Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Hakikisha unawekeza maina na figo sehem ingine na mapafu pia maana moyo ushampa wote, ili siku anautoboa basi utatumia mapafu ,tafuta side chick ila usiipe attention , wanawake sio watu nimedate na mwanamke miaka mitano love love kweli siku alioniacha alinitafutia sababu hadi kesho sijui aliipataje, hakika uchawi upo saiv yupo na yule aliekuwa anamtongoza ananambia anamkatalia
 
Hakikisha unawekeza maina na figo sehem ingine na mapafu pia maana moyo ushampa wote, ili siku anautoboa basi utatumia mapafu ,tafuta side chick ila usiipe attention , wanawake sio watu nimedate na mwanamke miaka mitano love love kweli siku alioniacha alinitafutia sababu hadi kesho sijui aliipataje, hakika uchawi upo saiv yupo na yule aliekuwa anamtongoza ananambia anamkatalia
Pole. Mimi niliambiwa eti kapoteza morale na wanawake [emoji1787] na sijawah mkosea kipindi chote nilijitahidi kuwa mwaminifu, nilimpenda bila kona kona aisee maisha haya sijui yapoje.
 
Pole. Mimi niliambiwa eti kapoteza morale na wanawake [emoji1787] na sijawah mkosea kipindi chote nilijitahidi kuwa mwaminifu, nilimpenda bila kona kona aisee maisha haya sijui yapoje.
Tabu ya vitu km hivi, hizo hasira zitamaliziwa kwa mwanaume mwengine ambae hata hahusiki. Life is not fair
 
Tabu ya vitu km hivi, hizo hasira zitamaliziwa kwa mwanaume mwengine ambae hata hahusiki. Life is not fair
Uzuri wangu mimi hata nitendwe vipi huwa sihami na mabalaa yangu ya mahusiano yaliyopita sababu najua watu tunatofautiana. Nikipata mtu mwingine naanza na moja sema nilichojifunza nimepunguza kuamini sana watu ili hata ikitokea sintofahamu mbeleni isiniumuze sana.
 
Back
Top Bottom