Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Mwanamke anayependa sana kiswanglish muogope kaa nae mbali ni mtego. Kuna msichana type hii ya mtoa post wa kupenda english-swahili ana mtu wake ambaye ni afisa mkubwa tu serikalini na anamhudumia kila kitu ikiwemo zile vacation za Zanzibar ila mimi kuna wakati flani nikiwa mdhambi nilikuwa namwita huyo demu maskani kwangu tena uswazi sana ninamla. Wananchi wa uswahilini walikuwa wakishangaa benz aliyohingwa manzi inapaki nje kwangu.. madem wapenda kiswanglish ni tatizo.
 
Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good,
Ndoa huvunjika mara tu baada ya mmoja kuingia ktk uzinzi, tiyari umeshakuwa mzinzi nguri mwambie wazi mumeo akupe talaka yako uendelee na kijana wako kupelekewa moto.
 
Acha Umalaya.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ni mimi mume wako.
Nikimoata huyo kijan nitmnyonga kwa korodani zake.
 
Saint Anno II muda huu saa 23:44 usiku nikiwa na uchovu mwingi nikijaribu kusoma ili nielewe kisa cha malaya aliyekutana na mwanaume msamaria sasa anamletea mapicha picha.
 
Tafuta kijana mwingine

Ushauri wa hovyoπŸ˜€
 
Wanaume ambao ni nice man wake zao wanaliwa sana ni kawaida,pia mwanamke akianza kucheat hata maisha ya mwanaume yapo hatarini ndio maana hata wanasaikolojia wanasisitiza sana wanawake wasicheat haina maana mwanaume ameruhusiwa lahasha mwanaume ni rahisi sana kuhandle michepuko,hata kwenye biblia mfalme suleiman na busara zake alikua na mzigo wa michepuko,wanawake ni hatari mno kucheat na ukimgundua muache haraka sababu wao hucheat kwa kumpenda yule mtu wakati mwanaume anaweza kulala na mchepuko na baada ya show akamtimua na asitake kabisa kumuona,pia ni rahisi mwanamke kupata maambukizi sababu hukubali kila kitu ikiwemo kutotumia kinga sababu ya kumpenda mchepuko wake ,pia zipo kesi za wanawake kushirikiana na michepuko yao kufanya mauaji ya waume zao
 
Shetani anaingilia kati na kumwaga mchanga kwenye K matokeo yake wote mnaumia. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
""My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo""

Ila nyie wanawake.
Halafu kuna mabwege wanajisifu kuwapa hela malaya ndio kupendwa zaidi na kinga ya kutochitiwa.

I once said the more you entertain a woman the more the chances she will cheat. Wanawake wanapenda vihoro yani, make her mind wonder everytime usimpe pumziko la akili. Mpeleke mputa mputa mtaishi miaka hata buku hatagongwa hata na nyuki.

Ila mpe magari, butters, hela na kila kitu ndio utashangaa anagongwa na mziba pancha wa carwash anapopelekaga gari kuoshwa.
 
Treating a woman nicely au being overnice kwa mwanamke ni mlango wa matatizo yani. Sio guarantee ya kwamba atakupenda per se. Atakufanyia usenge tu at the end.

Wale mabandidu ndio huwa hatuzinguliwagi sana sababu tunawapeleka mputa. Just put her in her place inatosha.
 
FACT!! Women can not separate sex from love.Utacatch tu feelings kwa whoever you are fucking with
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…