injili haitegemei pesa kabisaaa ili isonge mbele. kama hukujua biblia imekuwa ikihubiriwa na maskini. yesu hakuwahi kuwa mtu wa injili ya pesa, hata biblia inasema mmepewa bure toeni bure.Uchu wa pesa kwa Nia yakupeleka injili mbele Ni mzuri huo wewe ndio unakosea Mr.
Injili ipo kwaajili ya kuwashape wanawake hao wenye makeup usoni. Unaonaje endapo wakapaka makeup then wakaishia mtaani badala ya kuja kanisani utapata faida gani?
Acha uzamani wewe
Wewe sio kwamba hujui biblia hasha! Unaijua vizuri tu. Tatizo lako Ni pale unapowaponda watumishi wa Mungu.wakiingia kanisani watakuwa kama yule malaya aliyebusu miguu ya yesu alibadilika.
lakini kama ataishi kanisani kama ambavyoangeishi ulimwenguni nibora achague upande huwezi kuwa kwa mungu na ukaupenda ulimwengu. biblia inasema watu kama hao wasiobadilika watengwe kanisani maana wanamzuia roho wa mungu.
mungu hajali wengi, hajawahi kamwe kudeal na kundi. alipokuwa nawatu wengi aliwachapa neno wakapungua wakabaki 70. wakapungua tena wakawa 12.
biblia ianasema msiogope enyi kundi dogo baba yenu wa mbinguni amewaandalia mema.
una ushahidi wa kimaandiko?ni experience ya roho mtakatifu
MKUUPentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
hivi kaka inamana hujui si kila ajiitae mtumishi ni wa mungu. soma hapa.Wewe sio kwamba hujui biblia hasha! Unaijua vizuri tu. Tatizo lako Ni pale unapowaponda watumishi wa Mungu.
Kumbuka unapowaponda hata wao kwa upande wao na waumini wao wanakuponda wewe Tena wanasema mmepotea.
Tufike mahala tujitambue wakristo kuacha kupondana watu wa Imani moja. Wale wazee walikuwa wakifanya hivyo kugombea waumini nakutaka sadaka. Lakini haimaanishi sio watu wa Mungu. Kuwasaidia hao Ni kwa kuwaambia na sio kuwaleta public ili watu wa Imani tofauti wajue udhaifu wenu, tutawavutaje kwa Mungu?
Unalofanya unawafungia watu kuja kwa yesu bila kujua
ATCS 2;1 And when the day of Pentecost was fully come, they were all with one accord in one place. 2 And suddenly there came a sound from heaven as of a rushing mighty wind, and it filled all the house where they were sitting. 3 And there appeared unto them cloven tongues like as of fire, and it sat upon each of them. 4 And they were all filled with the Holy Ghost, and began to speak with other tongues, as the Spirit gave them utterance.una ushahidi wa kimaandiko?
soma hapo kakaMKUU
KUNA WACHUNGAJI WAKONGWE WAMECHOMOKA WAMEANZISHA MAKANISA YAO
UTAELEWA. NZI NA NYUKI AZIKAI PAMOJA
CC
AHMED ALLY
si kwamba alimradi mtu anafanya miujiza ni mtumishi wa mungu kaka. fumbuka macho uweze kuonaa. maandiko yapo waziWewe sio kwamba hujui biblia hasha! Unaijua vizuri tu. Tatizo lako Ni pale unapowaponda watumishi wa Mungu.
Kumbuka unapowaponda hata wao kwa upande wao na waumini wao wanakuponda wewe Tena wanasema mmepotea.
Tufike mahala tujitambue wakristo kuacha kupondana watu wa Imani moja. Wale wazee walikuwa wakifanya hivyo kugombea waumini nakutaka sadaka. Lakini haimaanishi sio watu wa Mungu. Kuwasaidia hao Ni kwa kuwaambia na sio kuwaleta public ili watu wa Imani tofauti wajue udhaifu wenu, tutawavutaje kwa Mungu?
Unalofanya unawafungia watu kuja kwa yesu bila kujua
ama hakika hakuna injili kwao kabisa, ni ma motivator na wanasaikolojiaKila nikikumbuka injili ya akina Bishop Moses Kulola (Ulokole), Mch.Geoffrey Mbwana (SDA) na Reinhard Bonke (Ulokole) Kisha nikawaangalia Hawa akina sijui Mwamposa, Suguye, Zumaridi, Alex Malasusa na wengineo nasema INJILI ISHAKUFA kifo cha mende.
ukiupata maisha yako yanajulikanaKwa hilo hilo andiko "utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hayo mengine mtazidishiwa" je kama wameutafuta ufalme na wamezidishiwa?
Mkuu wapo wachungaji/ watumishi hawahubiri miujiza na biashara na wana maisha magumu,je hao bado wanautafuta ufalme ndo maana hawana mali?ukiupata maisha yako yanajulikana
Mathayo 6:30-34
[30]Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa kalibuni, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?
[31]Msisumbuke, basi, mkisema, Tule nini? Au Tunywe nini? Au Tuvae nini?
[32]Kwa maana hayo yote Mataifa huyatafuta; kwa sababu Baba yenu wa mbinguni anajua ya kuwa mnahitaji hayo yote.
(
[33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
[34]Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Yatosha kwa siku maovu yake.
mtu anayeutafuta ufalme wa mbinguni anakuwa na wengi wa naoutafuta ufalme wa duniani.
soma maandiko yako yoote tangu kuja kwa yesu.Mkuu wapo wachungaji/ watumishi hawahubiri miujiza na biashara na wana maisha magumu,je hao bado wanautafuta ufalme ndo maana hawana mali?
Sasa akili yako imewaza na kuwazua ikashindwa kutofautisha taasisi na mtu binafsi?Sipo kwa mwamposa Mimi Wala maisha yangu hayana uhusiano na mwamposa kabisa. Namtumia mwamposa kuwakilisha watumishi wa Mungu wote ambao wanapitia vijineno neno.
Maana Tanzania yetu watu wakishakuwa maarufu tu lazima maneno.
Sa Roman imeingiaje hapo jmnPentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
Pentekoste imechanganyikiwa,wala haijui ikitakacho.
ile injili iliokuwa ikihubiriwa imegeuzwa ufisadi.
Hali ya pentekoste ni mbaya kwa sasa kuzidi Roman.
imekuwa na kanisa la watafuta miujiza na pesa.
chumvi na maji.
moja ya mambo kanisa limejichanganya nayo;
1; mahubiri ya pesa tu na mali, kamwe Bwana yesu hakuwahi kuwa na mahubir ya mtindo huu. biblia inasema haiwezekan kwa tajiri kuurithi ufalme wa mungu. utafuteni kwanzaufalme wa mungu na hayo mengine mtazidishwa
kanisani wamejazana wenye dhambi wanaotaka baraka za Mungu.
2; WAHUBIRI/WAHUDUMU WANAWAKE.
1Wakorintho 14;32Roho za manabii zinawatii
manabii. 33Kwa maana Mungu si Mungu wa
machafuko bali ni wa amani.
Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya
watakatifu, 34wanawake wanapaswa kuwa
kimya kanisani. Hawaruhusiwi kusema, bali
wanyenyekee kama sheria isemavyo. 35Kama
wakitaka kuuliza kuhusu jambo lo lote,
wawaulize waume zao nyumbani. Kwa maana
ni aibu kwa mwanamke kuzungumza kanisani.
1 timotheo 2;11
11Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa
utii wote. 12Simpi mwanamke ruhusa ya
kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya
mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa
kimya.
3;KUNENA KWA LUGHA
1 wakorintho 14;16
Kama mtu ye yote akinena kwa lugha,
basi waseme watu wawili au watatu si zaidi,
mmoja baada ya mwingine na lazima awepo
mtu wa kutafsiri. 28Lakini kama hakuna mtu ye
yote wa kutafsiri, hao watu na wanyamaze
kimya kanisani na wanene na nafsi zao
wenyewe na Mungu.
4; USASA IBADANI
Mungu hajwahi kwenda na wakati kwa sababu maendeleo ya usasa yoote ni ya ibilisi. yeye ni yeye yule jana leo na hata milele habadiliki. akisema usivae hiki ni hivyo milele . sasa huu usasa wa mpaka kumuita mungu DADY ni aibu kanisani.
5; MIUJIZA NJE YA NENO LA MUNGU
hapa sasa ndo kuna tatizo kubwa watu wamekuwa wakifata miujiza na si neno. kumbuka B wana yesu alitumia miujiza ili kuwavuta watu awahubirie neno la uzima. ila huu uhubiri wa kumwagia chumvi nymba na kuweka picha ya mhubiri chini ya biasharayako ni ushetani na ushirikina.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
KWA KUMALIZA UKIANGALIA VIZURI WENGI WALIOKUWA WASHIRIKINA WALITAFUTA AINA MPYA YA USHIRIKINA ULIOJIFICHA KATIKA VAZI LA KIDINI.
WENGI WAMEENDA KWA WAGANGA NA KWA MANABII KWA KUWA NI VVITU VINAVYOFANANA.
INASIKITISHA KUONA PENTEKOSTE ILIPOFIKIA.
Kwani wakati roman inaanza ilikuwaje? Nayo ilikuwa hivyohivyo ikaanzisha matawi mikoa na hatimae nchi mbalimbali Hadi dunia nzima kulingana na uongozi tofauti uliokuwa ukiingia. So hata Hawa makanisa Kama TAG ilianza mkoa mmoja hatimae nchi nzima kulingana na uongozi na utimamu/ ushawishi wa viongozi.Sasa akili yako imewaza na kuwazua ikashindwa kutofautisha taasisi na mtu binafsi?
Yaani RC inayoendesha shughuli mbalimbali za kijamii kama vile utoaji huduma za afya, elimu nk unataka kulinganisha na Mwamposa ambaye fedha zote zinazoingia kanisani zinakuwa kama mali yake binafsi?