Pentekoste iliyochangamka

Tapeli yule acha kumficha yule Mmalawi alielowea Zambia na kufanya biashara ya mafuta Tunduma na Mbeya usifikiri hatumjui
Hata yesu walisema, huyu si mtoto wa selemara. Nguvu ya Mungu haichagui sehemu mtu anakotoka. Hahahaha
 
Kiukweli Mimi huwa sichagui huduma ipi niende endapo nitajua Kama nipo fiti kiroho, maana hata Kama nitaangukia kwenye huduma mbovu lkn bado niliembeba Ni zaidi ya huduma hiyo mbovu
 
Kiukweli Mimi huwa sichagui huduma ipi niende endapo nitajua Kama nipo fiti kiroho, maana hata Kama nitaangukia kwenye huduma mbovu lkn bado niliembeba Ni zaidi ya huduma hiyo mbovu
Unaokoteza matapeli huko unawafananisha na Yesu ndio maana anawaokota kumbe mnamuona km Yesu mtenda miujiza?
 
Naona mmoja wa makerubi wa Mwamposa unampakulia minyama boss wako at the expense of Roman Catholic
 
Naona mmoja wa makerubi wa Mwamposa unampakulia minyama boss wako at the expense of Roman Catholic
Sipo kwa mwamposa Mimi Wala maisha yangu hayana uhusiano na mwamposa kabisa. Namtumia mwamposa kuwakilisha watumishi wa Mungu wote ambao wanapitia vijineno neno.

Maana Tanzania yetu watu wakishakuwa maarufu tu lazima maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…