LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
- Thread starter
- #2,761
SEHEM YA 22
“ Peniela is here already”
“ Ouh tayari amekwisha fika? Amekuja na taarifa
gani? Kuna chochote amekipata huko kwa dr Joshua?
“ Ndiyo anasema kuna mambo mazito ameyapata
huko kwa hiyo nitakaporejea atatueleza kwa sasa
nimeamuacha apitie vilivyomo katika lile kasha lake
.”
“ Umemueleza kuhusiana na kupatikana kwa kirusi?
“ Tayari nimemueleza ila sijamfahamisha
kimepatikanaje.Nitakaporejea nitamjulisha kila kitu
.Kwa sasa
tumpe nafasi aweze kupitia kwa makini kila kilichom
o ndani
ya kasha lile.Keep an eye on Kigomba” akasema Mathe
w na
kuingia chumbani kwake akachukua silaha na kuondoka
Peniela alilifungua kasha lile na kuanza kupitia
bahasha moja baada ya nyingine.Alipoifikia bahasha
yeye
picha za wazazi wake aliikumbatia picha ya mama yak
e na
kumwaga machozi mengi
“ Dunia hii imejaa watu makatili sana.kwa nini bab
a
bila ya huruma akaamuru mama auawe? Look at her,she
’s so
pretty.” Akawaza huku akifuta machozi na kuitazama
picha
nyingine ya baba yake akaichana chana kwa hasira
“ Una bahati John aliwahi kukuua shetani wewe
kwani endapo asingefanya hivyo ningekuua mimi kwa m
kono
wangu.Natumai huko uliko unaungua katika shimo la m
oto
shetani wewe” akasema Peniela kwa sauti ndogo huku
uso
wake umejikunja kwa hasira.Akaziweka pembeni picha
zile na
vitu vingine alivyovikuta ndani ya lile kasha halaf
u akachukua
flash disk akaichomeka katika kompyuta na kuanza
kuitazama video aliyojirekodi John Mwaulaya
Hadi video ile inamalika mwili wote wa Peniela
ulikuwa umeloa jasho.Akavuta pumzi ndefu na kulazim
ika
kuwasha feni ili kuipooza hali ya hewa kwani alihis
i joto kali
ghafla.Akairudia tena kuitazma video ile kwa mara y
a pili na
ya tatu .Akaegemea kiti
“ Nahisi ni kama vile niko usingizini ninaota ndot
o hii
ya kusisimua lakini haiko hivyo.Siko usingizini na
wala sioti
ndoto.” Akawaza huku jasho likiendelea kumtoka
“ Sasa nimeamni ni kweli John Mwaulaya alikuwa
ananipenda kwa dhati kama mwanae.Ni yeye ndiye
aliyenikoa toka mdomoni mwa kifo.Alitumwa kuniua mi
mi na
mama yangu lakini akaamua kuniacha hai .Toka nikiwa
mdogo nimeishi maisha mazuri mno na hata siku moja
sikuwahi kupungukiwa kitu chochote na sikuliona pen
go la
kuwakosa wazazi wangu.Haya yote aliyafanya John
Mwaulaya.Pamoja na hayo yote ni kweli aliziharibu n
doto
zangu kubwa za maisha nilizokuwa nazo kwa kuniingiz
a
katika Team SC41 lakini alilitambua kosa lake na ka
tika
nyakati za mwisho za uhai wake amekuwa akitafuta ku
fanya
kila awezalo kuyarekebisha maisha yangu ili niishi
maisha
mapya.Mambo aliyonifanyia ni makubwa na sikuyategem
ea
kabisa.Amenifanya nimekuwa binadamu mwenye thamani
kubwa kuliko wote duniani.Sikutegemea kabisa kama J
ohn
angeweza kunifanyia jambo kubwa kama hili.Angeweza
kujichoma yeye kinga yote lakini kwa kuwa ananipend
a
hakufanya hivyo badala yake akaniwekea mimi kinga
hiyo.Vitu vyote alivyoniachia si kitu bali utajiri
mkubwa
ambao ameniachia ni hii kinga aliyoiweka mwilini mw
angu
dhidi ya kirusi Aby.Huu ni utajiri mkubwa mno kulik
o hata
mapesa aliyoniacia.This is what I’ve been wanted.Th
is is what
I’ve been dreaming for so long.The whole world will
kneel
down on me.Every human on earth will speak my
name.Nitaingia katika vitabu vya historia na jina l
angu
litatamkwa kwa vizazi hata vizazi.Damu yangu itakuw
a na
thamani ya matrilioni na matrilioni ya pesa.Nitakuw
a tajiri
mkubwa sana duniani.Naweza kusema kwamba hii imekuw
a
ni bahato sana kwani nimegundua thamani yangu na wa
kati
huo huo kirusi kimetua mikononi mwetu.So I have ve
everything now.Nina kinga na kirusi pia.Ouh John th
ank you
so much for this” akawaza Peniela na kusimama huku
akitabsamu
“ Huu ni mwanzo wa kitabu changu kipya cha maisha
yangu.Kutoka Peniela niliyekuwa kama chombo cha sta
rehe
hadi binadamu ghali kuliko wote lakini ili ndoto ya
ngu iweze
kutimia lazima nihakikishe ninakimiliki kirusi Aby
mwenyewe.Mipango ya Mathew baada ya kukipata kirusi
Aby ni kukihifadhi katika sehemu salama ili kisitum
ike katika
kusababisha maangamizi makubwa.Endapo akifanya hivy
o
basi kinga yangu haitakuwa na maana yoyote.Ndoto ya
ngu
haitaweza kutimia.I have to take the virus before M
athew
comes back.” Akawaza Peniela na mwili wote ukamsisi
mka.
“ Mawazo gani haya yananijia? Nikifanya hivi
nitakuwa nimewasaliti wenzangu waliopambana mno had
i
wakafanikiwa kukipata hicho kirusi.Sintakuwa na tof
auti
yoyite na jaji Elibariki.What am I going to do?? Ak
ajiuliza na
kuinamisha kichwa kwa sekunde kadhaa.Alisikia kitu
kama
sauti ikimwambia
“ Take the virus now !!
Picha za haraka haraka za namna atakavyoishimaisha
yakitajiri zikamjia
“ Sauti hii ninayoisikia ndani mwangu iko sahihi
kabisa .Kama ninataka kuitimiza ndoto yangu basi wa
kati ni
sasa .Nikishindwa kukichukua kirusi sasa sintaweza
tena
kukichukua baadae Mathew akirejea.Lazima nikichukue
halafu nifanye mpango wa kukihakiki kama kweli ni
chenyewe na baada ya hapo nikiachie kisambae hewani
na
hapo ndipo historia ya dunia itakapobadilika.Mtu pe
kee
ambaye anaweza kunihakikishia kama kirusi hiki ni h
alisi ni
Deus Mkozui .Huyu amekuwa rais kwa miaka kumi na
anakifahamu vizuri kirusi hiki.Nitamtafuta ili nipa
te uhakika
kuwa kirusi hicho ni chenyewe.Kama ni hivyo I have
to save
Deus kwani bado namuhitaji sana” akawaza halafu
akakumbuka kitu
“ Kuna mtu mmoja ambaye anaweza akawa na
msaada mkubwa kwangu.Dr Kigomba.Huyu ana tamaa ya
fedha na kwa vile sasa hivi hana mbele wa nyuma ata
fanya
kila nitakachomuelekeza akifanye”
Peniela akajishika kiuna na kuinamisha kichwa
“ Kwa hili ninalotaka kulifanya niko sahihi? Nimet
oka
mbali na akina Mathew tumehangaika katika kuhakikis
ha
tunakipata kirusi Aby.Tumepitia mambo mengi ya hata
ri na
Mathew ameniokoa ,zaidi ya yote tayari Mathew amekw
isha
anza kuniingia moyoni.Nimatokea kumpenda .Endapo
through it.We’re going to be very very rich and I’m
going to
help you get out of the country”
“ Ouh Peniela ar.....” Kigomba akataka kusema kitu
lakini Peniela akamzuia
“ Don’t say anything yet.Hatuna muda mrefu
Mathew atarejea hapa muda wowote.Nataka nikuweke w
azi
kwamba Mathew hana mpango wowote wa kukutorosha
kwenda nje ya nchi bali anataka kuitumia familia ya
ko
kukushinikiza ili uweze kumpa siri za mtandao
wenu.Amepanga kuitesa familia yako mbele yako ili u
sikie
uchungu na useme siri zenu.Kwa hiyo mimi kwa sasa n
diyo
msaada wako mkubwa.Ninakwenda kuchukua kirusi ili
tuondoke kabla Mathew hajarejea” akasema Peniela
“ Sawa Peniela,Fanya haraka haraka tondoke.Be
careful,that man is very dangerous !!! akasema Dr
Kigmba.Penela akatoka na kuelekea moja kwa moja kat
ika
chumba cha Mathew akakinyonga kitasa cha mlango
ukafunguka kwani haukuwa umefungwa kwa funguo.Moja
kwa moja akaelekea katika kasiki ambalo Mathew alih
ifadhi
sanduku lenye kirusi Aby,akafumba macho na kuzikumb
uka
namba alizotumia Mathew kufungulia kasiki lile akaz
ibonyeza
na kasiki likafunguka.Akalitoa sanduku lile lenye k
irusi
akalifungua akatazama ndani ili kuhakiki kama kirus
i
kilikuwamo ndani akatabasamu
Akiwa chumbani kwake Anitha alisikia mlango wa
chumba cha Mathew ukifunguliwa akadhani Mathew ame
rdi
“ Mbona Mathew amerejea mapema namna hii?
Halafu iweje arejee bila ya kupita hapa chumbani kw
angu na
kunijulisha kuwa amerudi? Hii si kawaida yake” akaj
iuliza
Anitha na kuufungua mlango wa chumba chake akaeleke
a
katika chumba cha Mathew.Mlango wa chumba cha Mathe
w
haukuwa umefungwa
“ Mathew ! akaita Anitha bila kujibiwa
“ Mathew !! akaita tena lakini hakujibiwa .
Sauti ya Anitha akimuita Mathew ikamstua Peniela
aliyekuwa ndani ya chumba cha Mathew.Juu ya meza ka
ribu
na kitanda kulikuwa na kisanduku kidogo chenye silah
a
walizopewa na Edmund Dawson kwa kasi ya aina yake
akakifungua na kutoa kisu kikali taratibu mlango
ukafunguliwa na Anitha akaingia ndani.Akastuka san
a
“ Penie.......!!! Akasema Anitha lakini kabla
hajamaliza kutamka kwa kasi ya umeme na nguvu Penie
la
akarusha kisu kile kikubwa kikatua katika kifua cha
Anitha
ambaye akaanguka chini huku akitoa ukelele mkubwa.K
wa
haraka Peniela akamfuata pale chini alipoanguka
akakichomoa kile kisu na kukichoma kwa nguvu kifuan
i
sehemu ulipo moyo na kama hautoshi akakikanyaga na
mguu
kikazama chote
“ I’m so sorry Anitha”akasema kisha akalinyakua li
le
sanduku lenye kirusi akatoka mbio hadi chumbani kwa
Kigomba akamuacha Anitha anatapa tapa pale chini
“ Let’s go !! akasema na kisha akaelekea katika
chumba cha ofisi akalichukua lile kasha alilopewa
na John
Mwaulaya wakaingia garini na kuondoka kwa kasi.
Ukelele aliopiga Anitha pamoja na sauti za milang
o
ya gari kufungwa kwa nguvu na kisha gari kuondoka k
wa kasi
“ Peniela is here already”
“ Ouh tayari amekwisha fika? Amekuja na taarifa
gani? Kuna chochote amekipata huko kwa dr Joshua?
“ Ndiyo anasema kuna mambo mazito ameyapata
huko kwa hiyo nitakaporejea atatueleza kwa sasa
nimeamuacha apitie vilivyomo katika lile kasha lake
.”
“ Umemueleza kuhusiana na kupatikana kwa kirusi?
“ Tayari nimemueleza ila sijamfahamisha
kimepatikanaje.Nitakaporejea nitamjulisha kila kitu
.Kwa sasa
tumpe nafasi aweze kupitia kwa makini kila kilichom
o ndani
ya kasha lile.Keep an eye on Kigomba” akasema Mathe
w na
kuingia chumbani kwake akachukua silaha na kuondoka
Peniela alilifungua kasha lile na kuanza kupitia
bahasha moja baada ya nyingine.Alipoifikia bahasha
yeye
picha za wazazi wake aliikumbatia picha ya mama yak
e na
kumwaga machozi mengi
“ Dunia hii imejaa watu makatili sana.kwa nini bab
a
bila ya huruma akaamuru mama auawe? Look at her,she
’s so
pretty.” Akawaza huku akifuta machozi na kuitazama
picha
nyingine ya baba yake akaichana chana kwa hasira
“ Una bahati John aliwahi kukuua shetani wewe
kwani endapo asingefanya hivyo ningekuua mimi kwa m
kono
wangu.Natumai huko uliko unaungua katika shimo la m
oto
shetani wewe” akasema Peniela kwa sauti ndogo huku
uso
wake umejikunja kwa hasira.Akaziweka pembeni picha
zile na
vitu vingine alivyovikuta ndani ya lile kasha halaf
u akachukua
flash disk akaichomeka katika kompyuta na kuanza
kuitazama video aliyojirekodi John Mwaulaya
Hadi video ile inamalika mwili wote wa Peniela
ulikuwa umeloa jasho.Akavuta pumzi ndefu na kulazim
ika
kuwasha feni ili kuipooza hali ya hewa kwani alihis
i joto kali
ghafla.Akairudia tena kuitazma video ile kwa mara y
a pili na
ya tatu .Akaegemea kiti
“ Nahisi ni kama vile niko usingizini ninaota ndot
o hii
ya kusisimua lakini haiko hivyo.Siko usingizini na
wala sioti
ndoto.” Akawaza huku jasho likiendelea kumtoka
“ Sasa nimeamni ni kweli John Mwaulaya alikuwa
ananipenda kwa dhati kama mwanae.Ni yeye ndiye
aliyenikoa toka mdomoni mwa kifo.Alitumwa kuniua mi
mi na
mama yangu lakini akaamua kuniacha hai .Toka nikiwa
mdogo nimeishi maisha mazuri mno na hata siku moja
sikuwahi kupungukiwa kitu chochote na sikuliona pen
go la
kuwakosa wazazi wangu.Haya yote aliyafanya John
Mwaulaya.Pamoja na hayo yote ni kweli aliziharibu n
doto
zangu kubwa za maisha nilizokuwa nazo kwa kuniingiz
a
katika Team SC41 lakini alilitambua kosa lake na ka
tika
nyakati za mwisho za uhai wake amekuwa akitafuta ku
fanya
kila awezalo kuyarekebisha maisha yangu ili niishi
maisha
mapya.Mambo aliyonifanyia ni makubwa na sikuyategem
ea
kabisa.Amenifanya nimekuwa binadamu mwenye thamani
kubwa kuliko wote duniani.Sikutegemea kabisa kama J
ohn
angeweza kunifanyia jambo kubwa kama hili.Angeweza
kujichoma yeye kinga yote lakini kwa kuwa ananipend
a
hakufanya hivyo badala yake akaniwekea mimi kinga
hiyo.Vitu vyote alivyoniachia si kitu bali utajiri
mkubwa
ambao ameniachia ni hii kinga aliyoiweka mwilini mw
angu
dhidi ya kirusi Aby.Huu ni utajiri mkubwa mno kulik
o hata
mapesa aliyoniacia.This is what I’ve been wanted.Th
is is what
I’ve been dreaming for so long.The whole world will
kneel
down on me.Every human on earth will speak my
name.Nitaingia katika vitabu vya historia na jina l
angu
litatamkwa kwa vizazi hata vizazi.Damu yangu itakuw
a na
thamani ya matrilioni na matrilioni ya pesa.Nitakuw
a tajiri
mkubwa sana duniani.Naweza kusema kwamba hii imekuw
a
ni bahato sana kwani nimegundua thamani yangu na wa
kati
huo huo kirusi kimetua mikononi mwetu.So I have ve
everything now.Nina kinga na kirusi pia.Ouh John th
ank you
so much for this” akawaza Peniela na kusimama huku
akitabsamu
“ Huu ni mwanzo wa kitabu changu kipya cha maisha
yangu.Kutoka Peniela niliyekuwa kama chombo cha sta
rehe
hadi binadamu ghali kuliko wote lakini ili ndoto ya
ngu iweze
kutimia lazima nihakikishe ninakimiliki kirusi Aby
mwenyewe.Mipango ya Mathew baada ya kukipata kirusi
Aby ni kukihifadhi katika sehemu salama ili kisitum
ike katika
kusababisha maangamizi makubwa.Endapo akifanya hivy
o
basi kinga yangu haitakuwa na maana yoyote.Ndoto ya
ngu
haitaweza kutimia.I have to take the virus before M
athew
comes back.” Akawaza Peniela na mwili wote ukamsisi
mka.
“ Mawazo gani haya yananijia? Nikifanya hivi
nitakuwa nimewasaliti wenzangu waliopambana mno had
i
wakafanikiwa kukipata hicho kirusi.Sintakuwa na tof
auti
yoyite na jaji Elibariki.What am I going to do?? Ak
ajiuliza na
kuinamisha kichwa kwa sekunde kadhaa.Alisikia kitu
kama
sauti ikimwambia
“ Take the virus now !!
Picha za haraka haraka za namna atakavyoishimaisha
yakitajiri zikamjia
“ Sauti hii ninayoisikia ndani mwangu iko sahihi
kabisa .Kama ninataka kuitimiza ndoto yangu basi wa
kati ni
sasa .Nikishindwa kukichukua kirusi sasa sintaweza
tena
kukichukua baadae Mathew akirejea.Lazima nikichukue
halafu nifanye mpango wa kukihakiki kama kweli ni
chenyewe na baada ya hapo nikiachie kisambae hewani
na
hapo ndipo historia ya dunia itakapobadilika.Mtu pe
kee
ambaye anaweza kunihakikishia kama kirusi hiki ni h
alisi ni
Deus Mkozui .Huyu amekuwa rais kwa miaka kumi na
anakifahamu vizuri kirusi hiki.Nitamtafuta ili nipa
te uhakika
kuwa kirusi hicho ni chenyewe.Kama ni hivyo I have
to save
Deus kwani bado namuhitaji sana” akawaza halafu
akakumbuka kitu
“ Kuna mtu mmoja ambaye anaweza akawa na
msaada mkubwa kwangu.Dr Kigomba.Huyu ana tamaa ya
fedha na kwa vile sasa hivi hana mbele wa nyuma ata
fanya
kila nitakachomuelekeza akifanye”
Peniela akajishika kiuna na kuinamisha kichwa
“ Kwa hili ninalotaka kulifanya niko sahihi? Nimet
oka
mbali na akina Mathew tumehangaika katika kuhakikis
ha
tunakipata kirusi Aby.Tumepitia mambo mengi ya hata
ri na
Mathew ameniokoa ,zaidi ya yote tayari Mathew amekw
isha
anza kuniingia moyoni.Nimatokea kumpenda .Endapo
through it.We’re going to be very very rich and I’m
going to
help you get out of the country”
“ Ouh Peniela ar.....” Kigomba akataka kusema kitu
lakini Peniela akamzuia
“ Don’t say anything yet.Hatuna muda mrefu
Mathew atarejea hapa muda wowote.Nataka nikuweke w
azi
kwamba Mathew hana mpango wowote wa kukutorosha
kwenda nje ya nchi bali anataka kuitumia familia ya
ko
kukushinikiza ili uweze kumpa siri za mtandao
wenu.Amepanga kuitesa familia yako mbele yako ili u
sikie
uchungu na useme siri zenu.Kwa hiyo mimi kwa sasa n
diyo
msaada wako mkubwa.Ninakwenda kuchukua kirusi ili
tuondoke kabla Mathew hajarejea” akasema Peniela
“ Sawa Peniela,Fanya haraka haraka tondoke.Be
careful,that man is very dangerous !!! akasema Dr
Kigmba.Penela akatoka na kuelekea moja kwa moja kat
ika
chumba cha Mathew akakinyonga kitasa cha mlango
ukafunguka kwani haukuwa umefungwa kwa funguo.Moja
kwa moja akaelekea katika kasiki ambalo Mathew alih
ifadhi
sanduku lenye kirusi Aby,akafumba macho na kuzikumb
uka
namba alizotumia Mathew kufungulia kasiki lile akaz
ibonyeza
na kasiki likafunguka.Akalitoa sanduku lile lenye k
irusi
akalifungua akatazama ndani ili kuhakiki kama kirus
i
kilikuwamo ndani akatabasamu
Akiwa chumbani kwake Anitha alisikia mlango wa
chumba cha Mathew ukifunguliwa akadhani Mathew ame
rdi
“ Mbona Mathew amerejea mapema namna hii?
Halafu iweje arejee bila ya kupita hapa chumbani kw
angu na
kunijulisha kuwa amerudi? Hii si kawaida yake” akaj
iuliza
Anitha na kuufungua mlango wa chumba chake akaeleke
a
katika chumba cha Mathew.Mlango wa chumba cha Mathe
w
haukuwa umefungwa
“ Mathew ! akaita Anitha bila kujibiwa
“ Mathew !! akaita tena lakini hakujibiwa .
Sauti ya Anitha akimuita Mathew ikamstua Peniela
aliyekuwa ndani ya chumba cha Mathew.Juu ya meza ka
ribu
na kitanda kulikuwa na kisanduku kidogo chenye silah
a
walizopewa na Edmund Dawson kwa kasi ya aina yake
akakifungua na kutoa kisu kikali taratibu mlango
ukafunguliwa na Anitha akaingia ndani.Akastuka san
a
“ Penie.......!!! Akasema Anitha lakini kabla
hajamaliza kutamka kwa kasi ya umeme na nguvu Penie
la
akarusha kisu kile kikubwa kikatua katika kifua cha
Anitha
ambaye akaanguka chini huku akitoa ukelele mkubwa.K
wa
haraka Peniela akamfuata pale chini alipoanguka
akakichomoa kile kisu na kukichoma kwa nguvu kifuan
i
sehemu ulipo moyo na kama hautoshi akakikanyaga na
mguu
kikazama chote
“ I’m so sorry Anitha”akasema kisha akalinyakua li
le
sanduku lenye kirusi akatoka mbio hadi chumbani kwa
Kigomba akamuacha Anitha anatapa tapa pale chini
“ Let’s go !! akasema na kisha akaelekea katika
chumba cha ofisi akalichukua lile kasha alilopewa
na John
Mwaulaya wakaingia garini na kuondoka kwa kasi.
Ukelele aliopiga Anitha pamoja na sauti za milang
o
ya gari kufungwa kwa nguvu na kisha gari kuondoka k
wa kasi