Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

Tapeli yule acha kumficha yule Mmalawi alielowea Zambia na kufanya biashara ya mafuta Tunduma na Mbeya usifikiri hatumjui
Hata yesu walisema, huyu si mtoto wa selemara. Nguvu ya Mungu haichagui sehemu mtu anakotoka. Hahahaha
 
Kiukweli Mimi huwa sichagui huduma ipi niende endapo nitajua Kama nipo fiti kiroho, maana hata Kama nitaangukia kwenye huduma mbovu lkn bado niliembeba Ni zaidi ya huduma hiyo mbovu
 
Kiukweli Mimi huwa sichagui huduma ipi niende endapo nitajua Kama nipo fiti kiroho, maana hata Kama nitaangukia kwenye huduma mbovu lkn bado niliembeba Ni zaidi ya huduma hiyo mbovu
Unaokoteza matapeli huko unawafananisha na Yesu ndio maana anawaokota kumbe mnamuona km Yesu mtenda miujiza?
 
Neno Ni lenyewe, wewe ndio sio mwenyewe, umepotoka kabisa. Kumbuka ulimwengu wa Giza una vitu unavyotumia, vifaa mbalimbali Kama chungu, ngozi za wanyama, vibuyu nk.
Vilevile ulimwengu wa Nuru una vifaa mbalimbali ambavyo vimetumika na watakatifu na vinaendelea kutumika. Mf. Mafuta, maji, chumvi nk. Hivi huwakilisha ulimwengu wa nuru. So mtu akitumia hivyo ibadani sio kwamba anakosea hasha Bali wewe ndio unakosea kwa kuwapa watu uzito wakuwaamini watumishi wa Mungu. Na watu Kama wewe yesu kasema Ni heri kufungwa jiwe nakutoswa baharini.

Watumishi wa Mungu wanajitahidi kufundisha vizuri lkn watu Kama wewe ambaye hujui hata neno Wala huamini ktk miujiza Ni tatizo. Kwani Ni muujiza gani ambao wewe umewahi ukubali kwamba umetoka kwa Mungu?

Hao akina mwamposa wanakusanya pesa nyingi lkn sio kwamba wanafikia level za roman catholic ambao wanafanya biashara wanna maseminali, Wana mahospitali, wanauza vitabu, rozali, nk. Mwamposa kuuza maji tu unaona kakumalizia hela zote wakati pesa hizo zinatumika kuendeleza kazi ya Mungu. Acheni fikra potofu.

s
Naona mmoja wa makerubi wa Mwamposa unampakulia minyama boss wako at the expense of Roman Catholic
 
Naona mmoja wa makerubi wa Mwamposa unampakulia minyama boss wako at the expense of Roman Catholic
Sipo kwa mwamposa Mimi Wala maisha yangu hayana uhusiano na mwamposa kabisa. Namtumia mwamposa kuwakilisha watumishi wa Mungu wote ambao wanapitia vijineno neno.

Maana Tanzania yetu watu wakishakuwa maarufu tu lazima maneno.
 
Back
Top Bottom