kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 887
Hapo kwenye vilevi unakosa uhondo.Mwaka wa 8 huu sinywi hayo matakataka. Sio soda, sio juice za kopo, sio energy drinks, sio aina yoyote ya kilevi. Vilevi vingine nje ya soda sijawahi kuvigusa toka nizaliwe. Ni maji tu.
Kwahiyo unaishi ili ufanyaje?..Mwaka wa 8 huu sinywi hayo matakataka. Sio soda, sio juice za kopo, sio energy drinks, sio aina yoyote ya kilevi. Vilevi vingine nje ya soda sijawahi kuvigusa toka nizaliwe. Ni maji tu.
Unatuhamisha kwenye madaAddiction ni kila mahali, mm siwezi kulala bila kuona hata nembo ya CCM, yaani CCM imejaa rohoni na moyoni, nikisikia mtu anaisema vibaya CCM moyo unaniuma sana, sbb nimezaliwa nayo na nimekulia nayo. Ndio maisha yangu, bila CCM Imara nchi yetu ingeyumba sanaa huenda leo tungekuwa kama nchi za waafrika wenzetu, vita kila kona, CCM daima na milele, Mungu nisaidie, Amen.
Mbadala mbona upo mkuu...kunywa zero..ni kwel zina zero sugar...Mara ya kwanza nilipojaribu nile chakula bila kunywa soda niliona maisha magumu sana, chakula hakishuki, sina hamu ya maji wala juisi ya matumda wala chochote kile, yaani natamani soda tu, hapa ndipo nilipogundua kumbe hii ni shida, ni kama madawa ya kulevya, nina mashaka kuna kitu wanaweka mule, hii si kawaida.
Mwezi uliopita nikasema hata ikibidi nife kwa kukosa soda, so be it, ila sinywi hata iweje, ni wiki ya 5 leo sijanywa soda, napitia wakati mgumu sana, ila namshukuru Mungu, naendelea vizuri.
Bia ina mahala ikigusa unakua safi kabisa.Yaani mtu anaanzaje kupenda soda hadi anakua Addicted??? Ni sawa uniambie eti una hamu ya bia. Bia inakupaje hamu jamani
Dada unakitafuta kitambi kwa lazima??..acha soda.Ndo nilikua hapa nakula wali maharage na ka sod ka mirinda nyeusi kabaridiiiii. Nikasema niingie JF huku nakula taratibu nakutana na hii post. Nikasema wacha ninyweee nileeee maisha hayana fumyula
Acha kabisa ndugu jenga mazoea ya kunywa maji badala ya sida au kabia kamoja wakati wa mlo wa usiku.Inawezekana ila ni ngumu mie ilikuwa ninakunywa wastani wa soda 6 kwa siku,
Asubuhi kabisa moja , baada ya chai asu supu moja , katikati ya mchana na asubuhi moja. Chakula cha mchana lazima kiambatane na coke baridi , Jioni moja na wakati wa chakula cha usiku lazima ipatikane coke baridi pia
Ilitokea siku moja , nikawa nakunywa soda ila sipati ladha yoyote nikaamua kuacha
miaka 2 sasa ila cha ajabu ile hamu ya coke baridi hasaa baada ya supu ya asubuhi imerudi tena at rime nakunywa moja moja japo siruhusu initawale tena.
Usiache, punguza tu km ulikua unakunywa bia 5 kila siku jitahidi unywe mbili tu.Soda matakataka tu.
Mziki upo kwenye kuacha bia dah!
Bia sijawahi weka mdomoni , hata soda zenyewe saa hizi nimepunguza sana , maji toka ujana unaingia nakunywa mengi sana min 4 litres kwa siku .Acha kabisa ndugu jenga mazoea ya kunywa maji badala ya sida au kabia kamoja wakati wa mlo wa usiku.
lakini utakufa tuMwaka wa 8 huu sinywi hayo matakataka. Sio soda, sio juice za kopo, sio energy drinks, sio aina yoyote ya kilevi. Vilevi vingine nje ya soda sijawahi kuvigusa toka nizaliwe. Ni maji tu.
Hawatupii kwa siri..Niliacha na hii kitu karibia miaka 16 iliyopita.
Hatari zaidi ni hivi vinywaji vya siku hizi hivi. Hizi energy energy ndio hatari zaidi. Nasikia wanatupiamo ya kulevya,ili uwe addicted navyo. Ndio maana unakuta vijana hawa wa bodaboda kila baada masaa kadhaa anacho. Wenyewe wanakuambia vinaongeza nguvu. Hatari sana
Jitahidi kuacha kabla ya kulazimika kuacha kutokana na maelekezo ya daktari.[emoji17] mim kwa siku nakunywa adi soda 4, najitajid kupunuza naishia kununua Azam Energy,,, lol ni kama ulevi unaonitesa kuuacha siwez
Aisee Kuna watu wanakunywa soda...khaa!!Inawezekana ila ni ngumu mie ilikuwa ninakunywa wastani wa soda 6 kwa siku,
Asubuhi kabisa moja , baada ya chai asu supu moja , katikati ya mchana na asubuhi moja. Chakula cha mchana lazima kiambatane na coke baridi , Jioni moja na wakati wa chakula cha usiku lazima ipatikane coke baridi pia
Ilitokea siku moja , nikawa nakunywa soda ila sipati ladha yoyote nikaamua kuacha
miaka 2 sasa ila cha ajabu ile hamu ya coke baridi hasaa baada ya supu ya asubuhi imerudi tena at rime nakunywa moja moja japo siruhusu initawale tena.
Wanaume by default ni risk takers , kuna siku ahadi zinakwama , plan b lazima ihusike , nasema tena sidhani kama kuna mwanaume rijali hajawahi jaribu punyetoKwann hudhan mkuu
Huwa najicontrol na Mungu kanibariki sina tumbo ila soda nakunywa kwa wiki hata soda 3 au 4.
Una mapepo kakanyage mafutaAddiction ni kila mahali, mm siwezi kulala bila kuona hata nembo ya CCM, yaani CCM imejaa rohoni na moyoni, nikisikia mtu anaisema vibaya CCM moyo unaniuma sana, sbb nimezaliwa nayo na nimekulia nayo. Ndio maisha yangu, bila CCM Imara nchi yetu ingeyumba sanaa huenda leo tungekuwa kama nchi za waafrika wenzetu, vita kila kona, CCM daima na milele, Mungu nisaidie, Amen.
Kama hai toi uhai shida ipo wapiWapi nimesema ukinywa soda unakufa?
We umeshawahi?Ushawahi kuwa mhanga wa punyeto ?