Pentagon yakiri droni za Iran ni "pasua kichwa" kwa Ukraine, USA🇺🇸 na NATO, hakuna 'kinetic interceptors' za kuzidungua!

Pentagon yakiri droni za Iran ni "pasua kichwa" kwa Ukraine, USA🇺🇸 na NATO, hakuna 'kinetic interceptors' za kuzidungua!

Mbona hio attach yako haioneshi Wala kuongelea maswala ya drones , wewe Nani kakwambia au Bibi yako
 
Sio mchezo kwa lugha nyepesi tunaweza tukaziita Dronebomu Yani zikimaliza kurusha mabomu iliyobeba bomu la mwisho ni Drone yenyewe

Ila Iran anasema sio zake Sasa sijui kwa nini wanaendelea kulazimisha kuwa ni za Iran
Ziko tofauti tofauti,, hizo shaheed ni one way, yaani hairudi ikitoka,,
Zinarusha makombora huwa zinarudi home base,
Hizo shaheed ni very cheap na ndo zinasumbua, maana zenyewe thamani yake usd 20,000,, wakati makombora ya kudungulia yA ukraine moja tu linachezea usd milioni 1,😂,hivyo utaona namna ukraine inavyoingia hasara kudeal na hizo drones
 
Nadhani hiizi ndizo zimefanya Mawaziri wa Ulinzi wa US na Russia kufanya mazungumzo ya simu kuona ni jinsi gani wanaweza kufanya kuhusiana na mgogoro wa Ukraine!
 
Acha blaa blaa Mkuu, kubali tu kuwa mada iliyopo mezani toka 'Pentagon' imekuvuruga akili...

Hizo decoy swarm (the Miniature Air-Launched Decoy, or MALD) ulizoziita drones hazijawahi na hazitowahi kuwa drones. Hivyo ni vifaa tu vinavyotumika kuvuta attention ya air defense system ya adui ili air defense system ijishughulishe na kudungua vifaa hivyo (decoys) wakati missile halisi ikishambulia target husika.

Na kuhusu hizo decoys Russia anazo kibao tena ambazo hata USA + NATO hawazijui. Bali juzi kati tu ilipotumika moja maafisa wa Pentagon wakabaki midomo wazi wakistaajabu kuwa Urusi anatumia makombora ya ajabu ambayo wao Pentagon wenyewe (sio wewe shabiki wao) walikiri kuwa hawayafahamu. Yanapenya air defenses za Ukraine.

Drones za Marekani ni zile alizopeleka Ukraine kwa mbwembwe zote...Urusi akawa akizichoma kama mahindi mabichi kwa kutumia teknolojia yake ya mionzi maalumu.
====

View attachment 2398471

View attachment 2398509
Jamaa ana mihemko sana
 
Unmanned aerial vehicle (UAV), commonly known as a drone, is an aircraft without any human pilot, crew, or passengers on board. UAVs are a component of an unmanned aircraft system (UAS), which includes adding a ground-based controller and a system of communications with the UAV.[1] The flight of UAVs may operate under remote control by a human operator, as remotely-piloted aircraft (RPA), or with various degrees of autonomy, such as autopilot assistance, up to fully autonomous aircraft that have no provision for human intervention.

Inachekesha kuona shabiki anayedai Russia ni superpower akishangilia msaada wa ambaye hata sio regional power, achana na global power. Huwezi kuwa serious unadai Russia ni superpower wakati hata kutengeneza UAVs ndogo hawezi mpaka apewe booster na Israel na Iran. Sasa hiyo si ni sifa ya Houthi, Hezbollah na Hamas
Super power ni wewe mzee,kwani mpaka sasa nani anatawala mchezo kati ya URUSI na Ukraine.WENYE AKILI KIDOGO WANAJUA ANAEREFUSHA VITA YA UKRAINE NI NATO.
 
Pentagon yakiri kuwa droni zinazonasibishwa na Muajemi (Iran) zimekuwa "pasua kichwa" kwa Ukraine, US na NATO kwa ujumla. Afisa mwandamizi wa Pentagon amesema droni hizo zinachoma vibaya magarivita ya NATO yaliyopelekwa Ukraine (armored vehicles), mifumo ya ulizi wa anga, mikusanyiko ya wanajeshi wa Ukraine pamoja na zana za mizinga za NATO zilizopelekwa Ukraine (artillery).

Afisa huyo mwandamizi wa Pentagon ameongezea kuwa ni vigumu kujikinga dhidi ya mashambulizi ya droni hizo, kwani Marekani NATO wote hawana 'kinetic interceptors' zenye kuweza kudungua droni hizo.

Akichambua zaidi uwezo wa droni hizo, afisa huyo wa ngazi ya juu wa Pentagon amedokeza kuwa droni hizo zinazohusishwa na Uajemi ni za ajabu. Kwani mbali ya uwezo wake uliotukuka wa kushambulia na kuchoma zanavita mbalimbali ikiwemo mifumo ya Ulinzi wa anga, pia zinafanya missions za sampuli tofauti tofauti ikiwemo kukusanya taarifa za kiintelijensia (intelligence), kufatilia zana na majeshi ya adui (surveillance) , na uchunguzi wa maeneo yenye majeshi ya adui (reconnaissance) na hivyo kuyafanya majeshi ya Ukraine na zana zao kuwa hatarini kushambuliwa na droni hizo wakati wowote.
Taarifa nyingine zimaainisha kuwa 85% ya drones hizo zinadunguliwa hata na rifle ya kawaida
 
Ukiona unasifiwa sana na adui jua yajayo yanaweza kukufanya ukajinyonga , yaani Pentagon hii ikose zana za kutungua hizo drone au kuwa haina tech ya namna hiyo?


Mmh hili nalo Bashungwa mnyambo wa kuchomekewa mkaliangalie
Ukweli ni kuwa zinadunguliwa hata na rifle za kawaida
 
Na mrusi anazi update na mbaya zaidi zipo mikononi mwa Shujaa hatari
3312.jpg
 
Taarifa nyingine zimaainisha kuwa 85% ya drones hizo zinadunguliwa hata na rifle ya kawaida
Hizi drones hazina camera, wala sensors mfano anti radiation, wala siyo laser guided,, hizi ni pre programmed,, yaani flight path yake to the target iko pre programmed, hivyo kuidukua ni ngumu maana imeshakuwa fed with infor na cordinates za target , so kwanza haiwezi piga moving targets,, sababu haina sensors, na ndo maana ni very cheap,
Haihitaji data uplink, so haidukuliki
 
Hizi drones hazina camera, wala sensors mfano anti radiation, wala siyo laser guided,, hizi ni pre programmed,, yaani flight path yake to the target iko pre programmed, hivyo kuidukua ni ngumu maana imeshakuwa fed with infor na cordinates za target , so kwanza haiwezi piga moving targets,, sababu haina sensors, na ndo maana ni very cheap,
Haihitaji data uplink, so haidukuliki
Last week ilitolewa taarifa kuwa 85% zinatunguliwa kwa bunduki za kawaida
 
Na mrusi anazi update na mbaya zaidi zipo mikononi mwa mkatili namba 1
View attachment 2399404
Moja ya sababu inayofanya drones za US kudukuliwa kwa urahisi ni ziko high tech,, yaani zinategemea sana real time data uplink kwa maana kuwa inapokea comand toka home base au operater in real time, na live data downlink, kwamba inatuma data kuhusu target to thebase in really time, ndo maana drone ya US , israel inaweza kuzunguka( loitering)on target hata kwa masaa 30 ikisubiri command ya kuattack,, Russia bado hawajawa na hii technology,,
Lakini hii technology inazifanya drones kuwa rahisi kudukuliwa,
Advantage yake, ni US na israel tu ndo wana drone zinazoweza kuwinda mtu specific hata kwa wiki zikikusanya taarifa au zikitafuta mda mwafaka wa kushambulia
 
Last week ilitolewa taarifa kuwa 85% zinatunguliwa kwa bunduki za kawaida
Jiongeze Mkuu...

Kama zingekuwa zadungulika kwa nini kila kukicha Biden (USA) + Zelensky (Ukraine) wanailalamikia Iran isizipelekee droni hizo Ukraine. Na wanasema kabisa kuwa zaangamiza miundombinu na kuua watu.
 
Jiongeze Mkuu...

Kama zingekuwa zadungulika kwa nini kila kukicha Biden (USA) + Zelensky (Ukraine) wanailalamikia Iran isizipelekee droni hizo Ukraine. Na wanasema kabisa kuwa zaangamiza miundombinu na kuua watu.
Sina maoni kwakuwa sina upande wowote
 
Pentagon yakiri kuwa droni zinazonasibishwa na Muajemi (Iran) zimekuwa "pasua kichwa" kwa Ukraine, US na NATO kwa ujumla. Afisa mwandamizi wa Pentagon amesema droni hizo zinachoma vibaya magarivita ya NATO yaliyopelekwa Ukraine (armored vehicles), mifumo ya ulizi wa anga, mikusanyiko ya wanajeshi wa Ukraine pamoja na zana za mizinga za NATO zilizopelekwa Ukraine (artillery).

Afisa huyo mwandamizi wa Pentagon ameongezea kuwa ni vigumu kujikinga dhidi ya mashambulizi ya droni hizo, kwani Marekani NATO wote hawana 'kinetic interceptors' zenye kuweza kudungua droni hizo.

Akichambua zaidi uwezo wa droni hizo, afisa huyo wa ngazi ya juu wa Pentagon amedokeza kuwa droni hizo zinazohusishwa na Uajemi ni za ajabu. Kwani mbali ya uwezo wake uliotukuka wa kushambulia na kuchoma zanavita mbalimbali ikiwemo mifumo ya Ulinzi wa anga, pia zinafanya missions za sampuli tofauti tofauti ikiwemo kukusanya taarifa za kiintelijensia (intelligence), kufatilia zana na majeshi ya adui (surveillance) , na uchunguzi wa maeneo yenye majeshi ya adui (reconnaissance) na hivyo kuyafanya majeshi ya Ukraine na zana zao kuwa hatarini kushambuliwa na droni hizo wakati wowote.

Taarifa hii imeripotiwa na Marekani yenyewe (The National Interest)
=====

View attachment 2398192
A senior Pentagon official did not confirm the exact number of Shahed 136 drones being used to support the Russian effort but made it clear that such an initiative would not be surprising. The Iranian “kamikaze” drones are a loitering munition that can attack from ranges as far as 2,500 kilometers away.

Thousands more Iranian drones may be headed to Ukraine as Russian forces continue to use them to attack armored vehicles, air defenses, troop concentrations, and mobile artillery.

“We do know that Iran has provided Russia with drones for use on the battlefield in Ukraine. While I don't have anything specific to provide in terms of potential future deliveries, it would not -- we would not be surprised were that the case,” a Pentagon official told reporters during a background briefing.

These kinds of weapons present a serious threat to Ukrainian forces as they can be quite difficult to defend against. Large numbers of swarming drones would be quite difficult to target with any kind of kinetic interceptor. These systems also operate at a lower altitude and can be organically launched from dismounted units in close proximity. Finally, these kinds of drones could conduct intelligence, surveillance, and reconnaissance (ISR) missions as well, making Ukrainian armored vehicles, formations, or artillery systems vulnerable to attack.

Isingekuwa vikwazo, Iran ingekuwa kati ya mataifa yenye nguvu (nyingi sana) duniani.
 
☢️The testing of the 12th version of the B61-12 nuclear bomb without a warhead took place in 2015 at the Nevada Test Site. The new bomb, capable of replacing the four obsolete B61 models, features a tail fin. It makes the bomb controllable and more accurate, allowing it not to be parachuted down (which required flying precisely over the target), but to be dropped from an aircraft flying at a high altitude, after which the bomb autonomously plans towards the target for many kilometres, thrusting if necessary.

Estimated power - from 340 kilotons (Hiroshima explosion - from 15 to 20 kilotons)☢️
US is distributing its tactical nuclear weapons in NATO countries arround Russia
 
Super power ni wewe mzee,kwani mpaka sasa nani anatawala mchezo kati ya URUSI na Ukraine.WENYE AKILI KIDOGO WANAJUA ANAEREFUSHA VITA YA UKRAINE NI NATO.
Kumbe tunakubaliana Urusi level zake ni kuteswa na Ukraine. Sasa Ukraine haipo kwenye nchi zinazojaribu au kufikiriwa kuwa superpower. Hiyo ni ligi ya Ndondo kama inashindikana hatuwezi toa timu kuipeleka ligi kuu
 
Wamezoea Drone kuja moja moja so easy kuidukuwa hizi za Irani zinakuja Tano Tano au zaidi kwa wakati mmoja hivyo ata kama wanafanikiwa kuipiga moja au Mbili tatu au zaidi lazima zipige Target .

Tatizo ndo linaanzia hapo-pia Zinaruka Below radar Detection na pia zinatembea very slow below military Drone Specifications (nchi nyingi zikiwemo Israel wapo Lab kudesign system ya kupambana nazo ila mpaka sasa bado kichapo kinaendelea.

Kwenye katuni zaTommy and Jery kuna episode moja Mwenye Nyumba alinunua robotic Cat (mecano) apambane na Jerry- Jerry alitumia hii trick ya kutuma vipanya vya Chuma zaidi ya Viwili kwa wakati mmoja .

Mziki wake ulikuwa sio mdogo Mecano alizibitiwa na Mwenye nyumba ilimbidi amrudishe Tom kuendelea na kazi ya kumdhibiti Jery
Nchi yako ina lipi inafanya kukabiliana na aina hizo za silaha, au kazi yenu kushabikia wanaume wa nchi nyinginei wakiumiza vichwa.
 
Acha blaa blaa Mkuu, kubali tu kuwa mada iliyopo mezani toka 'Pentagon' imekuvuruga akili...

Hizo decoy swarm (the Miniature Air-Launched Decoy, or MALD) ulizoziita drones hazijawahi na hazitowahi kuwa drones. Hivyo ni vifaa tu vinavyotumika kuvuta attention ya air defense system ya adui ili air defense system ijishughulishe na kudungua vifaa hivyo (decoys) wakati missile halisi ikishambulia target husika.

Na kuhusu hizo decoys Russia anazo kibao tena ambazo hata USA + NATO hawazijui. Bali juzi kati tu ilipotumika moja maafisa wa Pentagon wakabaki midomo wazi wakistaajabu kuwa Urusi anatumia makombora ya ajabu ambayo wao Pentagon wenyewe (sio wewe shabiki wao) walikiri kuwa hawayafahamu. Yanapenya air defenses za Ukraine.

Drones za Marekani ni zile alizopeleka Ukraine kwa mbwembwe zote...Urusi akawa akizichoma kama mahindi mabichi kwa kutumia teknolojia yake ya mionzi maalumu.
====

View attachment 2398471

View attachment 2398509
😂😂😂 Kuna moja ipo Poo
Nchi yako ina lipi inafanya kukabiliana na aina hizo za silaha, au kazi yenu kushabikia wanaume wa nchi nyinginei wakiumiza vichwa.
Nchi yako ina lipi inafanya kukabiliana na aina hizo za silaha, au kazi yenu kushabikia wanaume wa nchi nyinginei wakiumiza vichwa.
Wewe jaribu kuvamia kambi moja ya Jeshi uone JWTZ wana uwezo upi! Mimi kama mimi nnajua Uwezo wa JWTZ so sina shaka na lolote nalala kwa amani nikiwa na uhakika Mipaka yetu ipo salama.
 
Back
Top Bottom