Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

KILA SIKU SABABU ZINAZONIFANYA NIFIKIRIE KUHUSU KUACHANA NA ISSUE ZA NDOA ZINAONGEZEKA

All in all inahuzunisha saaaana.
 
Auntie libaki hilihili sijui kwa nini nalipenda sana

Halafu huyu mwanamke mwenzetu atakuwa kakutana na wale wanaume wenye midevu [emoji23] nasikia wale lazima wakuchanganye
🤣🤣🤣🤣 Hata hivyo siruhusiwi kubadili tena eti😭😭😭

Sasa auntie mbona unanivuruga!! Hata kingozi bado ushahamia kwenye mindevu tena🙆🙆🙆🙆🙆
 
KILA SIKU SABABU ZINAZONIFANYA NIFIKIRIE KUHUSU KUACHANA NA ISSUE ZA NDOA ZINAONGEZEKA

All in all inahuzunisha saaaana.
Wewe unashindwa kuoa Kwa sababu ya cheatings??
Cheating zilianza tangu Zama za yesu Ila ni vile hakukuwa na social media za kushea info

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usivunjike moyo dear..go and marry.. Marriage is the beautiful thing. Kuteleza kupo since we are human beings Ila haituzuii kuonesha upendo Kwa tunaowapenda.
Hivi kijana alikut*mba mara ngapi hadi ukanogewa na misuli ya mb*o yake ? Maana nimeona umeionyesha code ya misuli ya mkono kwamba kijana mkono wake una misuli haswa Ila mumeo hana misuli tuliosoma Cuba hio code tumeifumua
 
Achana na mumeo nenda Kwa kijana wako.
This is madness. Ila nimegundua kosa la mumeo, he is not tough, mwema mno, hakupi challenges, na muda mwingine inawezekana hasimami kama mwanaume. Kwa kufanya comparison unaonekana umempa miliki kijana na kumuondoa mumeo asiwe na milki kwako.
Muachane tu muokoe mumeo asipate magonjwa ya ajabu.
I have nothing to help you, uko emotional affected ambapo ni Mungu wa Yesu Kristo ndo anaweza kukusaidia.
Kiufupi umetekwa, na ni mtumwa wa huyo kijana na sio mumeo.
 
Usivunjike moyo dear..go and marry.. Marriage is the beautiful thing. Kuteleza kupo since we are human beings Ila haituzuii kuonesha upendo Kwa tunaowapenda.
Kupitia wewe hata ile kauli pendwa ya watu humu "tafuta pesa" naona ni ya ovyo tu.... nimejikuta najisikia vibaya sana kuona jamaa anakutunza vizuri pamoja na familia ila bado anasalitiwa na hajui, nawaza mke wangu nae atafanya hivi. Ni huzuni sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata hivyo siruhusiwi kubadili tena eti[emoji24][emoji24][emoji24]

Sasa auntie mbona unanivuruga!! Hata kingozi bado ushahamia kwenye mindevu tena[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Auntie kwani kuna limit uko kwenye kubadili

[emoji23][emoji23] na uzee huu sithubutu kwa wenye midevu acha nisubiri tu masai mwenye kingozi
 
Usivunjike moyo dear..go and marry.. Marriage is the beautiful thing. Kuteleza kupo since we are human beings Ila haituzuii kuonesha upendo Kwa tunaowapenda.
Watoto wanne, Nyonyo Lilikua halijalala yoo?? Au Kijana alikupenda hivyo hivyo?? Hakushtuka kuwa anapigwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…