Penzi la kitapeli kati ya Mama Dangote na Mr Shamte

Penzi la kitapeli kati ya Mama Dangote na Mr Shamte

Natunza ubuyu

Reposted from #the_originaleast - I didn't want to keep talking same shit over and over but the attack is too much !!!! WhatsApp groups , DM , kwa comments , nimechoka !!!! . . Look Hamisa never asked me to be her fan in a first place !!!! No she never paid penny to be supported by me !!! The way I started that's how I Ended !!!! . . Mnanitukana mnaniita mnafki , mnaongea maneno yote but do u know how many time hii familia wamenitumia na kunigeuka DK moja ??? Do u think this is the first fight for the last two years ????? . . Kuna muda Tumefungua Mobetto foundation , Pesa za bness tumechanga ili madale family wasimcheke , Misa alirudi kufichwa kwa Daimond na mie ndo nikawa Adui !!!! . . Misa alinitukana kama mtoto kwenye group la rafiki zangu wa ulaya ambao mimi ndo nimemuunganisha ili wawe wanamsaidia both emotional na financial support !!!! . . She was asking them why is East posting Me !!! Diamond hataki !!! But I didn't give up on her !!! Nilijua ni young na Daimond anamtumia tu !!! Kesi ya child support ikiisha ataachwa !!!!! So I kept cleaning her image !!!! Creating victim image !!! I showed love kama vile Misa hajanichamba kisa Mond !!!!! . . At the end of the day I was right Mond aliondoka , tukarudi squire one !! Kupush mobetto foundation na project mbalimbali !!!!! . . Narudi na part 2 - #regrann - #regrann
 
Reposted from #the_originaleast - Part 2 kwanza Nahisi nilirogwa !!!!! . . Tukaanzisha mobetto foundation , lengo ni kusaidia watu !!!!! Watu wakachanga pesa zao !!!! Mkumbuke I keep every chat !!!! So Kama vipi nitapost zote !!!! . . Mama akatumiwa pesa za watoto wa chuo za Ada !!!! Kwa madai yake , amezitumia bahati mbaya !!!! Mimi kuficha Aibu nikatumia account ya rafiki kumtumia mama pesa ili tusiaibike kuwa tumekula Ada za watu !!!!! Hapo ninapush wateja wa mobetto style ulaya wanunue nguo !!!! Aliyedukani hajibu sms !!! Wateja wanalalamika !!!!! . . Mie namtumia mama screenshot za wateja kulalamika bado hawakifanyiii kazi !!! Napost kuwachamba kiutani ili wabadilike bado hawafanyii kazi !!!! Sijakaa vizuri mama yupo DM , East nataka kwenda Charity , pesa sina basi kwa kuwa naamini katika sadaqa za yatima , natuma pesa namwambia mama tuma picha za kwa yatima ili tutrend kuwa Misa kaenda toa msaada , guess jibu ninini ??? . . Mwanangu tulienda usiku kwa haraka sikupata picture 🤔🤔🤔 !!!! Okey navumilia naendelea kutoa support !!!! . . Then narudi kwa Misa unaachia video lini ??? Watu wanataka kazi acha kulala ???? Misa is like sina pesa ya video 😭 , namuuliza shilingi ngapi inahitajika ???? . . Misa akasema dolla ($$$) nikaingia kwa group langu diaspora , kila mtu akachanga 700,000 ili video tuishoot watu wasitucheke !!!!! Coz audio ishatoka !!!!! . . . Guess what ??? Na hiyo pesa ya madam Hero wakala ( mama akaconfess mwenyewe) !!!! Chat zote ninazo !!!! I didn't give up , nikaendelea kupush misa awe mtu !!!! . . Lengo langu lilikuwa Misa amshinde zari coz zari alimzarau sana that's why hizo dollars tulikuwa tunatuma kama tumerogwa !!!!! . . Part 3 inakuja !!!!!! - #regrann - #regrann
 
Part 3 . Video ishatoka sie Sasa tumefurahi Madam hero imetoka , mwenzetu yuko busy kumrizisha diamond !!!! . . Sie tunapiga kelele watu wawatch Madam hero , yeye ndo kwanza anaangaika na diamond na kupost WCB !!!! Mie namueleza Misa unawauzi fans !!!! Please concentrate na kazi yako upate heshima !!!! Yeye ndo kwanza kulalana na Dai , hadi ile issue ya side kid imekuja ndo anakuja kulilia DM , anataka kuhama kwenye nyumba !!!!! . . Basi kwa kuwa side kid iliwauma wengi fasta nikaweka number ya mama tumchangie ahame kwenye nyumba !!!! . . Kwenye chat Misa anasema anataka kuhama ndani ya huo mwezi , mie nikamwambia mwezi ni mbali , but I have apartment in mikocheni naweza kukuhamisha hapo December !!!!! Misa was like no I want to move out even tomorrow !!!!! . . Maskini fans wake wakachanga pesa weee , Diaspora now wakachanga !!!! Maswali yakaja mbona Misa Ahami ????? Nikamfata DM !!! Uwiiii jibu nililopewa kama sio mie niliechangisha !!!!! Nilishushuliwa kama mtoto !!!!! . . That's when nikaanza kupunguza shobo !!!! Nikasema Lemmy try to love her from a distance but sitachangisha pesa za maskini kwa mtu asiyesamini jasho Lao !!!!! . . Ikaja issue ya USA !!!! Nikasema God is big !!! Misa atachange , atamsahau Daimond na atakuwa na akili ya kazi . Ataacha kulala na kuwaza waganga !!! Now ako na exposure Na alivo mzuri atarudi na maproject ya kufa mtu !!!!! . . Guess what , aliondoka USA kisa Apocolypse mkongo wa Wema sepetu kumuahidi ndoa !!!! . Yaani promo yooote iliishia hewani !!!!! Na wala hajali kuhusu kazi , kwanza kazi kwake ni cancer !!! . . Yaani dream zote za umodel zikaishia hapo akakimbizana na Apocolype kuja kufunga ndoa !!!! Sms zote ni nazo hadi za mama mobetto kumuomba Mkongo Simu 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ . . Yaaani Misa alikuwa kama chizi hataki kuwaza kazi yeye anawaza ndoa kutoka kwa yule Tapel mkongo wa wema . . Part 4 coming
 
Reposted from #the_originaleast - Part 4 . . She kept lying , playing victim na mie nilivokuwa soft I was like I want her to be big and powerful !!!! . . She lied kuhusu Zamaradi kuja kuujua ukweli chaumbea nikaendelea kuficha !!!! She can lie and pretend like she z an angle !!!! She can manipulate people like she z about to die kumbe wote na mamake ni cornartist !!!! Nilipowashtukia nikaanza screenshot every evidence !!!! . . Anyway turudi kwa Mkongo , jamaa kamdanganya kaja Kamlala Hyat akasepa !!!! Nikaenda muuliza mama Ndoa ipo Au haipo guess jibu likawaje 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ Jamaaa Tapel yule !!!! . . Well nikaendelea kupromote na kuficha izo Aibu !!!! Then Team Misa uko Tz wakaplan Charity Event kwenye birthday ya Misa !!!! . . Mama akaja DM kuwa tumchangie Au niipost watu wachange kuhusu hiyo charity !!!! Nikagoma nikasema sichangishi watu tena !!! Nikaongea na diaspora tukamtumia mama Kama milion !!!! . . Watoto wa watu Tz budget imekuwa tight , wakaja nieleza kuwa wanahitaji msaada wa transport coz wameorganize charity but budget imekuwa ndogo !!!! Nikawambia Diaspora tumempa mama pesa ya charity mwambie awape !!!! Mama akawajibu atawachangia 50,000 Tu 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ so sadaqa yetu ilienda kwenye pombe !!!! . . I didn't give up !!! Akina kocho wakaanda birthday dinner , mie nikawambia diaspora wamsupport mama kwenye hiyo dinner , bus group likajichanga Tena , Million zikatumwa guess what ??? Mama hakutoa hata 100 kwenye hiyo dinner so alitutapel na hakuwasaidia kina kocho !!!! . . Still nikasema okey so mama anashida na pesa tufanyeje ili Misa astand out kama very rich na powerful celebrity ??? . . Nikimtafuta Misa , yuko sijui na bwana gani Yaani ni kudanga na kukuletea Screenshot ili uchambe watu but therez nothing positive comes out of her !!!! . . So nikasema nitaondoka kimya na kusupport wasanii mbali mbali kimya kimya !!!!! Sitaki tena kumpenda sana msanii coz wasanii wa tz ni umalaya kazi hawataki kufanya !!!!! . . But matusi niliotukanwa yamezidi , mmenitukana sana , kila mtu achukue time zake kimya kimya !!!!! Sitapost chat zozote !!! Naomba mnipumzishe !!!! Na mnaosema nimehamia team nandy mnak
 
Part 4 . . She kept lying , playing victim na mie nilivokuwa soft I was like I want her to be big and powerful !!!! . . She lied kuhusu Zamaradi kuja kuujua ukweli chaumbea nikaendelea kuficha !!!! She can lie and pretend like she z an angle !!!! She can manipulate people like she z about to die kumbe wote na mamake ni cornartist !!!! Nilipowashtukia nikaanza screenshot every evidence !!!! . . Anyway turudi kwa Mkongo , jamaa kamdanganya kaja Kamlala Hyat akasepa !!!! Nikaenda muuliza mama Ndoa ipo Au haipo guess jibu likawaje 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ Jamaaa Tapel yule !!!! . . Well nikaendelea kupromote na kuficha izo Aibu !!!! Then Team Misa uko Tz wakaplan Charity Event kwenye birthday ya Misa !!!! . . Mama akaja DM kuwa tumchangie Au niipost watu wachange kuhusu hiyo charity !!!! Nikagoma nikasema sichangishi watu tena !!! Nikaongea na diaspora tukamtumia mama Kama milion !!!! . . Watoto wa watu Tz budget imekuwa tight , wakaja nieleza kuwa wanahitaji msaada wa transport coz wameorganize charity but budget imekuwa ndogo !!!! Nikawambia Diaspora tumempa mama pesa ya charity mwambie awape !!!! Mama akawajibu atawachangia 50,000 Tu 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ so sadaqa yetu ilienda kwenye pombe !!!! . . I didn't give up !!! Akina kocho wakaanda birthday dinner , mie nikawambia diaspora wamsupport mama kwenye hiyo dinner , bus group likajichanga Tena , Million zikatumwa guess what ??? Mama hakutoa hata 100 kwenye hiyo dinner so alitutapel na hakuwasaidia kina kocho !!!! . . Still nikasema okey so mama anashida na pesa tufanyeje ili Misa astand out kama very rich na powerful celebrity ??? . . Nikimtafuta Misa , yuko sijui na bwana gani Yaani ni kudanga na kukuletea Screenshot ili uchambe watu but therez nothing positive comes out of her !!!! . . So nikasema nitaondoka kimya na kusupport wasanii mbali mbali kimya kimya !!!!! Sitaki tena kumpenda sana msanii coz wasanii wa tz ni umalaya kazi hawataki kufanya !!!!! . . But matusi niliotukanwa yamezidi , mmenitukana sana , kila mtu achukue time zake kimya kimya !!!!! Sitapost chat zozote !!! Naomba mnipumzishe !!!! Na mnaosema nimehamia team nandy mnakosea !!!! Nandy alikuwa na new song so I dedicated two week
 
Part 4 . . She kept lying , playing victim na mie nilivokuwa soft I was like I want her to be big and powerful !!!! . . She lied kuhusu Zamaradi kuja kuujua ukweli chaumbea nikaendelea kuficha !!!! She can lie and pretend like she z an angle !!!! She can manipulate people like she z about to die kumbe wote na mamake ni cornartist !!!! Nilipowashtukia nikaanza screenshot every evidence !!!! . . Anyway turudi kwa Mkongo , jamaa kamdanganya kaja Kamlala Hyat akasepa !!!! Nikaenda muuliza mama Ndoa ipo Au haipo guess jibu likawaje 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ Jamaaa Tapel yule !!!! . . Well nikaendelea kupromote na kuficha izo Aibu !!!! Then Team Misa uko Tz wakaplan Charity Event kwenye birthday ya Misa !!!! . . Mama akaja DM kuwa tumchangie Au niipost watu wachange kuhusu hiyo charity !!!! Nikagoma nikasema sichangishi watu tena !!! Nikaongea na diaspora tukamtumia mama Kama milion !!!! . . Watoto wa watu Tz budget imekuwa tight , wakaja nieleza kuwa wanahitaji msaada wa transport coz wameorganize charity but budget imekuwa ndogo !!!! Nikawambia Diaspora tumempa mama pesa ya charity mwambie awape !!!! Mama akawajibu atawachangia 50,000 Tu 🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️ so sadaqa yetu ilienda kwenye pombe !!!! . . I didn't give up !!! Akina kocho wakaanda birthday dinner , mie nikawambia diaspora wamsupport mama kwenye hiyo dinner , bus group likajichanga Tena , Million zikatumwa guess what ??? Mama hakutoa hata 100 kwenye hiyo dinner so alitutapel na hakuwasaidia kina kocho !!!! . . Still nikasema okey so mama anashida na pesa tufanyeje ili Misa astand out kama very rich na powerful celebrity ??? . . Nikimtafuta Misa , yuko sijui na bwana gani Yaani ni kudanga na kukuletea Screenshot ili uchambe watu but therez nothing positive comes out of her !!!! . . So nikasema nitaondoka kimya na kusupport wasanii mbali mbali kimya kimya !!!!! Sitaki tena kumpenda sana msanii coz wasanii wa tz ni umalaya kazi hawataki kufanya !!!!! . . But matusi niliotukanwa yamezidi , mmenitukana sana , kila mtu achukue time zake kimya kimya !!!!! Sitapost chat zozote !!! Naomba mnipumzishe !!!! Na mnaosema nimehamia team nandy mnakosea !!!! Nandy alikuwa na new song so I dedicated two week
Naona mapicha picha tu
 
😂😂😂niliona ni video!!

Hiyo style ya vimbau umbau
Mie haposiwezi kukunja miguu hivyo
 
Kwa habari za chini ya kapeti ni kwamba baba wa kambo wa Diamond Platnumz Mr Shamte anatarajia kupata mtoto kutoka kwa mchepuko wake mbali na bi Sandra.

Ila ndio hivyo Bi Sandra haoni wala hasikii kwa Shamte yaani anampenda kupitiliza na yupo tayari kufanya lolote ili amridhishe Shamte wakati Shamte hana mapenzi ya dhati na pesa anazohongwa na Bi Sandra huwa na yeye anahonga vimada wengine.


Miongoni mwa watu wanaokula pesa za Diamond Platnumz ni huyu Shamte jambo ambalo linaniuma sana,

Hivi ni kwa nini asimsaidie baba yake mzazi? Yani kweli anakubali kushikwa masikio na mama yake, anakubali kutomsaidia baba yake mzazi na badala yake hizo pesa zinaliwa na Shamte mtu ambaye hajui shida zozote walizopitia zaidi ya kuona tu mafanikio yao, daaah inasikitisha sana kwa kweli, kuna uwezekano na ndumba pia imetumika hapa maana si bure.



Mzee Abdul mwenyewe ukikaa naye anapenda kukusimulia jinsi walivyokuwa wanapendana na Bi Sandra ,jinsi walivyokuwa wanaimbiana nyimbo mbalimbali za mapenzi haswa ile ya "ASUUU" .


View attachment 1014833View attachment 1014834

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ukombozi wa nchi hii utakawia sana... ndio maana hata wanasiasa wanatufanya watakavyo.. Yani hela ya mwingine ikuume wewe kweli? this is sad really

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom