Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

wakuu nilikumbwa na tatizo la kimitambo kidogo .nilienda jukwaa la tech kule kuna ishu nili down load basi ndio ukawa mwisho wa kupata network niliweka modem holaa nikitumia wifi napo horaa .ikanibidi kubadili window now mambo yanakwenda fresh .iwe isiwe story lazima leo iishe .lazima niimalize na wale mnao lalamika story inakatwa katwa story ipo yote mwanzo mwisho kwenye mfumo wa pdf so na mkisema ikatwe kwa mpangilio tutakesha .komaeni nayo hivyo hivyo ukitaka uzuri na mtiririko nendeni kule watsapp
Prob zero mkuu lete mambo
 
Yaan hebu fikiria kumuonesha kule alikomficha mke wa Deusi, yaan alimpeleka Elibariki itadhan Peniela anapelekwa supermarket na Kareem.
But mkuu mtunzi katonyesha no body is perfect so udhaifu wa mathew ni overtrust.
 
wakuu nilikumbwa na tatizo la kimitambo kidogo .nilienda jukwaa la tech kule kuna ishu nili down load basi ndio ukawa mwisho wa kupata network niliweka modem holaa nikitumia wifi napo horaa .ikanibidi kubadili window now mambo yanakwenda fresh .iwe isiwe story lazima leo iishe .lazima niimalize na wale mnao lalamika story inakatwa katwa story ipo yote mwanzo mwisho kwenye mfumo wa pdf so na mkisema ikatwe kwa mpangilio tutakesha .komaeni nayo hivyo hivyo ukitaka uzuri na mtiririko nendeni kule watsapp
MKUU IPIGE HIVYOHIVYO HATA HIVYO UMEJITAHIDI MNO KUTUVUMILIA SANA.INGEKUWA MTU MWINGINE ANGEPATWA NA HASIRA TU ATUBWATUKIE.LEGE wewe ni mstaarabu
 
wakuu nilikumbwa na tatizo la kimitambo kidogo .nilienda jukwaa la tech kule kuna ishu nili down load basi ndio ukawa mwisho wa kupata network niliweka modem holaa nikitumia wifi napo horaa .ikanibidi kubadili window now mambo yanakwenda fresh .iwe isiwe story lazima leo iishe .lazima niimalize na wale mnao lalamika story inakatwa katwa story ipo yote mwanzo mwisho kwenye mfumo wa pdf so na mkisema ikatwe kwa mpangilio tutakesha .komaeni nayo hivyo hivyo ukitaka uzuri na mtiririko nendeni kule watsapp
Tunafikaje huko whatsapp
 
But mkuu mtunzi katonyesha no body is perfect so udhaifu wa mathew ni overtrust.
Labda kama unamaanisha mtunzi ndo hakuwa perfect, angalia Matthew bila kujali yuko wapi lazima ajitambulishe kuwa yy ni mpelelezi, muangalie Edmund bila kuwafahamu vzur Peny na Matthew anajisema yy CIA jambo ambalo hata John hakuliweka waz kwa Matthew. Weaknesses kama hazjtokezi kwa jasusi. Jasusi anaweza kuwa weaknesses nyingi ila sio ya Ku expose identity yake. Take time na fuatilia ujasusi utagundua Ku expose identity can cost your agency.
 
Back
Top Bottom