Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Ukiachana na kipaji chake kwenye muziki,Diamond ni bora sana katika kutengeneza habari za udaku anajua udhaifu wa mashabiki wengi wa muziki wa Bongo fleva na uwezo mdogo wa kufikiri anahakikisha anabaki midomoni mwa watu bila hata wimbo,usishangae kawatengeneza kama kawaida yake na pia uyo mzazi mwenzie nae anajua pia kwenda na mdundo wa dogo maana akijambisha nae anazuga kamaindi baafa ya siku chache mkiamini wamemwagana anawakera kwa habari mpya wakiwa wote Dubai wanakula mbuni kwenye hili atawaburuza sana vilaza.
 
Alafu hili jimwanaume kujifanya mwanamke. Somebody ku comment negatively doesn't mean one is jealous. Sichambani na babazangu. Unadhani hakutujui

Basi utakuwa umeyaona ulipokulia ndio maana unayajua sana na ninkawaida kwako.. hadi kusingizia wengine.. nenda hospitali ukatibiwe
 
Basi utakuwa umeyaona ulipokulia ndio maana unayajua sana na ninkawaida kwako.. hadi kusingizia wengine.. nenda hospitali ukatibiwe
Nimekushika korodali. Kwendraaaa..... Kapige punyeto. Lijitu kujita mwanamke inahuu. Nshkwambia sibishani na babaangu nilifindwa
 
Ninakubali sana kuwa mimi sina hadhi ya kufuatiliwa nawe ila kwa mwanamume rijali kujisifia kuwa shughuli yako kuu ni kufuatilia mambo ya watu wengine watu wa pwani wa jina la mtu wa aina hiyo ila kwa heshima ya jamvi hili na hivyo hadhi ndogo niliyokuwa nayo siwezi kutaja jina hilo lakini wengi humu watakuwa wanalielewa.
Mkuu nimekukubali...kama nyerereeee...unamtukana mtu tusi zito politely anafurahi na kubaki na kicheko...
 
Nahisi hii ni kiki

Inawezekana ikawa wanatengeneza tangazo la kile kinywaji au kitu kama hicho

All in all inaonekana kabisa hii kitu ni ya kupangwa

Kama ya Hamissa ilivyopangwa aache hereni eeehh, wakajidai kiki ya Salome kumbe tayari
 
nadhani mmemuelewa Zari nyie team kunuka....she is very smart na wala hana muda wa kupambana na Dai kisa anatomb.a madem wengine......Zari anajua fika jamaa lazima atakua anatomb.a nje so the only way to ensure her existence ni kutoonyesha mawivu ya kijinga, kusaka noti zaidi na kulea familia.....1 minute, lets be honest,,,,mwanaume gani kibongobongo alieoa ambae hajacheat mkewe? ebu tuanzie apa kwanza.....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] kuchitiwa kunauma bwana tusidangamyane hapa!!tena hadharaniii

Hakuna cha kutafuta pesa wala nini
Zari sasa hv wacha akomae na dai hana maisha akimuacha mondii !tuwe wa kweli tu!
 
Huyo dai mwana mtoka pabaya. Zari ana mapungufu gani mpk amfanyie hivyo?? Au papuchi imelegea kwa uzao wa watt 5? But she is very beautiful
Hehehe eti kapuchi manyoya kamelegea....ngoma elastic ile hata uzae mia ikipigwa ndimu kitu na box
 
Back
Top Bottom