Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji1635]hope to see you in higher level than I am now, true love is a very beautiful thing and cure of all frustration.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1635]hope to see you in higher level than I am now, true love is a very beautiful thing and cure of all frustration.
You are missing something. try to stay with one person and practice tough love, have a goal to achieve like carrier, you will later realize that mpango wa kando is a wastage of time and resourcesMajibu ya Kwann tunachepuka ni :-
NB: kwa mjibu wa wachepukaji
- Kutafuta ladha mpya
- Tunafanya comparison
- Tunabalance shobo*
- Kuongeza experience & exposures
- Hata hatujui inatokea tu unajikuta umechepuka.
Umepigwa shuntama wewe ACHA uboyaNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11
Unatafuta sababu ukiachwa useme umerogwaKama kuna kitu nimejifunza nikutozungumza neema zako, mana kwa povu mnalotoa naamini wengine kama mnauchawi na ingekua physically mngeturonga, ni aibu sana kwa watu kana nyinyi
Thank you!pole sana, may you find the one whom you understand each other and connected deeply
Hapa JF, pengine na waafrika kwa ujumla tuko negative sana.Kama kuna kitu nimejifunza nikutozungumza neema zako, mana kwa povu mnalotoa naamini wengine kama mnauchawi na ingekua physically mngeturonga, ni aibu sana kwa watu kana nyinyi
Thanks for your wisdom, jina lako lina akisi , you are really genuine manHapa JF, pengine na waafrika kwa ujumla tuko negative sana.
Hapa watu wanataka ulete stori kama
"nimeachwa na Mke"
" Mpenzi wangu kaolewa na mtu mwengine baada ya kumsomesha"
" Ndoa yangu haina furaha"
Ukiwa humu JF unaweza kuhisi huko nje hakuna watu wana furahia ndoa zao.
Kiujumla watu wengi humu wana Wivu. Unaweza ukaona kama wanatania ila ndio wako serious.
Jukwaa limejaa Sadists kama wote. Eti kwa sababu yeye kaachwa basi anaconclude na wewe utaachwa tuu.!!
Ni ujinga, na wivu vimejaa humu.
Mkuu wew Enjoy ndoa yako wala usiwe na wasiwasi eti ukae unawaza lini nitaachwa.
Huyu bado ni mdogo, walichofanya wadau ni kumpa uhalisia wa mambo. Bado yuko na illusion nyingi kuhusu loveHapa JF, pengine na waafrika kwa ujumla tuko negative sana.
Hapa watu wanataka ulete stori kama
"nimeachwa na Mke"
" Mpenzi wangu kaolewa na mtu mwengine baada ya kumsomesha"
" Ndoa yangu haina furaha"
Ukiwa humu JF unaweza kuhisi huko nje hakuna watu wana furahia ndoa zao.
Kiujumla watu wengi humu wana Wivu. Unaweza ukaona kama wanatania ila ndio wako serious.
Jukwaa limejaa Sadists kama wote. Eti kwa sababu yeye kaachwa basi anaconclude na wewe utaachwa tuu.!!
Ni ujinga, na wivu vimejaa humu.
Mkuu wew Enjoy ndoa yako wala usiwe na wasiwasi eti ukae unawaza lini nitaachwa.
Kwahiyo uhalisia wa mapenzi ni kuachwa au kuachana??Huyu bado ni mdogo, walichofanya wadau ni kumpa uhalisia wa mambo. Bado yuko na illusion nyingi kuhusu love
Asilimia kubwa iko hivyo, yeye anaweza dhani kila siku itakua hivyo hivyoKwahiyo uhalisia wa mapenzi ni kuachwa au kuachana??
"Asilimia kubwa" iko hivyo.Asilimia kubwa iko hivyo, yeye anaweza dhani kila siku itakua hivyo hivyo
Sijui kwanini watu humu wana mawazo ya kijinga, kwani dunia yote mume na mke lazima waachane, wagombane?It is almost 5 years now, at first ilikua kawaida, but the more the time we are together the more we love deeply
Wewe umeachika mara ngapi?Mtaachana tu.
Sawa jiandae kwa kamikaze drones ili kupukutisha hilo penzi. Hauna ulinzi wa anga tatizoNiko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trench, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.
Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.
sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?
Kut 20:8-11