Penzi la Wema na Whozu nalitilia mashaka sana

Zamu yake ikiisha atapatikana boya mwingine nae aendee kubaruza hiyo mifupa
 
Whozu kwao ni wapi,hana wazazi au alikuja dar na fuso la ndizi
 
Kila nikichunguza penzi la Wema na whozu.....acha uchunguzi
 
Whozu kastukia chezo la Maza kujidai anawaka kuwa walipanga
 
Kwanza ni upi msimamo wa Wema na huyo Whozu juu ya suala zima la bandari??
Kmmk kuna watu ni majadidii [emoji36][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa bandari ya nini tena huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…