Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

🤣🤣🤣 alikuwa sahihi, ukichepuka na pisi kali kuliko mkeo hata mke akikufumania akiiona ile pisi anaweza akasema kweli hapa mume wangu ulikuwa na haki ya kunicheat
Na hiyo ndio akili. Unachepuka na pisi kali mke mwenyewe akimuona anasema dah ata na mie ningezaliwa mwanaume ningeigegeda hii mrembo
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Tuliza mshono jombaaa.
Alf omba Mungu siku ya siku ww ndo uwe wa kwanza kutamka muachane Ila akiwa yeye utaja hapa tutakugawia handkerchief tunazo nyingi sana
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
me pia nipo hizo level jmn aminini kuna watu tunaenjoy... watu wengi naona wamecomment negativity
 
Mtakua mna kama week 2 hivi. Soon ataanza kukuona mbuzi na wewe unamuona kama pig.
Mapenzi huwa hayako hivyo, mkipendana for real basi kadri mnavyozidi kuwa pamoja na kupitia vichangamoto vidogovidogo ndivyo jinsi mnazidi kunatana.

Hayo ya kunoga after two week mara nyingi ni illusion tu, honestly nipo kwenye mahusiano na classmate wangu wa Olevel kutoka ujana mpaka sasa ni mke wangu for 17years (10 ya ubishoo na 7 ya ndoa), tunapendana mno.

KWAHIYO UZI WA JAMAA, naelewa anajifikiriaje kuandika hivyo.
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Ngoja junior azaliwe
 
me pia nipo hizo level jmn aminini kuna watu tunaenjoy... watu wengi naona wamecomment negativity
Thanks for being positive,
Wengi wanataka maisha yao yawe sawa kwa kila mtu
 
Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Mtaachana tu[emoji1787][emoji23][emoji1787]
 
Yaaani wewe umeongea fact... Sasa hapo sipingani na weww kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]🥲[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] wee ni mtu mbad.. an kimya kimya aiseeee
Namwacha badala ya YEYE kuniacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom