Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Ha ha kima utawajua tu wakiona tope...
Utajifariji Sana najua shule huna ndo mana kila ufanyalo unataka kujilinganisha na wasomi ha ha ha ha poor you!!!
Hivi gari kali na majumba makubwa mjini anamiliki domo hadi achukiwe??
Hivi kwa kipi hasa MTU umchukie? Nani kasema hana kitu? Au ubutu wako Wa akili unatafsiri MTU duni ni yule mwenye low income tu? Binafsi sichukii au sijilinganishi na wasanii Kama nyinyi mnavyohangaika kujinasibisha na wasomi...
Mfano Mimi na wengine tunaweza ishi miaka bila kusikiliza mziki Wa kishenzi na maisha yakaendelea ila wote Mimi na hao lower calibers lazima tupate Huduma za wasomi ili tuishi....
Huyo domo kavuma kanikuta Nina maisha yangu na atafifia ataniacha na maisha yangu...
Tabu kwenu akina binamu nyama ya hamu kutwa kuwaza ngono na upuuzi mnaosikiliza kwenye vibaraza vyenu vinavyonuka...
Hao wasomi ndo wanaowagongeeni vinuka chupi wenu tena wanawaendea hadi kwa waganga ili watunzwe hapa mjini...
Sikatai na nipo proud nimeajiriwa na ajira imenifanya niishi standard life bila kuwa affiliated na upuuzi wowote...
Sote tunaweza kuwa na PESA ila si wote tunaweza kwenda shule....
Pole Sana kamwe usifikiri unaweza pata standard ya usomi labda degree za kufunua kaniki kwa waganga....
Siwezi mchukia MTU asonisaidia kitu ila hapa tunatoa description ya jinsi gani wewe na hilo kundi lako mlivyo Duni na mnavyohenyeka kwa maisha yalojaa laana tupu....
Mtoto alokulia malezi ya kukataliwa na baba...alokua Kama uyoga pori....anayeishi kwenye duara la zinaa tu mi nimchukie kwa lipi?
Mbwa alookota mnofu umkimbize wanini wakati unajua hawezi Fanya lolote zaidi ya kula na kunya??
Poor you!!!!
Achana naye haelewi kinachozungumzwa
kama wivu tungemwonea wivu mengi bakhresa rostam yusuph manji nk