Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Kama ni wale wanaume uko Dar mwanamke yuko sijui Njombe "kikazi" au uko Mwanza mwanamke yuko Dodoma, ati ukaioa mwenye ajira "msaidiane maisha" ukweli ni kua hausaidiki lolote wanawake ni wabinafsi sana na hilo bila shaka umeshalitambua mpaka sasa.

Na pili hauwezi kuheshimiwa na utaishi kwa kutombewa mwanzo mwisho, ona mwanadada anasema yuko tayari kuivunja ndoa ila tu asimpoteze kijana, nini kinampa jeuri "ajira yake"

Poleni sana wanaume wa "naoa mwanamke mwenye ajira tusaidiane maisha"


Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi
Nakupa mkasa Kuna jamaa wangu kipind tupo ofisi fulani tuliajiriwa mwaka mmoja tulikuwa kama 5 ivi yeye akampenda demu tuliyeajiriwa nae sawa maana wanaume tukiwa 3 wanawake 2 .
Tukaishi pale kama mwaka then tukaanza kupewa vituo mi na jamaa tukabaki makoa mkuu dar wale mademu wawili mmoja akiwa demu wake na alishamtambulisha hata wanakotoka ni mkoa mmoja.... Yule demu wake kituo alipata na jamaa wote walikuwa wawili demu mwingine alipewa kituo alone palikuwa hamna kazi sana na pia ni huko kwao kanda ya ziwa

Basi bhana Maisha yaliendelea yupo dar mchizi demu yupo mkoani walipanga kufunga ndoa ila jambo limeharibika tangu hapo kabisa tuliishi mwaka mmoja mbele kabla ya mim kuhama pale lakini hamna ndoa !!!! Nilishahama pale mwaka na kitu nimekuuliza jamaa anasema ndoa bado sana sasa sijui labda Kuna matatizo ila wanaenda mwaka wa 3 sasa hata kupostiana status sion kabisa dp wametoana sijui nn kinaendelea?
 
Roho ya usingle mama inakutemblea iiaribishe
Dear nimewaza hii but nasikia sauti ikiniambia maisha Ni Sasa. Live it to the fullest.Like I really don't care what tommorow may bring.
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.

Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya kanisani na tumebahatika kupata watoto wanne kwenye ndoa yetu hii takatifu. Kiukweli so far my marriage is good sisemi kwamba hatugombani no sometimes tunapishana tunaombana msamaha yanaisha, Inshort sijawahi kujuta kuolewa na mume wangu, he is a caring man, anapenda Sana watoto wake, for sure he is the best husband and the best daddy to our four beautiful children.

Mwaka Jana nilipata kazi somewhere mbali kidogo so ikanilazimu kuacha familia na kwenda kufanya kazi, Mume wangu alikubali Mimi kwenda kufanya kazi mbali ukizingatia pia hatukuwa vizuri kiuchumi maana Covid 19 iliyumbisha kidogo uchumi wetu, so I came this side kufanya kazi.

Ukweli sikuwahi kumcheat mume wangu tangu anioe na sikuwahi kuwaza kama kuna Siku itatokea maana ukweli ananitreat like a queen, baada ya kufika huku kazini, kweli Nilikuwa Ni mtu wa kuchapa kazi na kurudi home kusettle na kuwaza about my family and my personal issues.

Sikupata kuwaza like sex nimtafute mtu noo, tho as a woman kule kutongozwa kupo but sikuwahi kuipea time kabisa kabisa infact nilikuwa naona ni ujinga Sana kucheat na nimeolewa na my husband is awesome. Not uqntil this day hapa kazini Kuna project tulikuwa tunafanya so tukawa connected na this firm ambayo Sasa ndo hapa nilibadilika.

Katika hii project niliunganishwa na Kijana (28 years) ambaye ndo tutafanya nae hiyo project pamoja. Kweli at the beginning it was a normal talk about the project na sikuwa like kufeel chochote Wala kuwaza chochote out of work. Hadi hii Siku moja ambayo I asked him something about the project hakujibu kwa message badala akatuma Voice note ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri.

His voice note turned me on kwa kweli nikaanza kufall in love with him from that day, hatukuwahi kuonana before but Ile voice note ilinipa hamu ya kumuona nakuwish awe mtu wangu wa karibu. From that day nikaanza like kumtumia tu message ambazo sio za kazi, like Hi, how was your night blah blah, long story short tukawa wapenzi na hatukuwahi kuonana live[emoji23][emoji23].

For sure mapenzi yalikuwa motomoto Mpaka this day tukaja kuonana and wow I felt sweet seeing this handsome man smelling like a snack[emoji39], amepanda hewani, smart one, kweli moyo ulikuwa unanienda mbio na kujiona wa Bahati Sana katika hii dunia, the date went well and tulifurahi kuonana for the first time[emoji7], hapa ndipo mapenzi yetu yalizidi kuwa motomoto like like like heaven...

He told me his background and his future plans, but ukweli Mimi sikuwa muwazi kwake maana Kwanza Ile tumeenda kuonana for the first time nilivua Pete na sikuwahi muambia nimeolewa na Nina watoto all this long. Nilikuwa Namuambia I am single.

Now mahali ambapo Sasa ndugu zangu naomba mnishauri kwa hekima zenu ni hivi Kijana amenikolea mwenzenu, yaani he is deep in me, sometimes hata napitiliza vituo kwa sababu mawazo yangu yako kwake, sometimes I just smile when I think of him, Juzi namuita boss wangu jina la kijana and I was like God!. I am drunk in Love with Kijana Hadi najuta why sikumjua mapema, He is great kwenye sex, sijawahi enjoy sex like the way I enjoy with him jamani, His kiss is heaven, in short he is a Pro[emoji7].I am confused ndugu zangu.

Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious, but Sasa hajui nimeshaolewaga na Nina watoto wanne, nilimuambia tu Nina mtoto mmoja na amesema hakuna shida kabisa yeye amenipenda na haoni shida kunioa hata Kama Nina mtoto.

Jamani nawaza kumkubalia anioe then tutajua mbele kwa mbele since I love him so much na I really don't want to loose him, sometimes nawaza ama niombe talaka niwe huru kuolewa na Kijana ,Saa zingine nawaza au tu nimuambie ukweli naona atanikimbia. Saa zingine nawaza au nimzalie tu mtoto nibaki na ndoa yangu? Lengo nataka tu niwe nae till my last breath, I know he is young na ukweli siko kumchuna ama kumuharibia maisha, I love him and kwelikweli I don't want to loose him .

Sometimes nawaza naona gharama ya kupoteza ndoa yangu takatifu ni rahisi Sana kuliko gharama ya kumpoteza huyu Kijana. Jana tulikuwa wote na Kijana akaniambia anataka kunipeleka kwa wazazi wake so nipange Siku tuende, jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani[emoji24][emoji24].

Nishaurini ndugu zangu nafanyeje wapendwa?, the best way ambayo nitabaki na Kijana pasipo kuathiri pande zote mbili au hata upande mmoja ukiathirika but Kijana awepo. I love him so much na Mungu shahidi, sijawahi penda hivi,. .... What can I do ndugu zangu?

Kijana anajua nimemzidi umri but Hana shida na hili, anajua Nina mtoto Ila Sasa anajua Nina mmoja na wakati ukweli Nina wanne, anajua Niko single wakati ukweli Nina ndoa ya kanisani . Jamani msinitukane please nishaurini maana Nimezama penzini sisikii Wala Nini nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana[emoji24]. I feel him so deep jamani.

Asanteni
Mal*ya
 
Mnapata raha gani kuja kuandika story za kutunga humu. This is a typical lie. Uongo kabisa. Hakuna reality katika hii story em fikiri upya andika tena.

Msipoteze muda na ukute ni dume limekaa likaandika hii takataka...
Yeah hata mimi nimehisi hivyo!!!?
inawezekana tatizo la ajira ni kubwa sana hapa Tz mtu hana shughuli anakaa kuandika uwongo kama huu
 
Mnapata raha gani kuja kuandika story za kutunga humu. This is a typical lie. Uongo kabisa. Hakuna reality katika hii story em fikiri upya andika tena.

Msipoteze muda na ukute ni dume limekaa likaandika hii takataka...
Sema hilo siyo dume bali ni lile miongoni mwa LSBGT.
 
Umeenjoy zako uzi, unatiririka chini unasoma comments za unakuta mtuu kaandika “hii ni chai”, stimu yote inakata. Jamani someni uzi kama una ushauri toa, ukiona ni chai piga kimya maana sasa watu watashindwa kuomba ushauri humu, alafu thread kama hizi zinasaidia kusukuma siku.
 
Dear nimewaza hii but nasikia sauti ikiniambia maisha Ni Sasa. Live it to the fullest.Like I really don't care what tommorow may bring.
Unajichimbia shimo ambalo kuja kujitoa ni mtihani, anyway, every decision comes with a price.
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.

Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya kanisani na tumebahatika kupata watoto wanne kwenye ndoa yetu hii takatifu. Kiukweli so far my marriage is good sisemi kwamba hatugombani no sometimes tunapishana tunaombana msamaha yanaisha, Inshort sijawahi kujuta kuolewa na mume wangu, he is a caring man, anapenda Sana watoto wake, for sure he is the best husband and the best daddy to our four beautiful children.

Mwaka Jana nilipata kazi somewhere mbali kidogo so ikanilazimu kuacha familia na kwenda kufanya kazi, Mume wangu alikubali Mimi kwenda kufanya kazi mbali ukizingatia pia hatukuwa vizuri kiuchumi maana Covid 19 iliyumbisha kidogo uchumi wetu, so I came this side kufanya kazi.

Ukweli sikuwahi kumcheat mume wangu tangu anioe na sikuwahi kuwaza kama kuna Siku itatokea maana ukweli ananitreat like a queen, baada ya kufika huku kazini, kweli Nilikuwa Ni mtu wa kuchapa kazi na kurudi home kusettle na kuwaza about my family and my personal issues.

Sikupata kuwaza like sex nimtafute mtu noo, tho as a woman kule kutongozwa kupo but sikuwahi kuipea time kabisa kabisa infact nilikuwa naona ni ujinga Sana kucheat na nimeolewa na my husband is awesome. Not uqntil this day hapa kazini Kuna project tulikuwa tunafanya so tukawa connected na this firm ambayo Sasa ndo hapa nilibadilika.

Katika hii project niliunganishwa na Kijana (28 years) ambaye ndo tutafanya nae hiyo project pamoja. Kweli at the beginning it was a normal talk about the project na sikuwa like kufeel chochote Wala kuwaza chochote out of work. Hadi hii Siku moja ambayo I asked him something about the project hakujibu kwa message badala akatuma Voice note ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri.

His voice note turned me on kwa kweli nikaanza kufall in love with him from that day, hatukuwahi kuonana before but Ile voice note ilinipa hamu ya kumuona nakuwish awe mtu wangu wa karibu. From that day nikaanza like kumtumia tu message ambazo sio za kazi, like Hi, how was your night blah blah, long story short tukawa wapenzi na hatukuwahi kuonana live[emoji23][emoji23].

For sure mapenzi yalikuwa motomoto Mpaka this day tukaja kuonana and wow I felt sweet seeing this handsome man smelling like a snack[emoji39], amepanda hewani, smart one, kweli moyo ulikuwa unanienda mbio na kujiona wa Bahati Sana katika hii dunia, the date went well and tulifurahi kuonana for the first time[emoji7], hapa ndipo mapenzi yetu yalizidi kuwa motomoto like like like heaven...

He told me his background and his future plans, but ukweli Mimi sikuwa muwazi kwake maana Kwanza Ile tumeenda kuonana for the first time nilivua Pete na sikuwahi muambia nimeolewa na Nina watoto all this long. Nilikuwa Namuambia I am single.

Now mahali ambapo Sasa ndugu zangu naomba mnishauri kwa hekima zenu ni hivi Kijana amenikolea mwenzenu, yaani he is deep in me, sometimes hata napitiliza vituo kwa sababu mawazo yangu yako kwake, sometimes I just smile when I think of him, Juzi namuita boss wangu jina la kijana and I was like God!. I am drunk in Love with Kijana Hadi najuta why sikumjua mapema, He is great kwenye sex, sijawahi enjoy sex like the way I enjoy with him jamani, His kiss is heaven, in short he is a Pro[emoji7].I am confused ndugu zangu.

Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious, but Sasa hajui nimeshaolewaga na Nina watoto wanne, nilimuambia tu Nina mtoto mmoja na amesema hakuna shida kabisa yeye amenipenda na haoni shida kunioa hata Kama Nina mtoto.

Jamani nawaza kumkubalia anioe then tutajua mbele kwa mbele since I love him so much na I really don't want to loose him, sometimes nawaza ama niombe talaka niwe huru kuolewa na Kijana ,Saa zingine nawaza au tu nimuambie ukweli naona atanikimbia. Saa zingine nawaza au nimzalie tu mtoto nibaki na ndoa yangu? Lengo nataka tu niwe nae till my last breath, I know he is young na ukweli siko kumchuna ama kumuharibia maisha, I love him and kwelikweli I don't want to loose him .

Sometimes nawaza naona gharama ya kupoteza ndoa yangu takatifu ni rahisi Sana kuliko gharama ya kumpoteza huyu Kijana. Jana tulikuwa wote na Kijana akaniambia anataka kunipeleka kwa wazazi wake so nipange Siku tuende, jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani[emoji24][emoji24].

Nishaurini ndugu zangu nafanyeje wapendwa?, the best way ambayo nitabaki na Kijana pasipo kuathiri pande zote mbili au hata upande mmoja ukiathirika but Kijana awepo. I love him so much na Mungu shahidi, sijawahi penda hivi,. .... What can I do ndugu zangu?

Kijana anajua nimemzidi umri but Hana shida na hili, anajua Nina mtoto Ila Sasa anajua Nina mmoja na wakati ukweli Nina wanne, anajua Niko single wakati ukweli Nina ndoa ya kanisani . Jamani msinitukane please nishaurini maana Nimezama penzini sisikii Wala Nini nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana[emoji24]. I feel him so deep jamani.

Asanteni
Daaah hatari sana hii.Ndoa ni ngumu sana hizi wakuu.he he hee😝
 
Ndio shida ya kuruka kituo, hiyo hatua uliyopo hujawahi kutana nayo ndio maana,

Hapo ndipo mr Liverpool anapoona bora asioe.
 
Mapenz yanaishaga shost,Kuna siku mtachokana utaregret kupoteza kete zote.Kama mume anajali bas mlindie heshima yake....mwambie ukweli then hiyo itakusaidia wewe akili kukukaa sawa Kwa sababu lazima ataonyesha rangi zake zote then nawe utatambua kuwa ulichokiacha home ni Gold.

Kinachomfanya akuonyeshe mapenz yote ni Kwa sababu anajua wewe ni wake pekeyake.Jikaze aisee,vuka hapo cute ...I beg u.Wenzio hatujawahi bahatika wanaume wanaojali familia ndo maana tukakimbia.

Hicho chuma ni Cha kukibembeleza na kukihandle vyema ....mpendane mpaka mfanane mfe pamoja jamani.

Busara za wanaume wanaojali familia ni kuwa nao ucheat ila uheshimu familia zao Ivo usijedhani yeye hacheat...no ..anacheat na wanawake bora kuliko wewe lakini bado anakuheshimu.Rudi kwenye mstari tafadhali mlindie heshima usimuumize.Mapenz huchuja utajalia mom[emoji120]
Dear I feel like crying. Thank you for this beautiful advice. Mungu anisaidie dear nivuke hapa dear maana for sure my husband is a heaven sent Basi Tu sijielewi na Kijana. Thank you kipenzi.May God help me to overcome this dear
 
Dear I feel like crying. Thank you for this beautiful advice. Mungu anisaidie dear nivuke hapa dear maana for sure my husband is a heaven sent Basi Tu sijielewi na Kijana. Thank you kipenzi.May God help me to overcome this dear
Naamini utavuka cute wangu.....huenda ungeamua kufanya maamuz kimya kimya ....kulileta humu ni Mungu anataka akurudishe kwenye mstari.....❤️😘
 
Dear shida yangu Ni je atakubali kuendelea na Mimi akijua ukweli??. Huu ndo wasiwasi wangu like atakubali kweli,??. Na akikimbia je?? Maisha yangu yatakuwaje??. Maana pia Ni mtu ameshika dini.
Tumeshakushauri vunja hio ndoa uolewe na huyo tall wako
 
hii inaweza ikawa chai

watoto wa nne chuchu zinakuw zinatizama chini.au maumbile yanatofautiana.
 
Back
Top Bottom