Penzi la Irene Uwoya na Kayumba hata halipendezi

Penzi la Irene Uwoya na Kayumba hata halipendezi

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kamwene, jamani tuseme ukweli hii couple ya mwanadada Irene Uwoya na Kayumba kiukweli hata hainogi yani bora hata kipindi kile yupo na janjaro kidogo ila kwa hapa amezidi kupotea kwa kweli.


Hivi kweli Irene hajaona kabisa watu wa rika lake mpaka kila kukicha anatembea na vitoto vidogo ??

Hii tabia mwanzoni alikuwa nayo Wema Sepetu ,alikuwa anapenda sana kuwatunuku penzi lake vibenten, kuanzia akina Young D, Asley, Mirror, Dogo Janja nk wote wameshamlamba Wema sasa ninaona hiyo tabia anaiendeleza Uwoya.


Kiukweli kwa mwendo huu Irene anajishushia CV sana ,BTW sisi yetu macho ngoja tuone mwisho wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwene, jamani tuseme ukweli hii couple ya mwanadada Irene Uwoya na Kayumba kiukweli hata hainogi yani bora hata kipindi kile yupo na janjaro kidogo ila kwa hapa amezidi kupotea kwa kweli.


Hivi kweli Irene hajaona kabisa watu wa rika lake mpaka kila kukicha anatembea na vitoto vidogo ??

Hii tabia mwanzoni alikuwa nayo Wema Sepetu ,alikuwa anapenda sana kuwatunuku penzi lake vibenten, kuanzia akina Young D, Asley, Mirror, Dogo Janja nk wote wameshamlamba Wema sasa ninaona hiyo tabia anaiendeleza Uwoya.


Kiukweli kwa mwendo huu Irene anajishushia CV sana ,BTW sisi yetu macho ngoja tuone mwisho wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndimnofuela
 
Rusha picha ya Kayumba nimuone basi..
Kayumba
1551035238492.jpeg
images(161).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom