cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Coco fanya mchakato basi. Na mimi unilee basi ... Maana ki-ben 10 Asiye lelewa nimebaki peke yangu tu ... wenzangu wote wameshapata madanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha namimi nakuombea " Msimamo wako ulainike walau uanze kunifikiriaEeeeeeeeh
Nimekuombea usije rudia kutaka kunishawishi vitu nisivyotenda kabisaa.. nikiwa kama muke ya mtu.
Yeah wamefanana hair styleHuyo kama naeni kijana mdogo.. basi kuna faida zake..
Ila mmmmh.. ilibidi a upgrade shaaaaa kimengi.. huyu muonekano kama mumewe.
Fanya kazi weweeRusha picha ya Kayumba nimuone basi..
Kayumba ndio nani weka picha hansSasa hata huyo Kayumba ulikuwa unajua????
Mpenzi wa Uwoya ndio huyo Kayumba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamwene ndio nin7 jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamwene aisee tanzania kuna vichekesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bhana anakademu kake alikapa mimba na sasa hivi mtoto anakaribia mwaka
humjui kayumba na ujanja wote huo! yule dogo alieshinda BSS kipindi cha nyuma
Kwani Kayumba nani bhana.humjui kayumba na ujanja wote huo! yule dogo alieshinda BSS kipindi cha nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Shangaaa hansKwani Kayumba nani bhana.
Halafu sio kila mtu alikuwa anafuatilia huo upuuzi wa BSS.
Wewe nikikuuliza mshindi wa BSS mwaka 2014 unamjua?Au hata wa mwaka huu unamjua?
Sent using Jamii Forums mobile app