Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Penzi limekolea hadi najiuliza wanaochepuka wanatafuta nini?

Niko katika level ya juu kabisa ya kuinjoi mapenzi, kama penzi letu litapimwa kuenda chini basi litakua limezidi kina cha Mariana trech, kama ni resilience ya kuhumili vishindo, basi hili penzi ni zaidi ya bunker za kujikinga na bomu la nyuklia.

Haimaanishi kua hatutofautiani katika baadhi ya mambo ila namaanisha tunaelewana sana. nadhani penzi letu ndio penzi zito kuliko yote duniani kwa sasa. no devil's lie will penetrate, and if he tries, he will be annihilated instantly.

sasa swali kwa wachepukaji, kwanini mnachepuka?

Kut 20:8-11
Enjoy mkuu...n wakati wako
 
Nakumbuka nilikuwa ninaDem mmoja tulianza mapenz tangu primary, yaan tulipendana ata romeo na Juliet wakasome, penz lilidumu kwa miaka nane lakin mwishowe mwanamke akampata sponsor akamfungulia biashara saiz ametusua na penz lilishaisha ata kumsahau tu tumesahauliana.

mapenz yanaingiaga dosari sehem flan flan ivi na ukiona penz linanoga sana ujue linakaribia kuharibika
 
Back
Top Bottom