Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Umeandika nonsense mkuu
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Kabisa mimi sio mpentekoste ila nasema hakuna mahali hatari kiroho kama Pentekoste! Kuna uchafu wa kila aina sio uchawi, wizi, tamaa, ni hatari sana!
 
Nyie si ndio mnaopiga kelele kuwa uislamu unamkandamiza mwanamke,,endeleeni kuwapa madhabahu akina Zumaridi lkn ukweli mbinguni mtapasikia tu..


Nipo pale..
Kulingana na maandiko yeyote anaeshiriki mimbaea iliyoshikiliwa na mwanamke mbingu aisahau
 
Tuliza akili wewe usiwe mpingaji wa kila kitu, ufalme utakupitia kushoto alafu hao unaowaona waongo wakapasua. Mchungaji yeyote anakundi Sasa usifikiri Jambo la kuwa na kundi Ni mchezo mchezo, wale Mungu huwaangalia kwa ukaribu mno.

Kipindi Cha yesu alipakwa mafuta, yesu mwenyewe alitumia tope kumfumbua mtu macho. Majuzi mwamposa kauza tope hizohizo tu kule mbeya lkn makelele kibao.

Iko hivi; huduma ya neno Ni gharama kubwa mno ukitaka kuamini hili jaribu kujenga kakibanda kadogo alafu Pima gharama ndipo utakuja kujua sadaka kwa mwamposa haziibiwi.

Unafata upepo wa maneno ya wachawi ambao wamejaribu nguvu ya Mungu na kushindwa unafikiri watakuwa na maneno mazuri kwa watumishi? Lazima wataiponda huduma, Sasa na wewe usivyo na tafakari unaungana kwenye ngoma yao mnacheza kwa pamoja pasipo kushtuka kwamba umeshapotezwa kitambo tu huku ukijipa moyo kwamba fikra zako zipo sahihi.
Sasa wewe umeshindwa kuona tofauti apo
Unasema kabisa mwamposa kauza tope na yesu kapaka mtu tope
 
Tuliza akili wewe usiwe mpingaji wa kila kitu, ufalme utakupitia kushoto alafu hao unaowaona waongo wakapasua. Mchungaji yeyote anakundi Sasa usifikiri Jambo la kuwa na kundi Ni mchezo mchezo, wale Mungu huwaangalia kwa ukaribu mno.

Kipindi Cha yesu alipakwa mafuta, yesu mwenyewe alitumia tope kumfumbua mtu macho. Majuzi mwamposa kauza tope hizohizo tu kule mbeya lkn makelele kibao.

Iko hivi; huduma ya neno Ni gharama kubwa mno ukitaka kuamini hili jaribu kujenga kakibanda kadogo alafu Pima gharama ndipo utakuja kujua sadaka kwa mwamposa haziibiwi.

Unafata upepo wa maneno ya wachawi ambao wamejaribu nguvu ya Mungu na kushindwa unafikiri watakuwa na maneno mazuri kwa watumishi? Lazima wataiponda huduma, Sasa na wewe usivyo na tafakari unaungana kwenye ngoma yao mnacheza kwa pamoja pasipo kushtuka kwamba umeshapotezwa kitambo tu huku ukijipa moyo kwamba fikra zako zipo sahihi.
Sasa wewe umeshindwa kuona tofauti apo
Unasema kabisa mwamposa kauza tope na yesu kapaka mtu tope
 
Kiukweli Mimi huwa sichagui huduma ipi niende endapo nitajua Kama nipo fiti kiroho, maana hata Kama nitaangukia kwenye huduma mbovu lkn bado niliembeba Ni zaidi ya huduma hiyo mbovu
huwezi ukambeba Yesu kisha ukaanguka kwenye huduma mbovu.
maandiko yanasema atakapokuja huyo roho wa kweli atawaelekeza yoote niliyowaambia.
huwezi ukashiriki kila ibada na ukawa bado mkristo
 
kiukweli makahaba weeengi wamepata sehemuya kujificha.
biblia inasema nao watawachukua mateka wanawake waliochukuliwa na mizigo miingi ya dhambi na ni kweli
Sipo kwa mwamposa Mimi Wala maisha yangu hayana uhusiano na mwamposa kabisa. Namtumia mwamposa kuwakilisha watumishi wa Mungu wote ambao wanapitia vijineno neno.

Maana Tanzania yetu watu wakishakuwa maarufu tu lazima maneno.
 
biblia inasema watu wa wakati huu watakuwa uchi nahawajui maskini na hawajui.
vipofu na hawajui.

rev 3;14 And unto the angel of the church of the Laodiceans write; These things saith the Amen, the faithful and true witness, the beginning of the creation of God; {of the Laodiceans: or, in Laodicea} 15 I know thy works, that thou art neither cold nor hot: I would thou wert cold or hot. 16 So then because thou art lukewarm, and neither cold nor hot, I will spue thee out of my mouth. 17 Because thou sayest, I am rich, and increased with goods, and have need of nothing; and knowest not that thou art wretched, and miserable, and poor, and blind, and naked: 18 I counsel thee to buy of me gold tried in the fire, that thou mayest be rich; and white raiment, that thou mayest be clothed, and that the shame of thy nakedness do not appear; and anoint thine eyes with eyesalve, that thou mayest see. 19 As many as I love, I rebuke and chasten: be zealous therefore, and repent. 20 Behold, I stand at the door, and knock: if any man hear my voice, and open the door, I will come in to him, and will sup with him, and he with me. 21 To him that overcometh will I grant to sit with me in my throne, even as I also overcame, and am set down with my Father in his throne. 22 He that hath an ear, let him hear what the Spirit saith unto the churches.
 
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.

moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.

2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.

1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.

3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.

4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.

5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.

KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Roman ndio nini? Kwanza wakatoliki wako sawa miaka zaidi ya 2000 maana kanisa limejengwa juu ya mwamba. Ata atokee Papa wa hovyo kanisa linabaki vizuri. Yesu si mjinga kuliacha kanisa lake kwa Petro. Sasa nyie vinyamkera wa vikanisa vya fulani lazima mteseke. Rudini nyumbani kumenoga.
 
Umeandika nonsense mkuu
kama ipi mkuu, huwezi bisha ambacho neno limesema.
watu wamekuwa watumwa wa maji na mafuta na si kwa Mungu.
wanategemea maji na ayo mafuta na si Mungu tena.
mtu kwenye biashara badala ya kufanya maombi anamwagia maji ya mwamposa nilimshangaa sana yule mama karume.
MUNGU NI MUNGU MWENYE WIVU
 
Jidanganye! Zaidi ya Miaka 2000 kanisa limesimama na itabaki hivyo mpaka aliyelisimika atakaporudi
BIBLIA INASEMA KABLA YA KUJA KWAKE YESU ATASULUBISHWA MARA YA PILI NA WALE WAJIITAO KWA JINA LAKE.

akasema je nitakapokuja nitaikuta imani niliyowaachia?
 
Jidanganye! Zaidi ya Miaka 2000 kanisa limesimama na itabaki hivyo mpaka aliyelisimika atakaporudi
mathayo 24; 23Wakati huo kama mtu ye
yote akiwaambia, ‘Tazama, huyu hapa ni Kristo!
Au ‘Kristo yuko kule!’ Msisadiki. 24Kwa maana
watatokea makristo wa uongo na manabii wa
uongo na kufanya ishara kubwa na miujiza
mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana wale
wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia
kuwaambia mapema.
 
ULIMWENGU NI NN?
Mtu ambaye bado hata haujui maana ya Ulimwengu unapata wapi nguvu na akili ya kuhoji kuhusu Kanisa katoliki?


Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi, mwumba mbingu na dunia.
Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;
aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,
akazaliwa na Bikira Maria, akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato, akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu; siku ya tatu akafufuka katika wafu; akapaa mbinguni; amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi; toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu.

Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, Kanisa takatifu katoliki, ushirika wa Watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili na uzima wa milele. Amina.
 
Back
Top Bottom