Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Uzuri kauli mbiu ni ile ile kata mti panda mti. Hatukomoi shetani anatutikisa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Shetani anafeli maana mutu ziko mob [emoji23][/QUOTE]Eeeeh. Naangalia tu kwenye list nani asogee kuzugia wakati nasubiri lile huba la kuamka usiku unaanza kumshukuru Mungu kwa mtu aliekupatia

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Shetani anafeli maana mutu ziko mob [emoji23]
Eeeeh. Naangalia tu kwenye list nani asogee kuzugia wakati nasubiri lile huba la kuamka usiku unaanza kumshukuru Mungu kwa mtu aliekupatia

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
[/QUOTE]
Kuiona Pepo ni ngumu sana kwa hizi draft mnazochezesha watoto wa wenzenu😂😂😂
 
Eeeeh. Naangalia tu kwenye list nani asogee kuzugia wakati nasubiri lile huba la kuamka usiku unaanza kumshukuru Mungu kwa mtu aliekupatia

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Kuiona Pepo ni ngumu sana kwa hizi draft mnazochezesha watoto wa wenzenu[emoji23][emoji23][emoji23][/QUOTE]Ndo maisha yametupeleka huko tutafanyaje sasa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kufurahia mapenzi, kama penzi letu litapimwa kwenda chini basi litakuwa limezidi kina cha Mariana Trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kuwa hatutofautiani katika baadhi ya mambo, ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndiyo penzi zito kuliko yote Duniani kwa sasa. No devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

View attachment 2424167

Kut 20:8-11
Na yaendelee hivyo hivyo, mzidi kumuomba na kumtumainia Mungu awalinde na kuwaepusha na vishawishi.
 
Shida sometimes mapenz yanakujaga kuanza kudrop gradually. Hata mm nilifikia level zaidi ya hiyo ila sasa nahisi nipo pahala pasipojulikana
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu poleee sana,inabidi tukutafute tujue umeenda wap
 
Hiyo ndio mbinu bora mkuu yaani unamcare mpaka anajisahau[emoji3059][emoji4]siku unalilipua hilo bomu unasepa ZAKO unaacha maafa huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] si litakuwa tukio la halaiki .
 
Back
Top Bottom