SEHEM YA 41
Dakika chache toka wawasili makaburini gari
lililobeba mwili wa John Mwaulaya likawasili ,jenez
a
likashushwa na kwenda kuwekwa juu ya kaburi lililok
wisha
andaliwa .Watu wote wakasogea pembeni na kumuachia
Peniela nafasi ya kumuaga John Mwaulaya.Alimwaga
machozi mengi sana na baada ya hapo akina Mathew n
ao
wakatoa heshima zao za mwisho na kisha John Mwaulay
a
akazikwa.Baada ya mazishi yale wakarejea nyumbani k
wa
akina Edmund ambako kuliandaliwa chakula maalum kwa
ajili
ya kuagana kilichoambatana na maongezi.Peniela alit
umiwa
wasaa ule kumuomba sana msamaha Edmund na Chin sun
kwa kitendo chake cha kumuua Patrick.Edmund na Chin
sun
hawakutaka sana kuongelea masuala yale kwani tayari
walikwisha ufunga ukurasa ule.Ilipotimu saa moja za
jioni
Mathew na Peniela wakawasindikiza akina Edmund hadi
uwanja wa ndege.Baada ya akina Edmund kuondoka Math
ew
na Peniela wakaelekea ikulu ambako makamu wa rais
aliyerejea kutoka nje ya nchi alikokuwa anapatiwa m
atibabu
ya saratani kwa zaidi ya miezi miwili alikuwa amean
daa
chakula maalum kuwapongeza wale wote waliofankisha
mapambano dhidi ya magaidi na kuwashinda.Kupitia us
iku
huo makamu wa rais pia alitarajia kuzungumza na
watanzania
Kabla ya waalikwa kupata chakula,kulikuwa na
burudani kadhaa toka kwa vikundi mbali mbali vya bu
rudani
na baadae ikafuata zamu ya makamu wa rais kutoa hot
uba
yake ambayo ilirushwa moja kwa moja na televisheni
ya taifa
pamoja na vituo vingine.
Kwanza alianza kwa kuwatambua viongozi wote wa
juu wa kitaifa waliohudhuria na kisha akawashukuru
waalikwa wote kwa kufika kwao halafu akaendelea
“ Ndugu wageni waalikwa na watanzania
wenzangu leo ni wiki ya tatu ,tangu taifa letu tuli
pendalo
lishambuliwe na magaidi na damu ya ndugu zatu wasio
na
hatia ikapotea.Katika historia ya taifa letu katu h
atuwezi
kulisahau tukio lile la kinyama.Magaidi wasio na hu
ruma
walivamia jengo la biashara la Dar city shopping ma
ll na
kuua watu wasio na hatia .Katka shmbulio hilo
tuliwapoteza pia kiongozi wetu wa taifa rais wetu D
r
Joshua Joakim ,pia rais mstaafu Deus Mkozumi pamoja
na
watu wengine mia sita na hamsini na nane. Huu ni ms
iba
mkubwa mno ambao ni vigumu hata kuuelezea.
Shambulio lingine lilitokea katika hoteli ya
Samawati beach hotel ambako watu wengi walipoteza
maisha na wengi wao wakiwa ni raia wa kigeni walio
kuja
hapa nchini kwa shughuli za utalii na mapumziko.Wot
e
waliopoteza maisha yao tunawaombea wapumzike kwa
amani na kwa wale wote waliopata majeraha ama
kupoteza viungo vyao katika mashambulio yote mawili
serikali na watanzania tunawatakia uponaji wa harak
a na
wote tuko nyuma yenu.
Ndugu zangu watanzania ,watu waliotekeleza
mashambulio yale walikuwa na malengo yao lakini kwa
bahati mbaya kwao malengo hayo hayakuweza
kufanikiwa.Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo ni kwam
ba
katika shambulio la Dar shopping mall magaidi walik
uwa
na lengo la kumteka binti mfalme wa Saudi Arabia
aliyekuwa amekuja nchini kwa mapumziko.Lengo kubwa
la
kutaka kufanya hivyo lilikuwa ni kutaka kuishinikiz
a serikali
ya Saudi Arabia imuachie huru kiongozi wao anayeshi
kiliwa
nchini humo. Lengo lao halikuweza kufanikiwa kwani
vijana
wetu shupavu wazalendo na walio tayari kuimwaga dam
u
yao kwa ajili ya kulinda taifa lao walifanikiwa kul
izima
lengo hilo la magaidi ndani ya muda mfupi.Ushupavu
waliouonyesha katika kukabiliana na magaidi wale wa
sio
na hata chembe ya huruma umeudhirishia uimwengu kuw
a
Tanzania si nchi ya kufanyia uharamia wao na hii ni
salamu
kwa wale wote ambao wanapanga au wanafikiria
kutekeleza mipango yao hapa nchini kwamba wasithubu
tu
kufanya hivyo kwani sisi tuko makini na hatujalala
usingizi.Yeyote atakayethubutu kucheza na amani ye
tu
atakiona ”
Makofi mengi yakapigwa kisha makamu wa rais
akaendelea
“
Japokuwa
kidonda
tulichoumizwa
bado
hakijapona lakini maisha yamerejea ya kawaida na wa
tu
wanaendelea na shughuli zao za kila siku bila wasi
wasi,Tanzania imebaki moja na itaendelea kuwa moja
kwani siku zote yanapotokea majanga makubwa ya
kitaifa,watanzania huziweka pembeni tofauti zao na
kushikamana pamoja kama taifa moja yaani jamhuri ya
muungano wa Tanzania”
Makofi mengine mengi yakapigwa.
“ Ndugu zangu watanzania” makamu wa rais
akaendelea
“ Ninapenda kutumia nafasi hii kuwahakikishia tena
kuwa magaidi wote waliohusika katika shambulio lile
la Dar
city
shopping
mall
waliuawa
na
hakuna
aliyesalimika.Pamoja nao kuna watu wachache wa ndan
i
ya nchi walioshirikiana nao ili kufanikisha shambul
io lile
ambao tayari tumekwisha wakamata na kazi bado
inaendelea kuwatafuta wote walioshirikiana na magai
di
kwa namna yoyote ile katika kufanikisha shambulio i
le na
ninawaahidi hakuna atakayesalimika.Tutakwenda mbali
zaidi hadi tuhakikishe tunaufyeka kabisa mtandao wo
te wa
kigaidi ulioanza kujipenyeza hapa nchini kwetu.Naru
dia
tena kuwahakikishia ndugu zangu watanzania kuwa
hakuna yeyote ambaye ana mahusiano yoyote na mtanda
o
wowote
wa
kigaidi
aliyeko
hapa
nchini
atakayesalimika.Tutawasaka
kokote
waliko
na
tutawapata”
Makofi yakapigwa
“ Ndugu zangu watanzania ,katika matukio yale
mawili waliopoteza maisha si watanzania pekee bali
wapo
pia raia wa nchi za nje.Tumepewa pole na mataifa me
ngi
rafiki lakini napenda kutumia nafasi hii kipekee ka
bisa
kuwasilisha kwenu salamu maalum za pole toka kwa
mfalme wa Saudi Arabia .Katika matukio yale mawili
wapo
raia wa Saudi Arabia waliopoteza maisha .Pamoja na
pole
nyingi alizotoa ,pia ametuma salamu nyingi za ponge
zi kwa
vijana wetu waliofanikiwa kuwadhibiti magaidi wale
na
kufanikiwa kumuokoa binti yake salhat ambaye ndiye
aliyekuwa lengo kuu la magaidi.katika salamu zake
ametuma salamu maalum kwa kijana wetu mmoja jasiri
sana anaitwa Mathew .Naomba kokote uliko Mathew
usimame”
Mathew akasimama na kupunga mikono ,makofi
mengi yakapigwa.
“ Ndugu wageni waalikwa na watanzania huyu
mnayemuona ninalazimika kumpa shukrani za kipekee
kabisa kwani huyu alikuwemo ndani ya jengo la Dar ci
ty
shopping mall na ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza
kupambana na magaidi akawaua kadhaa na kufanikiwa
kuwakomboa baadhi ya watu akiwamo binti mfalme
Salhat.Akiwa peke yake alifankiwa kulidhibiti eneo
la juu la
jengo lile na kuwezesha helkopta za jeshi kutua na
makomandoo wetu wakaingia ndani ya jengo kuwafyeka
magaidi.Hongera sana Mathew ,wewe pamoja na wenzako
wote mliopigania nchi yetu kwa moyo mmoja.Majina ye
nu
hayatasahaulika kamwe”
Makofi mengi yakapigwa
“ Ndugu zangu watanzania,uchunguzi tulioufanya
unaonyesha kuwa waliotekeleza mashambulio yale si
kikundi cha Alqaeda pekee bali walishirikiana na w
atu wa
ndani na nje ya nchi.Alipotoa hotuba yake wakati
akilitangazia taifa kifo cha rais,waziri mkuu alito
a ahadi
kuwa hatutaogopa mtu au taifa lolote liilofadhili a
u
kusaidia kwa namna yoyote kufanikisha shambulio
lile.Tumegundua kuna nchi ambayo tulidhani ni maraf
iki na
ndugu zetu kumbe wao ndio wenye kutuzunguka na
kuratibu mipango hii miovu kwa taifa letu.Kama amba
vyo
tumekwisha chukua hatua kwa watu wa ndani ambao
wameshirikiana na magaidi katika kufanikisha shambu
lio
lile,tunachukua hatua vile vile kwa watu wengine au
mataifa ya nje ambao nao walishirikiana na magaidi
wale
na kwa usiku huu ninapenda kuwatangazia kwamba
tumeamua kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na taifa
la
Marekani na tunamtaka balozi wake aondoke hapa chin
i
ndani ya masaa arobaini na nane na katika muda huo
huo
tunamtaka balozi wetu aliyeko nchini Marekani areje
e
nyumbani .Najua maamuzi haya yatawastua wengi lakin
i
kama nilivyosema kuwa hatutamuogopa mtu au taifa lo
lote
liwe kubwa au dogo.Tunao ushahidi wa kutosha
unaotuthibitishia kuwa Marekani walihusika katika
kufadhili shambulio lile la Dar city shopping mall.
Ni aibu
kwa taifa kubwa kama Marekani kufanya kitendo kiovu
kama hiki.”
Makofi yakapigwa kwa wingi.
“ Nafahamu kitendo cha kuvunja mahusiano na
Marekani kina athari kubwa katika uchumi wetu lakin
i
hatuwezi kuendelea kuwa na rafiki kama huyu .Tutata
futa
marafiki wengine ,tutajifunga mkanda na tutasonga m
bele
bila ya kutegemea ufadhili toka kwa mataifa ambayo
hawana malengo mazuri na sisi.Nataka nitumie nafasi
hii
kufikisha ujumbe kwa mataifa yote duniani kuwa Tanz
ania
ni nchi huru na kamwe hatutakubali kuingiliwa na ta
ifa
lolote katika mambo yetu ya ndani ya nchi ,na taifa
lolote
litakalothubutu kufanya hivyo tutaliondoa katika or
odha ya
marafiki zetu bila kusita”
Makofi mengi yakapigwa
“ Ndugu zangu watanzania ili tuweze kujinusuru na
majanga kama haya ya kukandamizwa na mataifa
makubwa kwa sababu ya umasikini wetu,lazima tuamue
kuanza sasa safari ya kujitegemea na kujenga uchumi
wetu
sisi wenyewe bila utegemezi wa mataifa ya nje.Tufan
ye kazi
kwa bidii,tuimarishe viwanda vyetu vya ndani tuzali
she
bidhaa bora na tutumie bidhaa zetu zinazozalishwa n
a
viwanda vyetu wenyewe bila kusahau kulipa kodi.Tuna
zo
rasilimali nyingi ambazo Mungu ametubariki nazo na
endapo tutazitumia vizuri zitatusaidia kuinua uchum
i wetu
na kutuondoa katika utegemezi.”
Makofi mengi yakapigwa
“ Ndugu watanzania kabla sijamaliza hotuba yangu
napenda niwahakikishie kuwa Mungu analipenda sana
taifa letu na anazidi kutubariki kwani leo katika h
istoria ya
nchi yetu na dunia imezinduliwa kinga ambayo itaok
oa
mamilioni ya watu duniani dhidi ya kirusi Aby ambac
ho
hadi sasa kimekwisha ua maelfu ya watu duniani kote
.Ni
mtu mmoja tu katika dunia hii ambaye alikuwa na kin
ga
dhidi ya kirusi hicho na kinga hiyo imetumika kuoko
a
mamilioni ya watu.Tuna bahati kubwa kuwa mtu huyo
anatoka hapa Tanzania.Mabibi na mabwana naomba wote
tusimame tumpongeze Peniela”
Watu wote wakasimama na kupiga makofi mengi
wakimpongeza Peniel;a halafu makamu wa rais akaende
lea.
Ndugu watanzania namalizia hotuba yangu kwa
kuwashukuruni sana kwa maombi yenu .Kwa muda wa
zaidi ya miezi miwili niliyokuwa nje ya nchi kwa ma
tibabu
na sikuweza hata kushirikiana nanyi katika msiba mk
ubwa
uliotupata .Kwa sasa naendelea vizuri na afya yang
u
imeimarika na ninawaahidi kuendelea kuwatumikia
Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Ahsanteni sana kwa kuniskiliza.
Hivi ndivyo makamu wa rais wa jamhuri ya
Muungano wa Tanzania alivyohitimisha hotuba yake h
alafu
zikafuata ratiba nyingine
Saa sita za usiku Mathew na Peniela waliondoka iku
lu
.Safari yao ilikuwa ya kimya kimya .Hawakurejea ten
a katika
makazi ya akina Edmund na badala yake wakaelekea mo
ja
kwa moja katika hoteli moja kubwa.Peniela alionekan
a kuwa
mbali sana kimawazo na macho yake yalijaa
machozi.Mathew alilitambua hilo na hakutaka kumseme
sha.
Hawakurejea tena katika makazi ya akina Edmud
badala yake wakaelekea katika hoteli moja kubwa san
a jijini
Dar wakachukua chumba.Hata baada ya kuingia chumban
i
bado Peniela aliendelea kumwaga machozi .,Mathew
akamfuata karibu akamfuta machozi
“ Peniela stop crying ..” akasema lakini ilikuwa n
i
kama vile amekitonesha kidonda kwani Peniela alizid
i
kumwaga machozi
“ Tafadhali usilie Peniela.It’s over now.The war i
s
over .All the monsters are gone...Dr Joshua is gone
,mtandao
wake umefumuliwa na unaendelea kufumuliwa,Dr Kigomb
a
amekamatwa ,Abel Mkokasule pia amekamatwa na wote
wanaisaidia polisi katika uchunguzi ,vile vile Kare
em naye
amekamatwa na wote hawa wanasaidia katika kuutambua
na
kuufyeka kabisa mtandao wa Dr Joshua.Ukiacha hayo ,
Team
SC41 is no longer exist kwa hiyo hakuna tena kitu c
ha
kuhofia.”
Huku akibubujikwa na machozi Peniela akasema
“ Mathew huwezi kujua ni uchungu kiasi gani
nilionao moyoni mwangu .I wish I were dead...!!
“ Hapana Peniela tafadhali usiwaze hivyo.Huna
sababu ya kufika huko”
“Mathew nasikia uchungu mwingi kwa mambo
yaliyotokea ambayo yamesababishwa na mimi.Ni wiki y
a tatu
sasa najaribu kutafuta ni neno gani nitalitumia kuk
uomba
msamaha kwa mambo niliyoyafaya lakini nimekosa.”
“ Shhh..!!Mathew akamuwekea Peniela kidole
mdomoni.
“Peniela that’s the past.Dont talk anything about
the
past.Forget what happened and focus on your future.
.”
“ No Mathew .No ! I did a lot of awafull things.I
did
something that I cant even forgive myself.For what
I did I
cant even look in your eyes and say I’m sorry” akase
ma
Peniela huku akilia
“ Peniela we all do mistakes.We all did mistakes.N
i
kawaida ya mwanadamu kukosea.Naomba usahau yote
yaliyotokea na tuangalie ya mbeleni”