Penzi la Lulu na majizzo 'matatani'

Maji hufuata mkondo, mama yake alikuwa kicheche, kampata Lulu kwenye ukicheche tena na mme wa mtu, tokea lini mbwa akazaa paka ?
 
aliniblock nadhani sijafuatilia ana nini fala yule?
yaah!halafu mie sikujua km nimeblockiwa mpk Siku hyo nataka nikaangalie mshono kwake nakuta manyoya....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

nkajua nshakula solex!!.

simfuatilii tena mie!
 
Kizuri bana sema kimalaya halafu kilevi mbwa na misafari lager yake...nilikuwa natafuta madesa perfect vision nakikuta pale...kazi kumgombania huyo mzee KADEGE ( mwenye shule)...mxiuuuuu
Si aliacha pembe tokea A kutwe na miasma wa Kanumba?
 
yaah!halafu mie sikujua km nimeblockiwa mpk Siku hyo nataka nikaangalie mshono kwake nakuta manyoya....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

nkajua nshakula solex!!.

simfuatilii tena mie!
mshono gani ule wa kitoto au?
 
hivi hajajenga ghorofa tu maana ana bahati na watu wenye hela sio sisi tunagegedwa bure
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ataishia kuturusha roho na nguo za kwa eve collection may b na nyumba kama za kwetu Sie....
 
Cc Nifah
I miss u,
 
Kizuri bana sema kimalaya halafu kilevi mbwa na misafari lager yake...nilikuwa natafuta madesa perfect vision nakikuta pale...kazi kumgombania huyo mzee KADEGE ( mwenye shule)...mxiuuuuu
kumbe kiko fiti. kinashusha safari!
 
Si aliacha pembe tokea A kutwe na miasma wa Kanumba?
aahhh!wapi....ataacha ndumba wakati ndo kafunga nazo mkataba

kirahisi rahisi kesi ya mauaji imezimwa km wizi wa kuku

asikufanganye na zile nyimbo za injili
mchawi tu yule
 
yaah!halafu mie sikujua km nimeblockiwa mpk Siku hyo nataka nikaangalie mshono kwake nakuta manyoya....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

nkajua nshakula solex!!.

simfuatilii tena mie!
Aaah umenivunja mbavu, muombe aku unblock
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…