Rodney”
“ Chin sun alibaki kimya kwa sekunde kadha halafu
akasema
“ Usiondoke hapo kanisani nakuja sasa hivi.Mpe sim
u
muhudumu niongee naye” akaelekeza Chin sun na Peni
ela
akaipeleka simu kwa mhudumu ambaye alipewa maelekez
o
na Chin sun .Baada ya simu kukatwa Yule muhudumu
akamuomba Peniela amfuate,akampeleka katika chumba
kimoja kizuri kilichoonekana kama maalum kwa kupumz
ikia
wageni muhimu sana.Akakirimiwa kinywaji akaendelea
kunywa taratibu huku akitazama muziki katika lunin
ga
kubwa.
“ Ili kumuokoa Deus lazima nimueleze ukweli Chin
sun.Vile vile nahitaji kuonana na Andrew Rodney amba
ye
naamini ndiye atakayenisaidia kulimaliza kundi la T
eam
SC41.Huyu anazitafuta siri za marekani na kuzivujis
ha.Endapo
siri za kuwepo kwa kundi hili la Team SC41 zitavuj
a naamini
utakuwa ni m wisho wa kundi hili.” Akawaza Peniela
halafu
akamkumbuka Mathew
“ Roho inaniuma sana kila nikimfikiria Mathew lak
ini
sina namna ya kufanya ,nimekwisha fanya maamuzi siw
ezi
kurudi nyuma tena.Sipati picha atakuwa katika hali
gani
baada ya kukuta Anitha amekufa.Yeye na Anitha walik
uwa
wanapendana sana.Lazima nikiri kwamba katika maisha
yangu yote yaliyobaki kitendo cha kumuua Anitha kit
anitesa
mno.She was a very nice girl.Alikuwa na roho nzuri
sana
sikuwa nimedhamiria kabisa kumuua lakini bila kufan
ya vile
nisingeweza kukichukua kirusi .God wil forgive me f
or what I
did” akaendelea kuwaza Penela wakati akimsubiri Chi
n sun
***************
Toka aliporejea ikulu akitoka kuonana na Moses
Singura,Dr Joshua alikuwa amekaa kitandani chumbani
kwake akiwa na mawazo mengi mno.Tayari alikwishatoa
maelekezo kwa wasaidizi wake ya kufuta ratiba yake
yote ya
siku.Hakutaka kabisa kushughulika na kitu kingine c
hochote
zaidi ya masuala mazito yaliyokuwa yanamkabili.Akiw
a katika
dimbwi la mawazo simu yake ikaita alikuwa ni Abel
Mkokasule ,akaipokea haraka haraka
“ Abel ,give me the good news” akasema Dr Joshua
“ Mzee tunaendelea vizuri na maandalizi.It’s not e
asy
but we’re doing everything we can .Moses amenipa
ushirikiano mkubwa sana.Tayari tumepata mabomu man
ne
makubwa kutokana maelekezo yako uliyoyatoa na sasa
tunaendelea na maandalizi kwani jambo hili linahita
ji umakini
na usiri wa hali ya juu sana”
“ Good to hear that Abel.Tafadhali hakikisha jambo
hili linafanikiwa”
“ Ndiyo mheshimiwa rais ninafanya kila ninaloweza
na jambo hili litafanikiwa.”
“ Good” akasema Dr Joshua
“ Mzee kuna taarifa nimepewa na vijana wangu
niliowaacha katika ile nyumba ambayo alikuwamo Anna
ambao wanaendea na uchunguzi wao”
“ Taarifa gani hiyo Abel?
“ Kuna mmoja wa walinzi wako anaitwa Kareem
ameonekana katika ile nyumba na ameshikiliwa na vij
ana
wangu ambao wamenitaka nikuulize kama ni wewe ndiye
uliyemtuma pale?
“ Hapana ,sjamtuma aje hapo” akasema Dr Joshua
kwa sauti yenye mshangao
“ Kama hukumtuma basi inaonekana kuna kitu
anakifahamu kuhusu nyumba ile au kuhusu Anna” akas
ema
Abel
“ Uko sahihi Abel.Waambie vijana wako wasimuachie
na wampeleke katika nyumba yangu ufukweni nitamuhoj
i
mimi mwenyewe na baadae utamchukua utampeleka dark
house” akasema Dr Joshua na kukata smu
“ Lazima kuna kitu kinaendelea hapa na Kareem
lazima anakifahamu .Hainiingii akilini eti Kareem a
lifika katika
nyumba hiyo kwa bahti mbaya.Lazima kuna kitu amekif
uata
hapo.Inawezekana Kareem akawa anafahamu mahala alip
o
Anna? Nitamuhoji mimi mwenyewe na atanieleza ukweli
alichokwenda kukifanya pale.Kuna mwanga nimeanza
kuuona hapa.” Akawaza Dr Joshua akainuka akavaa kot
i lake
na kutoka akaondoka na walinzi wake kwenda katika n
yumba
yake iliyoko ufukweni mwa bahari
“ Naanza kuhisi kama nimezungukwa na wasaliti kila
kona.Namuamini sana Kareem lakini kitendo cha kuone
kana
katika nyumba ambayo inahisiwa Anna alikuwepo
kimenifanya nianze kuwa na mashaka naye.Ngoja nikam
uhoji
niufahamu ukweli” akawaza Dr Joshua
******************
Mathew ,Anna na Edmund Dawson waliwasili katka
nyumba ya bi Winifrida Mshana aliyewahi kuwa katbu
mkuu
kiongozi wakati wa uongozi wa Deus Mkozumi
“ Nisubirini humu humu garini” Anna akawaambia
akina Mathew
“ Anna una hakika utakuwa salama? Akauliza
Mathew
“ Usihofu Mathew ,nitakuwa salama” akasema Anna
na kushuka akaelekea katika geti
“ Huyu ni mwanamke jasiri mno.Nimekaa naye kwa
muda mfupi nimeuona ujasiri wake” akasema Edmund
“ Ni mrembo pia” akasema Mathew na kumfanya
Edmund atoe kicheko kidogo
Anna akaufugua mlango mdogo wa geti akaingia
ndani ya ile nyumba.Katika bustani ya maua alikuwep
o
msichana mmoja akihudumia maua,Anna akamfuata
akamsalimu na kumuuliza kama bi Winifrida
alikuwepo.Msichana yule akamkaribisha Anna sebuleni
na
kumuita bi Mshana ambaye alitoka nje na kukutana na
sura
ya msichana ambaye kama vile anaifahau
“ Shikamoo bibi” akasema Anna na kuivua kofia
aliyokuwa ameivaa pamoja na miwani.
“ Ana ! Bi mshana akashangaa na kumkaribisha kwa
furaha
“ Umebadilika sana kwa hivyo vitu
ulivyovaa.Sikuwahi kukuona katika muonekano huo”
akasema Bi mshana.
“ Bibi nimevaa hivi kwa sababu maalum”
“ Sababu gani Anna?
“ Nitakueleza siku nyingine bibi ila kwa leo nimek
uja
kwako nina shida naomba unisaidie.”
“ Una shida gani Anna?
“ Nahitaji kuonana na Deus Mkozumi”
“ Deus Mozumi? Bi Mshana akashangaa sana
“ Ndiyo bibi.Nina shida naye kubwa na sina namna
ninyaoweza kufanya kuonana naye na ndiyo maana nime
kuja
kwako kwani wewe na yeye mna ukaribu .Naomba unisai
die
bibi” akasema Anna.Bi Mshana akamtazama Anna kwa
makini na kusema
“ Deus Mkozumi ana namba nyingi za simu ila kuna
namba moja ambayo hupenda kuitumia na ni watu wacha
che
tu wanaoifahamu namba hiyo.” Akasema Bi Mshana na
kuinuka akaenda chumbani akachukua simu .
“ Kwa hiyo unataka nimwambie nini? Akauliza Bi
Mshana
“ Mwambie Anna mtoto wa rais Dr Joshua anataka
kumuona.Ni muhimu sana “ akasema Anna.Bi mshana
akazitafuta namba za simu za Deus akapiga
“ Hallow Winnie” akasema Deus baada ya kupokea
simu
“ Deus how are you brother?
“ I’m fine Winnie.Unaendeleaje?
“ Naendelea vizuri .Deus samahani kwa
kukusumbua”
“ Bila samahani Winnie” akasema Deus
 
SEHEM YA 30

“ Natumai ni mara yetu ya kwanza kukutana
japokuwa inaonekana mwenzangu tayari unanifahamu vi
zuri”
“ Ndiyo ninakufahamu japo si sana.Chin sun naomba
tusipoteze muda bali nikueleze moja kwa moja kile
kilichonileta hapa kwako “
“ Sawa endelea Peniela” akasema Chinsun Peniela
akameza mate kulainisha koo na kusema
“ Kwa kuwa muda hutoshi nitaongea kwa ufupi
sana.Chin sun ninafahamu kwamba uko hapa Tanzania
si
kwa ajili ya kueneza injili kama maelfu ya waumini
wa kanisa
lako wanavyoamini bali uko hapa kwa kazi maalum” ak
sema
Peniela na ghafla Chin sun akasimama uso wake umeji
kunja
kwa hasira
“ Hebu rudia tena hicho ulichokitamka.Umesema
nini? Akauliza Chin kwa hamaki
“ Tafadhali usihamaki Chinsun.Kaa chini uendelee
kunisiiliza kile ninachotaka kukwambia” akasema
Peniela.Chin sun akamtazama Peniela kwa mshangao
mkubwa uliochanganyika na wasi wasi halafu akaketi
,Peniela
akaendelea
“ Nafahamu uko hapa Tanzania kwa kazi maalum
uliyotumwa na Korea kaskazini ya kufanya uchunguzi
wa
mahali alipo Chang Ling mwanasayansi aliyetengeneza
kirusi
Aby ambacho serikali ya Korea kaskazini walitaka k
ukitumia
kufanya shambulio nchini Marekani.Chang ling alipot
ea akiwa
safarini akiaenda kufanya majaribio ya kirusi na il
ionyesha
kuwa Chang ling hakufariki katika ndege hiyo iliyop
otea
ambayo inaaminika kuwa abiria wake wote wakapoteza
maisha bali inaonekana yupo hapa Tanzania kwa hiyo
Korea
kaskazini walikutuma uje Tanzania kufanya uchunguzi
na
kubaini mahala alipo Chang ling pamoja na kirusi Ab
y.Kanisa
ambalo wewe na mumeo askofu Edmund Dawson
mnaliongoza ni kama mwavuli tu wa kukukinga usijuli
kane
kile unachokifanya hapa Tanzania “ Peniela akanyam
aza .Uso
wa Chin sun tayari ulikuwa mwekundu.Hakuwa ametegem
ea
kusikia maneno kama yale toka kwa Peniela.Alikuwa
anahema haraka haraka
“ Mambo haya yote umeyafahamuje Peniela ? Wewe
ni nani ? Nani kakutuma uje unieleze haya ? akauli
za Chinsun
“ Usiogope Chin sun,naomba uwe na amani .Mmi si
mpelelezi na wala sijatumwa na mtu yeyote kuja hapa
kwako.Naomba unisikilize hadi nitakapomaliza” akase
ma
Peniela
“ Peniela hakuna haja ya kunificha na wala
kuzunguka.Wewe lazima ni mpelelezi na kuna mtu
aliyekutuma kwangu.Tafadhali naomba unieleze unatak
a
nini? Ma...” akasema Chin usn lakini akazuiwa na Penie
la
“ Usiogope Chi sun.Mimi si mpelelezi na wala haku
na
mtu nyuma yangu aliyenituma kwako.Tafadhali nipe da
kika
chache unisikilze ninachotaka kukwambia” akasema
Peniela.Chin sun akamtazama kwa jicho la uoga na ku
mpa
ishara aendelee.
“ Kwa miaka hii yote toka ulipokuja Tanzania
umejitahidi kwa kila uwezavyo kufanya uchunguzi kuh
usu
Chang lin na hadi leo hii hujafanikiwa kufahamu cho
chote
kuhusu Chang ling wala kirusi Aby.Nasema uongo? Aka
uliza
Peniela
“ Hapana si uongo” akajibu Chin sun kwa sauti ndog
o
Ahsante kwa kukiri hilo.Hili ni jambo la siri kub
wa
ambalo hata kama ungekaa miaka mia moja hapa Tanzan
ia
usingeweza kugundua” Peniela akanyamaza kidogo na
kuendelea
“ Umewahi kusikia kuhusu Team SC41?
“ Hapana sijawahi kusikia kitu kama hicho”
“ Team SC41 ni kikundi kidogo cha watu wachache
chenye kazi moja tu ya kulinda maslahi ya Marekani
hapa
Tanzania na wanafanya kazi zao kwa siri kubwa.Mimi
ni
mmoja wa Team Sc41 .kwa muda mrefu Team Sc41 ilikuw
a
inaongozwa na mtu aliyeitwa John Mwaulaya ambaye kw
a
sasa ni marehemu.Huyu ndiye alikichukua kirusi Aby
kutoka
kwa Chang Ling wakati akieleka nchini Sudan kukifa
nyia
majaribio na kukihifadhi ikulu mahala ambako aliyep
afahamu
ni rais wa nchi pekee.Rais aliyepo madarakani hivi
sasa Dr
Joshua anataka kukiuza kirusi hicho kwa mtu moja an
aitwa
Hussein raia wa Saudi Arabia ambaye tayari yuko hap
a nchini
kwa ajili ya kukichukua kirusi hicho ambacho amekin
ununua
kwa mabilioni ya fedha.Team SC41 toka waunase mpang
o wa
rais kutaka kukiuza kirusi hicho wamekuwa wakikitaf
uta kwa
dhumuni la kutaka kukitumia hapa Tanzania ili wach
ote kiasi
kikubwa cha madini ya thamani kubwa yaliyo chini ya
bahari.Ili kuufanikisha mpango wao walinitumia mimi
kuanzisha mahusiano na rais Dr Joshua” akasema peni
ela na
kunyamaza kidogo
“ Peniela kwa nini unanieleza haya yote? Narudia
tena kukuuliza nini hasa unachokitaka toka kwangu?
Akauliza
Chin sun
“ Bado sijamaliza Chin sun ,naomba uendelee
kunisikiliza” akasema Peniela
“ Nimekuja kwako kuna mambo kadhaa nayahitaji
lakini kabla sijakueleza nini ninahitaji toka kwako
naomba
nikufahamishe mambo mawili muhimu.kwanza ni kuhusu
Chang ling unayemtafuta.Ni kweli kwamba Chang ling
alikuwa amefichwa hapa Tanzania mahala ambako hata
mimi
sipafahamu.Aliyekuwa anapafahamu mahala hapo ni Joh
n
mwaulaya na aliyewahi kuwa rais wa Tanzania Deus
Mkozumi
“ Deus Mkozumi ?? akauliza Chin sun kwa mshangao
‘ Ndiyo.Deus mkozumi pia anafahamu mahala
alipofichwa Chang ling.Mbona umestuka? Unamfahamu
Deus?
“ Ninafahamiana na Dues mkozumi lakini sikujua
kama analifahamu jambo hili”
“ Umefahamiana naye lini?
“ Si muda mrefu ,nimejuana naye kwa kama miezi
miwili iliyopita”
“ Nahisi umemfahamu Deus Mkozumi hivi karibuni
kwa sababu ya Andrew Rodney”
Chion sun akasimama na kumtazama Peniela kwa
mshangao mkubwa.Midomo ilimtetemeka akataka kuongea
kitu akashindwa.
kwangu ukiwa na kitu unachodai kuwa ni kirusi
tunachokitafuta.Si rahisi kwangu kukuamini moja kwa
moja.Labda nitakapothibitisha kuwa kirusi hiki kwel
i ni kile
tunachokitafuta ninaweza kukuamini.Halafu ninachota
ka
kujua umenifahamuje mimi? Akauliza Chin sun
“ Sishangai kwa wasi wasi wako juu yangu lakini
nimekuja moja kwa moja kwako kwa sababu kuna mambo
ambayo nahitaji unisaidie na wewe kuna mambo ambayo
nahitaji kukusaidia kwa hiyo utakaposhindwa kunisa
idia
utanipa mimi ugumu pia wa kukusaidia katika mambo y
ale
ambayo unahitaji msaada wangu” akasema Peniela na k
uzidi
kummchanganya Chin sun
“ sawa Peniela nataka nikusikilize.Nieleze kila ki
tu
unachokihitaji vile vile unieleze mambo ambayo unad
hani
ninahitaji msaada wako” akasema Chin.
“ Tanzania inatarajia kuingia katika uchaguzi mkuu
wa rais mwaka huu kwa hiyo nchi nyingi duniani zina
utolea
macho uchaguzi huo ili kufahamu ni nani atakayechag
uliwa
na kama anaweza akawa na manufaa kwao.Marekani ndiy
o
inayoongoza kwa uwekezaji mkubwa sana hapa Tanzania
.wamewekeza katika sekta ya gesi na viwanda kwa hi
yo
kama wawekezaji wakubwa uchaguzi huu una umuhimu
mkubwa kwao pia.” Akanyamaza na kuendelea
“ Juzi na jana rais wa Tanzania Dr Joshua alikuwa
na
maongezi na mjumbe maalum aliyetuma na serikali ya
Marekani ,Mjumbe huyo alitumwa kwa mambo matatu
makuwa.Kwanza serikali ya Marekani wamekwisha chag
ua
mtu ambaye ndiye wanayemtaka awe rais mpya wa
Tanzania.Mtu huyo ambaye anatakiwa na Marekani aion
goze
Tanzania anaitwa Dr Lucia Mkozumi mtoto wa Deus Mko
zumi
ambaye anafanya azi katika shirika la fedha la umoj
a wa
mataifa.Marekani wanamtaka Dr Joshua afanye kila
linalowezekana Dr Lucia awe rais wa Tanzania baada
ya yeye
kumaliza muda wake.Wametenga kiasi kikubwa sana cha
fedha katika kulifaikisha hilo.jambo la pili ambalo
mjumbe
huyo alitumwa ni kwamba makachero wa marekani walio
ko
Moscow wamegundua kwamba mtu anayetafutwa sana na
serikali ya Marekani kwa kuvujisha siri zake Andrew
Rodney
ana mpango wa kuja Tanzania kuonana na Deus
Mkozumi.kwa kuwa Marekani imekuwa inamuwinda Andrew
kwa muda mrefu wanataka kutumia fursa hiyo kumuua
Andrew katika ardhi ya Tanzania lakini hawataki ij
ulikane
kuwa wao Marekani wamehusika na kifo hicho cha Andr
ew
Rodney kwa hiyo wamefanya makubaliano na mtandao wa
kigaidi wa Alqaeda iliwafanye kazi hiyo kwa kuilip
ua ndege
atakayopanda Andrew na hapo itaonekana kama ni
shambulio la kigaidi .Ili waweze kutekeleza shambul
io hilo
,Alqaeda nao waliweka sharti lao .Kuna kiongozi wao
mmoja
ambaye anashikiliwa na serikali ya Saudi Arabia amb
aye
wanataka kuishinikiza na serikali hiyo imuachie hu
ru.Alqaeda
wanataka kumteka binti mfalme wa saudia Arabia na
kumtumia kuishinikiza serikai ya nchi hiyo kumuachi
a
kiongozi wao.Jambo hilo limepangwa kufanyika hapa
Tanzania jioni ya leo.Katika tukio hilo imepangwa D
eus
Mkozumi na mtalaka wake Rosemry Mkozumi wauawe na
watekaji .Ili tuweze kuhakiki kirusi hiki kama kwel
i ni kirusi
 
Eee niliendelea na ile Live another Day.
Kweli we ni mpenzi wa 24. Ila mi nilioiangalia iliishia Jack akiwa katekwa na warusi,lakini kwenye matangazo inainesha kuwa Tony Almeda akitoka gerezani na kupewa kazi maalumu. We umekiona hicho kipengele?
 
Maskini anitha daah, uyu peniela kiboko tamaa kitu kingine acha nilale nisije nikaachika bure shukrani Lege
 
Back
Top Bottom