Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Ah wee hawezi kukimbia kama kweli the sex is mind blowing. Atakachofanya ni kwamba u will now be his sexmate huku akitafuta wife basi. Enjoy the 🍆 gal. Ukirudi kwa mume mle na watoto wenu. Ukiwa huku pata utam utam
You are so good aisee,hukazi Sanaa...easy yaan.❤️❤️❤️❤️❤️😘
 
I am sorry for kuwatukanisha dear. But Nimekuja kuomba mnisaidie dear how to overcome this maana I am confused dear. Tuna Mwaka Sasa but it is not like sijui mapenzi no only that Kijana is a pro dear. Thank you for the advice dear.
 
Ah wee hawezi kukimbia kama kweli the sex is mind blowing. Atakachofanya ni kwamba u will now be his sexmate huku akitafuta wife basi. Enjoy the [emoji533] gal. Ukirudi kwa mume mle na watoto wenu. Ukiwa huku pata utam utam
Thank you dear. Let me find the style to tell him the truth coz if he runs away I am finished dear.
 
Umeuremba umeupamba uzi wako lakini haujanifurahisha hata kidogo mama mwenye watoto wanne unafanya upuuzi kama huu hujiulizi hatma ya watoto wenu? Halafu upo tayari kupoteza ndoa yako kisa kijana [emoji44][emoji44], na kwa taarifa yako ukishaanza na vibenteni hata huyo utamwacha utafute HB wa miaka ishirini pole sana Sana sana achana na huyo mtoto wa ke mwenzio atafute maisha yake na wewe endelea na ndoa yako. Maana hutopoteza ndoa tu bali utaharibu maisha ya wanao, maana baba kwa hasira ataoa mke mwingine watoto je? Usitegemee baba atawapenda saana watoto wako mwingine itakuwa kila akiwaona hao watoto anakuwaza na kuwachukia wanae na kuona wanaakili Kama yako.
 
Dadangu kama ulivyosimulia vinaukweli basi nakushauri vunja ndoa haraka sana and utamwambia mtoto yupo kwa baba yake and just disconnect na baba wa watoto na watoto pia halafu anza maisha upya.
Sikwambii umefanya kitu kizuri, jambo ulilofanya ni baya sana ila naangalia namna ndoa yako itakavyokuwa ya shida kwa mwanaume mwenzangu maana binafsi napitia shida kama inayoenda kumpata mwanaume mwenzangu. So achana naye ukaanze maisha yako. Mpe talaka wewe na sababu ni kuwa umechoka kukaa kwenye ndoa full stop
 
Eti ndoa takatifu. Huku ni kumkufuru Muumba kwa kuiita ndoa takatifu wakati umeshainajisi tayari.

Wewe ni malaya kwa asili wala huna tofauti na wale wakujiuza sema tu umejificha kwenye kivuli cha ndoa.
But God is full of Mercy dear. This one I believe dear. I made a mistake and I didn't see it come. And here I am now deep in love.
 
Thank you dear. Let me find the style to tell him the truth coz if he runs away I am finished dear.
Akikimbia njoo nikuoe million.
Trust me hakimbii. Every man loves no strings attached sex
 
Binadamu wote malaya msimshambulie kabisa huyu dada, amejaribu kucheat akalowea. Wote tunacheat ila dada kanigewa. Binafsi jana nimekula mke wa mtu ana mwezi kwenye ndoa sema alikuwa dem wangu kabla hajaolewa
 
Hisia zako zimeshinda uhalisia wa ndoa yako

Watoto wanne,mume anaekujali ndio uhalisia wa.maisha yako..

Mwanamme mrefu mwenye sauti nzuri ndio hisia za maisha.yako

Kutokuwa na macho ya kuona hatari, masikio ya kusikia,pua ya kunusa hatari ndio ujinga wako..

katika wanawake wajinga duniani wewe ni mmoja wao,unahiari kupoteza ndoa yako ya watoto wanne kwa mambo ya kijinga..

Ushauri wangu,Mwambie ukweli huyo jamaa,mwambie ukweli mume wako,fanyeni threesome,muwe watatu kitanda kimoja wakupe maraha..

Usivunje ndoa yako fikiria watoto wako
 
Binadamu wote malaya msimshambulie kabisa huyu dada, amejaribu kucheat akalowea. Wote tunacheat ila dada kanigewa. Binafsi jana nimekula mke wa mtu ana mwezi kwenye ndoa sema alikuwa dem wangu kabla hajaolewa
Hata wewe ni walewale na wakwako atatafunwa ni swala la muda karma itafanya kazi,ulete mrejesho hapa.
 
Pole, yamekupata yepi mkuu?
 
Kweli kabisa kiongozi. Nakazia hapa
 
I am sorry for kuwatukanisha dear. But Nimekuja kuomba mnisaidie dear how to overcome this maana I am confused dear. Tuna Mwaka Sasa but it is not like sijui mapenzi no only that Kijana is a pro dear. Thank you for the advice dear.
tatzo linakuja huyo kijana amempa penzi ambalo hakuwah kupewa popote pale yaan penzi limevunja hadi zile degree za thermometer

au kwa lugha nyingne alikuw anakula maharage sasa kapewa kitimoto yenye pilipili kwa mbaaaaali.
 
ukute na mme wake huko kuna ka slayqueen kanamuendesha kichizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…