Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

It's ok dear, and I am sorry kukufanya ujisikie vibaya it wasn't my intention I swear dear. But dear Kama kweli uko na plan ya kuoa please do it dear, my wrong doing doesn't make your girlfriend wrong too. And all in all hakuna Formula ya maisha dear. Just marry that girl and enjoy your life together dear.
 
Hivi wanawake mnashida gan??...wew ni nyoka inabidi upigwe kichwani mpaka ufee! Watoto wanne Damn.
 
Guys I know I know I made a mistake but can we please come together and try to be POSITIVE. Najua nimewakwaza wengine Sana but let me just say Sorry. Just be kind to me people, I beg you in the name of God please, I know mmenimbia Sana Mithali mwanamke huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe but also Kuna hii verse inasema Ndugu akipotea mrejesheni kwa upole???.
 
R.I.P mshenzi wewe,nielekeze mahala ulipo ili siku yakikukuta nije msibani kwako nitupie jiwe kaburini usiamke
 
Uliwahi ugua kichaa?
 
Usiharibu familia, mtumie huyo kijana pale unapokuwa umezidiwa tu na mumeo akiwa mbali
 
Sasa zawadi zote umewapa wa mbali huku utakufa na nn 🙄 na Mchele wa chimala wakati mi nakula wa kyela🤦 jipange siku ingine Kwa kweli
Dah, basi sawa
 

Attachments

  • 20220614_070057.jpg
    17.9 KB · Views: 5
Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious,
Ungekuwa mwanaumejust for one second ungefuta hayo mawazo ya kishetani na huyo jamaa,,sisi huwa tunatambulisha kwa uhakika wa mbunye kwanza nikifanya hvo utaniamin sasa nakuendelea jipigia hadi nichoke
jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani .
Niseme tu kichwa yako haiko sawa sawa
 
Dear nimewaza hii but nasikia sauti ikiniambia maisha Ni Sasa. Live it to the fullest.Like I really don't care what tommorow may bring.
If you don't care what tomorrow may bring just go for the dude, but mind you the following;
● Hakuna mwanaume wa kuoa mwanamke muongo, ungemuambia the whole truth mapema akafanya maamuzi mapema, ila kwa hilo ulilofanya forget about the smart, handsome and tall guy
● Hakuna mwanaume wa kuoa mwanamke anayekimbia ndoa yake ili awe na yeye, labda huyo smart and tall guy ni the opposite of what you've said.
● Jiandae kuwa single mom as huyo smart guy hawezi kuoa mwanamke aliyezalishwa four times, I mean four times...no man would do that, unless he's not man enough.

Anyway, umeamua kutuletea chai ya nanenane, nawashauri wakulima wazidi kulima chai.
 
Niliwahi mkataza wa kwangu kwenda mbali na familia sababu ni hii,
Ubongo wa wanawake wakati mwingine ukitikisika basi haufanyi kazi
 
Yan Una watoto 4 na bado ulikuwa ujafeel mapenzi dada wewe ni Malaya pro max..........hizo nyege za uzeeni ndio zinazo sababisha mfe vifo vibaya .........**** Nina weww
Jamani mbona mnamtukana. Mrembo kaenjoy de libolo inabidi tupate wanawake wengi wa namna hii free to explore their sexuality.
 
Niliwahi mkataza wa kwangu kwenda mbali na familia sababu ni hii,
Ubongo wa wanawake wakati mwingine ukitikisika basi haufanyi kazi
Niliandika uzi "wanawake hawana akili wana mihemko na hisia" mods wakaufuta na ili hali uzi ulisheni hoja za kutosha. Leo nadhani mods kwa uzi huu wamepata ushahidi wa how brainless women are.

Hivi huyu shangazi akipewa sumu amuue mumewe na watoto wake wanne ili aolewe na "jina" niambieni jinsi gani atakataa.
 
Ah ah haha asee dai talaka! Ndoa ni makubaliano ya hiyari ya pande mbili! Mmoja akivunja makubaliano no more ndoa! So nawewe nakushauri vunja makubaliano! Hata madam flora aliolewga na Emmanuel mbasha wakaachana
 

HUU UJUMBE HAPA CHINI NATAMANI AUSOME NA AULEWE, UNA UJUMBE MZITO MNO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…