Penzi la Irene Uwoya na Kayumba hata halipendezi

Nimekusikia ntamwambia. Afucwakijitokeza wengine usisite kufungua thread mpya
 
Nimemsikiliza Dogo akihojiwa na Dulla Planet wa East Africa Radio,huyo dogo ni wa kumuhurumia,anamla Uwoya!!
 
Mwache aendelee tu kwan Uwoya ana Cv gan???
Ila kuna shida sana sana sana kwa mastaa wa kike wakichaga.Ww fuatilia utaona.Sijui ni ushamba au nn!?
 
tafuta hela maisha ya uwoya wewe yanakusaidia nini,nyie ndio wanga wenyewe
 
tafuta hela maisha ya uwoya wewe yanakusaidia nini,nyie ndio wanga wenyewe


Man, maisha haya mazebweza ni wengi mno. We usishangae ukisikia mleta mada ni baba wa watoto wanne. Poor kids, they didn't ask for this. Nature is cruel sometimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…