Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

Mahusiano ya mastaa yakivurugika ata sishangai!
Ila hiyo ya Lulu na matunguli niliwai isikia, sidhani kama ni kweli. Si walisema kua kila mwanaume anaelala nae anakufa kwa sababu ya Kanumba na Komba!
Usimsahau Seki.
 
Aaaaaah, hirizi inahema? Loooh mtoto hafai Yule, ukikaona kadogo ila kwa uchawi hakajambo, unadhani mpaka kaangukia kwa CEO mchezo? Watu wanajilipua
tena binamu tujiulize haswaaa....

kirahisi rahisi hvi hivi.m
 
sasa nyie kwani lulu mlijua sku zote apate mabwana wenye pesa tu ye K yake ina signature ya Balali au kitu gani?
AHAHAHHAHAHAHHAHAHHAHA
umeona eeehh!mi hata sishangai hata kidogo
 
Hivi ile kesi ya mauaji ya Steven Kanumba ilishamalizika? Maana sikuifuatilia kabisa. Ila kama bado hukumu basi kweli katoto ni kalozi haka. Ila kanaua sana. Halafu pia kama ni kweli Majizzo kaona uchawi ujue basi na yeye atakuwa amewekwa sana sana kiasi kwamba huwezi muwangia. Tunguli zinazidiana uzito ati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…