Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Unajua mkishazoena mtachokana mtatoka nje.
Ila kwangu sintotoka njee Sina energy
Ila kwangu sintotoka njee Sina energy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
if you are waiting for a bad news, then i have to say "utasubiri sana na bado"Nimekaa palee nasubiri uzi wako after Christmas na mwaka mpya[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]haya mapenzi tunyamaze tuView attachment 2422256
[emoji1][emoji1][emoji1]Mtakua mna kama week 2 hivi. Soon ataanza kukuona mbuzi na wewe unamuona kama pig.
Itakuwa penzi lina wiki ya kwanzahongereni kwa kupendana penzi lenu lina muda gani
Jiandae kupokea rundo la wahuni PM kuchangamkia fursa maana si kwa mshepu huo wa kwenye PP yako [emoji1]Mi natamani niwe single kwa kweli, kuna vitu baadhi vinanifanya nishindwe kumuacha ila soon najiondokea zangu
Hiyo ndio mbinu bora mkuu yaani unamcare mpaka anajisahau[emoji3059][emoji4]siku unalilipua hilo bomu unasepa ZAKO unaacha maafa huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mii nafanyaga hvi.. akiacha ntabembeleza akijirudi mi ndo naanza sasa an hatareeee na nusu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Analia hadi damu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sema sa hivi ndo nipo don't care kabisaaa anHiyo ndio mbinu bora mkuu yaani unamcare mpaka anajisahau[emoji3059][emoji4]siku unalilipua hilo bomu unasepa ZAKO unaacha maafa huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]