Pentekoste iliyochangamka

Pentekoste iliyochangamka

KUHUSU 666 SIYO PAPA ....Kuna jamaa hapa hapa jf aliwai kuleta uzi kuhusu 666 alianza kuleta habari kama zako nilipo kuja na fafanuzi uzi aliukimbia na kuukacha .....666 NI MWILI WAKO MWANADAMU KAMA UJUI NIULIZE KIVIPI ......kama 666 ingekuwa ni PAPA basi wote waliokufa kabla ya papa duniani wataingia peponi ? Maana imeandikwa wenye chapa ya huyo mnyama ndiyo wataingia motoni.....maana yake ni nini ? Kwanza inatakiwa tujiulize chapa ya mnyama ni nini? Je nikitu gani kitakacho mfanya mtu kutupwa motoni zaidi ya DHAMBI !.....BASI CHAPA YA MNYAMA NI DHAMBI MAANA NDIYO KITU PEKEE KIMPELEKACHO MTU MOTONI .....hivyo 666 siyo papa wala binadamu yoyote aliye pita wala ajaye maana kama ni binadamu ajaye basi wote waliokufa kabla ya huyo mwanadamu wataingia peponi?💥Chapa kwenya paji la uso ni mawazo maovu mioyoni mwetu.
💥Chapa kwenye paji la uso ni matendo maovu
Chapa kwenye paji la uso na mikoni ni kinyume cha haya maandiko ....ndiyo wale wasio zaliwa kwa damu wala kwa mwili ..Kuzaliwa kwa damu =chapa kwenye pajikuzaliwa kwa mwili =chapa kwenye mikoni


Mwili wako ndiyo huyo mnyama ndiyo maana ikaandikwa msizifuate tamaa za mwili maana nia ya mwili ni mauti.

Nime screenshot ule uzi wa 666 jamaa alikimbia uzi..uzi ulikuwa wa mwaka 2023
Lwiva hoja yako naielewa lakin ili kuiweka sawa zaidi ipatane na kile kimeelezwa kwenye biblia kuhusu 666 (ufunuo 13:18) lazima utoe maana ya vitu vifuatavyo ukihusianisha na tafsiri yako ya 666.
1. Joka (The dragon) ambaye alimpatia nguvu mnyama(vs 2), ambaye pia aliabudiwa kwa sababu hiyo.
2. Mnyama toka baharini, ambaye 666 inasemwa kuwa ni namba yake.
-eleza pia kwann anasemwa kutoka baharini
-vichwa kumi na pembe zake kwann zimetajwa hapa? (kimsing hizi n sifa zake bainishi)
-kwann biblia inasema alipata Jeraha kwenye moja ya vichwa vyake(13:3)
3. Bila shaka hutaacha kumuelezea pia mnyama toka nchi kavu(uf.13:11) kwa sabab tunaambiwa ana uhusiano mkubwa na mnyama wa kwanza, n kama chawa wake hivi
4. Utaeleza pia alama ya mnyama wa kwanza ni ipi
5. Kisha ndo ueleze vizur sasa 666 kuhusianisha na hivyo vitu, utakuwa umenisaidia sana kufahamu vitu hivyo!

Kumbuka 666 kulingana na kitabu cha ufunuo ni kama code ya kumfaham mnyama, sasa kama hiyo 666 ni "dhambi" au "mwili wako" lazima uelezee na huyo mnyama ambaye namba yake inasimama badala ya 'dhambi' au 'mwili wako' ni nan, na hao wengine waliotajwa (The dragon and the beast from the Land) ni akina nan? Zingatia The beast, The Dragon, from The sea, from The land. Najua unaelewa nnachojaribu kusisitiza hapa.
 
leo hatuzungumzii katoloki, japokuwa katoliki ndie mama wa machafuko ya ukristo, kutoka kwake kila kanisa kahaba la kidini lilitoka humoo
Kwa hiyo kama ni mama, hata hayo mengine nayo ni matokeo yake 😀 unajielewa kweli?
 
uumekariri vizuri sanaa.
ila ukristo si kukariri. ukristo ni maisha.
Huo Ukristu umeufahamu kwa maumivu na safari ndefu iliyopitia Kanisa kwa miaka zaidi ya 2000 mpaka limefika leo, Unajidai kuujua kuliko Mtume Petro aliyeambiwa Juu ya Mwamba huu nitalijenga kanisa langu 😀
uumekariri vizuri sanaa.
ila ukristo si kukariri. ukristo ni maisha.
 
Christianity has a very weak foundation

And when the foundation is weak the structure becomes unstable and is amenable to collapse.
Unamuita Kristo/Yesu/Mwamba/Founder Weak? Are you serious?
 
Huko kwenu wanaobariki wanaume kuoana mbona husemi lolote au hayo ndio mafundisho ya Mungu,Tena mnaomba wafu !
 
Ee Kanisa la dreamers Tiptop manzese la mwanamama mbeba maono muimbaji Christina shusho je ni la kilokole ?

Vipi kanisa la mwanamama mrembo mwenye dimpozi na sauti adimu ya kukwaruza mama Bahati bukuku ni la kipentekoste ?

Vipi kanisa la mama rwakwatare mlima wa moto Assemblies Of God mikocheni B ?
 
1 timotheo
6Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.
7Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu cho
chote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.
8Lakini kama tuna chakula na mavazi,
tutaridhika navyo. 9Lakini wale watu
wanaotamani kuwa na mali kwa haraka haraka
huanguka kwenye majaribu na wamenaswa na
tamaa nyingi za kipumbavu, zenye kudhuru,
zinazowazamisha watu katika uharibifu na
maangamizi. 10Kwa maana kupenda fedha
ndiyo shina moja la maovu ya kila namna.
Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha
amani na kujichoma wenyewe kwa maumivu
mengi.
Huyu mleta mada amelewa nini? Unafananishaje Pentekoste na RC church?
 
Lwiva hoja yako naielewa lakin ili kuiweka sawa zaidi ipatane na kile kimeelezwa kwenye biblia kuhusu 666 (ufunuo 13:18) lazima utoe maana ya vitu vifuatavyo ukihusianisha na tafsiri yako ya 666.
1. Joka (The dragon) ambaye alimpatia nguvu mnyama(vs 2), ambaye pia aliabudiwa kwa sababu hiyo.
2. Mnyama toka baharini, ambaye 666 inasemwa kuwa ni namba yake.
-eleza pia kwann anasemwa kutoka baharini
-vichwa kumi na pembe zake kwann zimetajwa hapa? (kimsing hizi n sifa zake bainishi)
-kwann biblia inasema alipata Jeraha kwenye moja ya vichwa vyake(13:3)
3. Bila shaka hutaacha kumuelezea pia mnyama toka nchi kavu(uf.13:11) kwa sabab tunaambiwa ana uhusiano mkubwa na mnyama wa kwanza, n kama chawa wake hivi
4. Utaeleza pia alama ya mnyama wa kwanza ni ipi
5. Kisha ndo ueleze vizur sasa 666 kuhusianisha na hivyo vitu, utakuwa umenisaidia sana kufahamu vitu hivyo!

Kumbuka 666 kulingana na kitabu cha ufunuo ni kama code ya kumfaham mnyama, sasa kama hiyo 666 ni "dhambi" au "mwili wako" lazima uelezee na huyo mnyama ambaye namba yake inasimama badala ya 'dhambi' au 'mwili wako' ni nan, na hao wengine waliotajwa (The dragon and the beast from the Land) ni akina nan? Zingatia The beast, The Dragon, from The sea, from The land. Najua unaelewa nnachojaribu kusisitiza hapa.
Tumia akili timamu utaelewa mafumbo hayo ni mepesi sana ...kwenye ufunuo huyo mnyama katwajwa tena sehemu nyingine kama KAHABA AMBAYE WAFALME WAMEZINI NAYE hapo kahaba ni mwili wako .... mfalme ni nafsi yako, hivyo kuzini na kahaba ndiyo kufuata tamaa za mwili ndiyo chapa kwenye paji la uso na mikononi ya huyo kahaba ambaye ndiyo huyo huyo 666 ....kuhusu watu kumsudujia mnyama maana yake ndiyo hiyo hiyo ya kuzini na kahaba yaani NAFSI YA MTU INAPO TIISHWA NA MATAMANIO YA MWILI NDIYO KUMSUJUDIA HUYO MNYAMA ....Mtu kuto kuuza wala kununua isipokuwa ana chapa ya huyo mnyama maana yake ni binadamu hata tenda jambo lolote isipokuwa litatendwa kwa matamanio ya mwili ....
KAHABA = MNYAMA 666 = MWILI WA MWANADAMU
 
Lwiva hoja yako naielewa lakin ili kuiweka sawa zaidi ipatane na kile kimeelezwa kwenye biblia kuhusu 666 (ufunuo 13:18) lazima utoe maana ya vitu vifuatavyo ukihusianisha na tafsiri yako ya 666.
1. Joka (The dragon) ambaye alimpatia nguvu mnyama(vs 2), ambaye pia aliabudiwa kwa sababu hiyo.
2. Mnyama toka baharini, ambaye 666 inasemwa kuwa ni namba yake.
-eleza pia kwann anasemwa kutoka baharini
-vichwa kumi na pembe zake kwann zimetajwa hapa? (kimsing hizi n sifa zake bainishi)
-kwann biblia inasema alipata Jeraha kwenye moja ya vichwa vyake(13:3)
3. Bila shaka hutaacha kumuelezea pia mnyama toka nchi kavu(uf.13:11) kwa sabab tunaambiwa ana uhusiano mkubwa na mnyama wa kwanza, n kama chawa wake hivi
4. Utaeleza pia alama ya mnyama wa kwanza ni ipi
5. Kisha ndo ueleze vizur sasa 666 kuhusianisha na hivyo vitu, utakuwa umenisaidia sana kufahamu vitu hivyo!

Kumbuka 666 kulingana na kitabu cha ufunuo ni kama code ya kumfaham mnyama, sasa kama hiyo 666 ni "dhambi" au "mwili wako" lazima uelezee na huyo mnyama ambaye namba yake inasimama badala ya 'dhambi' au 'mwili wako' ni nan, na hao wengine waliotajwa (The dragon and the beast from the Land) ni akina nan? Zingatia The beast, The Dragon, from The sea, from The land. Najua unaelewa nnachojaribu kusisitiza hapa.
Maswali yako ni mepesi tuliza akili nimekuambia huyo mnyama 666 ni Mwili wake mtu ....yule mnyama anaye mpa nguvu huyo 666 ni SHETANI kwa sababu shetani anatumia miili yetu kututia majaribuni na hatimaye dhambini au kutufunga dhambini ndiyo maana ikaandikwa ...
1👉 msiendende katika miili ..kwa sababu miili utamani
2👉msifuate tamaa za mwili.
3👉msipo zaliwa mara ya pili kamwe amtauona wokovu kwa kuwa kilicho zaliwa kwa mwili ni mwili na kilicho zaliwa kwa roho ni roho. Walio zaliwa kwa roho huenenda katika roho wasizifuate tamaa za mwili.
💥 Hivyo mnyama wa kwanza ampaye nguvu huyo mnyama wa pili 666( ambaye ndiyo mwili wa mwanadamu) ni IBILISI SHETANI
💥Mnyama wa pili ndiyo MWILI WA MWANADAMU
💥Sanamu ya huyo mnyama wa pili ni nini? Maana imeandikwa 👉Usimsujudie huyo mnyama wala sanamu yake ....SANAMU YA MNYAMA WA PILI NI VITU VYOTE VIFANYWAVYO NA MWANADAMU ...mali zote na fahari zote za ulimwengu huu....ndiyo maana ya haya maandiko 👉kuna faida gani kuipata dunia yote na kujiangamiza mwenyewe ....fahari zote za hii dunia ndiyo sanamu ya huyo mnyama wa pili maana zipo kwa ajili ya miili ...mfano magari pesa utajiri mapambo simu TV radio miziki pombe vyakula nyumba... vyote hivyo ni sanamu ya huyo mnyama 666 ....hivyo ukiwa navyo visikutawale nafsi mwako na kukutiisha moyo wako...ndiyo maana ya haya maandiko 👉Amuwezi kumtumikia Mungu na Mali, mali ni mojawapo ya sanamu ya huyo mnyama .....ndiyo maana ya yale mafundisho ya yesu ...msijiwekee hazina duniani ambapo nondo na kutu uhalibu bali jiwekeheni hazina mbinguni kusiko halibika kitu...
Pia swali lako limesema kwa vipi mnyama wa kwanza ana uhusihano na mnyama wa pili 666 👉jibu mnyama wa kwanza ni SHETANI NA SHETANI UTUMIA NGUVU ZOTE ZA MIILI YETU KAMA ILIVYO ANDIKWA MSIENENDE KATIKA MIILI KWA SABABU MIILI UTAMANI . Rabbon Vyamagila

Haya niliyo kuelezeni ni asilimia 10% ya ushahidi ninao uwezo wa kufafanua zaidi, ndiyo maana nawaambia watu injili imenyooka...siyo kwamba mimi ndiyo nimeinyoosha la bali mimi nimetumiq akili yangu kuipima...nikaona imenyoka... tatizo wakristo mmeipotosha maana na kusababisha ionekane injili imepinda pinda.
 
Kwa hiyo we ulitaka vifanane? Yaani Kama yesu alimpaka tope za macho Basi na mwamposa apake za macho? Haiwi hivyo Mr. Hata manabii walitofautiana kulingana na wakati.
Ninachojua hakuna siku mwamposa kamchanja mtu chale, hajawahi kutoa sadaka ya kuchinja. Angefanya haya ningeamini madai yako.
chale zipo ambazo si za kimwili
 
chale zipo ambazo si za kimwili
Zitaje Sasa tujue. Msiwe watu wa mashaka kwa watumishi wa Mungu. Hebu fikiria kwamba mtumishi Ni wa Mungu alafu wewe hujasimama vizuri then unamsema vibaya unafikiri Mungu anakuchukuliaje?
 
Asante kwa mada.
Pentekoste hainabudi kujiitathmini.
Haiwezekani miujiza inapewa kipaumbele kuliko kukemea dhambi.
Utakatifu ndio kitu cha kupewa kipaumbele nasi vinginevyo.
ama hakika huo haukuwa kuwa ukristo,
miujizailikuwepo ili watu wavutwe kwenye ukweli. hata waliofanyiwa miujiza iliwabidi watubu na kuanza maisha mapya. haikuishia kwenye miujiza kila siku
 
Acha kubebewa akili wewe. Hizi zote tunazoongea Ni mbwembwe tu kwenye utakatifu. Kikubwa Ni kuusafisha moyo tu.
Na mtu ukiona analeta mada za hivi jua hayuko sawa kiroho huo ndio ukweli.
kuusafisha moyo peke yake hakutoshi kama ulidhani hivyo. yule tajiri kijana aliuliza je anazishika amri akasema anazijua nakuzishika tangu utotoni, kwaio si usafi tuu ukuokoao. mafarisayo walikuwa wasafi huwezi kuwaonyeshea kidole ila walifeli kulitambua neno la mungu lililotumwa kwa wakati wao. ukristo ni zaidi ya kujitakasa
 
Back
Top Bottom