Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.

Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya kanisani na tumebahatika kupata watoto wanne kwenye ndoa yetu hii takatifu. Kiukweli so far my marriage is good sisemi kwamba hatugombani no sometimes tunapishana tunaombana msamaha yanaisha, Inshort sijawahi kujuta kuolewa na mume wangu, he is a caring man, anapenda Sana watoto wake, for sure he is the best husband and the best daddy to our four beautiful children.

Mwaka Jana nilipata kazi somewhere mbali kidogo so ikanilazimu kuacha familia na kwenda kufanya kazi, Mume wangu alikubali Mimi kwenda kufanya kazi mbali ukizingatia pia hatukuwa vizuri kiuchumi maana Covid 19 iliyumbisha kidogo uchumi wetu, so I came this side kufanya kazi.

Ukweli sikuwahi kumcheat mume wangu tangu anioe na sikuwahi kuwaza kama kuna Siku itatokea maana ukweli ananitreat like a queen, baada ya kufika huku kazini, kweli Nilikuwa Ni mtu wa kuchapa kazi na kurudi home kusettle na kuwaza about my family and my personal issues.

Sikupata kuwaza like sex nimtafute mtu noo, tho as a woman kule kutongozwa kupo but sikuwahi kuipea time kabisa kabisa infact nilikuwa naona ni ujinga Sana kucheat na nimeolewa na my husband is awesome. Not uqntil this day hapa kazini Kuna project tulikuwa tunafanya so tukawa connected na this firm ambayo Sasa ndo hapa nilibadilika.

Katika hii project niliunganishwa na Kijana (28 years) ambaye ndo tutafanya nae hiyo project pamoja. Kweli at the beginning it was a normal talk about the project na sikuwa like kufeel chochote Wala kuwaza chochote out of work. Hadi hii Siku moja ambayo I asked him something about the project hakujibu kwa message badala akatuma Voice note ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri.

His voice note turned me on kwa kweli nikaanza kufall in love with him from that day, hatukuwahi kuonana before but Ile voice note ilinipa hamu ya kumuona nakuwish awe mtu wangu wa karibu. From that day nikaanza like kumtumia tu message ambazo sio za kazi, like Hi, how was your night blah blah, long story short tukawa wapenzi na hatukuwahi kuonana live[emoji23][emoji23].

For sure mapenzi yalikuwa motomoto Mpaka this day tukaja kuonana and wow I felt sweet seeing this handsome man smelling like a snack[emoji39], amepanda hewani, smart one, kweli moyo ulikuwa unanienda mbio na kujiona wa Bahati Sana katika hii dunia, the date went well and tulifurahi kuonana for the first time[emoji7], hapa ndipo mapenzi yetu yalizidi kuwa motomoto like like like heaven...

He told me his background and his future plans, but ukweli Mimi sikuwa muwazi kwake maana Kwanza Ile tumeenda kuonana for the first time nilivua Pete na sikuwahi muambia nimeolewa na Nina watoto all this long. Nilikuwa Namuambia I am single.

Now mahali ambapo Sasa ndugu zangu naomba mnishauri kwa hekima zenu ni hivi Kijana amenikolea mwenzenu, yaani he is deep in me, sometimes hata napitiliza vituo kwa sababu mawazo yangu yako kwake, sometimes I just smile when I think of him, Juzi namuita boss wangu jina la kijana and I was like God!. I am drunk in Love with Kijana Hadi najuta why sikumjua mapema, He is great kwenye sex, sijawahi enjoy sex like the way I enjoy with him jamani, His kiss is heaven, in short he is a Pro[emoji7].I am confused ndugu zangu.

Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious, but Sasa hajui nimeshaolewaga na Nina watoto wanne, nilimuambia tu Nina mtoto mmoja na amesema hakuna shida kabisa yeye amenipenda na haoni shida kunioa hata Kama Nina mtoto.

Jamani nawaza kumkubalia anioe then tutajua mbele kwa mbele since I love him so much na I really don't want to loose him, sometimes nawaza ama niombe talaka niwe huru kuolewa na Kijana ,Saa zingine nawaza au tu nimuambie ukweli naona atanikimbia. Saa zingine nawaza au nimzalie tu mtoto nibaki na ndoa yangu? Lengo nataka tu niwe nae till my last breath, I know he is young na ukweli siko kumchuna ama kumuharibia maisha, I love him and kwelikweli I don't want to loose him .

Sometimes nawaza naona gharama ya kupoteza ndoa yangu takatifu ni rahisi Sana kuliko gharama ya kumpoteza huyu Kijana. Jana tulikuwa wote na Kijana akaniambia anataka kunipeleka kwa wazazi wake so nipange Siku tuende, jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani[emoji24][emoji24].

Nishaurini ndugu zangu nafanyeje wapendwa?, the best way ambayo nitabaki na Kijana pasipo kuathiri pande zote mbili au hata upande mmoja ukiathirika but Kijana awepo. I love him so much na Mungu shahidi, sijawahi penda hivi,. .... What can I do ndugu zangu?

Kijana anajua nimemzidi umri but Hana shida na hili, anajua Nina mtoto Ila Sasa anajua Nina mmoja na wakati ukweli Nina wanne, anajua Niko single wakati ukweli Nina ndoa ya kanisani . Jamani msinitukane please nishaurini maana Nimezama penzini sisikii Wala Nini nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana[emoji24]. I feel him so deep jamani.

Asanteni
Biblia inasema ndoa iheshimiwe na watu wote omba toba kwa Mungu akusamehe na achana na huyo mtu.. unaenda kuharibu familia nzuri unataka kuleta magonjwa ndani ya ndoa unatafuta balaaa kimbia sana shetani anataka kukuangamiza hiko ni kifo unakikaribia fikiri vizuri mumeo anakupenda...
 
Usisikitike!! Siyo kisa cha kweli, ni hadithi hiyo!! Hadithi kaitupia hapa jukwaani ili ajipime kama ana uwezo wa kutunga hadithi kwa kuangalia watu watakavyochangia! Hadithi yanyewe kajitahidi lakini bado hajafika kiwango!
Kwanin mnaamini huu ni uongo ?
 
Nyie mnaomjudge huyu dada hamjawahi kukutana na michepuko inayipiga show show....unakutana na mwanaume Yani akipanda hashuki, anadeki Hadi kunakauka, katerero Kwa sana, mguu wa shingo mguu wa roho🤸....afu nyumbani mume Kazi kufuga kitambi tu, show mbovu.

In fact napitia the same situation na mleta mada....naendelea kusoma comments.🤣
So unataka ku justify upuuzi kwa hoja za show!?
 
Gharama ya kumpoteza husband angalau kidogo Ila gharama ya kumpoteza Kijana nawaza nitakuwa chizi Mimi I just can't imagine
Peleka umalaya wako huko[emoji706][emoji706] eti gharama za kumpoteza mume uliezaa nae wtt 4 ni ndogo kuliko kumpoteza kijana[emoji849][emoji848],umalaya unakusumbua
 
Kuna wakati niliwahi kwenda mkoa mmoja hivi kufanya project ya kama 2 months. Nikiwa huko siku Moja nikaenda kununua simu, duka nilikonunua nikamkuta mdada mmoja mzuri sana. Sasa nilikuwa na colleague ambaye ilionekana amemzimia yule mdada na akaniomba nifanye jitihada nipate namba yake. Bahati nzuri nikapata namba yake, tukachat nikampa ombi la mshikaji wangu, lakini ikaonekana yeye alikuwa ananitaka Mimi na sio rafiki yangu so tukaanzisha mahusiano.

Baadae akaja kunambia ni mke wa mtu na ana mtoto mmoja. Mumewe alikuwa anamlinda kwelikweli na lile duka lilikuwa la kwao na mumewe. Sasa kwasababu mi nilikuwa sikai sana Kule nikataka kula mzigo tu halafu nisepe. Ila kwenye mzungumzo ikafikia hatua ya yule mwanamke kutaka kumuacha mumewe na kuondoka na Mimi nikimaliza project iliyonipeleka.

Mpaka wakati huo sikuwa nimekula mzigo kwasababu ilikuwa ngumu sana yule dada kutoka bila mumewe kujua aliko na alikuwa anapiga simu Kila mara. So hata siku tunapanga nikale mzigo ilibidi adanganye anaoenda Kwa mama yake mdogo ndio akaja hoteli nilipokuwa nimefikia. Of course tulianza fore play lakini baadae roho yangu ikakataa kabisa kula mzigo. Ikabidi nimuache ingawa ilikuwa kesi kubwa akidai nimemchezea halafu nimemuacha kwasababu nimemdharau. Lakini niliwaza kitendo nilichokuwa nakifanya hakikuwa sawa so ikabidi nisitishe like zoezi.

Nimeanza na story kuonyesha namna wanawake wanavyokuwa pale wanapoingia kwenye mahusiano mapya. Wanawake wanapenda Kwa hisia kwahiyo wakizama wanazama wazima wazima ambapo matumizi ya akili Huwa yanakuwa madogo sana mpaka pale yanapowakuta. Unless wawe wawazi na wakutane na mwanaume mwenye akili timamu ambaye ataweza kucontrol hizo hisia zao na kuwafanya wasiharibu maisha Yao.

Sasa ushauri wangu ni huu,
Dada yangu najua Kwa sasa unafikiria Kwa kutumia moyo na sehemu zako za Siri. Hii inaitwa INFATUATION na Ina muda tu in few days/weeks/months itapita na wewe mwenyewe utajishangaa kama ni huyo mtu mwanzoni ulikuwa unampenda kufa.

Sasa ndoa imara au mahusiano imara hujengwa na COMMITMENT na kamwe sio hisia. Hii ni kwasababu hisia zinaflactuate yaani Kuna wakati zitapanda na Kuna wakati zitashuka. When they are at the lowest Bado utawndelea KUMTII mume/Mke kwasababu you are committed to. So Rudi kwenye commitment uliyoiweka personally Kwa mumeo wakati mnakutana/kufunga ndoa na baadae kupata watoto. Ukifika hapo utaanza kufikiria Kwa kutumia kichwa na sio moyo na sehemu za Siri kama unavyofanya sasa.

Usipofanya hivyo yafutayo yatatokea
  • Soon utaanza kumdharau mumeo na yeye atajua soon kama Bado hajajua.
  • soon you will have to choose whom to hurt na Kwa situation ya sasa atakuwa mumeo. Kumbuka ukimuumoza yeye umewaumiza pia watoto wako na hapo hata sifa ya MAMA unapoteza kwasababu mama Bora siku zote huweka maslahi ya watoto wake kabla ya kwake.
  • Kama mumeo anakupenda athari atakayoipata itakwenda kuruin maisha yake, ya watoto wenu na ya kwako wewe. Hapa ndio utashangaa huyo kijana wako anajua ukweli na yeye atakuacha pia.
  • Mwanaume mwenye akili hawezi kuoa mwanamke aliyemtoa kw mwanaume mwingine kwasababu anajua ipo siku pia ataporwa na mwingine kama alivyopora yeye.
  • Huyu kijana anapata free pussy and nobody doesn't like that. Sasa hivi anakupenda kwasababu humbani unampa space ili ubalance time na mumeo. Mumeo asipokuwwepo utaanza kumbana na hapo ndio utaona picha kamili.

Mwisho wa siku nakuhakikishia, ukirogwa ukavunja ndoa Yako, in the next six months utatuletea hapa mada ya kutafutiwa psychiatrist kukusaidia usicomit suicide.

Mi sikushauri Cha kufanya nakwambia tu TUMIA KICHWA CHAKO KIDOGO KUFIKIRI NA SIO MOYO NA SEHEMU ZA SIRI
 
Sis kama mpaka hapo huja elewa basi ni hakika tunampigia Mbuzi amapiano...
Wanasema kuna "Thick line between LOVE & HATE"
 
Hio tunaita "Lust" hata wewe ukikutana na mtu mpya leo ambaye umevutiwa nae sana kimapenzi mka engage penzini na akakuchangamsha vizuri kihisia lazma utapata hio feeling of "lust". Unaweza kuhisi ni mtu wa pekee ila ile phase ya lust ikikata ndio akili itarejea ndio utajua una mtu gani.
True pia mtu yeyeto mkifanya nae ngono KILA siku mnaunganisha nafsi,
 
Nlicho jifunza ni kwamba nyege hazina baunsa....... siku nyege zikikuisha na akili ikakuka sawa ndo utajua hujui .... labda nikushauri kama wewe umeamua kumpa utamu sababu za genye zako usivunje ndoa yako ... heshimu ndoa
 
Mi niko nje ya mada, kama hii ni kweli nnawaza jinsi hawa watoto wanne walivyopata mama taahira, popoma na jinga la mwisho, Nnawaza jinsi huyo mumeo alipoteana kaoa limalaya linajificha kwenye ndoa, hayo mengine utajua wewe na huyo kibwengo mwenzio nnatamani akuambukize Gono uzunguke nalo
 
Halafu kuna ndugu wananishauri nioe, nimerogwa?
 
Naomba Sana hii story iwe chai, vinginevyo inashitua Sana kwa sisi tulio ndoani aisee!! Watoto wanne ndani ya ndoa na bado unatafta ushauri wa kuvunja ndoa yako kwa mikono yako mwnyw!? Karma itakulipa bye bye..!
 
 
[emoji28][emoji28] hata na ww unakubali Leo?
Mie mbona ndio national anthem yangu...hamnaga mbususu yako peke yako. Ukipewa ipelekee moto maana ukiondoka mwengine nae anakuja chovya asali
 
Back
Top Bottom