Maswali yako ni mepesi tuliza akili nimekuambia huyo mnyama 666 ni Mwili wake mtu ....yule mnyama anaye mpa nguvu huyo 666 ni SHETANI kwa sababu shetani anatumia miili yetu kututia majaribuni na hatimaye dhambini au kutufunga dhambini ndiyo maana ikaandikwa ...
1👉 msiendende katika miili ..kwa sababu miili utamani
2👉msifuate tamaa za mwili.
3👉msipo zaliwa mara ya pili kamwe amtauona wokovu kwa kuwa kilicho zaliwa kwa mwili ni mwili na kilicho zaliwa kwa roho ni roho. Walio zaliwa kwa roho huenenda katika roho wasizifuate tamaa za mwili.
💥 Hivyo mnyama wa kwanza ampaye nguvu huyo mnyama wa pili 666( ambaye ndiyo mwili wa mwanadamu) ni IBILISI SHETANI
💥Mnyama wa pili ndiyo MWILI WA MWANADAMU
💥Sanamu ya huyo mnyama wa pili ni nini? Maana imeandikwa 👉Usimsujudie huyo mnyama wala sanamu yake ....SANAMU YA MNYAMA WA PILI NI VITU VYOTE VIFANYWAVYO NA MWANADAMU ...mali zote na fahari zote za ulimwengu huu....ndiyo maana ya haya maandiko 👉kuna faida gani kuipata dunia yote na kujiangamiza mwenyewe ....fahari zote za hii dunia ndiyo sanamu ya huyo mnyama wa pili maana zipo kwa ajili ya miili ...mfano magari pesa utajiri mapambo simu TV radio miziki pombe vyakula nyumba... vyote hivyo ni sanamu ya huyo mnyama 666 ....hivyo ukiwa navyo visikutawale nafsi mwako na kukutiisha moyo wako...ndiyo maana ya haya maandiko 👉Amuwezi kumtumikia Mungu na Mali, mali ni mojawapo ya sanamu ya huyo mnyama .....ndiyo maana ya yale mafundisho ya yesu ...msijiwekee hazina duniani ambapo nondo na kutu uhalibu bali jiwekeheni hazina mbinguni kusiko halibika kitu...
Pia swali lako limesema kwa vipi mnyama wa kwanza ana uhusihano na mnyama wa pili 666 👉jibu mnyama wa kwanza ni SHETANI NA SHETANI UTUMIA NGUVU ZOTE ZA MIILI YETU KAMA ILIVYO ANDIKWA MSIENENDE KATIKA MIILI KWA SABABU MIILI UTAMANI .
Rabbon Vyamagila
Haya niliyo kuelezeni ni asilimia 10% ya ushahidi ninao uwezo wa kufafanua zaidi, ndiyo maana nawaambia watu injili imenyooka...siyo kwamba mimi ndiyo nimeinyoosha la bali mimi nimetumiq akili yangu kuipima...nikaona imenyoka... tatizo wakristo mmeipotosha maana na kusababisha ionekane injili imepinda pinda