Penzi la Lulu na majizzo 'matatani'

Penzi la Lulu na majizzo 'matatani'

Aaah umenivunja mbavu, muombe aku unblock
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] kwa katoto kale


bahati hiyo haipati katu!!

kwanza hamna cha maana zaidi kikomwe,ufupi na mashauzi!!
 
Mleta hii habari naona kaleta umbeya wa uongo hao wawili inaonyesha bado wanapendana na hawana dalili yoyote ya kuachana!
1473890682726.jpg
 
Hii habari hata kanjanja anaweza kaa chini na kupika
 
Hako kalulu kanaishi kwa kuzungusha kiuno mjini,,sasa bila kuwachanganya unadhani kataishije mjini.

Na hiyo naniliu yake itakuwa imeota hadi na Sigda kwa jinsi anavyoitendea haki yake ya msingi
 
Habari zinazoenea kwa kasi chini ya kapeti kuhusu staa wa filamu nchini, Elizabeth michael aka Lulu hivi karibuni kushushiwa kipigo "heavy" na mpenzi wa sasa ambaye pia ni mmliki wa radio maarufu mjini, Efm aitwaye majizo. Inasemekana staa huyo amekua akichepuka kwa siri na watu tofuati tofauti ambapo ikafikia hatua mpaka sponsor wake huyo kugundua na kumshushia kipigo cha mwizi kwenye hotel maarufu mjini(jina kapuni) ambapo wawili hao walienda kula bata.

Hata hivyo inasemekana majizzo amekua akipokea shutuma mbali mbali kuhusu baby wake huyo kuwa anachepuka na watu tofauti tofauti bila yeye kujua, lakini kijana huyo mwenye pesa chafu amekua akifumbia macho tuhuma hizo na kudai kuwa ni njama tu za maadui zao za kutaka kuwachonganisha waachane. Inasemekana Lulu kwa sasa anachepuka na rafiki wa karibu wa majizo( jina kampuni) ambaye inasemekana anafanya kazi BOT ambaye inasemekana Ana pesa chafu kumzidi kijana hyo.
Haters at work,
 
Hako kabinti kame anza hako kamchezo kakiwa kadogo na ndio maana kame dumaa na kamejenga usugu kipimo chochote anameza na kibaya zaidi pampas anzovaa ni kama zina upupu hachelewi kusaula na niku hakikishie tu kuwa na pesa chafu au safi hakuwezi kumtuliza huyo kipepe ame kubuhu, pesa italiwa na bado atafunga mabehewa mengine na ukilazimisha ndio jina lako litakapo geuka ubin na utaitwa Hayati kama kina fulani,usicheze na kito cha baharini kinachoitwa Lulu ni khatari!
Mmnh hivi hii kitu ni kweli??
 
We acha tuu...yale yale Wema nakupenda kufa! Hivi wanaowasifiaga ni mabeki tatu ama?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] vitoto vya certificate zoom polytechnical...

wamama wa nyumbani....

visichana vyo hovyo hovyo!!
 
Back
Top Bottom