Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

LEGE unakula mkuu?sisi bado njaa inauma tunakusubiri mkuu
 
Pamoja na yote Mtunzi kajitahidi japo kafeli katka kutengeneza consistency ya matukio mwishon. Kaanza vizur sana ila huku mwishon hakutulia. Pia nkipata muda kuongea nae kuhusu editing nitamwambi kuhusu kuchanganya majina, kachanganya sana majina yaan tukio la peniela anaweka Anitha.
 
Mmmh hili pishi jipya kama silielewi. Sipati muunganiko kutoka sehemu ikiisha kwenda sehemu nyingine. Utamu haukolei.
Najaribu kuangalia uhalisia wa wahusika wa mwandishi na wahusika wa jf ivi inawezekana kwel

Ilu a.k.a Peniela akawa anagawa tamtam ka paniela na akawa msaliti kwa kiasi kile hii hainiingii akilini kabisa.

Shunie a.k.a Anitha ivi ni kweli shunie ni jasli kiwango cha anitha hii kidogo inawezekana.

Kisu cha ngariba a.k.a Elibaeki hivi inawezekana kweli mwanaume akawa msaliti hii haiwezekani kabisa.

Mambo a.k.a Dr joshua ivi ni kweli ww jamaa ukipewa nchi ndo ivi utakavyoigeuza shamba la bibi

Kweli hii ni zaidi ya story asante lege asante mwandishi
 
Naona wengi tunaona siyo fair kwa anna kupata kifo kwa uaminifu wake.Ila ukiangalia kwa jicho lingine baba yake asingekua na tamaa ya kukiuza kirusi haya yote yasingetokea.Nadhani mtunzia amempa adhabu tosha rais kwa kuipoteza familia yake yote kwa uzembe wake.
 
Dah LEGE njoo basi mkuu najua wewe mtu wa kekeep promise kila wakati.
 
Ila papuchi achana nayo dah hivi nikifikiria jinsi Peniella alivyomzaba kibao President Joshua wakiwa chumbani nachoka kabisa.
 
Naona wengi tunaona siyo fair kwa anna kupata kifo kwa uaminifu wake.Ila ukiangalia kwa jicho lingine baba yake asingekua na tamaa ya kukiuza kirusi haya yote yasingetokea.Nadhani mtunzia amempa adhabu tosha rais kwa kuipoteza familia yake yote kwa uzembe wake.
Kwan Anna kafa au yupo mahututi
 
Ingawaje siyo mtaalam wa uandish ila sioni kama peniela anastahil kubeba jina la simulizi.Sioni kikubwa alichofanya zaid ya kugawa papuchi tuu na kusaliti wenzie.
huwezi jua labda kirusi kimesambaa kwa watu wengi na ili kuwaokoa siunajua penny ndio kinga,hvyo kwa mamntiki hyo anaweza akaja akawa shujaa labda ndio maana story imepewa jina la paniela
 
Naona wengi tunaona siyo fair kwa anna kupata kifo kwa uaminifu wake.Ila ukiangalia kwa jicho lingine baba yake asingekua na tamaa ya kukiuza kirusi haya yote yasingetokea.Nadhani mtunzia amempa adhabu tosha rais kwa kuipoteza familia yake yote kwa uzembe wake.
Inawezekana but mtunzi hajamtendea haki Dr Joshua, yaan process ya kifo cha president imezidiwa na John Mwaulaya, pia hata ya kifo cha Flaviana kilitungwa vizur mnoo, ila hawa maraisi na watia nia yaan wamekufa kifo cha wazembe.
 
naona mtunzi aongeze season ya mwisho wa hii story! kwa mawazo yangu anna asife alafu kule madaktari wachukue kinga kutoka kwa paniela waende wamtibu anna,badaye anna na paniela waelezee stuation nzima ilivyokuwa kumbuka methew ameenda kukutana na waziri mkuu amueleze juu ya kirusi aby lakini methew hajui chochote kuhusiana na chanzo cha shambulio la pale dar city.mwisho ningependa methew aoane na anna alafu methew awe ndio rais kwa upande wa paniel ionekane ni lazima afe ili aokoe maisha ya watu yatengenezwe mazingira kuwa ili madaktari waweze kuchukua kinga kutoka kwa paniela kwa namna moja au nyingine ni lazima afe ili process hiyo ifanikiwe.
 
Ni kweli mkuu nilitegemea hata kile kirusi alivyokichukua kutoka kwa Anna angekificha sehemu ambayo ni ngumu kuona mtu yoyote.Au angeweka kisanduku feki pale alafu Peniella angehangaika nacho mpaka akome.
Yaan hebu fikiria kumuonesha kule alikomficha mke wa Deusi, yaan alimpeleka Elibariki itadhan Peniela anapelekwa supermarket na Kareem.
 
Mkuu LEGE nimekuona humu nikaacha kila kitu nikaja mbioooooo uko wapiiiiii
 
wakuu nilikumbwa na tatizo la kimitambo kidogo .nilienda jukwaa la tech kule kuna ishu nili down load basi ndio ukawa mwisho wa kupata network niliweka modem holaa nikitumia wifi napo horaa .ikanibidi kubadili window now mambo yanakwenda fresh .iwe isiwe story lazima leo iishe .lazima niimalize na wale mnao lalamika story inakatwa katwa story ipo yote mwanzo mwisho kwenye mfumo wa pdf so na mkisema ikatwe kwa mpangilio tutakesha .komaeni nayo hivyo hivyo ukitaka uzuri na mtiririko nendeni kule watsapp
 
Back
Top Bottom