Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Mathew na Anna sasa watakuwa wapenzi....naona dalili kwa mbali.
 
Sterling ni Mathew.....Peniella kwa vitendo vyake anavyofanya tangu mwanzo hana heshima hiyo.Bull shit nimemchukia mnooo
Mkuu kumbuka story inaitwa penniella kwani kibaya kipi kafanya zaidi ya huu usaliti ile kuliwa kawaida sisi wazee wa zamani tunasemaga haina makombo
 
SEHEM YA 31

wanazozihitaji kuhusu Korea kaskazini.Bila kujua u
lijikuta
ukinasa katika mtego wa Edmund na ukaingia katika
mahusiano naye na hatimaye mkafunga ndoa naye.Kila
kitu
unachokifanya Edmund anakifahamu” Chin sun alishind
wa
aseme nini mwili ulikuwa unamtetemeka
“ Peniela tafadhali naomba unihakikishie kama haya
unayonieleza ni mambo ya kweli “ akasema Chi sun
“ Kila nilichokuleza hapa ni ukweli mtupu chin sun

“ Lakini hilo litawezekanaje Peniela? Nimekaa na
Edmund kwa miaka kadhaa sasa na hata siku moja siku
wahi
kumuhisi vibaya na hata simu yake nimekuwa naipekua
mara
kwa mara na sikuwahi kukuta jambo lolote baya .Un
anipa
wakati mgumu sana kuamini kama hayo unayonieleza ya
na
ukweli wowote ndani yake”
“ Edmund Dawson ni mtu makini na amekuwa
akifanya kazi zake kwa siri kubwa kiasi si rahisi k
ufahamu
chochote.Anayo ofisi yake ya siri ambayo huitumia k
wa kazi
zake .Kama ukihitaji kwenda huko nitakupeleka.Miong
oni
mwa watumishi wenu wa karibu na hasa wale wanaotoka
Marekani wengi wao ni C.I.A na kwa pamoja wanashiri
kiana
na Edmund kukuchunguza bila ya wewe kujua”
“ Mungu wangu !! Akasema Chin sun kwa
mshangao.Peniela akaendelea
“Edmund na John Mwaulaya aliyekuwa kiongozi wa
Team SC41 walikuwa marafiki wakubwa na kuna kitu Fu
lani
John alimpa Edmund anipatie.Baada ya kuonana na Edm
und
ndipo nilipofahamu kila kitu kuhusu wewe.Edmund ali
tueleza
kila kitu na hii ndiyo sababu unaona ninakufahamu v
izuri
sana.”Peniela akatulia kidogo.Chin sun akainamisha
kichwa
na baada ya muda akainua kichwa na kusema
“ mambo uliyonieleza peniela ni makubwa na mazito
na si rahisi kuyaamii kwa haraka ila siwezi kuyapuu
za hata
kidogo.Nataa unithibitishie kama yale yote uliyonie
leza ni ya
weli.Tukianzia na kile kirusi nataka kuthibitisha k
ama ni halisi
ama vipi na halafu unithibitishie haya uliyonieleza
kuhsu
Edmund.Endapo ukifanya hivyo nakuahidi kukupa kila
aina ya
msaada unaouhitaji”
“ Usijali kuhusu hilo lakini kabla ya yote kuna ja
b
nataka ulifanye”
“ jambo gani Peniela?
“ Nataka uwasiliane na Deus Mkozu na umueleze juu
ya mpango ulipo wa kumuua Andrew Rodney ili atafute
namna ya kufanya jambo hillo lisifanikiwe.Moja kati
ya vitu
ninavyohitaji baada ya kukuthibitishia yale niliyok
ueleza ni
kuwasiliana au kuonana na Andrew Rodney ili aweze
kulianika kudi la Team SC41 kwa hiyo Andrew hapaswi
kufa
kabla sijaonana naye” akasema Peniela .Chin sun aka
chukua
simu yake toka katika mkoba akazitafuta namba za D
eus
Mkozumi akapiga lakini simu ya Deus haikuwa inapati
kana
“ Deus hapatikani simuni.Nilikuwa naye uliponipigi
a
simu na akanieleza kuwa mchana wa leo atakuwa
anashughulikia suala Fulani la kifamilia nadhani nd
iyo maana
hapatikana simuni” akasema Chin sun
“ kwa kuwa Deus hapatikani hatuwezi kusubiri.Ngoja
niwasiliane na ofisi yetu kuu niwape taarifa hii ili
waone
namna ya kuweza kumuokoa Andrew Rodney kwani ni mtu
muhimu pia kwa Korea kaskazini” akasema Chin sun
akafungua mkoba wake na kutoa laini nyingine akaiwe
ka
katika simu na kuzitafuta namba Fulani akapiga na ku
anza
kuongea kwa zaidi ya dakika ishirini kwa kutumia lu
gha yao
ya Kikorea.Alipomaliza akamtaka Peniela waondoke.
“ Ninao wenzagu wawili nimeongozana nao wako
katika gari naomba waambatane nasi” akasema Peniela
“ Hapana sitaki kuambatana na mtu mwingine zaidi
yako.Watabaki hapa hadi tutakaporejea” akasema Chin
sun
na kutoa maagizo kwa wahudumu wawapeleke Josh na D
r
Kigomba katika chumba cha mapumziko .
“ Andrew Rodney..” akaanzisha maongezi Peniela
wakiwa garini baada ya safari yao kutawaliwa na uki
mya
mzito
“ Anakuja kufanya nini Tanzania? Akauliza
Peniela.Chin sun akakuna kichwa na kusema
“ Penila naomba tafadhali tusiongee kuhusu Andrew
kwa sasa akili yangu yote inafikiria mambo uliyoni
eleza
kuhusu mume wangu Edmund.Usinione ninaendesha gari
lakini mwili wangu hauna nguvu hata kidogo.Ninahisi
baridi
,mwili unanitemeka kwa ndani.Ninaomba hiki ulichoni
ambia
kisiwe kweli.Yote hii ni kwa sababu ninampenda mno
Edmund dawson.Toka nilipokutana naye kwa mara ya
kwanza nilitokea kumpenda sana na hadi leo hii bad
o
ninampenda mno.Kutokana na kumpenda huko nilimuamin
i
sana na sikuchukua tahadhari yoyote kuhusu yeye. Na
hilo
litanigharimu.Kama kweli Edmund ni C.I.A basi kwa
kipindi
hiki chote ambacho nimeishi naye nina hakika atakuw
a
amenichunguza vya kutosha na atakuwa amefahamu mamb
o
mengi sana kuhusiana na Korea kaskazini” akasema Ch
in sun
na kuupiga usukani kwa hasira.Peniela akamtazama bi
la
kuongea chochote
“ Peniela usinione nina hasira namna hii ,ninaumia
mno moyoni.Kwa mara ya kwanza ninajilaumu kwa nini
niliamua kuifanya kazi hii ya ujasusi.Sikujua kama
siku moja
yanaweza yakanikuta mambo kama haya.Najilaumu sana
kwa kupofushwa macho na mapenzi nikashindwa kun’gam
ua
mapema kwamba mtu niliyemuamini na kumpa moyo wangu
ni nyoka mwenye sumu kali.Huwezi kuamini Peniela Ed
mund
ni kila kitu kwangu.Ninampenda kuliko kitu
chochote,amenionyesha mapenzi makubwa lakini kumbe
yote ilikuwa ni ulaghai mkubwa.Nitafanya ni....” Chi
n sun
akashindwa kuongea ,macho yake yalijaa machozi”
“ Chin sun naomba nipe gari niendeshe.Huwezi
kuendesha ukiwa katika hali hiyo” akasema Peniela .
Chin sun
akampisha Peniela aendeshe
“ welcome to the world of betray Chin sun” akawaza
Peniela baada ya kumuona Chin sun namna aivyoumizwa
na
taarifa zile alizompa kuhusiana na Edmund dawson
“ Inauma sana kusalitiwa lakini ukiwa katika kazi
hizi
mambo kama haya ni ya kawaida.Usaliti haujaanza na
sisi
,ulianza toka enzi na enzi kwani hata shetani mwanz
o alikuwa
malaika.Sijui Mathew atakuwa wapi muda huu na sijui
atakuwa katika hali gani baada ya kukuta Aitha
amefariki.Naamini atanisaka kila kona na siku akini
pata sijui
nini kitatokea.Ninachopaswa kufanya ni kutafuta nam
na ya
kuondoka hapa nchini na kwenda zangu mbali kabisa n
ikaishi
kwa raha mstarehe huku nikiufaidi utajiri wangu.Nin
aamini
Korea kaskazini watanisaidia kwa hilo kwani wanakih
itaji sana
kirusi hiki na ninaweza kuwauzia kwa fedha nyingi s
ana na
watakapokitumia nitapata tena faida nyingine kwa
kutengeneza kinga ya kupambana na kirusi hicho .” A
kawaza
Peniela
Safari iliendelea na hatimaye wakawasili katika
nyumba ambayo Edmund dawson huitumia kama ofisi yak
e.
“ Ni hapa tumefika” Peniela akamwambia Chinsun
aliyekuwa ameinama akilia.Chin sun akainua kichwa
akachukua kitambaa na kufuta machozi akaitazama nyu
mba
ile kwa hasira
“ hapa ndipo anapofanyia kazi zake kwa siri Edmund
?
Akauliza
“ Ndiyo ni hapa.Hii ndiyo ofisi ya siri ya
mumeo”akajibu Peniela.Mmoja wa walinzi waliokuwa
wanalinda nyumba ile akawafuata na kutaka kufahamu
wanashida gani Peniela akamuelekeza azunguke upande
wa
pili wa gari alikokaa Chin sun
“ Mimi ni Chin sun ni mke wa askofu Edmund
dawason.Nahitaji kuingia ndani “ akasema Chin sun
“ mama nakufahau wewe ni nani lakini itaniwia
ugumu kukufungulia geti na kukuruhusu uingie ndani
kutokana na maelekezo tuliyopewa na mwenyewe
askofu.Tumeelekezwa asiruhusiwe kuingia humu ndani
mtu
yeyote Yule bila ya ruhusa yake.Kwa hiyo mama ili
nikuruhusu uingie ndani lazima kwanza askofu atoe r
uhusa
hiyo” akasema Yule mlinzi
“ Edmund dawson yuko ndani?
“ hapana hayupo .ndani kuna mtu mmoja tu”
“ Unaweza kuniitia huyo mtu niongee naye?
Akasema Chin.Mlinzi akawaomba wasubiri akaingia nda
ni
Akiwa amejipumzisha sofani sebuleni,Patrick
akaamshwa na mlinzi ambaye alimtaarifu kwamba Chin
sun
anahitaji kuonana naye.Mstuko alioupata Patrick
ulimshangaza hata Yule mlinzi.Hakuwa ametegemea kam
a
Chin sun angeweza kufika mahala pale.Haraka haraka
akachukua simu na kumpigia Edmund
“ Hallow Patrick” akasema Edmund baada ya
kupokea simu
“ Edmund tuna tatizo”
“tatizo gani Patrick?
“ Chin sun yuko hapa”
“ Chin sun??? Edmund naye akastuka sana
“ Ndiyo.Chin sun yuko hapa”
Iimchukua sekude kadhaa Edmnd kuongea
“ Patrick naomba unisikilie ,mpaka Chin amefika ha
po
tayari amekwisha tugundua sisi ni nani.Tayari amei
ngia
ndani?
“ hapana bado yuko nje ila anataka kuingia ndani”
“ sawa fanya hivi,kimbia haraka ofisini na bonyea
code 6 kisha ingiza namba 4367 ili kuzima kila kitu
kisha
tokea mlango wa nyuma na utoweke hapo nyumbani”
“ Saw...............’ Ghafla kiganja cha mkono wa kulia
ulikokuwa umeshika simu kikapigwa kwa risasi na sim
u
ikasambaratika.Kutahamaki Patrick alikuwa anatazama
na na
bastora mbili toka kwa Chin sun na Peniela
“ Patrick..!!! akaita Chin sun kwa hasira.kwa wepe
si
wa aina yake Patrick akauzungusha mkono wake wa ku
shoto
kiunoni kwa lengo la kutoa bastora lakini kabla mko
no
haujaifikia bastora risasi mfululizo zikatoka katik
a katika
bastora iliyofungwa kiwambo cha sauti na kukichafu
a kifua
cha Patrick akaanguka chini.Chin sun akamgeukia Pen
iela na
kumtazama kwa hasira
“ hakukuwa na sababu ya kumuua Patrick.Huyu
angetuelekeza mahala aliko Edmund”
“ Sikuwa na namna nyingine ya kufanya kwani
alikuwa anataka kuchukua bastora.Ulitegemea nini
kingetokea angefanikiwa kuichukua bastora yake? Ak
asema
Peniela.Chin sun akamfuata Patrick pale chini lakin
i tayari
hakuwa na uhai.Chin sun akainua kichwa na kumtazama
Peniela
“ Peniela kazi yako ilikuwa ni kunileta hapa tu kw
a
hiyo sitaki ufanye kazi nyingine ambayo haikukuleta
hapa.Kuna mambo mengi ningeyafahamu kupitia kwa Pat
rick
lakini umemuua na siwezi tena kuyapata.Tumeelewana
Peniela? Akauliza Chin sun
“ Tumeelewana” akajibu Peniela
“ Vizuri.Chukua miiili ya wale walinzi ifiche kati
ka
maua halafu kaa hapo sebuleni uhakiki usalama .Mim
i
ninakagua chumba kimoja baada ya kingine ili nifaha
mu kila
kinachoendelea hapa” akasema Chin sun na kuanza uk
aguzi
wake katika nyumba ile ndogo.Alikagua vyumba vya ku
lala na
katika chumba ambacho aliamini ni cha askofu Edmund
alikutana na vitu vingi ambavyo vilimuhakikishia kw
eli
Edmund ni jasusi wa wa C.I.A.Alitoka katika vyumba
vya
kulala akaingia katika ofisi ya Edmund.Kwa sekunde
kadhaa
akabaki amesimama akiitazama ofisi ile asiamini mac
ho yake
KItendo cha simu ya Patrick kukatika ghafa kikampa
wasi wasiwasi sana Edmund akasimamisha gari pembeni
ya
barabara.
“ Mathew kuna jambo haliko sawa pale ofisini.”
Akasema Edmund kwa wasi wasi mkubwa
“ Nini kimetokea Edmund? Akauliza Mathew.
“ Chin sun amefika pale ofisini.Tayari amekwisa
nigundua” Akasema Edmund na kumshangaza sana Mathe
w
“ Amegunduaje? Akaulizia
“ hata mimi sifahamu amegunduaje”akajibu Edmud
Zilipita dakika mbili za ukimya kila mmoja akitafak
ari
,mathew akauliza
“ kwa hiyo tunafanya nini Edmund?
“ Nimechanganyikiwa Mathew na sielewi nifanye nini
kwani simu ya Patrick imekatika ghafla na kuzidi ku
nipa wasi
was..” ghafla ukatokea mlio katika saa ya mkononi
ya
Edmund.Akaitazama na kukuta taa ndogo nyekudu inawa
ka.
“Tayari Chi sun ameingia ofisini kwangu.Kompyuta
zote mle ofisini zina programnu maalum ya kutambua
alama
za vidole kwa hiyo akiigusa mtu ambaye alama zake z
a vidole
hazijasajiliwa basi moja kwa moja nitajulishwa kwa
taa hii
 
SEHEM YA 32

na kuufunika kabisa ule mlango wa ndani.Peniela
akachanganyikiwa hakujua afanye nini
“ Mhhh hapa tumelikoroga.Sijui Chin amefanya nini
humo ndani.Inaonekana nyumba hii ina mambo makubwa
tusiyoyafahamu.Natakiwa nitafute namna ya kujiokoa
toka
humu ndani haraka sana kabla na mimi hayajanikuta k
ama
yaliyomkuta Chin sun.” akawaza peniela na kutoka mb
io
akajaribu kuufungua mlango lakini tayari ulikuwa
umejifunga.Akachukua stuli na kukipiga kioo cha dir
isha
kikapasuka akapenya na akuruka nje .Akakimbia hadi
katika
gari la Chin sun lakini lilikuwa limefungwa na fung
uo alikuwa
nazo Chin sun.Pale nje kulikuwa na gari la Edmund ,
akajaribu
kufungua mlango haukuwa umefungwa.akaingia ndani y
a
gari na kutabasamu baada ya kuzikuta funguo zikiwa
zinaning’inia garini.Akaunyonga ufunguo na gari
likawaka.Kaba hajaondoka akalifungua sanduku lile l
enye
kirusi akahakikisha kipo salama akafungua geti na
kuondoka
na gari la Edmund
Edmund na Mathew wakiwa njiani wakirejea ofisini
,huku Mathew akiwa katika usukani baada ya kuachiwa
na
Edmnd aendeshe ,mara Edmund akasema
“ Peniela ametoroka.Ameondoka na gari langu lakini
usiogope tutampata tu kwani gari langu lina kifaa m
aalum
cha kuniweza kuliona kila mahala lilipo” akasema Ed
mund
“ sawa Edmud ,kitu cha msingi kwa sasa ni kumfuata
Peniela kwani ndiye mwenye hatari kubwa kutokana na
kirusi
anachotembea nacho.” Akasema Mathew
“ Hapana Mathew,Chin sun ni muhimu sana
kwangu.Niko hapa Tnzania kwa sababu yake kwa hiyo s
iwezi
kupoteza nafasi hii.Natakiwa kumpata akiwa hai .End
apo
tutachelewa sana anaweza akapoteza maisha kwani kwa
kawaida ofisi ile ikijifunga kuna hewa Fulani ambay
o hutoka
na kumlewesha mtu aliyemo ndani .Hewa hiyo ina muda
maalum na endapo ukichelewa sana kumzindua anaweza
akapoteza maisha.Nipeleke mimi ofisini na wewe utae
ndelea
kumfuatilia Peniela” akasema Edmund
“ Hapana Edmund,siwezi kuifanya kazi hii peke
yangu.Nahitaji msaada.Lazima twende wote” akasema
Mathew na Edmund hakujibu kitu.
*************
Dr Joshua aliwasili katika nyumba yake iliyoko
ufukweni mwa bahari kwa ajili ya kumuhoji Kareem ml
inzi
wake ambaye alionekana katika nyumba ambayo uchungu
zi
unaonyesha alikuwemo Anna.Bado kareem alikuwa
hajafikishwa.Dr Joshua akaenda katika chumba alicho
kuwa
analala Peniela lakini chumba kilikuwa kitupu.
“ Peniela yuko wapi? Mbona haya mambo yanaanza
kunichanganya sana ? akawaza Dr Joshua akakaa kitan
dani
na kuzama mawazoni.
“ Katika vitu vyote siko tayari kumpoteza Peniela
.Yule mwanamke ndiye furaha yangu.Utajiri huu mkubw
a
nikiupata hautakuwa na maana kama sintakuwa na Peni
ela
.Kwa namna yoyote ile laz.......” Dr Joshua akatolewa
mawazoni na mlio wa simu.Alikuwa ni Abel Mkokasule
“ Hallo Abel” akasema Dr Joshua
“ Mzee nimekupiga simu kukutaarfu kuwa kazi tayari
imekamilika na kilichobaki ni kuisambaratisha hote
li.Nataka
kabla sijabonyeza kitufe na kuilipua hoteli unipe r
uhusa yako
kama hakuna mabadiliko ” akasema Abel
“ Abel go ahed,hakuna mabadiio yoyote.Pleae press
the button now !! akasema Dr Joshua
“ Sawa mzee.Baada ya dakika chache toka sasa
utataarifiwa kitakachokuwa kimetokea”
“ Abel,thank you for this.” Akasema Dr Joshua na
kukata simu akatoka mle chumbani baada ya mlinzi w
ake
kumfuata na kumfahamisha kuwa tayari Kareem amekwis
ha
wasili.Akaagiza akafungiwe katika mojawapo ya chumb
a.
Kareem akaingizwa katika chumba alichoagiza rais
akafungwa miguu na mikono katika kiti na baada ya d
akika
tano Dr Joshua akaingia .Macho yake yaliwaka hasira
.Kareem
akaogopa sana hakuwahi kumuona Dr Joshua akiwa
amekasirika namna ile.Akawaomba walinzi wake watoke
nje
na wamuache na Kareem pekee mle chumbani .
“ Kareem my boy !! akasema Dr Joshua
“ Naam mzee”akasema Kareem kwa woga
“ Mungu hakunijalia kupata mtoto wa kiume kwa
hiyo nilikuchukulia wewe kama mwanangu i wa kiume.I
love
you like a son so I don’t want to destroy you.Nina
chohitaji
toka kwako ni kitu kimoja tu .Niambie Anna yuko wap
i?
“ Mzee sifahamu mahala alipo anna “ akajibu Kareem
“ kareem sina maneno mengi kwa hiyo nakuuliza
tena kwa mara ya mwisho Anna yuko wapi?Nionyeshe al
iko
Anna na nitaliacha jambo hili lipite kama vile haku
na
kilichotokea.” Akasema
“ kweli mzee naomba uniamini .Sifahamu kwa sasa
Anna aliko”
Dr Joshua akasimama kwa hasira
“ kareem naomba usicheze na akili yangu.Umekutwa
katika nyumba ambayo Anna alikuwemo .Ulifuata nini
katika
hiyo nyumba? Nakupa dakika mbili za kunieleza ukwel
i ama
sivyo hutayaona machweo ya leo.Nadhani unanifahamu
nilivyo nikichukia” akasema Dr Joshua kwa ukali.Kab
la
Kareem hajajibu kitu,simu ya Dr Joshua ikaita,aliku
wa ni Abel
Mkokasule.
“ hallow abel” akasema Dr Joshua
“ Mzee kazi tayari imemalizika.Samawati beach hote
l
is down.”
“ Good job Abel and thank you.Nitakutafuta
nitakaporejea ikulu muda si mrefu.” Akasema Dr Josh
ua na
kukata simu akamgeukia Kareem
“ Haya nieleze kareem ,Anna yuko wapi?
“ Mzee ninakueleza ukweli” akasema Kareem mwili
wote ukiwa umeloa jasho
“ Wakati wa shughuli za mazishi ya Flaviana
zikikaribia kumalizka ,Peniela alinipigia simu na k
uiambia
kwamba anahitaji kuonana na Anna.Sikuwa na wasi was
i
wowote naye kwani nafahamu mahusiano yenu.Alinielek
eza
sehemu ambayo anataka kuonana na Anna nami
nikampeleka wakaonana nikamrudisha nyumbani.Leo
uliponitaka nimtafute Peniela sikujua sehemu nyingi
ne ya
kumpata nikaenda katika ile nyumba ambako aliniagiz
a
nimpeleke Anna wakaonane lakini nilipofika nikakama
twa na
watu wa usalama wa taifa .Kwa hyo mzee sifahamu kab
isa
alipo Anna kwani toka nilipomrejesha nyumbani juzi
usiku
sijawasiliana naye kabisa.Katika ile nyumba nilikwe
nda
kumtafuta Peniela.Naomba uniamini mzee” akasema
Kareem.Dr Joshua alibaki amemtumbulia macho .Alistu
shwa
kwa taarifa ile
“ I cant believe this!! Unasema Peniela alionana n
a
Anna?
“ Ndiyo mzee”
Dr Joshua akainuka na kupiga hatua mbili kama vile
anataka kutoka nje halafu akarudi akaketi
“ Huko mahala ulikompeleka Anna aonane na Peniela
kulikuwa na watu wengine zaidi ya Peniela?
“ Ndiyo walikuwepo.Nakumbuka kulikuwa na watu
wengine wawili.Mwanaume mmoja ninayemkumbuka kwa
jina moja tu la Mathew na mwanamke anaitwa Anitha”
Dr Joshua akastuka mno na kulalama
“ Oh my God !! ..oh my God ...! On my God..!!!!
akajishika kichwa
“ Anna ameonana na huyo mtu anaitwa Mathew?
Waliongea chochote?
“ Ndiyo waliongea ila sikumbuki waliongea kitu gan
i
kwani walikuwa katika chumba kingine na hawakutaka
nisikie
walichokiongea.”
Dr Kigomba akainamisha kichwa kwa kama dakika
mbili na mara mlango ukagongwa akaufungua na kukuta
na
na walinzi wake.
“ Mzee kuna tukio limetokea muda mfupi
uliopita.Milipuko inayosadikiwa kuwa ni mabomu imet
okea
samawati beach hotel .Mheshimiwa rais kwa sasa tunao
mba
tukurudishe ikulu kwa ajili ya usalama” akasema mmoj
a wa
walinzi
“ Sawa tuondokeni ila huyu Kareem atabaki hapa
,Abel Mkokasule atakuja kumchukua baade kwa mahojia
no
zaidi” akasema Dr Joshua akaongozana na walinzi wak
e hadi
garini wakaondoka kurejea ikulu.
“ Tayari nimepata jibu.Anna anashirikiiaa na akina
Peniela na wao ndio wenye kirusi hicho kwa sasa.Eli
bariki
alikuwa sahihi Peniela ni nyoka.How could I be so s
tupid and
trust her?Hili ni kosa kubwa nimewahi kufanya katik
a maisha
yangu .Nahisi Peniela ana uchawi anautumia kiasi ch
a
kunifanya nishindwe kabisa kumuamini jaji Elibariki
ambaye
alinieleza ukweli mtupu.Suala hili limekwisha nishi
nda na sijui
tena namna ya kulidhibiti.Nahisi kama vile akili ya
ngu imefika
mwisho wake wa kufikiri kwani sijui nifanye nini ku
wapata
hawa akina Mathew “ akawaza Dr Joshua akiwa garini
akirejea ikulu.
“ Nashindwa kuelewa imetokeaje hadi Anna
akajiunga na hawa mashetani akina Mathew? Nimesalit
iwa
na mwanangu mwenyewe.Hili ni jambo ambalo sikuwa
nimelitegemea kabisa.Kwa mara ya kwanza katika maish
a
yangu nathubutu kujishusha thamani na kujiita mjing
a.I’m so
stupid” akaendelea kuwaza Dr Joshua huku macho yake
yakilengwa na machozi.
“ Inaniumiza mno kumpoteza mwanangu Anna kwani
kitendo alichokichagua cha kujiunga na akina Peniel
a tayari
ameingia katika kundi la maadui zangu.Anna amechagu
a njia
mbaya,hakupaswa kuchagua kuwa adui yangu.kwa hiki
alichokifanya Anna sintakuwa na huruma kwake hata
kidogo.Nitamsaka na kumshughulikia kama
ninavyowashughulikia maadui zangu wengine na endapo
itanilazimu kumkata pumzi sintakuwa na huruma nitam
kata
pumzi .Ni bora nibaki mwnyewe kuliko kuwa na mtoto
shetani kama Anna”
Kichwa cha Dr Joshua hakikutulia,alikuwa na mawazo
mengi mno
“ Nadhani kwa sasa baada ya Hussein kufa natakiwa
nielekeze nguvu katika mpango ule wa Marekani ili n
iondoke
kabisa hapa nchini nikaanze maisha mapya peke yangu
huko
mbali Nimepata somo kubwa sintomuamini tena mwanamk
e
yeyote” akawaza Dr Joshua
****************
Tayari Lucia Mkozumi alikwisha maliza kujiandaa kw
a
ajili ya kwenda kumpokea rafiki yake Salhat ,binti
mfalme wa
Saudi Arabia.Pamoja na kuwa tayari kwa kutoka lakin
i alihsi
miguu mizito akabaki amesimama mbele ya kioo kikubw
a
akijitazama
“ Nina wasi wasi mwingi sana,mwili unanitetemeka
kwa ndani kwa hofu ya hiki kinachokwenda kutokea
leo.Moyo unaniuma sana kwa kitendo cha kuwatoa kafa
ra
wazazi wangu.Oh ! please forgive me lord for what I’
m
doing.I’ve become a monster!!” akawaza Lucia na mic
hirizi ya
machozi ikamtoka akaanza tena kurekebisha uso wake.
“ Anyway ,I have to be strong.I cant back off now
.Kila kitu tayari kimeandaliwa .Nitaumia kwa muda m
fupi
lakini nitasahau yote pale nitakapokalia kiti cha u
rais”
akawaza huku akimalizia kupaka poda usoni.Akachukua
simu
akampiga Donald akamfahamisha kuwa kila kitu kinakw
enda
vizuri .Alipomaliza kuongea na Doald akajitazama te
na katika
kioo
“ This is it.Journey to the white house begins now

akasema kwa sauti ndogo na kutoka akaelekea sebulen
i
ambako baba yake Deus Mkozumi tayari alikuwa amejia
ndaa
akimsubiri
“ wow umependeza mno utadhani nawe ni mtoto wa
mfalme” akatania Deus na wote wakacheka
“ Usisahau hata mimi ni mtoto wa rais” akasema
Lucia
“ Are you ready? Deus akauliza
“ I’m ready”akasema Lucia akiongozana na baba yake
wakaingia garini na safari ikaanza , wakitanguliwa
na gari la
walinzi na gari lingine ambalo liliandaliwa maalum
kwa ajili ya
kupanda Salhat.Deus Mkozumi akawaelekeza walinzi
waliotangulia mbele kwamba waelekee nyumbani kwa
Rosemary Mkozumi.
 
SEHEM YA 33

“ Lucia nimekubali tuongozane na mama yako kwa
heshima yako pekee “ akasema Deus.
“ Nalielewa hilo baba lakini just this once in you
r life
please be happy for me.it wont happen again..okay d
ady !!
“ It’s ok my princess” akasema Deus huku
akitabasamu na kutoa kicheko kidogo.
“ Miezi si mingi sana toka sasa ,nitakuwa nikipita
katika barabara hizi kwa ving’ora na watu wote wata
kaa
pembeni kunipisha nipite.Tayari nitakuwa rais wa Ta
nzania
.Nitafanya mambo makubwa sana nitakapoingia katika
lile
jumba jeupe. Lakini hadi kufika pale si kazi nyepes
i
nitapambana hadi nihakikishe ninafika ndani ya jumb
a lile.”
Akawaza Lucia
Waliwasili katika makazi ya Rosemary Mkuzumi lakin
i
Deus akagoma kushuka garini.Lucia akashuka akapoke
wa na
mtumishi akampeleka ndani alikokuwa mama yake.
“ Wow !! Lucia !!!..akasema Rosemary mkozumi kwa
furaha
“ mama !!! akasema Lucia na kumfuata mama yake
wakakumbatiana.
“ Nimefuahi sana kukuona tena Lucia.Karibu
sana”akasema Rosemary Mkozumi
“ Ahsante mama habari za hapa?
“ Habari za hapa ni kama unavyoniona,nilitekwa na
watu wakanitesa sana wakanikata hadi vidole na yote
hii ni
njama za mahasimu wangu wa siasa walioingiwa na hof
u
baada ya kusikia kwamba nina mpango wa kuwania
urais.Hata hivyo wanajisumbua bure,harakati zangu
anacho hivi sasa kwa jamaa mmoja anatokea nchini Sa
udi
Arabia.Mimi ndiye niliyeendesha mchakato wote hadi
tukalipwa fedha na kilichokuwa kimebaki ni kumkabid
hi huyo
jamaa anayeitwa Hussein mzigo wake yaani kirusi Aby
.ghafla
Dr Joshua akaniengua katika mchakato huo kimya kimy
a
akiwa na lengo la kutaka kuchukua fedha zote peke
yake.Sikukubaliana na hilo na mimi nikaanzisha mcha
kato wa
kuhakiksha hafanikiwi na hapo ndipo ulipoibuka uhas
ama
mkubwa kati yetu ,akaanza kunisaka aniue.Imekuwa n
i kama
bahati Peniela amekipata kirusi hicho .Ninachotaka
mimi na
wewe tuongee ni kwamba hadi sasa hatujui Peniela an
a
mpango gani na kirusi hicho.Nimejaribu kumuuliza la
kini
hayuko muwazi juu ya nini anataka kufanya kwa kutum
ia
kirusi hicho. Josh kirusi kile anachozunguka nacho
Peniela ni
utajiri mkubwa.Tunazunguka na mgodi wa madini ya th
amani
kubwa.Kirusi kile kina thamani ya ya mabilioni. Ten
a si bilioni
moja mbili au tatu bali ni mamia ya mabilioni.Sisi
ni wanaume
na siku zote mwaunaume ni mpambanaji ,kutafuta
pesa.Tutakuwa wajinga kama tutakubali kuendelea
kumsindikiza Peniela huku akiwa na kitu ambacho kin
aweza
kutupa utajiri mkubwa sana.We need to do something”
Dr
Kigomba akanyamaza
“una maanisha nini mzee unaposema hivyo? Akauliza
Josh
“Namaanisha kwamba tuungane tukichukie kirusi
Aby toka Peniela .Ninafahamu wapi tutakiuza na kuji
patia
mabilioni ya fedha”
“ Hapana siwezi kufanya hivyo hata kidogo .Peniela
ninaheshimiana naye sana siwezi kumsaliti.Tena naku
omba
mzee ondoa kabisa mawazo hayo katika kichwa chako y
ou
snake ..!!!akasema Josh akionekana kukerwa na manen
o yale
ya Dr Kigomba.
“Josh naomba unisikilize kijana wangu...Nimekueleza
haya kwa kujua wewe ni kijana muelewa sana na ninge
weza
kufanya hivyo mwenyewe kimya kimya ila nimeona
nikushirikishe na wewe jambo hili.Hii ni fursa yako
Josh ya
kuchagua utajiri au umasikini .Kijana wa kisasa kam
a wewe
hupaswi hata kidogo kuwa chini ya mamlaka ya mtu Fu
lani
bali unapaswa kuwa na maisha yako mazuri na endapo
tutafanikiwa kukichukua kirusi hicho na kukiuza
nakuhakikishia Josh utainga katika kundi la mabilio
nea wa
hapa nchini.tafakari vizuri nini unahitaji katika m
aisha
yao.Heshima kubwa katika dunia hii ni pesa.Ukiwa bi
lioea
utaheshimiwa na kila mtu kwa hiyo Josh una muda mc
hache
sana wa kutafakari na kufanya maamuzi kabla Peniel
a
hajarejea.” Akasema Dr Kigomba .Maneno ya Kigomba
yalionekana kumuingia Josh akainama akatafakari kis
ha
akainua kichwa na kusema
“ kwa makisio ya haraka haraka unadhani kirusi hic
ho
kinaweza kuwa na thamani gani?
“ zaidi ya bilioni mia nane”
“Una hukika??akauliza josh kwa mshan
gao.
“Ndiyo maana nikakushirikisha .Hiki
si kitu kidogo
kama unavyodhani ni kitu cha thamani kubwa mno”
“Endapo tukifanikiwa kukichukua kiru
si hicho
itachukua muda gani kukiuza?”
“Within 24 hours we ‘ll be billione
ars.wanunuzi
wako wengi na wako tayari muda wowote kukinunua”Jos
h
akafikiri tena kidogo na kusema,
“Mzee mimi niko tayari tufanye hi
vyo lakini kwa
sharti kwamba kirusi hicho nitakaa nacho mimi hadi
mauzo
yafanyike”
“Usihofu kuhusu hilo Josh.nilic
hohitaji mimi ni
wewe kukubali tu.sasa tupange tutakichukuaje kirusi
hicho.”
“Hakuna namna ya kufanya kuwez
a kukichukua
kirusi hicho zaidi ya kumzimisha peniela“akasema Jo
sh .
“Unamaanisha kumuua?”akauliza
Dr. kigamba.
“Ndiyo mzee.hiyo ndiyo njia p
ekee nionayo mimi
ya kutuwezesha kukichukua kirusi hicho”akasema Jos
h.
Dr Kigomba akamtazama kwa makini.
“Another monster”akawaza.
“Tutamuuaje peniela?”
“Niachie mimi hilo swala,I’m a
professional killer
na hata wewe ukinifanyia mchezo I’ll kill you!!”aka
sema Josh
waakaendelea kujadiliana kuhusiana na mpango wao wa
kumuua peniela ili wakipate kirusi Aby.
******************
Geti la nyumba ambayo Edmund Dawsan hutumia
kama ofisi yake lilikuwa wazi akashuka garini harak
a haraka
na kulifunga.Tayari Mathew alikwiah shuka garini ak
iwa na
bastora mkononi tayari kukabiliana na hatari yoyote
.Kutokea
katika nyumba ndogo ya walinzi kulikuwa na mchirizi
wa
damu.Mathew akafuata mchirizi ule na kukuta miili y
a walinzi
wawili imetupwa ikiwa na matundu ya risasi
vichwani.Akamfanyia ishara Edmund kwamba walinzi
walikwisha uawa.wakaelekea ndani kwa tahadhari kubw
a.
Sebuleni Patrick alikuwa amelalia dimbwi la damu
.Hakuwa na uhai tena.Edmund akamuinamia akamgeuza
akashndwa kuyazuia machozi kumtoka.
“ Mungu akusamehe makosa yako yote Patrick na
akupumzishe katika makao yake ya milele.Hukustahikl
i kufa
kifo cha namna hii lakini umekufa kishujaa.Umekufa
ukiipigania nchi yako.Jina lako litaingizwa katika
orodha ya
watu walioifia nchi yetu pendwea ya Marekani” akase
ma
Edmund kwa uchungu mwingi.Akainuka na kueleka katik
a
chumba alichokitenga kwa ajili yake kulala,akabonye
za kitufe
Fulani na meme ukawaza tena.Akatoka na kuelekea ka
tika
ofisi yake akabonyeza namba Fulani katika kisanduku
kilichokuwa pembeni ya mlango na ule mlango wa chum
a
ukapanda juu akampa ishara Mathew asogee karibu.Tar
atibu
Edmund akaufungua mlango wa ndani na kumkuta Chin s
un
akiwa amelala chini hana fahamu.Haraka haraka Edmun
d
akamtoa mle chumbani na kumpeleka katika chumba cha
ke
cha kulala akamfunga mikono kwa pingu halafu akafun
gua
sehemu Fulani anamohifadhi dawa akatoa kichupa Fula
ni
kidogo na kukifungua akamuwekea Chin sun puani baad
a ya
sekunde kadhaa akapiga chafya mfululizo
“ Itamchukua muda gani Chin sun kurejea katika hal
i
yake ya kawaida? Akauliza Mathew
“ Ndani ya dakika ishirini tayari atakuwa amerudiw
a
na hali yake ya kawaida.” Akajibu Edmund
“ Hatuwezi kusubiri hadi muda huo.Tunatakiwa
kumfuatilia Peniela kwani ndani ya dakika hizo ishir
ini
anaweza akatupotea na tusimuone tena”
“ Mathew siwezi kuondoka na kumuacha Chin sun
nadhani tusipoteze muda wewe nenda ukamfuatilie Pen
iela
na mimi nitabaki hapa ,kuna mambo mengi ambayo
ninahitaji kuyafahamu toka kwake.Utanisamehe Mathew
sintaweza kuongozana nawe” akasema Edmund
“ Sawa tusiendele kupoteza muda.Peniela
ameondoka na gari lako na ulisema unaweza kulifuati
lia gari
hilo na kujua mahala lilipo.Naomba unielekeze namna
ya
kulifuatilia gari lako.Naomba vile vile na silaha
kwani naamini
lazima yatatokea mapambano huko mbele ya safari”
akasema Mathew.Edmund akampeleka Mathew katika
chumba anamohifadhi silaha akamuacha achague silaha
anazohitaji
“ Give me a gun too” akasema Anna aliyekuwa
ameongozana na Mathew mle chumbani.Mathew akaacha
kazi aliyokuwa anaifanya na kumtazama Anna kwa mac
ho ya
wasiw asi
“ Usiogope Mathew nimepitia mafunzo ya jeshi la
kujenga taifa so I know how t use a gun.Huu ni muda
wa sisi
kushirikiana wote.Siwezi tu kusimama pembeni na kuk
uacha
peke yako ukipambana.We’ll fight together” akasema
Anna
“ Are you sure Anna? Akauliza Mathew.
“ Trust me Mathew” akasema Anna.Mathew
akachukua bastora moja akaifunga kiwambo cha kuzuia
sauti
na kumpatia Anna halafu akachukua silaha na vifaa v
ingine
alivyaona vingemfaa akavipakia katika begi wakatoka
na
kumfuata Edmund chumbani
“ Anaendeleaje Chin sun? akauliza Mathew
“ Anaendelea vizuri.Mko tayari? Akauliza Edmund
“ Tuko tayari “
“ sawa twendeni garini nikawaelekeze namna ya
kulifuatilia gari aliloondoka nalo Peniela
“ Edmund akawaongoza akina Mathew hadi katika
gari lake akawaelekeza kila kitu namna ya kulifuati
lia gari
aliloandika nalo Peniela
“ Mathew natamani sana kama ningeungana nanyi
lakini siwezi kumuacha Chin sun.Ni muhimu mno kwang
u
.Ninachoomba tuwasiliane kila mara na endapo kuna h
itajika
msaada wa wa haraka nitaangalia namna ya kufanya “
akasema Edmund wakaagana .Mathew na Anna wakaingia
katika gari na kondoka kwa kasi kumfuatilia Peniela
“ Mathew I’m sorry to say this but you did a very
big
mistake to trust that woman..” akasema Anna
“ Nakubaliana nawe Anna.Nilifanya kosa kubwa sana
kumuamini Peniela .Hata hivyo lazima nitampata tu.H
ata
weza kunikimbia..! akasema Mathew kwa hasira
**************
 
John Mwaulanga RIP.Hatamsamehe Peniela kwa kuwa selfish kiasi hicho Peniela amechukua laana kwa sababu ya tamaaa na usaliti.It will her big time.It was a very big mistake for Peniella.
 
SEHEM YA 34

kutoka ,Dr Kigomba na Josh wakamfuata.Waliingia kat
ika gari
la askofu Edmund wakaondoka
“ Peniela “akaita Dr Kigomba wakiwa garini mita
kadhaa baada ya kuliacha kanisa
“ Unasemaje Kigomba? Akauliza Peniela
“ Peniela tumekuwa tunakufuata tu bila ya kufahamu
ni wapi tunaelekea.Hatujui nini hatima yetu.We’re t
ogether
in this war so we deserve to know each and every pl
an you
have.” Akasema Dr Kigomba
“ Usiogope Kigomba.Kikubwa ninachoshughulikia
kwa sasa ni sehemu ya sisi kujihifadhi na baada ya
hapo
mambo mengine yatafuata.Kuhusu nini mpango wangu
kuhusu kirusi hiki ni kwamba mipango ipo mikubwa la
kini
kabla ya yote natakiwa kwanza kuthibitisha kuwa kir
usi hiki
ndicho halisi na mtu peke ambaye anaweza akanithibi
tishia
hilo ni Deus Mkozumi ambaye nimekuwa nikifanya jiti
hada za
kumpata bila mafanikio lakini kuna sehemu moja amba
yo
nina uhahakika wa kuonana naye.Twendeni huko nkaona
ne
na Deus na baada ya hapo nitajua nini cha kufanya”a
kasema
Peniela .Dr KIgomba na Josh wakatazamana na safari
ikaendelea bila kujua walikuwa wanaelekea wapi
“ Endapo nitashindwa kuonana na Deus Mkozumi
leo,sintakuwa na namna nyingine ya kufanya zaidi ya
kukiachia kirusi hiki hewani ili nijue kama ni hali
si ama vipi
kwani kila nnachokifanya kinaonekana kwenda
mrama.Sikutegemea kabisa kama mambo yangekwenda
namna hii.”akawaza Peniela
****************
Ofisi kuu ya shirika la ujasusi la Korea kaskazin
i
baada ya kupokea taarifa ya Chin sun kuhusiana na m
pango
wa kumuua Andrew Rodney,bila kupoteza muda taarifa
ikatumwa kwa serikali ya urusi ambao nao wakawasili
ana na
rubani wa ndege aliyopanda Andrew wakamtaka atue kw
a
darura katika uwanja wa ndege uliopo karibu na maha
la alipo
ili aweze kutua kwa dharura na kuwashusha abiria
wote.Rubani aliwasiliana na uwanja wa ndege wa Addi
s
Ababa Bole international airport na kuomba kutua k
wa
dharura.Wahudumu wa ndege walipewa maelekezo ya
kuwashusha abiria wote kwa haraka pindi ndege
itakapotua.Abiria hawakufahamu kilichokuwa kinaende
lea
mle ndegeni zaidi ya makachero aliokuwa wameongozan
a na
Andrew Rodney ambao walielekezwa kumuondoa Andrew
haraka sana pindi tu ndege itakapotua.
Tangazo likatolewa la kuwataka abiria wafunge
mikanda tayari kwa kutua kwa dharura katika uwanja
wa
ndege wa Bole jijini Addis Ababa.Hakuna abiria yeyo
te
aliyehisi kama kuna hatari ndani ya ndege waliyopan
da wote
wakafunga mikanda na ndege ikatua.Mara tu ndege
iliposimama mlango ukafunguliwa na abiria wakaombwa
washuke kwa mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na
safari.Abiria walianza kushuka na kuingia katika je
ngo
waliloelekezwa kuingia kwa mapumziko na hapo ndipo
Andrew Rodney na makachero wake aliokuwa ameongozan
a
nao walipotoweka na hawakuonekana tena.Baada ya ab
iria
wote kushuka ndegeni kikosi maalum cha jeshi kikafik
a na
kuanza kufanya uchunguzi katika ndege ile kuhusian
a na
taarifa za kuwepo kwa bomu .Upekuzi ulikuwa mkali s
ana na
hatimaye walifanikiwa kuligundua bomu lililokuwa
limefichwa ndani ya sanduku la mmoja wa abiria
.Wakalichukua bomu lile kwa tahadhari kubwa na kuon
doka
nalo kwenda kulitegua .Baada ya kuhakikisha ndege ik
o
salama ,abiria wote wakaruhusiwa kuingia ndegeni hu
ku
wakipekuliwa.Baada ya abiria wote kuingia ndegeni w
atu sita
hawakuonekana ndegeni.Andrew Rodney na makachero
aliokuwa nao halafu kuna mtu mwingine tena aliyekos
ekana
ambaye baada ya kufuatilia alijulikana kama Tariq a
l Sayed
.Huyu ndiye aliyepewa jukumu la kulilipua bomu lil
ilotegwa
mle ndegeni mara tu watakapokaribia kutua katika u
wanja
wa ndege wa kimataifa wa Julius nyerere jijini Dar
es
salaam.Hatimaye ndege ikaruhusiwa kuendelea na safa
ri
baada ya vikosi vya jeshi kujiridhisha kwamba hakuk
uwa na
hatari nyingine.Abiriwa walikuwa salama na Andrew R
odney
alikuwa salama
******************
Peniela na akina Josh waliwasili Dar City shopping
mall na kuelekea katika maegesho na kuzima gari.
“ What are we doing here Peniela? Akauliza Dr
Kigomba.Peniela hakujibu kitu akabaki kimya baada
ya muda
akasema
“ Josh shuka garini nenda katika maduka ya vifaa v
ya
umeme na ununue waya nina kazi nao”
Kwa haraka Josh akatoka na kuelekea katika maduka
akanunua waya alioagizwa.
“ Peniela ,baada ya kupata uhakika kuwa kirusi hic
ho
ni halisi una mpango gani nacho? Kama bado hujaamua
chochote naweza kukusaidia mawazo namna unavyoweza
kufaidika na kirusi hicho kamahutajali” akasema Dr
Kigomba
“ Usijali baadae tutakaa na tutajadili kwa pamoja”
akajibu Peniela na kukaa kimya wakimsubiri Josh are
jee
“ huyu Kigomba anadhani simfahamu anachokihitaji?
Ninamjua vizuri sana na siwezi kumpa nafasi afanye
anachokitaka.” Akawaza Peniela na mara Josh akareje
a akiwa
na waya alioagizwa.
“ Tie him!!! Peniela akamuamuru Josh amfunge Dr
Kigomba kwa kutumia ule waya.
“ What ? Dr Kigomba akastuka
“ Tie him now !!.. akasema Peniela wa ukali.Josh
alionyesha wasi wasi
“ Josh unanielewa ninachokwambia? Ninasema
mfunge haraka Kigomba!!!
“ Peniela whats the meaning of this? Akauliza Dr
Kigomba
“ Josh nimekwambia mfunge KIgomba miguu na
mikono haraka!! Akasema Peniela kwa ukali
“ Peniela please don’t do this to me !!! akasema
Dr
Kigomba.Josh akaogopa kwa namna Peniela alivyokuwa
amekasirika.Akamfunga mikono na miguu kwa waya .Pen
iela
akamuamuru alichane shati la Kigomba na kumfunga pu
ani
na mdomoni.Josh akafanya alivyoagizwa
“ Good..!! akasema Peniela
“ Bastora yao ina risasi za kutosha? Peniela
akamuuliza Josh
“ Ndiyo.Kwa nini umeuliza?
“ Something is goin g o happen here today.Kuna
tukio kubwa linakwenda kutokea hapa muda mfupi ujao
kwa
hiyo lazima tuhakikishe tumejiandaa kwa mapambano
.”
“ Whats going to happen? Akauliza Josh kwa
wasiwasi.
“ Get out of the car” akasema Peniela a,wakashuka
garini
“ Sikiliza Josh,kuna tukio la kigaidi limepangwa
kufanyika hapa leo.Lengo kubwa ni kumteka mtoto wa
mfalme wa Saudi Arabia na vile vile kuumua Deus
Mkozumi.Deus ni mtu muhumu sana kwangu so we have t
o
all that we can to save him.” Akasema Peniela .Uso
wa Josh
akaonekana kuingiwa na woga mwingi.
“ Peniela n........!! Josh akataka kusema kitu lakini
akashindwa kutoka na woga aliokuwa nao.
“ Don’t tell me you are scared josh !!! akasema
Peniela
“ I am scared....Magaidi si watu wa kufanyia
mchezo.Wanapopanga shambulio lao wanakuwa
wamedhamiria kuua.Tutaweza kweli sisi wawili kuwazu
ia
magaidi wasitekeleze mpango wao wa kumuua Deus?
Peniela akampiga Josh ngumi ndogo kifuani na
kusema
“ Don’t be like a mama boy !!! Be a man !!! akasem
a
Peniela kwa ukali
“ We are going to save Deus no matter what ..Its n
ot
that simple but we have to try do something.Nimejar
ibu
kutafuta kila namna ya kuonana na Deus na kumuonya
kuhusu jambo hili lakini imekuwa vigumu sana kuonan
a naye
.We are going in there and you are going to cover m
y
back.Can you do that??
Josh akafikiri kidogo na kusema
“ I will.”
“ good” akasema Peniela na kufungua mlango
akachukua sanduku lenye kirusi Ab na kumtaka Josh a
mfuate
ndani
“ Kwa nini usiliache sanduku hilo ndani ya gari wa
kati
huku tunakokwenda ni sehemu ya hatari? Akauliza Jos
h lakini
Peniela hakujibu kitu.
“ Tafadhali naomba unijibu Peniela kwa nini
tumemfunga mzee Kigomba? You don’t trust him? Akaul
iza
Josh
“ Bado hufahamu chochote kuhusu Kgomba kwa hiyo
kaa kimya.” Akasema Peniela huku wakiingia ndani ya
jengo
la Dar city shopping mall wakaenda katika mkahawa
uliokuwa katika ghorofa ya pili wakakaa sehemu ya
dirishani
ambayo waliweza kuona kirahisi kila kilichokuwa kin
aendelea
nje.
 
SEHEM YA 35

mkubwa na sina hakika kama anaweza akakubali kufany
a
biashara hiyo katika sehemu kama hii.There is must
be
something else going on here and we need to find o
ut .”
akasema Anna.
“ Nakubaliana na hicho ulichokisema Anna.Sidhani
kama Deus Mkozumi anaweza akafanya kitu kama hicho
sehemu kama hii japokuwa simuamini sana Deus hasa b
aada
ya kugundua kwamba ana mawasiliano ya Chin sun pamo
ja
na Andrew Rodney.Tuachane na hayo tunachotakiwa
kukifahamu kwa sasa ni kwamba kirusi Aby kimo ndani
ya
jengo hili na tunatakiwa tukipate “ akasema Mathew.
“ kwa hiyo tunafanya nini Mathew? Akauliza Anna
“ I’m going in....Stay in the car “ akasema Mathew
“ No Mathew we’re going in together.I’m more safe
around you.usiogope hakuna yeyote anayeweza kunitam
bua
kwa haraka”
Mathew akamtazama Anna kwa makini sana na
kusema
“ sawa Anna tunaweza kwenda wote “ akasema
Mathew na kulichukua begi dogo lililokuwa na silaha
na vifaa
vingine alivyochukua kwa Edmund dawson.Anna naye
akaificha bastora aliyopewana Mathew wakashuka gari
ni na
kuelekea ndani ya jengo.
Akiwa katika mkahawa ,Peniela aliyekuwa
ameyaelekeza macho yake nje ,aliuona msafara ukiing
ia na
akashuka Deus Mkozumi,mke wake Rose,mtoto wake Lucia
pamoja na binti mfalme Salhat.
“ They are here..Follow me” akasema Peniela na
kuchukua sanduku lake la kirusi wakatoka mle mkaha
wani
wakapanda ghorofa ya juu ambako kuna maduka yanayou
za
bidhaa za vinyago ambako ndiko shambulio lilikopang
wa
kufanyika.
***************
Taarifa za kugunduliwa kwa bomu katika ndege
pamoja na kutoweka kwa Andrew Rodney zilimfikia Don
ald
na kumstua sana.
“ Taarifa zimewezaje kuvuja kuwa ndani ya ndege il
e
kuna bomu? Inawezekana Alqaeda hawakuwa makini vya
kutosha na ndiyo maana mpango huu umeshindikana na
Andrew Rodney ametoweka.” Akawaza Donald na kwa
haraka akawasiliana na wakuu wake wakajadiliana na
kuamua nini cha kufanya.Bila kupoteza wakati akachu
kua
simu na kumpigia Habib Omar mratibu wa mipango yote
waliyokuwa wamekubaliana na Alqaeda.Donald akamuele
za
kila kitu kilichotokea na kumpa maelekezo ambayo
ameafikiana wakuu wake ambayo ni kusitishwa kwanza
kwa
operesheni zote hadi hapo baadae mipango itakapokuw
a
imepangwa upya.Habib alimsikiliza Doald kwa makini
halafu
akasema
“ Donald naomba unisikilize vizuri.Sisi na ninyi t
ayari
tulikwisha ingia katika makubaliano na sisi nafasi
yetu
tumeitekeleza kama tulivyokubaliana .Tumetega bomu
katika
ndege na kilichokuwa kimebaki ni kulilipua bomu hil
o kwa
hiyo wa kulaumiwa siyo sisi bali mnapaswa kujilaumu
ninyi
wenyewe kwa uzembe wa kutokuficha taarifa zenu za
siri.Chunguzeni ni kwa namna gani taarifa hizi zili
vuja na
kusababisha Andrew kutoweka.Kwa kuwa jambo hilo
halikusababishwa na sisi,hatuna sababu yoyote ya ku
sitisha
mipango yetu kwa hiyo sisi tunaendelea na mpago wet
u wa
kuishinikiza serikali ya Saudi rabia imuachie kiong
ozi wetu.”
“ Habib agizo la kusitisha operesheni zote si agiz
o
langu bali ni agizo la wakuu wangu .Andrew ametoro
ka na
tunaamini lazima atawasiliana na Deus Mkozumi kwa h
iyo
Deus ni mtu muhimu sana kwetu kwa sasa katika kufah
amu
mahala aliko Andrew.Ukiendelea na mipango yako ya
shambulio Deus anaweza akauawa na hivyo kutuacha tu
kiwa
hatuna sehemu ya kuanzia kumtafuta Andrew.Nakuomba
sitisha kwanza shambulio hilo hadi hapo baadae.Seri
kali ya
Marekani imeahidi kushirikiana nanyi kuhakikisha ku
wa
kiongozi wenu anaachiwa huru.”akasema Donald
“ Donald ,nasikitika kwamba siwezi kulifanya hilo
unalotaka.Hatuna muda wa kusubiri kwani kila kitu
kimekwisha andaliwa .Shambulio lazima lifanyike na
lazima
tumpate Salhat” akasema Habib na kuzidi kumchangany
a
Donald
“ Habib narudia tena kukuonya kwamba hili si ombi
bali ni amri kwamba sitisha kila kitu na usijaribu
kupuuza”
Donald akasema kwa ukali
“ Naomba usithubutu kunipa vitisho Donald.Sisi
tunaendelea na mipango yetu na hakuna anayeweza
kutuzuia.Ninakuonya kwa mara nyingine tena usijarib
ukwa
namna yoyote ile kutaka kuvuruga mipango yetu!!!! A
kasema
Habib na kukata simu.Donald akajaribu kupiga tena l
akini
simu haikuwa ikipatikana tena.Donald akachanganyiki
wa
akamua kumpigia simu Dr Joshua ambaye alipokea simu
haraka haraka
“ hallow Donald “akasema Dr Joshua
“ Dr Joshua uko wapi mida hii?
“ Niko hapa ikulu nasubiri taarifa toka kwenu.Mamb
o
yanakwendaje?
“ Mambo hayaendi kama tulivyopanga” akajibu
Donald.Kauli ile ikamfanya Dr Joshua akae kimya kwa
sekunde kadhaa.
“ Nini kimetokea ? akauliza kwa sati yenye mikwamo
.
“ Nimepokea taarifa ambayo si nzuri.Kumegunduliwa
bomu katika ndege aliyokuwa amepanda Andrew Rodney
na
hadi sasa Andrew ametoweka na hajulikani alipo.”
“ Unasema nini ?Dr Joshua akastuka
“ Lile bomu lililotegwa katika ndege aliyopanda
Andrew limegunduliwa.”
“ oh my God..Iimegunduliwaje? akauliza Dr Joshua
“ Mpaka sasa bado hatujui taarifa ile imevujaje “
“ Dah !! akasema Dr Joshua na kubaki kimya
“ Dr Joshua !! akaita Donald
“ Doald nimestushwa mno kwa taarifa hiyo.”
“ Sote tumechanganyikiwa .Nimewasiliana na wakuu
wangu Marekani wamenipa maelekezo ya kusitisha lile
shambulio lililopangwa kufanyika Dar city shopping
mall.”
Deus Mkozumi hapaswi kuuawa kwani kwa sasa yeye nd
iye
anayeweza kutusaidia kufahamu aliko Andrew
Rodney.Nimempigia simu Habib na kumtaka asitishe
mipango yote lakini amedai hawezi kufanya hivyo na
kwamba
wanaendelea na mipango yao kufanya shambulio la kum
teka
Salhat.Nimechanganyikiwa Dr Joshua sielewi nifanye
nini
naomba msaada wako”
Dr Joshua akashusha pumuzi na kukaa kimya
“ Dr Joshua sema chochote muda unazid kukikimbia”
akasema Donald
“ Donald wewe ndiye mwenye mawasilaino na huyo
Habib fanya kila uwezalo kuhakikisha hatekelezi sha
mbulio
lake na kila kitu kinasitishwa haraka sana”
“Nimekwisha fanya hivyo pamoja na kumpa onyo
kali lakini amepuuza na kudai kwamba hawezi katu ku
sitsha
mipango yao.kwa bahati mbaya hata simu yake anayotu
mia
imeziwa na hapatikani tena”
“ Oh Mungu wangu !! Sasa tutafanya nini
Donald?Nipeleke kikosi cha askari wakavamie jengo l
ile na
kuwakamata akina Habib?
“ Hapana usifanye hivyo Dr Joshua.Kupeleka vikosi
vya jeshi kutaharibu mambo kabisa.Jambo hili linata
kiwa
lizimwe kimya kimya. Kuna kitu kimoja tu ambacho tu
naweza
kukifanya kwa haraka ili kuwazuia akina Habib kutok
uendelea
na mpango wao” akasema Donald
“ Jambo gani hilo Donald? Akauliza Dr Joshua
“ Unatakiw auende Dar city shoppig mall ...”
“ Nadhani unaweza kuwa na mapungufu ya akili
Donald...!! akasema Dr Joshua kwa hamaki
“ usichukie Dr Joshua hiyo ndiyo njia pekee iliyob
aki
ambayo tunawea kuitumia ili kumshinikiza Habib na w
atu
wake wasitekeleze shambulio lao”
“ hapana Donald siwezi katu kufanya kitu kama hich
o
.Mimi ni rais wa nchi na siwezi kujiweka katika hat
ari ya
namna hiyo.Siwezi nasema siwezi !!! kama hakuna nam
na
nyngine ya kumshawishi Habib na watu wake wasitishe
shambulio lao mimi napeleka pale kikosi cha jeshi n
a
watawafyekelea mbali hao magaidi..! akasema Dr Josh
ua kwa
ukali
“ Sikiliza Dr Joshua,suala hili halihitaji hasira
kwa hiyo
naomba tusikilizane na tujadiliane ili tupate muafa
ka”
akasema Donald
“ nakusikiliza endelea”
“ Dr Joshua hakuna ambaye alitegemea kama
mambo yangebadilika ghafla namna hii.lengo letu la
kushirikiana na Alqaeda lilikuwa ni kumuua Andrew R
odney
na kwa kuwa ametoweka basi operesheni nzima haina
maana tena.Lazima tufanye utafiti tufahamu nini kil
ipelekea
taarifa kuvuja na kusababisha Andrew apotee.Lakini
wakati
tukilifanya hilo tunapasa kuhakikisha Deus Mkozumi
anabaki
hai .Huyu ndiye pekee anayeweza kutupa mwanga wa ma
hali
aliko Andrew.Nakubaliana nawe kwamba unao uwezo wa
utuma kikosi cha jeshi kuwasambaratisha akina Habib
lakini
madhara ya kufanya hivyo ni makubwa kwani kutaibuka
vita
upya kati ya Marekani na Alqaeda .lli kueusha hilo
lisitokee
lazima tupate njia ya kumzuia Habib na watu wake
wasitekeleze shambulio na njia pekee tuliyonayo kwa
sasa ni
wewe kwenda katika jengo hilo kabla halijafanyika s
hambulio
.Kundi la Habib wakifahamu kwamba uko pale wataingw
a na
hofu na hawatatakeleza mpango wao”akasema Donald
Dr Joshua akafikiri na kusema
“ Nimekuelewa kidogo lakini inaniwia ugumu sana
kukubaliana nawe Donald.Watu wale ni wauaji na
wakidhamiria kufanya kitu hawarudi nyuma.Siwezi
kuhatarisha maisha yangu kiasi hicho”akasema Dr Jos
hua
“ Dr Joshua hili si suala la kuhatarisha maisha ba
li ni
kupigania maisha.Endapo tutashindwa kumdhibiti Habi
b na
kundi lake na akafanikiwa kumuua Deus Mkozumi basi
yale
mambo yote ambayo uliahidiwa kupewa na serikali ya
marekani hayatapatikana tena...” akasema Donald na
kumstua Dr Joshua
“ umesema nini Donald??
“ Nadhani umenisikia vizuri Dr Joshua.kama
hutachukua jitihada za haraka za kumdhibti Habib ba
si sahau
kuhusu yale mambo makubwa uliyoahidiwa na Marekani.

“ Hilo haliwezekani Donald kwani tayari tumekwisha
fanya makubalianao na mimi kwa upande wangu
nimetekeleza sehemu yangu “
“ Dr Joshua pamoja na makubaliano yote
tuliyokubaliana lakini mambo yamevurugika kwa hiyo
endapo
unataka makubaiano yetu yaendeleee fanya kama
nilivyokutaka ufanye na kila kitu kitabaki kama
tulivyokubaliana.Kinyume na hapo sahau kuhusu
makubaliano yetu “ akasema Donald na kumchanganya s
ana
Dr Joshua.Zikapita dakika tatu za ukimya kisha Dr J
oshua
akasema
“ Donald nitakwenda lakini naomba ufahamu kuwa
sijafurahishwa na kitendo hiki cha kuhatarisha usal
ama
wangu “ akasema kwa hasira Dr Joshua na kukata siu.
Kijasho
kilikuwa kinamtiririka.Haraka haraka akatoa amri wa
linzi
wake wajiandae tayari kwa kuelekea Dar city shoppi
g mall.
“ Nahisi hii ni kama laana.Mbona kila kitu
ninachokifanbya hakifanikiwi?Nilitegemea suala hili
lingekwenda vizuri lakini nalo limekwenda tofauti k
abisa na
matarajio.Mambo niliyoahidiwa na serikali ya Marekan
i ni
makubwa na siko tayari yapotee ndiyomaana ninakwen
da
huko Dar City shoppig mall kumzuia huyo gaid Habib
asitekeleze mpango wake wa kumuua Deus .Nafahamu
najipeleka katika hatari lakini siko tayari kuyakos
a mapesa
yale mengi niliyoahidiwa.Ninao walinzi wa kutosha a
mbao
wameapa kunilinda hata kama ikiwalazimu kuukatisha
uhai
wao” akawaza Dr Joshua na kutoka akaingia garini na
msafara ukaondoka kueleka Dar City shopping mall
******************
Chin sun alifumbua macho na kujikuta akiwa amelala
katika kitanda huku miguu na mikono ikiwa imefungwa
kwa
pingu Pembeni ya kitanda kile alikuwepo mtu ambaye
alimpenda kwa dhati na kukabidhi moyo wake wote
.Akamtazama mumewe Edmund kwa hasira .Baada ya
 
SEHEM YA 36

mtapata kipigo ambacho vizazi na vizazi
vitakikumbuka.Nitatabasamu pale marekani watakapoin
ua m
ikono ishara ya kushindwa .Huo utakuwa ni mwanzo wa
kuiheshimu Korea Kaskazini.!!!
“ Hiyo ni ndoto ya mchana Chin sun.Hata kama hilo
unalolisema litatokea hutapata nafasi ya kulishuhud
ia kwani
utapelekwa Marekani na huko unajua nini kinawapata
wale
wote wanaokamatwa kwa kosa la kuipeleleza
Marekani.Utanisamehe sana Chin sun kwa hilo” akase
ma
Edmund na kumfanya Chinsun azidi kumwaga machozi
“ Edmund nakubali nimeshindwa lakini kabla
hujafanya mpango wowote wa kunipeleka huko Marekan
i
kuna kitu nataka kukifahamu toka kwako.Nafahamu kwa
miaka hii yote tuliyoishi pamoja tumekuwa tukiishi
kwa
mapenzi makubwa.Nilikupenda na ninakupenda kwa moyo
wangu wote .Katika maisha yangu wewe ndiye kila
kitu.Umenifanya niyafurahie maisha yangu.Kuna wakat
i
nilitamani hata niachane na kazi hii ili niishi mai
sha ya
kawaida pamoja nawe.Kwa ufupi ni kwamba sikufahamu
kama wewe ni C.I.A na lengo lako kubwa ni kunichung
uza
.Toka moyoni mwangu nakiri kwamba wewe ni mwanaume
wa pekee kabisa ambaye ninakupenda pasi na mfano na
ambaye niko tayari kufanya chochote kwa ajili yake.
Pamoja
na kwamba ulinilaghai kwa miaka hii yote kwamba
unanipenda lakini kumbe ulikuwa kazini nataka kufa
hamu
,uliwahi hata mara moja kuwa na hisia za kweli za
kunipenda? Nijibu toka ndani ya moyo wako.Ni muhimu
sana
kwangu” akasema Chin sun kwa hisia kali .Maneno ya
le ya
Chin sun yalionekana kumuingia Edmund akainama kido
go
halafu akasema
“ Nilipoitwa ofisini sikujua kama ninakwenda kupew
a
kazi hii.Nimewahi kufaya kazi nyingi ndani ya C.I.A
lakini
sikuwahi kukutana na kazi ngumu kama hii.Nilipoanza
kufanya kazi yangu kwa kutafuta ukaribu na wewe
sikutegemea kabisa kama ningefika hapa ilipofika.Kw
a kuwa
hatuna muda wa kutosha na wewe unahitaji jibu naomb
a
nikwambie bila kupepesa macho kwamba
ninakupenda.Sikuwa nimetegemea hilo kutokea lakini
kadiri
nilivyoendelea kuishi na wewe nilishinda kujizuia
kukupenda.Ukiweka pembeni kazi unayofanya ya ujasusi
lakini upande wa pili wewe ni mwanamke bora kabisa
ambaye kila mwanaume anaota kumpata.Una kila sifa y
a
mke bora na hicho ndicho kilinifanya nikaanguka
mapenzini.Wakuu wangu walinipa ruhusa ya kufunga na
we
ndoa walinipa maelekezo ya kutokuvuka mipaka nikaji
kuta
ninazama mapenzini na kusahau majukumu yangu.Baadae
waligundua utofauti na hii iliwapa uhakika kwamba n
imeanza
kuzama mapenzini na hivyo kunitaka nivunje mahusian
o
nawe haraka sana lakini niliwaomba wanipe muda zaid
i wa
kuendelea kufanya uchunguzi wangu.Kupitia kwako nim
eona
thamani ya kuwa na familia kwa mara ya kwanza
nimeyafurahia mapenzi katika maisha yangu kwa kuwa
nawe.Kwa hiyo Chin sun kukujibu swali lako ni kwamb
a
ninakupenda sana lakini kazi ndiyo inayonisababisha
nikufanyie hivi.Nisamehe sana Chin sun kwani sina n
amna
nyingine ya kufanya zaidi ya kutekeleza majukumu
niliyopangiwa.” akasema Edmund dawson ambaye ni wa
zi
alionekana kuumia moyoni.Machozi mengi yalimtoka Ch
in
sun kwa maneno yale ya mumewe Edmund
“ Edmund ahsante sana kwa maneno hayo
uliyonieleza ambayo nilihitaji sana kuyasikia masik
ioni
mwangu.Ahsante kwa kunipenda.Siku zote umekuwa ni
mwanaume bora kabisa kwangu ambaye nimejivunia kuwa
naye umenionyesha mapenzi makubwa na kunifanya
niyafurahie maisha yangu.Edmund ninakupenda zaidi
ya
ninavyoweza kukueleza na kwa sababu hiyo niko tayar
i
kufanya uamuzi mgumu kwa ajili ya penzi letu.Sitaki
nikupoteze ,sitaki mapenzi yetu yafike mwisho.Ukini
ponyoka
k atika mikono yangu sintapata mwanaume wa kufanana
nawe.Wewe ni kila kitu ,wewe ni maisha yangu” akase
ma
Chin sun .Edmund akamtazama na kusema
“ Nasikitika sana Chin sun hakuna kinachoweza
kufanyika kwa sasa kutufanya tuendelee na mapenzi y
etu.Ile
safari yetu tuliyokula kiapo hadi kifo kutenganishe
imeishia
hapa.”
“ Hapana Edmund haiwezi kuishia hapa.Dakika
chache zilizopita umenihakikisha kuwa unanipenda .M
imi
nakupenda pia.Upendo h uu tulionao una una nguvu na
maana kubw a wetu kuliko kazi zetu,kuliko nchi zet
u kwa
hiyo tunaweza kufanya jambo kubwa ambalo hakuna
aliyelitarajia”
“ Unamaanisha nini unaposema hivyo Chin sun?
Akaulza Edmund
“ kama nilivyokueleza hapo awali kuwa niko tayari
kufanya maamuzi magumu endapo tu nitasikia toka kwa
ko
kuwa una hata nukta moja ya hisia za kunipenda.Kwa
kuwa
umekiri mwenyewe kuwa unanipenda . Nataka nikuonyes
he
kuwa wewe ni zaidi ya kila kitu ”
“ Chin sun ....” Edmund akataka kusema kitu lakini
Chin sun akamzuia
“ Niache nimalize kwanza kile ninachotaka kukisema
halafu utaongea”
“ Sawa endelea” akasema Edmund
“ Edmund nafahamu Korea kaskazini na Marekani ni
nchi mahasimu kwa muda mrefu na lengo la wewe kutu
mwa
kunichunguza ni ili kupata taarifa za muhimu kuhusu
Korea
kaskazini.Niko tayari kukupa kila aina ya taarifa z
a siri
unazohitaji kuhusu Korea kaskazini au nitakuelekeza
sehemu
namna ambayo unaweza ukapata kila unachokihitai ku
husu
Korea kaskazini..”
“ Chin sun??!! Akasema Edmund kwa mshangao
“ Kama nilivyokueleza Edmund kuwa kiwango cha
upendo ninaokupenda ni kikubwa zaidi ya unavyofikir
i na
hakiwezi kulinganishwa na kitu chochote .Kwa sababu
hiyo
niko tayari kuisaliti nchi yangu kwa ajili yako.Nik
o tayari
kuisaliti nchi yangu kwa ajili yako.Niambie ni kit
u gani
unahitaji kukifahamu kuhusu Korea Kaskazini? Progra
mu zake
za nyuklia? Yaliko makombora yake? Au nini unahitaj
i?
Edmund akafuta jasho usoni na kumtazama Chin sun
“ Chinsun unamaanisha unachokisema?
“ Ndiyo Edmund.Ninamaamisha ninachokisema
.Ntakusaidia kufahamu kila unachokihitaji kuhusu Ko
rea
kaskazini lakini kwa sharti moja tu..
“ Sharti gani hilo? Akauliza Edmund
“ Nataka utakapozipata taarifa hizo na kuipatia
serikali yako ,mimi na wewe sote tuachae kazi zetu
hizi za
ujasusi na tukaishi mbali maisha ya kawaida kama wa
tu
wengine.Uko tayari kwa hilo? Nithibitishie kama kwe
li
unanipenda na uko tayari kulipigania penzi letu.Mim
i tayari
nimeonyesha njia kwa kufanya kitu cha hatari kubwa
lakini
kwa kulipigania penzi letu.Nakusikiliza wewe unasem
aje kwa
upande wako? Uko tayari kulipigania penzi letu? Aka
uliza
Chin sun.Edmund alishindwa kutoa jibu la haraka har
aka
akazama katika tafakari.
“ Najua unaogopa Edmund kufanya maamuzi
magumu lakini hupaswi kuogopa.Maamuzi utakayoyafany
a
hapa yataamua hatima ya maisha yako yaliyobaki hapa
duniani.je unataka kuendelea kuifanya kazi hii ya u
jasusi
katika maisha yako yote yaliyobaki ? Kitu gani cha
kujivunia
ulichokipata toka umeanza kazi hii ? Hakua chochote
cha
kujivunia na ninakuhakikishia Edmund kuwa endapo
utachagua kuendelea na kazi hii ya ujasusi basi sah
au kabisa
kuwa na maisha ya kawaida kama watu wengine.Kamwe
hautapata furaha katika m aisha yako.Edmund tunayo
nafasi
ya kuyabadilisha maisha yetu na kuishi maisha yenye
furaha
na amani tukiwa na watoto ambao Mungu atatujalia.Ki
tu
kingine Edmund sisi ni watumishi wa Mungu japokuwa
tumekuwa tunaifanya kazi hii kama mwavuli wa kufich
a
shughuli zetu lakini watu wametupokea ,wanatusikili
za na
wanatuelewa.Tumebadili maisha ya watu wengi,kwa nin
i kazi
hii tuiachie hapa? Kwa nini tusiendelee na kazi hi
i ya kuokoa
roho za watu kuliko kuendelea na kazi za kuangamiza
roho za
watu? Inawezekana yote haya yaliyotokea ni mipango
ya
Mungu ili atutumie katika kazi yake ya kuhubiri inj
ili.Tunazo
fedha nyingi za kutuwezesha kwenda kuishi sehemu ny
ingine
yoyote duniani.Tuachane na kazi hizi tuzifanyazo tw
ende
tukawe wachungaji wa kweli ,tukajikabidhi kwa bwana
na
tumtumikie yeye tu.Hatuna sababu ya kuogopa kwani y
eye
atatulinda dhidi ya wote wenye nia ovu nasi.Isikie
sauti ya
bwana ndani yako anatuita anatutaka
tukamtumikie.Haijalishi ni makosa mangapi tumemko
sea
lakini tunao muda wa kutubu dhambi zetu na Mungu
akatusamehe akatutakasa na tukawa wapya tena.” Aka
sema
Chin sun huku Edmund akiwa amefumba macho.Zilipita
dakika kama nne za ukimya na mara Edmund huku
akibubujikwa na machozi akamfungua Chinsun pingu
alizofungwa wakakumbatiana huku wote machozi
yakiwatoka
“ Bwana ametumia kinywa chako kunena
nami.Nimeisikia sauti yake akiniita nami nimeitika
na niko
tayari kumtumikia.Chin sun Mungu ana makusudi makub
wa
sana kwetu na kwa hiyo niko tayari kuachana na kila
kitu kwa
ajili ya kuifanya kazi ya bwana.Nataka tuwe watumi
shi wa
kweli wa Mungu na si wa kuigiza kama tulivyokuwa
tunafanya.” Akasema Edmund
“ Ahsante Mungu.Ahsante bwana wa majeshi kwa hili
ulilotufanyia.Ahsante kwa kutufanya tuone na tuelew
e
kusudi lako kwetu.” Akasema Chin sun akiwa amaeinu
a
mikono juu halafu wakakumbatiana tena.
“ Edmund sasa nieleze unachotaka kukifahamu
kuhusiana na Koreak Kaskazini.Chochote kile unachok
ihitaji
nitakupatia” akasema Chin sun.Edmund akamtazama
akamshika mabegani akatabasamu na kusema
“ Huna haja ya kufanya hivyo.Sitaki nikuweke katik
a
matatizo Chin.Nataka tukayaanze maisha mapya kwa am
ani
bila migogoro.Sitaki tutengeneze migogoro baina ya
nchi
zetu.Ninaamini unanipenda kwa dhati ya moyo wako na
ndiyo maana uko tayari hata kufanya jambo la hatari
kubwa
kama hilo la kunipa siri za serikali ya Korea kaska
zini.Huna
haja ya kufanya hivyo mke wangu.NItawataarifu C.I.A
kuhusiana na kuachana nao ili niendelee na kazi yan
gu ya
uchungaji kisha tutaondoka na kwenda mbali kwenda
kuanzisha kanisa na tutaishi kwa amani kama watumis
hi wa
Mungu.” Akasema Edmund .Chin sun akamkumbatia tena
na
kumbusu
“ Ahsante Edmund.Ahsante sana mume wangu
kipenzi.Nadhani sasa utakubaliana nami kuwa kilicho
po kati
yetu ni kikubwa zaidi ya tunavyofikiri.Kuna nguvu k
ubwa
inayotuzunguka na hii ni nguvu ya kimungu.Lakini ka
bla
hatujaweka nukta kuashiria kufika mwisho wa kazi hi
zi za
ujasusi kuna jambo ambalo tunatakiwa tulifanye”
“ jambo gani hilo? Akauliza Edmund
“ Kuna Yule msichana Peniela ambaye ndiye
aliyenifahamisha kila kitu kuhusu wewe .Yule msicha
na
ametumiwa na Mungu kutufunua macho yetu .Alikuja
kwangu akanieleza kila kitu kuhusu wewe na alikuwa
anahitaji nimsaidie kitu kimoja.Alihitaji nimuungan
ishe na
Andrew Rodney ili aweze kumsaidia kulimaliza kundi
la team
SC41 ambalo linafanya kazi kwa siri hapa nchini n
a katika
nchi mbalimbali ambako Marekani wamefanya
uwekezaji.Andrew Rodney amekuwa akianika hadharani
siri
mbalimbali za Marekani kwa hiyo Peniela anataka And
rew
Rodney aanike kila kitu kuhusiana na Team SC41.Hii
ndiyo
njia pekee ya kulimaliza kundi hili la Team SC41 kw
ani dunia
nzima watafahamu kile wanachokifanya Marekani na
halitaendelea tena.Ukiacha hilo kwa sasa Peniela an
a kirusi
Aby ambacho ni kirusi hatari sana na Korea Kaskazin
i
wanakitafuta kwa lengo moja tu la kuishambulia Mare
kani
kwa hiyo tunatakiwa kumtafuta na kukichukua kirusi
hicho
tukihifadhi sehemu salama ili kuepusha maangamizi
makubwa yanayoweza kutokea kutokana na kirusi hicho
.Vile
vile kuna jambo lingine alinieleza” Akasema Chin su
n na
kunyamaza kidogo
“ Kuna mambo makubwa yamepangwa kufanyika
hapa nchini leo.Kwanza ni mpango wa Marekani kumuua
Andrew Rodney.Makachero wa Marekani walioko Moscow
walibaini ujio wa Andrew hapa Tanzania na waligundu
a
kwamba alikuwa anakuja kuonana na Deus Mkozumi hivy
o
wakapanga kwamba wamuue Andrew pamoja na Deus
Mkozumi kwa kutumia kikundi cha kigaidi cha
 
SEHEM YA 37

niwezavyo kupambana na kwanza kuhakikisha ninampata
Peniela na pili kuwazuia magaidi hao wasiweze kutek
eleza
mpangowao.Its going to be a victory or death kwa hi
yo
nakuomba nenda kakae katika gari kwa ajili ya usal
ama wako
.Sitaki kitu chochote kikupate “ akasema Mathew
Hapana Mathew,siwezi kujificha.Najua unalengo zur
i
la kuniepusha na hatari lakini siwezi kukuachia juk
umu hili
peke yako. Ikitokea nimepoteza maisha nitakuwa nime
kufa
kishujaa kwa ajili ya kupigania haki ya watu ya kui
shi ambayo
wachache wenye roho za kishetani wanataka
kuwapoka.Mathew nimepitia jeshi la kujenga taifa
ninafahamu kutumia silaha ,ninazifahamui mbinu za
kupambana kwa hiyo nitapambana sambamba nawe”
akasema Anna
“ Anna tafadhali naomba unisikilize .Haijalishi un
ajua
kutumia silaha au vipi lakini kinachokwenda kutokea
hapa ni
tukio la kigaidi na kupambana na watu kama hawa ina
hitaji
mtu ambaye ana mafunzo ya hali ya juu.Tafadhali Ann
a
nielewe ninachokuomba na utoke nje ya jengo hili ha
raka
sana kabla mambo hayajaharibika”
“ Hapana Mathew!! I’ll stay ..” akajibu Anna na ma
ra
nje ya jengo lile vikasikika ving’ora vya polisi.Ma
thew
akasogea dirishani na kuchungulia nje.Ulikuwa ni msa
fara wa
rais
“ Oh my God !! Mr president ....” Akasema Mathew
“ Mungu wangu ! Anna naye akastuka
“ Amekuja kutafuta nini hapa? Akauliza Anna
Mathew akamshika bega na kusema
“ Anna narudia tena kukuomba nenda katika gari
kwani eneo hili linanuka hatari kubwa”
“ Mathew nimekwisha kwambia hapana.Chochote
kitakachotokea tutakikabili pamoja.Tusipoteze muda
Mathew akina Deus wanazidi kusogea mbali zaidi tue
ndelee
kuwafuata” akasema Anna huku sura yake ikionyesha w
oga
kwa mbali hasa baada ya baba yake kuwasili katika j
engo lile
Deus mkozumi akiwa ameambatana na mtalaka wake
Rosemary Mkozmi ,mtoto wao Lucia pamoja na mgeni wa
o
Salhat waliendelea kuzungukia baadhi ya maduka yali
yomo
ndani ya jengo lile lililosheni biashara lukuki.Sal
hat alifurahi
sana kuziona bidhaa za wajasiria mali wa kitanzania
na kila
kilichomvutia alikinunua.Katika msafara ule ni Luci
a pekee
aliyekuwa akijua kinachokwenda kutokea .Alikuwa na
wasi
wasi mwingi lakini alijilazimisha kutabasamu ili ku
ficha wasi
wasi aliokuwa nao.
Ujio wa rais katika jengo lile uliwashangaza
wengi.Hakuna aliyetegemea kama rais angeweza kufika
pale.Akiwa amezungukwa na kundi la walinzi wake ,Dr
Joshua
aliingia ndani ya jengo na hakutaka kupoteza muda
kuzunguka katika maduka mengine bali alitaka apele
kwe
moja kwa moja katika maduka yanayouza bidhaa za vin
yago
ambako ndiko kulikopangwa shambulio kuanzia..Mara k
wa
mara alikuwa anafuta jasho ambalo halikukauka katik
a uso
wake kutokana na woga aliokuwa nao
Peniela alifahamu namna mpango mzima wa
shambulio lile ulivyopangwa kwa hiyo akatangulia k
atika
duka ambalo ndimo kulipangwa kufanyika shambulio pi
ndi tu
Deus akiingia.Akiwa na sanduku lake la kirusi walii
ngia katika
duka lile na kuanza kutazama vinyago vya aina mbali
mbali
huku Peniela akilichunguza duka lile namna lilivyok
aa na
namna anavyoweza kupambana na magaidi wale na
kumuokoa Deus kwani ndicho kitu pekee kilichokuwa a
kilini
mwake.Josh aliyekuwa akimfuata nyuma Peniela alione
kana
kuwa na mawazo mengi sana.
“ Siwezi kukaa humu nda kuwasibiri magaidi wafanye
shambulio.I have to do something to get the virus n
ow.Siko
tayari kuaawa na magaidi .I have to kill Peniela be
fore I get
killed .I have to do it very quick” akawaza Josh ak
iwa nyuma
ya Peniela.
Katika duka lile kulikuwa na chumba cha siri ambac
ho
magaidi walikuwa wamejificha wakiwa tayari kutekele
za
mpango wao.Tayari walikuwa wameandaa silaha zao na
walichokuwa wanasubiri ni amri ya Habib kiongozi wa
o ya
kufanya shambulio.Ndani ya chumba hicho pia walikuw
epo
vijana wanne mahiri katika kompyuta .Kutokana na ut
aalamu
wa hali ya juu wa kompyuta waliokuwa nao waliweza
kuunganisha kompyuta zao na kamera za ulinzi zilizo
kuwamo
ndani ya jengo lile na waliweza kuona kila kilichok
uwa
kinaendelea .Mmoja wa vijana wale ambaye jukumu lak
e
lilikuwa ni kufuatilia kila kilichokuwa kinaendelea
ndaniya lile
duka ambamo ilipangwa shambulio lianzie alistushwa
na na
tukio lililonaswa na moja ya kamera za siri ambapo
kijana
mmoja alionekana akitoa bastora na kumuelekezea
mwanamke mmoja aliyekuwa na kisanduku kidogo.Haraka
haraka Habib akaonyeshwa tukio lile akastuka sana
“ Tayari mambo yameharibika.Mipango yetu tayari
imejulikana na huyu kijana lazima ametumwa kuvurug
a
mipango yetu.Salhat amefika wapi? Akauliza
“ tayari yuko katika duka la tatu kabla ya hili la
kwetu
lile wanalouza bidhaa za shanga”
“ Hatuna tena muda wa kupoteza .Kuna kila dalili z
a
kutaka kukwamisha mipango yetu yote kwani rais naye
amekuja ghafla na lengo lake ni kutukwamisha tusite
keleze
mpangowetu” akasema Habib na kuwaita vijanawake wo
te
pamoja wakashikana mikono
“ Ndugu zangu kuna kila dalili hapa za kutaka
kutukwamisha mpango wetu.Ujio wa rais hapa ni jiti
hada za
kutuzuia tusitekeleze mpango wetu.Tumekwisha kula k
iapo
cha kupambana hata ikibidi kupoteza uhai kwa ajili
ya
kiongozi wetu kwa hiyo hakuna wa kuturudisha nyuma
katika
hilo.Tuna endelea na mpango wetu kama tulivyopanga
.Kumbukeni lengo kuu ni kumpata Salhat kwa hiyo wen
gine
wote waueni isipokuwa Lucia ambaye kila moja tayari
ana
picha yake.Ni Lucia pekee anayetakiwa atoke salama
ndani
ya jengo hili lakini wengine wote waueni.Deus Mkozu
mi ana
walinzi ,Salhat ana walinzi na rais wa Tanzania pia
ana walinzi
kwa hiyo kinachokwenda kutokea ni mapambano makali
ya
silaha.Tumejipanga vizuri,tunazo silaha kali na za
kutosha
.Kila mmoja atumie silaha yake vizuri na baada ya d
akika
thelathini kila kitu kiwe kimemalizika ” akasema H
abib na
kisha wakashikana mikono
“ Na sasa kazi ianze” akasema Habib halafu akaend
a
mezani akachukua kifaa wanachokitumia kwa mawasilia
no na
kuwapigia magaidi wengine waliokuwa wamejipanga kat
ika
sehemu mbali mbali za jengo lile kuwataarifu kazi i
anze.
“ What are you doing josh?!! Please put your gun
down !! Peniela akamwambia Josh aliyekuwa
amemuelekezea bastora
“ Peniela wewe ni kama dada yangu na sitaki
kukufanyia kitu chochote kibaya.Give me the virus !
!
akasema Josh kwa ukali.
“ Josh please dont do this !!.. What you are tryin
g to
do is very dangerous” akasema Peniela
“ Peniela I don’t want to hurt you.Give me the vir
us !!
akasema tena Josh .Macho yake hayakuonyesh masihara
hata kidogo
“ Josh please don....” Kabla hajamaliza sentesi yake
milio mitatu ya risasi ikasika.Peniela akaanguka ch
ini na
sanduku lenye kirusi likaanguka pembeni.Kama cura J
osh
akalinyakua lile sanduku lenye kirusi .akatazama hu
ku na
huko watu wote walikuwa wamejificha kutokana na tah
aruki
waliyoipata baada ya milio ile ya risasi kusikika k
wani bastora
ya Josh haikuwa na kiwambo cha kuzuia sauti.Josh ak
aanza
kukimbia lakini kabla hajapiga hatua tatu ikasikika
milio ya
risasi mfululizo Josh akaanguka chini ,mwili wake u
licakazwa
kwa risasi.Watu zaidi ya kumi waliofunika nyuso zao
huku
wakiwa na silaha nzito wakajitokeza na kuanza kurus
ha risasi
hovyo.Dakika hiyo hiyo katika maegesho ya magari
walichomoka watu zaidi ya kumi toka ndaniya gari mo
ja la
mizigo wakiw a wamezifunika nyuso zao na huku wakiw
a na
silaha nzito nzito na kuanza kurusha risasi hovyo
hovyo.Taharuki ikatanda na watu wakaanza kukimbia h
ovyo
kuokoa maisha yao.Magaidi wale waliofunika nyuso za
o na
kuvaa fulana zisizopenya risasi waliachia risasi ho
vyo na watu
wengi waliokuwa wakikimbia kutaka kuokoa maisha yao
walionekana wakianguka chini kutokana na risasi za
wale
magaidi.Hali katika jengo lile zuri lililosheheni b
iashara za kila
aina ilibadilika ghafla ,harufu ya damu ikatanda ki
la kona.
Milio ya risasi ilipoanza kusikika katika duka
alilokuwamo Peniela ,Mathew akamvuta Anna na kumuin
giza
katika duka walilokuwa karibu nalo.Wakati risasi zi
lipoanza
kuvuma msafara wa Deus mkozumi uikuwa unaelekea kat
ika
duka lile la kuuza vinyago .Milio ile ya risasi il
iwastua sana
walizniw a Deus na wale wa Salhat na wakati wakijia
ndaa
kujua nini kimetokea wakastukizwa na watu waliojito
keza
ghafla wakiwa wamefunika nyuso zao walioanza kuwaru
shia
risasi.Lilikuwa ni shambulio la ghafla sana ambalo
hawakuwa
wamelitegemea.Yakatokea majibizano makali sana ya r
isasi
lakini magaidi wale walionekana kuwazidi nguvu wali
nzi
kutokana na kuwa na silaha nzito. Pamoja na shambul
io lile la
kustukiza lakini kwa umahiri mkubwa walinzi walifan
ikiwa
kuwaficha Deus mkozumi,mke wake Rose,Lucia na Salha
t
katika duka la karibu na kisha kuanza kutoa upinzan
i mkali
kwa wale magaidi wasiingie ndani ya duka lile.
“ Peniela!! Oh my God where is she ? I must find h
er
.Lazima nifanye kila ninaloweza kumtafuta kwani ye
ye ndiye
muhimu zaidi kwangu kwa sasa.” Akawaza Mathew
Wakati mapambano ya risasi yakiendelea kati ya
askari polisi wakiungana na walinzi wa Salhat ,mapa
mbano
 
SEHEM YA 38

“ Anna cover my back “ akasema Mathew huku
akitoka ndani ya kile chumba na kutembe kwa tahadha
ri
kupanda juu huku akifuatiwa na binti mfalme Salhat
ambaye
walinzi wake wote walikuwa wameuawa ,alikuwepo pia
mama mmoa aliyekuwa na mtoto wake mdogo.Nyuma yao
alikuwepo Anna na Yule mzee aliyepewa bastora
wakiwalinda waliotangulia mbele..
“ God please save her .. I beg you Lord save her”
Mathew akaomba wakati akipanda juu.Walifika eneo la
juu
Mathew akamlaza Peniela chini wakati wakimsubiri Ed
mund
“Ee Mungu tafadhali nakuomba mponye Peniela.”
Akaomba tena Mathew na kumgeukia Anna
“ Anna ninarudi ndani nataka nikaangalie kama kuna
majeruhi wengine hasa Deus Mkozmi.Stay close to Pen
iela.”
Akasema Mathew halafu akamuelekeza Yule mzee aliyem
pa
bastora sehemu ya kusimama .Kwa tahadhari Mathew
akashuka tena ndani .Eneo lile la juu bado liliende
lea kuwa
kimya .Akaingia katika duka walimokuwamo akina Deus
Mkozumi akaanza kutafuta kama kuna mu yeyote
mzima.Pembeni ya kinyago kikubwa cha tembo Deus
Mkozumi alikuwa amelala akionekana wazi hakuw na uh
ai
.Alikuwa ameloa damu.Pembeni yake alikuwepo Rosema
ry
Mkozumi ambaye alikuwa anatokwa na damu puani na
alikuwa anavuta pumzi kwa shida sana.
“ Huyu shetani tayari amekwisha vuta hewa yenye
kirusi Aby.Nina hasira naye sana sijui nimchakaze k
wa
risasi,lakini ngoja nimuache afe taratibu kwa mateso

akawaza Mathew
“ Hakuna mtu mzima humu,karibu wote wamepigwa
risasi na waliokuwa wamesalimika tayari wamekwisha
vuta
hewa yenye kirusi Aby.Hakuna msaada wowote ninaowez
a
kuwapa hawa watu.Salhat ana bahati sana niliwahi
kumuokoa ” akawaza Mathew na kumtazama Rosery
Mkozumi alivyokuwa akihangaika kupumua.Pembeni yake
alikuwepo mwanamek mmoja ambaye naye alionekana
kuvuta hewa kwa taabu sana,huyu alikuwa Lucia
Mkozumi.Mathew akamtazama Rosemary kwa mara nyingin
e
“ I hope you are going to hell shetani wewe” akawa
za
Mathew na kutoka mle chumbani na kupanda juu
alikowaacha akina Anna.Mara tu alipotokeza zikaonek
ana
helkopta mbili zikielekea kule juu ya jengo. Ziliku
wa ni
helkopta za jeshi ambazo zilitua na kushusha kikos
i cha
makomandoo waliokuja kukabiliana na magaidi
wale.Mathew akajitambulisha na kumueleza kiongozi w
a
kikosikile cha makomandoo hali halisi ilivyo mle
ndani.Wanajeshi wote walikuwa wamevaa vifaa maalum
vya
kujikinga dhidi ya kirusi Aby kama walivyokuwa wame
pewa
maelekezo.Bila kupoteza muda makomandoo wale wakain
gia
ndani ya jengo lile tayari kwa mapambano.Helkopta n
yingine
mbili zikatua na kuongeza makomandoo .Milio ya risa
si
ikaanza kusikika ndani ya jengo
Idara ya usalama wa taifa walifanyia kazi taarifa
ambayo Eva alipewa na Mathew kuhusiana na kusambaa
kwa
kirusi hatari kwa kusambaza taarifa katika vyombo v
ya habari
kuwataka watu wachukue tahadhari dhidi ya kirusi hi
cho
hatari .Watu walitakiwa kuzikinga pua na midomo yao
kwa
vifaa maaluma au vitambaa wakati wakisubiri taarifa
rasmi
toka wizara ya afya kuhusiana na uwepo wa kirusi hi
cho.
Askari polisi waliovalia vikinga pua na midomo
waliofika kwa haraka sana eneo la tukio la kuwazuia
watu
asikaribie eneo lile huku wakigawa vikinga pua na
kuwaondoa watu katika majengo ya jirani na lile.
Ndaniya jengo mapigano yakawa makali sana .Wakati
mapambano yakiendelea nje ya jengo taratibu helkopt
a ya
akina Edmund ikatua mlango ukafunguliwa akashuka
Edmund na Chin sun wakiwa wamejihami kwa silaha na
vifaa
vya kujikinga dhidi ya kirusi Aby. Bila kupoteza
mudawakampakia kwanza Peniela .Kabla watu wengine
hawajapanda ndani ya ile helkopta wakatoka makomand
oo
wakiwa wamembeba rais Dr Joshua na kuwazuia akina
Mathew kuondoka wakitaka Dr Joshua apakiwe kwanza
katika helkopta ile na kumuwahisha hospitali.Dr Jos
hua
alikuwa hoi ametapakaa damu
“ My father !! akasema Anna.Dr Joshua alikuwa
anavuja damu na ilionekana alikuwa amejeruhiwa kwa
risasi
.Anna alipomuona baba yake katika hali ila akaangua
kilio.
“ Shusha watu wote ndani ya helkopta tumuokoe
kwanza rais” akasema mmoja wa wale wanajeshi
“ Hapana hatuwezi kufanya hivyo.Kuna mtu ambaye
ni muhimu mno kuliko hata rais ambaye naye amejeruh
iwa
na anatakiwa kuwahishwa hospitali kuokolewa maisha
yake.”
Akasema Mathew
“ Afisa hii ni amri na si ombi.Shusha watu wote hu
mo
ndegeni na apakiwe rais awahishwe hospitali kwani h
ali yake
si nzuri.!!akaamuru Yule mwanajeshi
“ Naomba tusiendele kupoteza wakati jambo hilo
siwezi kuliruhusu kwa sababu tunayemuwahisha hospit
ali ni
mtu muhimu mno kwa nchi na kwa dunia kwa ujumla kwa
hiyo tafuteni namna nyingine ya kufanya kumuwahisha
rais
hospitali” akasema Mathew huku akiwaingiza ndegeni
akina
Salhat.Anna alikuwa amepiga magoti mahala alipokuwa
amelazwa baba yake akilia.
“ Afisa usitake tutumie nguvu ,nakuamuru kwa mara
ya mwisho shusha watu wote ndani ya ndege tumuwahish
e
rais hospitali.!!!!.” akasema Yule mwanajeshi huku
akiinua
silaha yake kumuelekezea Mathew ambaye naye alishik
a
bastora yake
“ Naomba ndugu zangu msitake yafike huko
mnakotaka yafike kwani si kuzuri.Tafuteni namna nyi
ngine ya
kumuwahisha rais hospitali lakini mimi niacheni nio
koe mtu
wa muhimu sana.” Akasema Mathew na kutazamana na
wale makomandoo ambao walifanya mawasiliano ya kupa
ta
helkopta ya kumkimbiza Dr Joshua hospitali.Mathew
akamfuata Anna
“ Anna lets’s go ...” akasema Mathew.Anna akainua
kichwa na kumtazama Mathew.Macho yake yalikuwa
yamejaa machozi
“ Mathew please help my father..Ameumia mno
tafadhali usimuache....Please save him..dont let him
die.!!
Akaomba Anna .
“ I’msorry Anna there is nothing I can do right no
w to
save him.Tayari amekwisha vuta hewa yenye kirusi Ab
y kwa
hiyo hakuna unachoweza kukifanya kwa sasa.In few mi
nutes
he’ll die.. Anna twende tuondoke..okoa maisha
yako”akasema Mathew .Kwa hasira Anna akaivua maski
aliyokuwa ameivaa akaitupa chini.
“ I’m gong to die with my father..Go Mathew I’m
staying withmy father..!!! go you monster !! akasem
a Anna
kwa hasira .
“ Anna nooooo!!!! Akapiga ukelele Mathew baada ya
Anna kuvua maski
“ Mathew !!!!! akaita Edmund.Mathew akageka na
kumuona Edmund akimfanyia ishara waondoke.Hakuwa na
namna ya kufanya tena kumsaidia Anna
“ Goodbye Anna..akasema Mathew na kukimbia
katika helkopta akaingia na kufunga mlango ikaondok
a .
“ Edmund nimeumia sana kumpoteza Anna.Kwa nini
amefanya ujinga kama ule wa kuvua maski wakati anaf
ahamu
eneo hili lote limesambaa kirusi Aby? Akasema Mathe
w kwa
uchungu
“ Achana naye ,tuelekeze nguvu kwa Peniela.”
Akasema Edmund
Toka Dar city shopping mall,helkopta ilielekea kat
ika
kanisa la akina Edmund ambako kuna hospitali kubwa
yenye
vifaa na wataalamu wa hali ya juu.Tayari madaktari
na
wauguzi walikwisha pewa taarifa mapema hivyo walik
uwa
wamejianda kumpokea Peniela na majeruhi wengine.Mar
a tu
baada ya helkopta kutua Peniela akashushwa na kupak
iwa
katika gari la wagonjwa akakimbizwa hospitali.Watu
wengine
waliookolewa akiwamo Salhat wakapakiwa katika gari
lingine
la wagonjwa na kupelekwa hospitali kufanyiwa uchung
uzi wa
afya zao.
“ Edmund ,Chinsun ahsanteni sana kwa msada huu
mkubwa.Ninyi ndio mliofanya nikaweza kukabiliana n
a wale
magaidi na kufankiwa kuwaokoa hata hawa watu wachac
he
muhimu.Jambo kubwa kwa sasa ni kupigania uhai wa
Peniela.Naomba muwasisitize madakari wafanye kila
wanaloweza ili kukoa maisha ya Peniela” .Mathew aka
sisitiza
“ Mathew usiogope tafadhali .Mungu yuko upande
wetu na ninakuhakikishia Peniela atapona tu.Mungu n
i
mwema anafahamu umuhimu wa Peniela nina hakika
atayasikia maombi yeu na kumuacha hai” akasema Edmu
nd
“ Ahsante sana Edmund lakini nataka nielekee
hospitali ili niwe na uhakika zaidi kuwa madaktari
wanafanya
kila waliwezalo kuokoa maisha ya Peniela”
“ sawa Mathew tunaelekea huko lakini usiwe na hofu
hospitali hii imesheheni madaktari bingwa wa kila a
ina kwa
hiyo Peniela yuko katika mikono salama.” Akasema Ed
mund
na kumgeukia Chin sun
“ Chin sun sisi tunakwenda kufuatilia hali ya Peni
ela
wewe utawafuatilia wale watu wengine ambao wameenda
kuchunguzwa na watakapotolewa utawapeleka nyumbani
kwa ajili ya mapumziko.” Akasema Edmund na wote
wakaondoka kuelekea hospitali.
“ Edmund kuna kitu kimenistua kidogo ,nini
kimetokea kuhusu Chin sun? akauliza Mathew wakati
wakielekea hospitali
“ Mathew kuna jambo limetokea tutaongea baadae
lakini kwanza tushughulikie suala la Peniela” akase
ma
Edmund huku wakitembea kwa kasi kubwa.
Eneo la chumba kikuu cha upasuaji lilikuwa na hek
a
heka nyingi ,karibu madaktari wote bingwa wa hospit
ali hii
kubwa walikuwamo katika chumba cha upasuaji kwa len
go
moja tu la kuokoa maisha ya Peniela.Edmund na Mathe
w
walivaa mavazi maalum na kuingia ndaniya chumba kil
e cha
upasuaji kushuhudia kilichokuwa kinaendelea .Haikuw
a kazi
nyepesi mle chumbani,madaktari walikuwa na kazi
nzito.Mathew na Edmund wakatoka baada ya kuridhika
kuwa
kazi kubwa ilikuwa inafanyika .Baada ya kutoka Math
ew
akachukua simu na kumpigia Eva.
“ Hallow Mathew vipi haliya huko? Sijaweza
kukupigia simu toka muda ule kujua maendeleo yako t
uk
katika heka heka kubwa.Bado uko ndani ya jengo? Aka
uliza
Eva baada ya kupokea simu ya Mathew
“ Hapana Eva siko ndaniya lile jengo tayari
nimekwisha toka.Ninashukiuru kwa jitihada zako kwan
i vikosi
vya jeshi vilifika muda mfupi tu baada ya kuwasilia
na nawe
na hadi ninaondoka katika eneo la tukio tayari wali
kuwa
wamefankiwa kumuokoa rais ingawa hali yake haikuwa
nzuri
kutokana na kujeruhiwa.Kuna taarifa yoyote mmeipata
kuhusiana na kinachoendelea ndani ya jengo lile?
“ Bado hatuna taarifa kamili ya nini kinachoendele
a
ndaniya jengo lile ila taarifa tuliyoipata muda mf
upi uliopita
ni kwamba rais Dr Joshua amefariki dunia wakati aki
kimbizwa
hospitali kuu ya jeshi.Taarifa zinasema pia kwamba
mwanae
Anna pia yuko mahututi”
“ Ujinga na hasira zake vimemgharimu
anna.Nilipambana sana kuhakikisha anakuwa salama la
kini
juhudi zangu zote hazikusaidia .Imeniumiza sana”
“ Unamfahamu Anna?
“ Ndiyo nilikuwa naye katika tukio lile”
“ Pole sana Mathew.Ila kuna taarifa nyingine
tumeipokea pia kuwa vikosi vya jeshi vmefanikiwa ku
mpata
pia rais mstaafu Deus Mkozumi,mke wake Rosemary
pamojana mtoto wao anayeitwa Lucia lakini wote wame
kufa”
“ Dah !! Mathew akasema na kuinamisha kichwa
“ Huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa..” akasema
Eva. Ukapita ukimya mfupi Eva akauliza
“ Kwa sasa uko wapi Mathew?
“ Kwa sasa nimejipumzisha sehemu Fulani.Eva kuna
jambo moja nataka unisaidie”
‘ Sema Mathew unahitaji nikusaidie nini?
“ Nataka kuonana na kiongozi yoyote mkubwa wa
serikali ambaye anakaimu madakara ya rais kwa sasa
baada
ya rais kufariki.Unaweza kunisaidia kwa hilo? Ni m
uhmu
sana”
“ Kiongozi ambaye anatakiwa kukaimu nafasi ya urai
s
endapo rais atakuwa amefariki ni makamu wa rais lak
ini kwa
bahati mbaya hayupo nchini huu ni mwezi wa pili sas
a yuko
 
SEHEM YA 39

city shoping mall.Pamoja na kulitangaza tukio hilo
hawakutangaza kwa upana kuhusu kirusi kinachodaiwa
kusambaa hewani ambacho hakuna aliyekuwa na uhakika
ni
kirusi cha aina gani na nini madhara yake japokuwa
watu
walionywa kuanza kuchukua tahadhari wakati wakisubi
ri
taarifa rasmi ya kuhusiana na kirusi hicho.
Wakati dunia nzima ikishtushwa na shambulio la
kigaidi la Dar city shopping mall ,jijni Dar es sal
aam zilianza
kusambaa taarifa za kifo cha rais wa Tanzania Dr Jo
shua
ambaye alikuwemo katika jengo lile lililoshambuliwa
na
magaidi.Taharuki ilianza kutanda nchini na vyombo v
ya
habari vya ndani vilifanya kazi kubwa ya kujaribu k
uwatuliza
na kuwandoa hofu watanzania kuhusiana na kilichokuw
a
kinaendelea katika jengo la Dar city shopping mall
na
kuwataka wawe watulivu na wasubiri taarifa rasmi to
ka
vyombo husika.Vile vile wananchi waliendelea kuhimi
zwa
kutopuuza taarifa za kuwepo kwa kirusi hicho bali w
alitakiwa
kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya
kirusi
kilichotangazwa kusambaa.Sintofahamu kuhusiana na
usalama wa nchi ilizidi kutanda .
Kikosi cha makomandoo wa jeshi kilichokuwa ndani
ya jengo la Dar city shopping mall kikipambana na m
agaidi
,kilifanikiwa kuwadhibiti magaidi na kufanikiwa kul
idhibiti
jengo hilo.Karibu magaidi wote waliuawa.Pamoja na
kumalizika kwa kazi ile kubwa na ngumu ya kupambana
na
magaidi wale walikuwa na silaha nzito nzito lakini
tayari kirusi
Aby kilikwisha sambaa na kila aliyekutwa akiwa hai
hali yake
haikuwa nzuri kwani tayari alikuwa amevuta hewa yen
ye
kirusi Aby.Helkopta za jeshi zilifanya kazi ya kuwa
chukua
manusura wa shambulio lile na kuwapeleka katika hos
pitali
kuu ya jeshi ambako kulitengwa wodi mbili maalum k
wa ajili
ya kuwahudumia wale wote walioathiriwa na kirusi Ab
y.
Wakati haya yote yakiendelea ,bado madaktari
walikuwa wanaendelea na kazi ya kujaribu kuokoa uha
i wa
Peniela.Mathew na Edmund dawson bado walikuwa nje y
a
chumba cha upasuaji wakisubri upasuaji ule umalizik
e na
wafahamu hatima ya Peniela
“ Mathew awali uliniuliza swali lakini sikuweza
kukujibu kutokana na heka heka zilizokuwepo.Kwa sas
a
wakati tunaendelea kusubiri madaktari wamalize upas
uaji
tunaweza kuongea.” Akasema Edmund na kukaa kimya
kidogo halafu akaendelea
“ Kuna jambo limetokea kati yangu na Chin sun na
ndiyo maana umeona tuko pamoja tena hata baada ya
kunifahamu mimi ni nani na nini nimekuwa nikifanya
kwake.” Akanyamaza kidogo na kuendelea.
“ Katika kuishi kwetu japokuwa tuliishi kila mmoja
akiwa na siri nzito na kila mmoja akiwa na sura mb
ili
,tumegundua kuwa kuna kitu kikubwa kati yetu.Tumegu
ndua
kuwa kila mmoja anampenda mwenzake kwa kiwango cha
juu.Najua unaweza ukaniona mdhaifu lakini naomba ni
kiri
kwako Mathew kwamba ninampenda sana Chin sun
.Haikuwa dhamira yangu kumpenda lakini baada ya kui
shi
naye niljikuta nikimpenda.Sikuwahi kuwa na furaha h
apo
kabla katika maisha yangu lakini baada ya kuishi na
Chin sun
nimeyafurahia maisha .Chinsun amenifanya nione tham
ani ya
kuwa na familia.Amenifanya nijitambue mimi ni mwana
ume
wa aina gani,amenifanya nijifunze kupenda.Kwa ujuml
a Chin
sun ameyabadili maisha yangu.Kwa upande wake Chin s
un
naye ni hivyo hivyo.Ananipenda zaidi ya ninavyoweza
kukueleza Mathew.Nimehakikisha hilo kwani alikuwa t
ayari
kunipa siri kubwa za Korea kaskazini siri ambazo se
rikali ya
Marekani imekuwa inazitafuta kwa muda mrefu bila
mafanikio.Hilo lilitosha kabisa kunithibitishia kuw
a kweli Chin
sun ananipenda kwa moyo wake wote” akanyamaza akame
za
mate na kuendelea
“ Baada ya kugundua sote tunapendana kwa dhati ya
mioyo yetu tumefanya maamuzi.” Akanyamaza kidogo
akamtazama Mathew na kusema
“ Tumeamua kuachana na kazi zetu za ujasusi na
kuanza maisha mapya ya kawaida.Sisi ni watumishi w
a
Mungu hivyo tumeamua kuendelea kuifanya kazi hii ya
kumtumikia Mungu kwa kutangaza injili.Tunaamini Mun
gu
ana kusudi la kututumia kuifanya kazi yake kwa hiyo
ametuita
,tumetiika na tuko tayari kumtumikia.Baada ya shugu
li hii
kumalizika tutaweka nukta katika kazi zetu za ujasu
si na
tutakwenda kuishi mbali kabisa ambako tutaanzisha k
anisa
na tutaendelea kumtumikia Mungu.Hayo ndiyo maamuzi
tuliyoyafikia na ndiyo maana umeona niko tena na Ch
in sun.”
akasema Edmund .Ilimchukua Mathew sekunde kadhaa
kufungua mdomo wake na kusema
“ Edmund kwa sasa siwezi kusema chochote kuhusu
maamuzi yenu.Naamini nimefanya maamuzi sahihi kwani
mnaitafuta furaha ya maisha yenu. Nawapongeza kwa
maamuzi haya ambayo naamini haikuwa rahisi kuyafany
a
lakini mmeyafanya kutokana na upendo mkubwa
uliowazunguka.Ninachoweza kusema tu ni kwamba Mungu
awazidishie upendo na ulinzi katika maisha yenu mapy
a
mliyoyachagua” akasema Mathew
“Ahsante sana Mathew.Kokote kule tutakakokuwa
hatutaweza kukusahau.Wewe ni zaidi ya rafiki .Pamoj
a na
hayo ninakushauri Mathew chukua hatua sasa za kuan
za
kutafuta furaha ya maisha yako kwa kuachana na kazi
hizi
ukatafuta mwenza mkaanzisha familia.Ninaamini lazim
a yupo
ambaye ataikamilisha furaha yako.Mtafute huyo na mu
ombe
Mungu akuangazie ili umpate na uishi maisha yenye f
urana
na amani.Maisha haya ni mafupi sana.Ona watu
walivyopoteza maisha katika shambulio la leo.Maisha
haya ni
zawadi ambayo tunatakiwa kuitumia vizuri.” Akasema
Edmund
“ Uko sahihi Edmund.Hicho ni kitu ambacho
nimekuwa nakifikiria sana na niliwahi kulizungumza
suala hilo
na Anitha na sote tuliazimia kuachana na shughuli h
izi na
kuanza maisha mapya baada ya suala hili kumalizika
lakini
nasikitka ndoto yake ya kuwa na maisha yenye furaha
haikuweza kukamilika.Mungu ampumzishe kwa amani
Anitha.” Akasema Mathew
“ Kuna nguvu kubwa ameiweka katika mapenzi na
ndiyo maana ikitokea ukampenda mtu kwa dhati ya moy
o
wako utakuwa tayari kufanya lolote kwa ajili yake n
a ndiyo
maana wewe na Chin sun mmeweza kufanya maamuzi
ambayo naweza sema ni sahihi” akatulia kidogo na ku
sema
“ Sikuwahi kuamni kuwa atatokea mwanamke
ambaye nitampenda kama nilivyompenda aliyekuwa mke
wangu lakini naweza kusema ni muujiza wa Mungu kwan
i
ninahisi kutokea kumpenda mtu.Najisikia kupenda
tena.Huwezi amini Edmund pamoja na yote aliyotenda
na
hasira zote juu yake lakini nampenda mno Peniela.”
Licha ya kwamba walikuwa katika wakati mgumu wa
matatizo ,maneno aliyoyasema Mathew yakamlazimisha
Edmund Dawson kutabasamu akatazama juu na kuinua
mikono
“ Utukufu kwako ee Mungu kwani hakuna
linaloshindikana kwako” akasema Edmund halafu akase
ma
“ Mathew hili unalolisema nilikwishaliona .Kwa mar
a
ya kwanza nilipowaoneni niliona kuna kila dalili za
upendo
mkubwa uliowazunguka na nilitaka kuongea nawe kuhus
u
jambo hili lakini haukuwa wakati muafaka.Mathew ta
fadhali
kama kweli unampenda Peniela tafadhali naomba uongo
zane
nami kanisani tukafanye maombi tumuombe Mungu
asimchukue Peniela na ampe nafasi nyingine tena.” A
kasema
Edmund huku akiinuka ,Mathew naye akainuka wakaanza
kutembea kwa kasi kueleka katika kanisa mara simu y
a
Mathew ikaita.Zilikuwa ni namba za Eva.Mathew akaip
okea
haraka haraka
“ Halow Eva”
“ Mathew nimekupigia kukutaarifu kuwa nimelifanyia
kazi lile suala lako kwa kuwatumia wakuu wangu .Kum
ekuwa
na ugumu kidogo kama nilivyokueleza awali.Waziri mk
uu
ametingwa na mambo mengi sana kwa sasa .Pamoja na
kutingwa huko lakini bado amekubali kuonana nawe ba
ada
ya kumueleza kuwa wewe ni nani na kwamba una jambo
la
muhimu la kuongea naye.Uko wapi nikufuate ili ukaon
ane
naye sasa hivi kwani ametoa muda wa dakika arobaini
uwe
umefika.”
“ Kwani wewe uko wapi sasa hivi Eva?
“ Niko hapa katika ofisi zetu za usalama wa taifa”
“ Ok nakuja hapo sasa hivi “.akasema Mathew na
kukata simu .
“ Edmund imepatikana nafasi ya kwenda kuonana na
waziri mkuu.Nataka nikaongee naye ili nimueleze hal
i halisi
ilivyo na vile vile niwakabidhi kazi iliyobaki ya k
ulisafisha
genge la mafisadi wanaoitafuna nchi hii bila huruma

“ sawa Mathew usipoteze muda,nenda kaonane
naye .Mimi nitabaki hapa kufuatilia hali ya Peniela
na endapo
kuna chochote kitakachotokea nitakujulisha” akasema
Edmund na kwenda kumkabidhi Mathew gari akaondoka
“ Nina uhakika waziri mkuu ni mtu muadilifu na
atayafanyia kazi yale nitakayomueleza .Lazima ahak
ikishe
anaufagia mtandao wote wa Dr Joshua.Kuna mtu mmoja
ambaye sifahamu yuko wapi ,Dr Kigomba.Huyu angepati
kana
angekuwa na msaada mkubwa sana katika kuufutilia mb
ali
mtandao huu wa mafisadi.Lakini hata kama amekufa vy
ombo
vya uchunguzi vitafanya uchunguzi wao kuubaini mta
ndao
wote wa Dr Joshua.Ukiacha Kigomba bado kuna mtu mmo
ja
ambaye anaweza kuwa na msaada mkubwa katika uchungu
zi
naye ni Abel Mkokasule.Huyu alikuwa anatumiwa na ra
is
katika mipango yake miovu.Huyu ni mtu wa kutafutwa
haraka sana kabla hajapotea.” Akawaza Mathew akiwa
njiani
kueleka katika ofisi za usalama wa taifa.Alipunguza
mwendo
kutokana na foleni na mara picha ya Peniela ikamji
a.
“ Ee Mungu naomba umponye Peniela.Tunamuhitaji
sana.Kutoka kwake tunaweza kupata dawa ya kudhibiti
kirusi
Aby kwani ndiye pekee mwenyeki nga hiyo.Watu wako w
engi
watapoteza maisha endapo haitapatikana dawa ya
kukidhibiti kirusi hiki hatari.Zaidi ya yote ninamp
enda Peniela
na ninahitaji kuanza naye maisha mapya.” Akaomba Ma
thew
huku akiendelea na safari.Mitaani hakukuwa na pilik
a pilika
zile zilizozoeleka ,idadi ya watu mitaani ilipungua
sana ,
maduka mengi tayari yalikwisha fungwa.
Mathew aliwasili katika ofisi za idara ya usalama
wa
taifa ,akajitambulisha na moja kwa moja akapewa na
kupelekwa katika ofisi moja kulimokuwamo na watu wa
nne
na mmoja wao alikuwa ni Eva.Wakasalimiana na bila
kupoteza muda Mathew akaongozana na watu wale ambao
watatu walingia katika gari lao na Eva akapanda kat
ika gari la
Mathew safari ya kuelekea kwa waziri mkuu ikaanza.
“ Pole sana Mathew.Siamini kama umetoka salama
katika shambulio lililotokea ambalo ni baya kuwahi
kutokea
hapa nchini.Mungu ashukuriwe sana kwa kukutoa salam
a
katika mikono ya mashetani wale na ukasaidia kuweza
kuwadhibiti.Bila ya wewe kupambana na kufanikiwa ku
toa
taarifa ile mambo yangekuwa mabaya zaidi .Unastahil
i
pongezi kubwa Mathew kwa ushujaa wako .Pamoja na ha
yo
naomba japo kwa ufupi unieleze kuhusiana na kirusi
ulichokisema.Ni kirusi cha aina gani hicho na nini
madhara
yake? Akauliza Eva
“ Eva Kirusi Aby ni kirusi kibaya sana kuwahi
kutengenezwa na mwanadamu na ambacho kinasababisha
kifo haraka sana kwani mtu akivuta hewa yenye kiru
si hiki
hupoteza maisha ndani ya kipindi kifupi. Kingine ki
baya ni
kwamba kirusi hiki mpaka sasa bado hakina kinga “
“ Nani alitengenza kirusi hicho? Magaidi? Akauliza
Eva kwa wasi wasi
“ Eva naomba kwa sasa usiniulize swali lolote kich
wa
changu naona kimejaa.Tutapata wasaa baadae tutaonge
a na
nitakueleza kila kitu.” Akasema Mathew na hakukuwa
na
maongezi tena ndani ya gari
Eneo lote la kuzunguka ikulu ya Dar es salaam
lilikuwa na ulinzi mkali sana .Pamoja na ulinzi mka
li
uliokuwepo akina Mathew walifanikiwa kuvuka bila vi
kwazo
wakapokewa na baada ya kushuka garini wakaongozwa ha
di
mahala alikokuwa waziri mkuu.Ilikuwa ni katika chum
ba cha
mkutano ya siri cha rais.Ndani ya chumba hicho wazi
ri mkuu
Josephat Kisopa hakuwa peke yake bali alikuwa na wa
tu
wengine wanne.Alikuwepo mkuu wa majeshi ya ulinzi
,mkuuwa jeshi la polisi pamoja na maafisa wengine w
awili wa
jeshi.Mathew akaonyeshwa kiti akaketi.Waziri mkuu
akamtazama kwa makini na kusema
“ Mathew,karibu sana”
“ Ahsante mzee” akajibu Mathew
“ Mathew pamoja nami ni viogozi wa vyombo vya
ulinzi na usalama wa nchi ambao nimewataka wawepo h
apa
 
Back
Top Bottom