SEHEM YA 32
na kuufunika kabisa ule mlango wa ndani.Peniela
akachanganyikiwa hakujua afanye nini
“ Mhhh hapa tumelikoroga.Sijui Chin amefanya nini
humo ndani.Inaonekana nyumba hii ina mambo makubwa
tusiyoyafahamu.Natakiwa nitafute namna ya kujiokoa
toka
humu ndani haraka sana kabla na mimi hayajanikuta k
ama
yaliyomkuta Chin sun.” akawaza peniela na kutoka mb
io
akajaribu kuufungua mlango lakini tayari ulikuwa
umejifunga.Akachukua stuli na kukipiga kioo cha dir
isha
kikapasuka akapenya na akuruka nje .Akakimbia hadi
katika
gari la Chin sun lakini lilikuwa limefungwa na fung
uo alikuwa
nazo Chin sun.Pale nje kulikuwa na gari la Edmund ,
akajaribu
kufungua mlango haukuwa umefungwa.akaingia ndani y
a
gari na kutabasamu baada ya kuzikuta funguo zikiwa
zinaning’inia garini.Akaunyonga ufunguo na gari
likawaka.Kaba hajaondoka akalifungua sanduku lile l
enye
kirusi akahakikisha kipo salama akafungua geti na
kuondoka
na gari la Edmund
Edmund na Mathew wakiwa njiani wakirejea ofisini
,huku Mathew akiwa katika usukani baada ya kuachiwa
na
Edmnd aendeshe ,mara Edmund akasema
“ Peniela ametoroka.Ameondoka na gari langu lakini
usiogope tutampata tu kwani gari langu lina kifaa m
aalum
cha kuniweza kuliona kila mahala lilipo” akasema Ed
mund
“ sawa Edmud ,kitu cha msingi kwa sasa ni kumfuata
Peniela kwani ndiye mwenye hatari kubwa kutokana na
kirusi
anachotembea nacho.” Akasema Mathew
“ Hapana Mathew,Chin sun ni muhimu sana
kwangu.Niko hapa Tnzania kwa sababu yake kwa hiyo s
iwezi
kupoteza nafasi hii.Natakiwa kumpata akiwa hai .End
apo
tutachelewa sana anaweza akapoteza maisha kwani kwa
kawaida ofisi ile ikijifunga kuna hewa Fulani ambay
o hutoka
na kumlewesha mtu aliyemo ndani .Hewa hiyo ina muda
maalum na endapo ukichelewa sana kumzindua anaweza
akapoteza maisha.Nipeleke mimi ofisini na wewe utae
ndelea
kumfuatilia Peniela” akasema Edmund
“ Hapana Edmund,siwezi kuifanya kazi hii peke
yangu.Nahitaji msaada.Lazima twende wote” akasema
Mathew na Edmund hakujibu kitu.
*************
Dr Joshua aliwasili katika nyumba yake iliyoko
ufukweni mwa bahari kwa ajili ya kumuhoji Kareem ml
inzi
wake ambaye alionekana katika nyumba ambayo uchungu
zi
unaonyesha alikuwemo Anna.Bado kareem alikuwa
hajafikishwa.Dr Joshua akaenda katika chumba alicho
kuwa
analala Peniela lakini chumba kilikuwa kitupu.
“ Peniela yuko wapi? Mbona haya mambo yanaanza
kunichanganya sana ? akawaza Dr Joshua akakaa kitan
dani
na kuzama mawazoni.
“ Katika vitu vyote siko tayari kumpoteza Peniela
.Yule mwanamke ndiye furaha yangu.Utajiri huu mkubw
a
nikiupata hautakuwa na maana kama sintakuwa na Peni
ela
.Kwa namna yoyote ile laz.......” Dr Joshua akatolewa
mawazoni na mlio wa simu.Alikuwa ni Abel Mkokasule
“ Hallo Abel” akasema Dr Joshua
“ Mzee nimekupiga simu kukutaarfu kuwa kazi tayari
imekamilika na kilichobaki ni kuisambaratisha hote
li.Nataka
kabla sijabonyeza kitufe na kuilipua hoteli unipe r
uhusa yako
kama hakuna mabadiliko ” akasema Abel
“ Abel go ahed,hakuna mabadiio yoyote.Pleae press
the button now !! akasema Dr Joshua
“ Sawa mzee.Baada ya dakika chache toka sasa
utataarifiwa kitakachokuwa kimetokea”
“ Abel,thank you for this.” Akasema Dr Joshua na
kukata simu akatoka mle chumbani baada ya mlinzi w
ake
kumfuata na kumfahamisha kuwa tayari Kareem amekwis
ha
wasili.Akaagiza akafungiwe katika mojawapo ya chumb
a.
Kareem akaingizwa katika chumba alichoagiza rais
akafungwa miguu na mikono katika kiti na baada ya d
akika
tano Dr Joshua akaingia .Macho yake yaliwaka hasira
.Kareem
akaogopa sana hakuwahi kumuona Dr Joshua akiwa
amekasirika namna ile.Akawaomba walinzi wake watoke
nje
na wamuache na Kareem pekee mle chumbani .
“ Kareem my boy !! akasema Dr Joshua
“ Naam mzee”akasema Kareem kwa woga
“ Mungu hakunijalia kupata mtoto wa kiume kwa
hiyo nilikuchukulia wewe kama mwanangu i wa kiume.I
love
you like a son so I don’t want to destroy you.Nina
chohitaji
toka kwako ni kitu kimoja tu .Niambie Anna yuko wap
i?
“ Mzee sifahamu mahala alipo anna “ akajibu Kareem
“ kareem sina maneno mengi kwa hiyo nakuuliza
tena kwa mara ya mwisho Anna yuko wapi?Nionyeshe al
iko
Anna na nitaliacha jambo hili lipite kama vile haku
na
kilichotokea.” Akasema
“ kweli mzee naomba uniamini .Sifahamu kwa sasa
Anna aliko”
Dr Joshua akasimama kwa hasira
“ kareem naomba usicheze na akili yangu.Umekutwa
katika nyumba ambayo Anna alikuwemo .Ulifuata nini
katika
hiyo nyumba? Nakupa dakika mbili za kunieleza ukwel
i ama
sivyo hutayaona machweo ya leo.Nadhani unanifahamu
nilivyo nikichukia” akasema Dr Joshua kwa ukali.Kab
la
Kareem hajajibu kitu,simu ya Dr Joshua ikaita,aliku
wa ni Abel
Mkokasule.
“ hallow abel” akasema Dr Joshua
“ Mzee kazi tayari imemalizika.Samawati beach hote
l
is down.”
“ Good job Abel and thank you.Nitakutafuta
nitakaporejea ikulu muda si mrefu.” Akasema Dr Josh
ua na
kukata simu akamgeukia Kareem
“ Haya nieleze kareem ,Anna yuko wapi?
“ Mzee ninakueleza ukweli” akasema Kareem mwili
wote ukiwa umeloa jasho
“ Wakati wa shughuli za mazishi ya Flaviana
zikikaribia kumalizka ,Peniela alinipigia simu na k
uiambia
kwamba anahitaji kuonana na Anna.Sikuwa na wasi was
i
wowote naye kwani nafahamu mahusiano yenu.Alinielek
eza
sehemu ambayo anataka kuonana na Anna nami
nikampeleka wakaonana nikamrudisha nyumbani.Leo
uliponitaka nimtafute Peniela sikujua sehemu nyingi
ne ya
kumpata nikaenda katika ile nyumba ambako aliniagiz
a
nimpeleke Anna wakaonane lakini nilipofika nikakama
twa na
watu wa usalama wa taifa .Kwa hyo mzee sifahamu kab
isa
alipo Anna kwani toka nilipomrejesha nyumbani juzi
usiku
sijawasiliana naye kabisa.Katika ile nyumba nilikwe
nda
kumtafuta Peniela.Naomba uniamini mzee” akasema
Kareem.Dr Joshua alibaki amemtumbulia macho .Alistu
shwa
kwa taarifa ile
“ I cant believe this!! Unasema Peniela alionana n
a
Anna?
“ Ndiyo mzee”
Dr Joshua akainuka na kupiga hatua mbili kama vile
anataka kutoka nje halafu akarudi akaketi
“ Huko mahala ulikompeleka Anna aonane na Peniela
kulikuwa na watu wengine zaidi ya Peniela?
“ Ndiyo walikuwepo.Nakumbuka kulikuwa na watu
wengine wawili.Mwanaume mmoja ninayemkumbuka kwa
jina moja tu la Mathew na mwanamke anaitwa Anitha”
Dr Joshua akastuka mno na kulalama
“ Oh my God !! ..oh my God ...! On my God..!!!!
akajishika kichwa
“ Anna ameonana na huyo mtu anaitwa Mathew?
Waliongea chochote?
“ Ndiyo waliongea ila sikumbuki waliongea kitu gan
i
kwani walikuwa katika chumba kingine na hawakutaka
nisikie
walichokiongea.”
Dr Kigomba akainamisha kichwa kwa kama dakika
mbili na mara mlango ukagongwa akaufungua na kukuta
na
na walinzi wake.
“ Mzee kuna tukio limetokea muda mfupi
uliopita.Milipuko inayosadikiwa kuwa ni mabomu imet
okea
samawati beach hotel .Mheshimiwa rais kwa sasa tunao
mba
tukurudishe ikulu kwa ajili ya usalama” akasema mmoj
a wa
walinzi
“ Sawa tuondokeni ila huyu Kareem atabaki hapa
,Abel Mkokasule atakuja kumchukua baade kwa mahojia
no
zaidi” akasema Dr Joshua akaongozana na walinzi wak
e hadi
garini wakaondoka kurejea ikulu.
“ Tayari nimepata jibu.Anna anashirikiiaa na akina
Peniela na wao ndio wenye kirusi hicho kwa sasa.Eli
bariki
alikuwa sahihi Peniela ni nyoka.How could I be so s
tupid and
trust her?Hili ni kosa kubwa nimewahi kufanya katik
a maisha
yangu .Nahisi Peniela ana uchawi anautumia kiasi ch
a
kunifanya nishindwe kabisa kumuamini jaji Elibariki
ambaye
alinieleza ukweli mtupu.Suala hili limekwisha nishi
nda na sijui
tena namna ya kulidhibiti.Nahisi kama vile akili ya
ngu imefika
mwisho wake wa kufikiri kwani sijui nifanye nini ku
wapata
hawa akina Mathew “ akawaza Dr Joshua akiwa garini
akirejea ikulu.
“ Nashindwa kuelewa imetokeaje hadi Anna
akajiunga na hawa mashetani akina Mathew? Nimesalit
iwa
na mwanangu mwenyewe.Hili ni jambo ambalo sikuwa
nimelitegemea kabisa.Kwa mara ya kwanza katika maish
a
yangu nathubutu kujishusha thamani na kujiita mjing
a.I’m so
stupid” akaendelea kuwaza Dr Joshua huku macho yake
yakilengwa na machozi.
“ Inaniumiza mno kumpoteza mwanangu Anna kwani
kitendo alichokichagua cha kujiunga na akina Peniel
a tayari
ameingia katika kundi la maadui zangu.Anna amechagu
a njia
mbaya,hakupaswa kuchagua kuwa adui yangu.kwa hiki
alichokifanya Anna sintakuwa na huruma kwake hata
kidogo.Nitamsaka na kumshughulikia kama
ninavyowashughulikia maadui zangu wengine na endapo
itanilazimu kumkata pumzi sintakuwa na huruma nitam
kata
pumzi .Ni bora nibaki mwnyewe kuliko kuwa na mtoto
shetani kama Anna”
Kichwa cha Dr Joshua hakikutulia,alikuwa na mawazo
mengi mno
“ Nadhani kwa sasa baada ya Hussein kufa natakiwa
nielekeze nguvu katika mpango ule wa Marekani ili n
iondoke
kabisa hapa nchini nikaanze maisha mapya peke yangu
huko
mbali Nimepata somo kubwa sintomuamini tena mwanamk
e
yeyote” akawaza Dr Joshua
****************
Tayari Lucia Mkozumi alikwisha maliza kujiandaa kw
a
ajili ya kwenda kumpokea rafiki yake Salhat ,binti
mfalme wa
Saudi Arabia.Pamoja na kuwa tayari kwa kutoka lakin
i alihsi
miguu mizito akabaki amesimama mbele ya kioo kikubw
a
akijitazama
“ Nina wasi wasi mwingi sana,mwili unanitetemeka
kwa ndani kwa hofu ya hiki kinachokwenda kutokea
leo.Moyo unaniuma sana kwa kitendo cha kuwatoa kafa
ra
wazazi wangu.Oh ! please forgive me lord for what I’
m
doing.I’ve become a monster!!” akawaza Lucia na mic
hirizi ya
machozi ikamtoka akaanza tena kurekebisha uso wake.
“ Anyway ,I have to be strong.I cant back off now
.Kila kitu tayari kimeandaliwa .Nitaumia kwa muda m
fupi
lakini nitasahau yote pale nitakapokalia kiti cha u
rais”
akawaza huku akimalizia kupaka poda usoni.Akachukua
simu
akampiga Donald akamfahamisha kuwa kila kitu kinakw
enda
vizuri .Alipomaliza kuongea na Doald akajitazama te
na katika
kioo
“ This is it.Journey to the white house begins now
”
akasema kwa sauti ndogo na kutoka akaelekea sebulen
i
ambako baba yake Deus Mkozumi tayari alikuwa amejia
ndaa
akimsubiri
“ wow umependeza mno utadhani nawe ni mtoto wa
mfalme” akatania Deus na wote wakacheka
“ Usisahau hata mimi ni mtoto wa rais” akasema
Lucia
“ Are you ready? Deus akauliza
“ I’m ready”akasema Lucia akiongozana na baba yake
wakaingia garini na safari ikaanza , wakitanguliwa
na gari la
walinzi na gari lingine ambalo liliandaliwa maalum
kwa ajili ya
kupanda Salhat.Deus Mkozumi akawaelekeza walinzi
waliotangulia mbele kwamba waelekee nyumbani kwa
Rosemary Mkozumi.