Penzi la Irene Uwoya na Kayumba hata halipendezi

Penzi la Irene Uwoya na Kayumba hata halipendezi

kamwene unoge!, hayakuhusu mkuu au hujui love doesn't ask why! dunia saivi ipo in reverse bias huoni mzee kapuya, jacob zuma? saivi ni mwendo wa mmama na mtoto, mbaba na mtoto even mbabu/mbibi na mtoto....
 
Acha agawe tu maana hairimi,haishiki peni ,hiyo ndo kaz yake,hamna namna,nasubiri niwe star nam nijaribu bahati wajameni[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AUGUST 06, 2017

"
Ndikumana ametumia mtandao wa Instagram kueleza madudu yote yalikuwa katika ndoa yake huku akiwataja wasanii maarufu kuingilia ndoa yake.

Unasema sina aibu kuandika hayo mitandaoni, wewe uliona aibu kuwa kwenye mahusiano na msami mnyaka miwili ukiwa ndani ya ndoa ? mara ngapi nilikuuliza kuhusu huyo mtu ukalala chini eti uongo ? Mara ngapi nilikuuliza kuhusu kulala na Diamond ukaapa kufa ? ila mwisho wa siku mwenyewe kasema kwanini ilifanya vile. Mimi kama mjinga nilikutetea sana tena baada yako kuwaambia magazeti eti nimezimia kitu ambacho sijawahi kukanusha ila leo nakikanusa sijawahi kuzimia maishani mwangu…

Irene unakumbuka nilikuwa nilivyokuwa taabaaani karibu kufa huku upo mozambike unatanua na Ababuu hata ujali nataka kufa ? Na uliporudi hata ukutaka kuniona,but sikushaanga kwavile nilikuwa najua wewe ndo uliyofanya yote.ulikuja Rwanda kuniona baada ya kuondoka siku mbili yakaja ya JAGUAR ?… "

Alikufa na NGOMA.
 
ABA.jpg


Irene Uwoya azua timbwili kwa mume wa mtu - JamiiForums
 
Tuesday, July 24, 2012

WOLPER NA UWOYA WAPATANISHWA TENA

KWANI TATIZO LILIKUWA NI NINI?

Miezi kadhaa Wolper na Uwoya waliingia kwenye vita nzito kisa kikiwa ni mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Ababuu ambaye alikuwa mchumba wa Wolper kabla ya baadaye kuwepo kwa tuhuma kuwa Uwoya alimkwapua.

==========================================================
ABABUU-WOLPER-HARMONISE-SARAH ==== MKONO WA NYANI CHAIN.
 
MSAADA MSAADA MSAADA MSAADA

Habari za muda huu kwa mara nyingine tena

Natafuta kazi ndugu zangu watanzania wenzangu

Ata kama uta-nidalalia iyo kazi tutaelewana malipo ndugu yangu

naombeni msaada wenu mwenye kuweza kunisaidia, maana nimeshaangaika sana kutafuta kazi ila naambulia patupu

Nimezunguka sana kwenye viwanda, site za ujenzi ila naambuliwa patupu, naombeni msaada wenu, ata kama nitapata kazi ya ku-volunteer tuu, pia ntashukuru sana ndugu zangu...

Maana umri pia unakimbia, nisaidieni sana

Elimu yangu: Degree

Fani: CYBER SECURITY (ULINZI NA USALAMA WA MIUNDOMBINU YA TEKNOLOJIA)

Other Award: Diploma in computer science (SAYANSI YA KOMPUTA)

Na nimekuwa mbobezi katika mambo ya

》Penetration Testing, kutafuta vulnerabilities, kufanya sniffing, exploits & tools, nina uelewa wa kutosha kuhusiana na social engineering

》ku-secure system kwa kutumia linux, DNS, na kwa kutumia cryptography

》ku-secure connectivity kama vile switch, router, firewalls, vpn, ips(intrusion prevention system ) pamoja na ids (intrusion ditectin system) nadhani wataalum watakuwa wamenielewa kwenye ivyo vifupo

》Digital forensics inverstigation (computer pamoja na simu)

》Computer Networking

》 System analysis and design

MSAADA WENU WAUNGWANA

MPAKA NIMEAMUA KUWAANGUKIA NDUGU ZANGU MNISAIDIE UJUE NIMESHAKATA TAMAA, MAANA

KULIKO KULIA PEKE YANGU, NIMEONA NIWALILIE WATANZANIA WENZANGU MNISAIDIE NDUGU ZANGU

NIMESHATAFUTA SANA KAZI, KUANZIA APPLICATION ZA ONLINE, MPAKA MANUALLY

NOTE: KAZI YEYOTE ILE NTAFANYA ATA KAMA NI NJE YA TAALUMA YANGU, NA NTAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA MNO

MUNGU WABARIKI SANA

NO YANGU: 0755836347
NAPATIKANA: DSM-MBEZI MSAKUZI

NISAMBAZIENI KWENYE MA-GROUP MENGINE NIPATE MSAADA
 
Back
Top Bottom