Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Niliwahi mkataza wa kwangu kwenda mbali na familia sababu ni hii,
Ubongo wa wanawake wakati mwingine ukitikisika basi haufanyi kazi
Niliandika uzi "wanawake hawana akili wana mawazo na hisia" mods wakaufuta na ili hali uzi ulisheni hoja za kutosha. Leo nadhani mods kwa uzi huu wamepata ushahidi wa how brainless women are.

Hivi huyu shangazi akipewa sumu amuue mumewe na watoto wake wanne ili aolewe na "jinana" niambieni jinsi gani atakataa.
Huh ... Oh noo.But dear do you think like I am too too too bad??.. I am not dear, ukweli nimekamatika and this one wrong doesn't make me be thaaaaat bad dear. Kweli.
 
Mwanamke aliiwahi sana kuolewa na jamaa akazalisha fasta fasta akidhani kuwa ndo atatulia na huko alipo anasema ana watoto wanne ataenda wapi? So full kujiamini

Ila mdada aliruka stage, alitakiwa akutane na tall guys, wenye sauti nzuri na wanaojua kusakata mbususu wamchezeee mpk akili imkae vzr ndo aolewe baada ya kupigika sana.

Mwanamke wa aina hiyo hatokaa adharau ndoa yake maana maumivu ya kitaa anayajua

Ila hawa ambao hawajapata misukomisuko ya ujana hapo wakitoka nje wanakuwa malimbukeni na wanakufa na kuoza kabisa.
 
MaCCM hayataki kufanya mikutano ya hadhara yaeleze wananchi sababu za kupanda gharama za maisha wakati nchi yote ni kijani, yamezuia, yanavizia matamasha ya burudani/michezo na kupeperusha picha za m/kiti wa CCM. Acheni ujinga. Njooni jukwaani tufanye siasa za hoja mafisadi nyie!
 
😳Ushadaka tayari mzungu wa igawa😆 afu kapo kuomba hela🤣🤣...ulijua twenyewe hatuna shida mbalimbali😆😆 inua tu iyo head 😜
Subutuuuuu subutuuuuu hahahahahahaa nakuja keshokutwa nalala Mbeya mjini then naelekea Chunya
 
Tuongezee sukari leta na vitumbua tushibe chai ya rangi!
 
Shikilia hapo hapo.
 
Yaleyale ya ngoswe

Tumia akili kufanya maamuzi

Maneno ya wahenga baki njia kuu cyo ya kwenye kanga it's working
 
Ukiendelea na huu ujuha, utakuja kukosa yote. Utamkosa mume na huyo kijana uliyemdanganya siku akijua ukweli atakutosa na kukuchukia. Utabaki unadanga huku ukiwa umechanganyikiwa......
 
Msiolewe mapema kabla hamjapitia mambo ya dunia ona sasa
Hapo hakuna love wala nini ni lust + wenge lako tu
Mchane ukweli umeolewa katulie na ndoa yako mwanamke penzi jipya ndio huwa hivyo hakuna kitu unique hapo
 
Katika vitu siwezi fanya ni kumshauri mwanaume mwenye pesa na mwanamke alien penda hawa watu wawili utapoteza time yako tu

Mimi nawashauri nyie mnao mshauri Huyu mbuzi kuwa acheni ujinga hizo juhudi mnazo tumia kuandika humu ni bora mkaelekeza hizo nguvu kwenye uzi wetu pendwa wa kula tunda
 
Hii ni chai, lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa, wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa
Sio chai kaka ao ndo walivyo hasa wakipenda.Ata mm ninae mmoja mwarabu yupo kama huyo anataka kudai taraka kabisa eti nmuoe mm wakati mm namchora tu
 
Nenda ukalalwe Malaya wewe

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mods humu hua hawapendi nyuzi zinazoexpose ujinga wa hawa wenzetu. Ndio maana ukifatilia nyuzi nyingi humu ni za masela wanalalamikiwa hawajali etc etc... JF imekua ya kiwaki ndio maana wengine tunaishia kua wasoma comments miaka nenda rudi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…